< Matendo 15 >

1 Watu fulani walishuka kutoka Uyahudi na kuwafundisha ndugu, wakisema, “msipotahiriwa kama desturi ya Musa, hamwezi kuokolewa.”
Et quelques-uns, qui étaient descendus de Judée, enseignaient aux frères: Si vous n’êtes circoncis suivant le rit de Moïse, vous ne pouvez être sauvés.
2 Wakati Paulo na Barnaba walipokuwa na mapambano na mjadala pamoja nao, ndugu waliamua kwamba Paulo, Barnaba, na wengine kadhaa waende Yerusalem kwa mitume na wazee kwa ajili ya swali hili.
Paul et Barnabé s’étant donc fortement élevés contre eux, il fut résolu que Paul et Barnabé, et quelques-uns d’entre les autres, iraient à Jérusalem vers les apôtres et les prêtres pour cette question.
3 Kwa hiyo, kwa kutumwa kwao na kanisa, walipitia Foinike na Samaria wakitangaza kugeuzwa nia kwa wamataifa. Walileta furaha kuu kwa ndugu wote,
Ceux-ci donc, accompagnés par l’Eglise, traversèrent la Phénicie et la Samarie, racontant la conversion des gentils; et ils causaient ainsi à tous les frères une grande joie.
4 Walipokuja Yerusalem, walikaribishwa na Kanisa na mitume na wazee, na waliwasilisha taarifa ya mambo yote ambayo Mungu amefanya pamoja nao.
Arrivés à Jérusalem, ils furent reçus par l’Eglise, par les apôtres et les anciens, auxquels ils racontèrent combien Dieu avait fait de grandes choses avec eux.
5 Lakini watu fulani walioamini, waliokuwa katika kundi la Mafarisayo, walisimama nakusema, “ni muhimu kuwatahiri na kuwaamuru waishike sheria ya Musa.”
Mais que quelques-uns de la secte des pharisiens, qui avaient embrassé la foi, s’étaient levés, disant qu’il fallait qu’ils fussent circoncis, et qu’on leur ordonnât de garder la loi de Moïse.
6 Hivyo mitume na wazee walisimama pamoja kulifikiria hili swala.
Les apôtres et les prêtres s’assemblèrent donc pour examiner cette question.
7 Baada ya majadiliano marefu, Petro alisimama na kusema kwao, “Ndugu mwatambua kwamba kitambo kizuri kilichopita Mungu alifanya chaguo kati yenu, kwamba kwa mdomo wangu Mataifa wasikie neno la injili, na kuamini.
Mais après une grande discussion, Pierre, se levant, leur dit: Hommes, mes frères, vous savez qu’en des jours déjà anciens. Dieu m’a choisi parmi vous afin que les gentils entendissent par ma bouche la parole de l’Evangile, et qu’ils crussent.
8 Mungu, anayefahamu mioyo, anashuhudia kwao, anawapa Roho mtakatifu, kama alivyofanya kwetu;
Et Dieu, qui connaît les cœurs, leur a rendu témoignage, leur donnant l’Esprit-Saint, comme à nous;
9 na hakutengeneza utofauti kati yetu na wao, akiifanya mioyo yao safi kwa imani.
Et il n’a fait entre nous et eux aucune différence, purifiant leurs cœurs par la foi.
10 Kwa hiyo, kwa nini mnamjaribu Mungu kwamba muweke nira juu ya shingo za wanafunzi ambayo hata baba zetu wala sisi hatukuweza kustahimili?
Maintenant donc, pourquoi tentez-vous Dieu, imposant aux disciples un joug que ni nos pères ni nous n’avons pu porter?
11 Lakini twaamini kwamba tutaokolewa kwa neema ya Bwana Yesu, kama walivyokuwa.”
Mais c’est par la grâce de Jésus-Christ que nous croyons être sauvés, comme eux aussi.
12 Kusanyiko lote lilinyamaza walipokua wakimsikiliza Barnaba na Paulo walipokuwa wakitoa taarifa ya ishara na maajabu ambayo Mungu alifanya pamoja nao kati ya watu wa mataifa.
Alors toute l’assemblée se tut; et ils écoutaient Barnabé et Paul racontant combien de miracles et de prodiges Dieu avait faits par eux parmi les gentils.
13 Walipoacha kuongea, Yakobo alijibu akisema, “Ndugu nisikilizeni.
Et après qu’ils se furent tus, Jacques répondit, disant: Hommes, mes frères, écoutez-moi:
14 Simoni ameelezea jinsi kwanza Mungu kwa neema aliwasaidia Mataifa ili kwamba ajipatie kutoka kwao watu kwa ajili ya jina lake.
Simon a raconté comment Dieu, dès le principe, a visité les gentils, afin de choisir parmi eux un peuple pour son nom.
15 Maneno ya manabii yanakubaliana na hili kama lilivyoandikwa.
Et les paroles des prophètes s’accordent avec lui, ainsi qu’il est écrit:
16 'Baada ya mambo haya nitarudi na kuijenga tena hema ya Daudi, iliyoanguka chini; nitainua na kuhuisha uhararibifu wake,
Après cela je reviendrai, et je rebâtirai le tabernacle de David, qui est tombé; je réparerai ses ruines et je le relèverai;
17 ili kwamba watu waliobaki wamtafute Bwana, pamoja na watu wa Mataifa walioitwa kwa jina langu.'
Afin que le reste des hommes cherchent le Seigneur, et aussi toutes les nations sur lesquelles mon nom a été invoqué, dit le Seigneur, qui fait ces choses.
18 Hivi ndivyo asemavyo Bwana aliyefanya mambo haya yajulikanayo tangu enzi za zamani. (aiōn g165)
De toute éternité, Dieu connaît son œuvre. (aiōn g165)
19 Hivyo basi, ushauri wangu ni, kwamba tusiwapatie shida watu wa Mataifa wamgeukiao Mungu;
C’est pourquoi moi, je juge qu’on ne doit pas inquiéter ceux d’entre les gentils qui se convertissent à Dieu,
20 lakini tuandike kwao kwamba wajiepushe mbali na uharibifu wa sanamu, tamaa za uasherati, na vilivyonyongwa, na damu.
Mais leur écrire qu’ils s’abstiennent des souillures des idoles, de la fornication, des animaux étouffés, et du sang.
21 Kutoka vizazi vya wazee kuna watu katika kila mji wahubirio na kumsoma Musa katika masinagogi kila Sabato.”
Quant à Moïse, depuis les temps anciens, il a, en chaque ville, des hommes qui le prêchent dans les synagogues, où on le lit tous les jours de sabbat.
22 Kwa hiyo ikaonekana kuwa imewapendeza mitume na wazee, pamoja na kanisa lote, kumchagua Yuda aliyeitwa Barsaba, na Silas, waliokuwa viongozi wa kanisa, na kuwatuma Antiokia pamoja na Paulo na Barnaba.
Alors il plut aux apôtres et aux anciens, avec toute l’Eglise, de choisir quelques-uns d’entre eux, et de les envoyer, avec Paul et Barnabé, à Antioche: Jude, qui est surnommé Barsabas, et Silas, qui étaient des principaux entre les frères,
23 Waliandika hivi, “Mitume, wazee na ndugu, kwa ndugu wa Mataifa walioko Antiokia, Shamu na Kilikia, salamu.
Ecrivant par eux: Les APOTRES et les prêtres, frères, aux frères d’entre les gentils, qui sont à Antioche, et en Syrie et en Cilicie, salut.
24 Tulisika kwamba watu fulani ambao hatukuwapatia amri hiyo, walitoka kwetu na wamewataabisha kwa mafundisho yaletayo shida nafsini mwenu.
Comme nous avons appris que quelques-uns sortant d’au milieu de nous vous ont troublés par leurs discours, en bouleversant vos âmes, quoique nous ne leur eussions donné aucun ordre,
25 Kwa hiyo imeonekana vyema kwetu sote kuchagua watu na kuwatuma kwenu pamoja na wapendwa wetu Barnaba na Paulo,
Il a plu à nous tous de choisir des personnes et de les envoyer vers vous avec nos très chers Barnabé et Paul,
26 watu walio hatarisha maisha yao kwa ajili ya jina la Bwana Yesu Kristo.
Hommes qui ont exposé leur vie pour le nom de notre Seigneur Jésus-Christ.
27 Kwa hiyo tumemtuma Yuda na Sila, watawaambia mambo yayo hayo.
Nous avons donc envoyé Jude et Silas, qui vous rapporteront les mêmes choses de vive voix.
28 Kwa kuwa ilionekana vyema kwa Roho Mtakatifu na kwetu, kutoweka juu yenu mzigo mkubwa kuliko mambo haya yaliyo ya lazima:
Car il a semblé bon à l’Esprit-Saint et à nous, de ne vous imposer aucun autre fardeau que ces choses-ci, qui sont nécessaires:
29 kwamba mgeuke kutoka kwenye vitu vitolewavyo kwa sanamu, damu, vitu vya kunyongwa, na uasherati. Kama mtajiweka mbali na hivi, itakuwa vyema kwenu. Kwa herini.”
Que vous vous absteniez de ce qui a été sacrifié aux idoles, du sang, des animaux étouffés, et de la fornication; en vous en abstenant, vous agirez bien. Adieu.
30 Hivyo basi, walivyotawanyishwa, waliteremkia Antiokia; baada ya kukusanya kusanyiko pamoja, waliwasilisha barua.
Ces envoyés donc se rendirent à Antioche, et, les fidèles rassemblés, ils remirent la lettre.
31 Walipokua wameisoma, walifurahi kwa sababu ya kutiwa moyo.
Quand ils l’eurent lue, ils éprouvèrent beaucoup de joie et de consolation.
32 Yuda na Sila, na manabii, waliwatia moyo ndugu kwa maneno mengi na kuwatia nguvu.
Et comme Jude et Silas étaient eux-mêmes prophètes, ils consolèrent les frères et les fortifièrent par de nombreux discours.
33 Baada ya kukaa muda fulani huko, walitawanyishwa kwa amani kutoka kwa ndugu kwa wale waliowatuma.
Et, après avoir passé là quelque temps, ils furent renvoyés en paix par les frères à ceux qui les avaient envoyés.
34 [ Lakini ilionekana vyema Sila kubaki huko ]
Cependant il parut bon à Silas de rester là, et Jude seul retourna à Jérusalem.
35 Lakini Paulo na wengine walikaa Antiokia pamoja na wengine wengi, ambapo walifundisha na kuhubiri neno la Bwana.
Or Paul et Barnabé demeurèrent aussi à Antioche, enseignant et annonçant avec plusieurs autres la parole de Dieu.
36 Baada ya siku kadhaa Paulo alisema kwa Barnaba, “Na turudi sasa na kuwatembelea ndugu katika kila mji tulipohubiri neno la Bwana, na kuwaona walivyo.
Mais quelques jours après Paul dit à Barnabé: Retournons visiter nos frères dans toutes les villes où nous avons prêché la parole du Seigneur, pour voir comment ils sont.
37 Barnaba alihitaji pia kumchukua pamoja nao Yohana aliyeitwa Marko.
Or Barnabé voulait prendre avec lui Jean, qui est surnommé Marc.
38 Lakini Paulo alifikiria haikuwa vizuri kumchukua Marko, aliyewaacha huko Pamfilia na hakuendelea nao katika kazi.
Mais Paul lui représentait que celui qui les avait quittés en Pamphylie et n’était point allé avec eux pour cette œuvre, ne devait pas être repris.
39 Kisha hapo kukatokea mabishano makubwa kwa hiyo walitengana, na Barnaba alimchukua Marko na kusafiri kwa meli mpaka Kipro,
De là il y eut division entre eux, de sorte qu’ils se séparèrent l’un de l’autre. Barnabé ayant donc pris Marc, s’embarqua pour Chypre.
40 Lakini Paulo alimchagua Sila na kuondoka, baada ya kukabidhiwa na ndugu katika neema ya Bwana.
Et Paul ayant choisi Silas, partit, commis à la grâce de Dieu par les frères.
41 Na alienda kupitia Shamu na Kilikia, akiimarisha makanisa.
Or il parcourait la Syrie et la Cilicie, confirmant les Eglises, et leur ordonnant de garder les préceptes des apôtres et des prêtres.

< Matendo 15 >