< Matendo 14 >
1 Ikatokea ndani ya Ikonio kwamba Paulo na Barnaba waliingia pamoja ndani ya sinagogi la Wayahudi nakuongea namna ambayo kundi kubwa la watu Wayahudi na Wayunani waliamini.
Бысть же во Иконии, вкупе внити има в сонмище Иудейское и глаголати тако, яко веровати Иудеев и Еллинов множеству многу.
2 Lakini wayahudi wasiotii waliwachochea akili wamataifa na kuwafanya kuwa wabaya dhidi ya ndugu.
Неверующии же Иудее воздвигоша и озлобиша душы языков на братию.
3 Kwa hiyo walikaa huko kwa muda mrefu, wakiongea kwa ujasiri kwa nguvu ya Bwana, huku akitoa uthibitisho kuhusu ujumbe wa neema yake. Alifanya hivi kwa kutoa ishara na majaabu vifanywe kwa mikono ya Paulo na Barnaba.
Доволно же убо время пребыста дерзающа о Господе, Свидетелствующем слову благодати Своея и дающем знамения и чудеса быти рукама их.
4 Lakini eneo kubwa la mji liligawanyika: baadhi ya watu walikuwa pamoja na Wayahudi, na baadhi pamoja na mitume.
Разделишажеся множество града, и ови убо бяху со Иудеи, ови же со Апостолы.
5 Wakati wamataifa na Wayahudi walipojaribu kuwashawishi viongozi wao kuwatendea vibaya na kuwaponda mawe Paulo na Barnaba,
И егда бысть стремление языком же и Иудеем с началники их досадити и камением побити их,
6 wakalitambua hilo na kukimbilia katika miji ya Likaonia, Listra na Derbe, na maeneo yanayozunguka pale,
уведевша же прибегоста во грады Ликаонския, в Листру и Дервию, и во окрестныя их,
7 na huko waliihubiri injili.
и тамо беста благовествующа.
8 Na huko Listra palikuwa na mtu mmoja aliyekaa, hakuwa na nguvu miguuni mwake, kilema kutoka tumboni mwa mama yake, hajawahi kutembea.
И некто муж в Листрех немощен ногама седяше, хром от чрева матере своея сый, иже николиже бе ходил.
9 Mtu huyu alimsikia Paulo akiongea. Paulo alimkazia macho na akaona kwamba alikuwa na imani ya kuponywa.
Сей слышаше Павла глаголюща: иже воззрев нань и видев, яко веру имать здрав быти,
10 Hivyo alisema kwake kwa sauti ya juu, “Simama kwa miguu yako.” Na yule mtu aliruka juu na kuanza kutembea.
рече велиим гласом: тебе глаголю во имя Господа Иисуса Христа, встани на ногу твоею прав. И абие возскочи и хождаше.
11 Umati ulipoona alichokifanya Paulo, waliinua sauti zao, wakisema katika lahaja ya Kilikaonio, “miungu imetushukia kwa namna ya binadamu.”
Народи же видевше, еже сотвори Павел, воздвигоша глас свой, ликаонски глаголюще: бози уподобльшеся человеком снидоша к нам.
12 Walimwita Barnaba “Zeu,” na Paulo “Herme” kwa sababu alikuwa msemaji mkuu.
Нарицаху же убо Варнаву Диа, Павла же Ермиа, понеже той бяше началник слова.
13 Kuhani wa Zeu, ambaye hekalu lake lilikuwa nje ya mji, alileta fahari la ng'ombe na mtungo wa maua mpaka kwenye lango la mji, yeye na umati walitaka kutoa sadaka.
Жрец же Диев, сущаго пред градом их, приведе юнцы и (принесе) венцы пред врата, с народы хотяше жрети.
14 Lakini mitume, Barnaba na Paulo, walipolisikia hili, walirarua mavazi yao na kwa haraka walikwenda nje kwenye umati, wakilia
Слышавша же Апостола Варнава и Павел, растерзавша ризы своя, вскочиста в народ, зовуща и глаголюща:
15 na kusema, “Enyi watu, kwanini mnafanya mambo haya? Na sisi pia ni binadamu wenye hisia kama za kwenu. Tunawaletea habari njema, kwamba mgeuke kutoka kwenye vitu hivi visivyofaa na kumwelekea Mungu aliye hai, aliyeumba mbingu, dunia na bahari na kila kitu kilichomo.
мужие, что сия творите? И мы подобострастна есма вам человека, благовествующа вам от сих суетных обращатися к Богу Живу, Иже сотвори небо и землю и море и вся, яже в них:
16 Katika nyakati zilizopita, aliwaruhusu mataifa kutembea katika njia zao wenyewe.
Иже в мимошедшыя роды оставил бе вся языки ходити в путех их:
17 Lakini bado, hakuondoka pasipo shahidi, katika hilo alifanya vizuri na akawapatia mvua kutoka mbinguni na nyakati za mazao, akiwajaza mioyo yenu kwa vyakula na furaha”
и убо не несвидетелствована Себе остави, благотворя, с небесе нам дожди дая и времена плодоносна, исполняя пищею и веселием сердца наша.
18 Hata kwa maneno haya, Paulo na Barnaba kwa shida waliuzuia umati kuwatolea sadaka.
И сия глаголюща, едва устависта народы не жрети има, но отити коемуждо во своя си. Пребывающема же има и учащема,
19 Lakini baadhi ya Wayahudi kutoka Antiokia na Ikonio walikuja kuushawishi umati. Wakampiga mawe Paulo na kumburuta hadi nje ya mji, wakidhani alikuwa amekufa.
приидоша от Антиохии и Иконии нецыи Иудее, и стязающемася има с дерзновением, наустиша народы отступити от нею, глаголюще, яко ничтоже истинно глаголета, но все лжета. И наустивше народы и камением побивше Павла, извлекоша вне града, мняще его умерша.
20 Hata hivyo wanafunzi walikuwa wamesimama karibu naye, aliamka, wakaingia mjini. Siku ya pili, aliende Derbe na Barnaba.
Окрест же ставшым его учеником, востав вниде во град и наутрие изыде с Варнавою в Дервию.
21 Baada ya kufundisha injili katika mji ule na kuwafanya wanafunzi wengi, walirudi Listra, hadi Ikoniamu, na hadi Antiokia.
Благовествовавша же граду тому и научивша многи, возвратистася в Листру и Иконию и Антиохию,
22 Waliendelea kuimarisha nafsi za wanafunzi na kutiwa moyo kuendelea katika imani, akasema, “Lazima tuingie katika ufalme wa Mungu kwa kupitia mateso mengi.”
утверждающа душы учеников, моляща пребыти в вере, и яко многими скорбьми подобает нам внити в Царствие Божие.
23 Walipo wateua kwa ajili yao wazee wa kila kusanyiko la waaminio, na wakiwa wameomba na kufunga, waliwakabidhi kwa Bwana, ambaye wao walimwamini.
Рукоположша же им пресвитеры на вся церкви и помолившася с постом, предаста их Господеви, в Негоже увероваша.
24 Kisha walipita katika Pisidia, walifika Pamfilia.
И прошедша Писидию, приидоста в Памфилию:
25 Wakati walipoongea maneno katika Perga, waliteremka kwenda Atalia.
и глаголавша в Пергии слово Господне, снидоста во Атталию
26 Kutoka huko walipanda meli hadi Antiokia ambako walikuwa wamejitoa kwa neema ya Mungu kwa ajili ya kazi ambayo sasa walikuwa wameikamilisha.
и оттуду отплыста во Антиохию, отнюдуже беста предана благодати Божией в дело, еже скончаста.
27 Walipofika huko Antiokia, na kulikusanya kusanyiko la pamoja, wakatoa taarifa ya mambo ambayo Mungu amefanya kwao, na jinsi alivyowafungulia mlango wa imani kwa watu wa Mataifa.
Пришедша же и собравша церковь, сказаста, елика сотвори Бог с нима и яко отверзе языком дверь веры:
28 Walikaa kwa muda mrefu na wanafunzi.
пребыста же тамо время не мало со ученики.