< Matendo 14 >

1 Ikatokea ndani ya Ikonio kwamba Paulo na Barnaba waliingia pamoja ndani ya sinagogi la Wayahudi nakuongea namna ambayo kundi kubwa la watu Wayahudi na Wayunani waliamini.
W Ikonium również weszli do synagogi żydowskiej i mówili tak, że uwierzyła wielka liczba Żydów i Greków.
2 Lakini wayahudi wasiotii waliwachochea akili wamataifa na kuwafanya kuwa wabaya dhidi ya ndugu.
Lecz Żydzi, którzy nie uwierzyli, podburzyli i rozjątrzyli serca pogan przeciwko braciom.
3 Kwa hiyo walikaa huko kwa muda mrefu, wakiongea kwa ujasiri kwa nguvu ya Bwana, huku akitoa uthibitisho kuhusu ujumbe wa neema yake. Alifanya hivi kwa kutoa ishara na majaabu vifanywe kwa mikono ya Paulo na Barnaba.
I byli tam przez długi czas, odważnie mówiąc w Panu, który dawał świadectwo słowu swojej łaski, sprawiając, że przez ich ręce dokonywały się znaki i cuda.
4 Lakini eneo kubwa la mji liligawanyika: baadhi ya watu walikuwa pamoja na Wayahudi, na baadhi pamoja na mitume.
I mieszkańcy miasta podzielili się: jedni byli z Żydami, a drudzy z apostołami.
5 Wakati wamataifa na Wayahudi walipojaribu kuwashawishi viongozi wao kuwatendea vibaya na kuwaponda mawe Paulo na Barnaba,
Kiedy jednak wszczął się rozruch zarówno wśród pogan, jak i Żydów wraz z przełożonymi, i chcieli ich znieważyć, i ukamienować;
6 wakalitambua hilo na kukimbilia katika miji ya Likaonia, Listra na Derbe, na maeneo yanayozunguka pale,
Dowiedzieli się o tym i uciekli do miast Likaonii: do Listry i Derbe oraz w ich okolice;
7 na huko waliihubiri injili.
I tam głosili ewangelię.
8 Na huko Listra palikuwa na mtu mmoja aliyekaa, hakuwa na nguvu miguuni mwake, kilema kutoka tumboni mwa mama yake, hajawahi kutembea.
A w Listrze był pewien człowiek o bezwładnych nogach, chromy już w łonie swojej matki i nigdy nie chodził.
9 Mtu huyu alimsikia Paulo akiongea. Paulo alimkazia macho na akaona kwamba alikuwa na imani ya kuponywa.
Słuchał on przemawiającego Pawła, który przyglądając mu się uważnie i widząc, że ma wiarę, aby zostać uzdrowionym;
10 Hivyo alisema kwake kwa sauti ya juu, “Simama kwa miguu yako.” Na yule mtu aliruka juu na kuanza kutembea.
Powiedział donośnym głosem: Stań prosto na nogach! A on zerwał się i zaczął chodzić.
11 Umati ulipoona alichokifanya Paulo, waliinua sauti zao, wakisema katika lahaja ya Kilikaonio, “miungu imetushukia kwa namna ya binadamu.”
A ludzie, widząc, co uczynił Paweł, zaczęli wołać po likaońsku: Bogowie przybrali postać ludzi i zstąpili do nas!
12 Walimwita Barnaba “Zeu,” na Paulo “Herme” kwa sababu alikuwa msemaji mkuu.
I nazwali Barnabę Jowiszem, a Pawła Merkurym, ponieważ on był głównym mówcą.
13 Kuhani wa Zeu, ambaye hekalu lake lilikuwa nje ya mji, alileta fahari la ng'ombe na mtungo wa maua mpaka kwenye lango la mji, yeye na umati walitaka kutoa sadaka.
Wtedy kapłan [ze świątyni] Jowisza, która była przed miastem, przyprowadził do wrót woły i wieńce i razem z ludem chciał złożyć ofiarę.
14 Lakini mitume, Barnaba na Paulo, walipolisikia hili, walirarua mavazi yao na kwa haraka walikwenda nje kwenye umati, wakilia
Gdy usłyszeli o tym apostołowie Barnaba i Paweł, rozdarli swoje szaty i wpadli między tłum, wołając;
15 na kusema, “Enyi watu, kwanini mnafanya mambo haya? Na sisi pia ni binadamu wenye hisia kama za kwenu. Tunawaletea habari njema, kwamba mgeuke kutoka kwenye vitu hivi visivyofaa na kumwelekea Mungu aliye hai, aliyeumba mbingu, dunia na bahari na kila kitu kilichomo.
Ludzie, co robicie? My też jesteśmy ludźmi, podlegamy tym samym doznaniom co wy. Głosimy wam, abyście się odwrócili od tych marności do Boga żywego, który stworzył niebo, ziemię, morze i wszystko, co się w nich znajduje.
16 Katika nyakati zilizopita, aliwaruhusu mataifa kutembea katika njia zao wenyewe.
Za czasów minionych pozwalał on, aby wszystkie narody chodziły własnymi drogami.
17 Lakini bado, hakuondoka pasipo shahidi, katika hilo alifanya vizuri na akawapatia mvua kutoka mbinguni na nyakati za mazao, akiwajaza mioyo yenu kwa vyakula na furaha”
Nie przestawał jednak dawać o sobie świadectwa, czyniąc dobrze. Zsyłał nam z nieba deszcz i urodzajne lata, karmił nas i napełniał radością nasze serca.
18 Hata kwa maneno haya, Paulo na Barnaba kwa shida waliuzuia umati kuwatolea sadaka.
Tymi słowami ledwie powstrzymali lud od złożenia im ofiary.
19 Lakini baadhi ya Wayahudi kutoka Antiokia na Ikonio walikuja kuushawishi umati. Wakampiga mawe Paulo na kumburuta hadi nje ya mji, wakidhani alikuwa amekufa.
Tymczasem z Antiochii i Ikonium nadeszli Żydzi, którzy namówiwszy lud, ukamienowali Pawła i wywlekli go za miasto, myśląc, że umarł.
20 Hata hivyo wanafunzi walikuwa wamesimama karibu naye, aliamka, wakaingia mjini. Siku ya pili, aliende Derbe na Barnaba.
Lecz gdy otoczyli go uczniowie, podniósł się i wrócił do miasta, a nazajutrz udał się z Barnabą do Derbe.
21 Baada ya kufundisha injili katika mji ule na kuwafanya wanafunzi wengi, walirudi Listra, hadi Ikoniamu, na hadi Antiokia.
Kiedy głosili ewangelię temu miastu i pozyskali wielu uczniów, wrócili do Listry, Ikonium i do Antiochii;
22 Waliendelea kuimarisha nafsi za wanafunzi na kutiwa moyo kuendelea katika imani, akasema, “Lazima tuingie katika ufalme wa Mungu kwa kupitia mateso mengi.”
Umacniając dusze uczniów i zachęcając do trwania w wierze, [mówili], że przez wiele utrapień musimy wejść do królestwa Bożego.
23 Walipo wateua kwa ajili yao wazee wa kila kusanyiko la waaminio, na wakiwa wameomba na kufunga, waliwakabidhi kwa Bwana, ambaye wao walimwamini.
A gdy w każdym kościele ustanowili starszych, modląc się i poszcząc, powierzyli ich Panu, w którego uwierzyli.
24 Kisha walipita katika Pisidia, walifika Pamfilia.
Potem przeszli przez Pizydię i przybyli do Pamfilii.
25 Wakati walipoongea maneno katika Perga, waliteremka kwenda Atalia.
I opowiedziawszy słowo Boże w Perge, zeszli do Attalii.
26 Kutoka huko walipanda meli hadi Antiokia ambako walikuwa wamejitoa kwa neema ya Mungu kwa ajili ya kazi ambayo sasa walikuwa wameikamilisha.
Stamtąd popłynęli do Antiochii, gdzie [przedtem] zostali poruczeni łasce Boga do dzieła, które wykonali.
27 Walipofika huko Antiokia, na kulikusanya kusanyiko la pamoja, wakatoa taarifa ya mambo ambayo Mungu amefanya kwao, na jinsi alivyowafungulia mlango wa imani kwa watu wa Mataifa.
A gdy tam przyszli i zebrali kościół, opowiedzieli, co Bóg przez nich uczynił i jak otworzył poganom drzwi wiary.
28 Walikaa kwa muda mrefu na wanafunzi.
I mieszkali tam dość długo z uczniami.

< Matendo 14 >