< Matendo 14 >

1 Ikatokea ndani ya Ikonio kwamba Paulo na Barnaba waliingia pamoja ndani ya sinagogi la Wayahudi nakuongea namna ambayo kundi kubwa la watu Wayahudi na Wayunani waliamini.
اما در ایقونیه، ایشان با هم به کنیسه یهود در‌آمده، به نوعی سخن‌گفتند که جمعی کثیر از یهود و یونانیان ایمان آوردند.۱
2 Lakini wayahudi wasiotii waliwachochea akili wamataifa na kuwafanya kuwa wabaya dhidi ya ndugu.
لیکن یهودیان بی‌ایمان دلهای امت‌ها را اغوانمودند و با برادران بداندیش ساختند.۲
3 Kwa hiyo walikaa huko kwa muda mrefu, wakiongea kwa ujasiri kwa nguvu ya Bwana, huku akitoa uthibitisho kuhusu ujumbe wa neema yake. Alifanya hivi kwa kutoa ishara na majaabu vifanywe kwa mikono ya Paulo na Barnaba.
پس مدت مدیدی توقف نموده، به نام خداوندی که به کلام فیض خود شهادت می‌داد، به دلیری سخن می‌گفتند و او آیات و معجزات عطا می‌کرد که ازدست ایشان ظاهر شود.۳
4 Lakini eneo kubwa la mji liligawanyika: baadhi ya watu walikuwa pamoja na Wayahudi, na baadhi pamoja na mitume.
و مردم شهر دو فرقه شدند، گروهی همداستان یهود و جمعی با رسولان بودند.۴
5 Wakati wamataifa na Wayahudi walipojaribu kuwashawishi viongozi wao kuwatendea vibaya na kuwaponda mawe Paulo na Barnaba,
وچون امت‌ها و یهود با روسای خود بر ایشان هجوم می‌آوردند تا ایشان را افتضاح نموده، سنگسار کنند،۵
6 wakalitambua hilo na kukimbilia katika miji ya Likaonia, Listra na Derbe, na maeneo yanayozunguka pale,
آگاهی یافته، به سوی لستره ودربه شهرهای لیکاونیه و دیار آن نواحی فرارکردند.۶
7 na huko waliihubiri injili.
و در آنجا بشارت می‌دادند.۷
8 Na huko Listra palikuwa na mtu mmoja aliyekaa, hakuwa na nguvu miguuni mwake, kilema kutoka tumboni mwa mama yake, hajawahi kutembea.
و در لستره مردی نشسته بود که پایهایش بی‌حرکت بود و از شکم مادر، لنگ متولد شده، هرگز راه نرفته بود.۸
9 Mtu huyu alimsikia Paulo akiongea. Paulo alimkazia macho na akaona kwamba alikuwa na imani ya kuponywa.
چون او سخن پولس رامی شنید، او بر وی نیک نگریسته، دید که ایمان شفا یافتن را دارد.۹
10 Hivyo alisema kwake kwa sauti ya juu, “Simama kwa miguu yako.” Na yule mtu aliruka juu na kuanza kutembea.
پس به آواز بلند بدو گفت: «بر پایهای خود راست بایست.» که در ساعت برجسته، خرامان گردید.۱۰
11 Umati ulipoona alichokifanya Paulo, waliinua sauti zao, wakisema katika lahaja ya Kilikaonio, “miungu imetushukia kwa namna ya binadamu.”
اما خلق چون این عمل پولس را دیدند، صدای خود را به زبان لیکاونیه بلند کرده، گفتند: «خدایان به صورت انسان نزد مانازل شده‌اند.»۱۱
12 Walimwita Barnaba “Zeu,” na Paulo “Herme” kwa sababu alikuwa msemaji mkuu.
پس برنابا را مشتری و پولس راعطارد خواندند زیرا که او در سخن‌گفتن مقدم بود.۱۲
13 Kuhani wa Zeu, ambaye hekalu lake lilikuwa nje ya mji, alileta fahari la ng'ombe na mtungo wa maua mpaka kwenye lango la mji, yeye na umati walitaka kutoa sadaka.
پس کاهن مشتری که پیش شهر ایشان بود، گاوان و تاجها با گروه هایی از خلق به دروازه هاآورده، خواست که قربانی گذراند.۱۳
14 Lakini mitume, Barnaba na Paulo, walipolisikia hili, walirarua mavazi yao na kwa haraka walikwenda nje kwenye umati, wakilia
اما چون آن دو رسول یعنی برنابا و پولس شنیدند، جامه های خود را دریده، در میان مردم افتادند و ندا کرده،۱۴
15 na kusema, “Enyi watu, kwanini mnafanya mambo haya? Na sisi pia ni binadamu wenye hisia kama za kwenu. Tunawaletea habari njema, kwamba mgeuke kutoka kwenye vitu hivi visivyofaa na kumwelekea Mungu aliye hai, aliyeumba mbingu, dunia na bahari na kila kitu kilichomo.
گفتند: «ای مردمان، چرا چنین می‌کنید؟ ما نیزانسان و صاحبان علتها مانند شما هستیم و به شمابشارت می‌دهیم که از این اباطیل رجوع کنید به سوی خدای حی که آسمان و زمین و دریا و آنچه را که در آنها است آفرید،۱۵
16 Katika nyakati zilizopita, aliwaruhusu mataifa kutembea katika njia zao wenyewe.
که در طبقات سلف همه امت‌ها را واگذاشت که در طرق خود رفتارکنند،۱۶
17 Lakini bado, hakuondoka pasipo shahidi, katika hilo alifanya vizuri na akawapatia mvua kutoka mbinguni na nyakati za mazao, akiwajaza mioyo yenu kwa vyakula na furaha”
با وجودی که خود را بی‌شهادت نگذاشت، چون احسان می‌نمود و از آسمان باران بارانیده و فصول بارآور بخشیده، دلهای ما را ازخوراک و شادی پر می‌ساخت.»۱۷
18 Hata kwa maneno haya, Paulo na Barnaba kwa shida waliuzuia umati kuwatolea sadaka.
و بدین سخنان خلق را از گذرانیدن قربانی برای ایشان به دشواری باز داشتند.۱۸
19 Lakini baadhi ya Wayahudi kutoka Antiokia na Ikonio walikuja kuushawishi umati. Wakampiga mawe Paulo na kumburuta hadi nje ya mji, wakidhani alikuwa amekufa.
اما یهودیان از انطاکیه و ایقونیه آمده، مردم را با خود متحد ساختند و پولس را سنگسارکرده، از شهر بیرون کشیدند و پنداشتند که مرده است.۱۹
20 Hata hivyo wanafunzi walikuwa wamesimama karibu naye, aliamka, wakaingia mjini. Siku ya pili, aliende Derbe na Barnaba.
اما چون شاگردان گرد او ایستادندبرخاسته، به شهر درآمد و فردای آن روز با برنابابه سوی دربه روانه شد۲۰
21 Baada ya kufundisha injili katika mji ule na kuwafanya wanafunzi wengi, walirudi Listra, hadi Ikoniamu, na hadi Antiokia.
و در آن شهر بشارت داده، بسیاری را شاگرد ساختند. پس به لستره وایقونیه و انطاکیه مراجعت کردند.۲۱
22 Waliendelea kuimarisha nafsi za wanafunzi na kutiwa moyo kuendelea katika imani, akasema, “Lazima tuingie katika ufalme wa Mungu kwa kupitia mateso mengi.”
و دلهای شاگردان را تقویت داده، پند می‌دادند که در ایمان ثابت بمانند و اینکه با مصیبتهای بسیار می‌بایدداخل ملکوت خدا گردیم.۲۲
23 Walipo wateua kwa ajili yao wazee wa kila kusanyiko la waaminio, na wakiwa wameomba na kufunga, waliwakabidhi kwa Bwana, ambaye wao walimwamini.
و در هر کلیسابجهت ایشان کشیشان معین نمودند و دعا و روزه داشته، ایشان را به خداوندی که بدو ایمان آورده بودند، سپردند.۲۳
24 Kisha walipita katika Pisidia, walifika Pamfilia.
و از پیسیدیه گذشته به پمفلیه آمدند.۲۴
25 Wakati walipoongea maneno katika Perga, waliteremka kwenda Atalia.
و در پرجه به کلام موعظه نمودند و به اتالیه فرود آمدند.۲۵
26 Kutoka huko walipanda meli hadi Antiokia ambako walikuwa wamejitoa kwa neema ya Mungu kwa ajili ya kazi ambayo sasa walikuwa wameikamilisha.
و از آنجا به کشتی سوار شده، به انطاکیه آمدند که از همان جا ایشان را به فیض خدا سپرده بودند برای آن کاری که به انجام رسانیده بودند.۲۶
27 Walipofika huko Antiokia, na kulikusanya kusanyiko la pamoja, wakatoa taarifa ya mambo ambayo Mungu amefanya kwao, na jinsi alivyowafungulia mlango wa imani kwa watu wa Mataifa.
و چون وارد شهر شدند کلیسا را جمع کرده، ایشان را مطلع ساختند از آنچه خدا با ایشان کرده بود و چگونه دروازه ایمان را برای امت‌ها باز کرده بود.۲۷
28 Walikaa kwa muda mrefu na wanafunzi.
پس مدت مدیدی با شاگردان بسر بردند.۲۸

< Matendo 14 >