< Matendo 14 >
1 Ikatokea ndani ya Ikonio kwamba Paulo na Barnaba waliingia pamoja ndani ya sinagogi la Wayahudi nakuongea namna ambayo kundi kubwa la watu Wayahudi na Wayunani waliamini.
Jhatokili mu Ikonio kujiha paulo ni Barnaba bhajhingili pamonga mu sinagogi lya Bhayahudi ni kulongela namana ambajho likundi libhaha lya bhanu Bhayahudi ni Bhayunani bhakyeriri.
2 Lakini wayahudi wasiotii waliwachochea akili wamataifa na kuwafanya kuwa wabaya dhidi ya ndugu.
Lakini Bhayahudi bhabhalii bhabhachochili luhala bhamataifa ni kubhabhomba khujha bhbhibhi dhidi jha ndongo.
3 Kwa hiyo walikaa huko kwa muda mrefu, wakiongea kwa ujasiri kwa nguvu ya Bwana, huku akitoa uthibitisho kuhusu ujumbe wa neema yake. Alifanya hivi kwa kutoa ishara na majaabu vifanywe kwa mikono ya Paulo na Barnaba.
Kwa hiyo bhatamili okhu kwa muda mrefu, bhaka jhabhilongela kwa ujasiri kwa ngofu, jha Bwana, kuni ipisya uthibitisho kuhusu ujumbe bhwa neema jha muene. Abhombi naha kwa kubhosya isshara ni maajabu fibhombibhwayi kwa mabhoko gha Paulo ni Barnaba.
4 Lakini eneo kubwa la mji liligawanyika: baadhi ya watu walikuwa pamoja na Wayahudi, na baadhi pamoja na mitume.
Lakini lieneo libhaha lya mji lyagabhwanyiki baadhi jha bhanu bhajhele pamonga ni Bhayahudi ni baadhi pamonga ni mitume.
5 Wakati wamataifa na Wayahudi walipojaribu kuwashawishi viongozi wao kuwatendea vibaya na kuwaponda mawe Paulo na Barnaba,
Bwakati bhamataifa ni Bhayahudi bhobhajaribu kubhashawishi bhalongosi bha bhene kubhabhombela vibaya ni kubhaponda ni maganga Paulo ni Barnaba,
6 wakalitambua hilo na kukimbilia katika miji ya Likaonia, Listra na Derbe, na maeneo yanayozunguka pale,
Bhakalimanya e'lu ni kujumbila mu miji ghya Likonia, Listra ni Derbe, ni maeneo ghaghisyongo'ka pala,
7 na huko waliihubiri injili.
ni okhu bhahubiri injili.
8 Na huko Listra palikuwa na mtu mmoja aliyekaa, hakuwa na nguvu miguuni mwake, kilema kutoka tumboni mwa mama yake, hajawahi kutembea.
Ni okhu Listra pajhele ni munu mmonga jhaatameghe, ajhelepi ni ngofu mumagolo gha muene, kilema kuhomela mu lileme lya nyinamunu, abhwayilepi kugenda.
9 Mtu huyu alimsikia Paulo akiongea. Paulo alimkazia macho na akaona kwamba alikuwa na imani ya kuponywa.
Munu ojho ampeliki Paulo ilongela. Paulo ankazili mihu ni kubhona ajhele ni imani jha kunyesibhwa.
10 Hivyo alisema kwake kwa sauti ya juu, “Simama kwa miguu yako.” Na yule mtu aliruka juu na kuanza kutembea.
Hivyo ajobhili kwa muene kwa sauti mbaha, “Jhemayi kwa magolo gha jhobhi” Ni munu jhola aniki kunani ni kuyanda kugenda.
11 Umati ulipoona alichokifanya Paulo, waliinua sauti zao, wakisema katika lahaja ya Kilikaonio, “miungu imetushukia kwa namna ya binadamu.”
Bhumati bho bhubhwene kya abhombili Paulo bhajhinuili sauti sya bhene bhakajha bhijobha kwa lahaja jha kitikanio, “Miungu jhituselelili kwa namna jha binadamu.”
12 Walimwita Barnaba “Zeu,” na Paulo “Herme” kwa sababu alikuwa msemaji mkuu.
Bhan'kutili Barnaba “Zeu,” ni Paulo “Herme.” Kwa ndabha ajhele msemaji mbaha.
13 Kuhani wa Zeu, ambaye hekalu lake lilikuwa nje ya mji, alileta fahari la ng'ombe na mtungo wa maua mpaka kwenye lango la mji, yeye na umati walitaka kutoa sadaka.
Kuhani ghwa Zeu, ambajhe hekalu lya muene lyajhele kwibhala ku mji aletili fahari la ng'ombe ni ntongo ghwa maua mpaka ku ndiangu ghwa mji muene ni umati bhalondeghe kuhomesya sadaka.
14 Lakini mitume, Barnaba na Paulo, walipolisikia hili, walirarua mavazi yao na kwa haraka walikwenda nje kwenye umati, wakilia
Lakini mitume, Barnaba ni Paulo, bho bhalipeliki e'le, bharaneili maguanda gha bhene manyata bhakalota kubhala ku umati bhilela.
15 na kusema, “Enyi watu, kwanini mnafanya mambo haya? Na sisi pia ni binadamu wenye hisia kama za kwenu. Tunawaletea habari njema, kwamba mgeuke kutoka kwenye vitu hivi visivyofaa na kumwelekea Mungu aliye hai, aliyeumba mbingu, dunia na bahari na kila kitu kilichomo.
Ni kajobha, “Enyi bhanu, kwandayakiki mwibhomba mambo agha? ni tete kabhele twebha binadamu bhenye ligoga kama lya muenga. Tukabhaletela habari njema, kwamba mgeukayi kuhomela mu fiti efufya fitondikalepi ni kulota kwa K'yara jha ajhe hai jhaabhombi mbingu, dunia ni bahari ni khila khenu kyakijhele.
16 Katika nyakati zilizopita, aliwaruhusu mataifa kutembea katika njia zao wenyewe.
Mu nyakati sya silotili, abharuhuisi mataifa kugenda mu njela sya bhene.
17 Lakini bado, hakuondoka pasipo shahidi, katika hilo alifanya vizuri na akawapatia mvua kutoka mbinguni na nyakati za mazao, akiwajaza mioyo yenu kwa vyakula na furaha”
Lakini bado abhokilepi bila shahidi, kwa e'lu abhombi kinofu na abhapelili fula kuhoma kumbinguni ni nyakati sya mazao akajhimemesya mioyo ghinu kwa fyakulya ni furaha.
18 Hata kwa maneno haya, Paulo na Barnaba kwa shida waliuzuia umati kuwatolea sadaka.
Hata kwa malobhi agha Paulo ni Barnaba kwa shida bhakauzuila umati kubhasopela sadaka.
19 Lakini baadhi ya Wayahudi kutoka Antiokia na Ikonio walikuja kuushawishi umati. Wakampiga mawe Paulo na kumburuta hadi nje ya mji, wakidhani alikuwa amekufa.
Lakini baadhi jha Bhayahudi kuhomela Antiokia ni Ikonio bhahidili kuushawishi umati. Bhan'homelili maganga Paulo ni kundundusya hadi kwibhala ku mji, bhakajha bhitegemela afuili.
20 Hata hivyo wanafunzi walikuwa wamesimama karibu naye, aliamka, wakaingia mjini. Siku ya pili, aliende Derbe na Barnaba.
Hata naha bhanafunzi bhajhele bhajhemili karibu nabhu ajhu muiki, bhakajhingila ku nyini. Ligono lya pili, alotili Derbe ni Barnaba.
21 Baada ya kufundisha injili katika mji ule na kuwafanya wanafunzi wengi, walirudi Listra, hadi Ikoniamu, na hadi Antiokia.
Baada jha kumanyisya injili mu mjibhola ni kubhabhomba bhanafunzi bhamehele bhakerebhuiki Listra, hadi Ikoniamu, ni hadi Antiookia.
22 Waliendelea kuimarisha nafsi za wanafunzi na kutiwa moyo kuendelea katika imani, akasema, “Lazima tuingie katika ufalme wa Mungu kwa kupitia mateso mengi.”
Bhajhendelili kuiman'sya nafsi sya bhanafunzi ni kupelibhwa muoyo kujhendelela mu imani, akajoobha, “Lazima tujhingilayi ku ufalme bhwa K'yara kwa kupetela malombosi ghamehele.
23 Walipo wateua kwa ajili yao wazee wa kila kusanyiko la waaminio, na wakiwa wameomba na kufunga, waliwakabidhi kwa Bwana, ambaye wao walimwamini.
Bho bhabha teuili kwa ndabha jha bhene bhaseya kwa kila likusanyiku lya bhaaminio na bhakajha bhas'okili ni kufunga, bhabhakabidhi kwa Bwana, ambajhe bhene bhamwaminili.
24 Kisha walipita katika Pisidia, walifika Pamfilia.
Kisha bhapelili kupisidia, bhafikili pamfilia.
25 Wakati walipoongea maneno katika Perga, waliteremka kwenda Atalia.
Bhwakati bhalongili malobhi perga, bhaselili kulota Atalia.
26 Kutoka huko walipanda meli hadi Antiokia ambako walikuwa wamejitoa kwa neema ya Mungu kwa ajili ya kazi ambayo sasa walikuwa wameikamilisha.
Kuhoma okhu bhakweli meli hadi Antiokia ambako bhajhele bhakihomisi kwa neema jha K'yara kwa ndabha jha mbombo ambayo henu bhajhele bhaikamilisi.
27 Walipofika huko Antiokia, na kulikusanya kusanyiko la pamoja, wakatoa taarifa ya mambo ambayo Mungu amefanya kwao, na jinsi alivyowafungulia mlango wa imani kwa watu wa Mataifa.
Bhobhafikili okhu Antiokia, ni kulibhonganiya, likusanyiku lya pamonga, bhakapisya taarifa jha mambo ambagho K'yara agha bhombi kwa bhene, ni jinsi kya abhadendeilili ndiangu ghwa imani kwa bhanu bha mataifa.
28 Walikaa kwa muda mrefu na wanafunzi.
Bhatamili kwa muda mrefu ni bhanafunzi