< Matendo 13 >

1 Sasa katika kanisa la Antiokia, palikuwa na baadhi ya manabii na walimu. Walikua Barnaba, Simeoni (aliyeitwa Nigeri). Lukio wa Kirene, Manaeni( ndugu asiye wa damu wa Herode kiongozi wa mkoa), na Sauli.
و در کلیسایی که در انطاکیه بود انبیا ومعلم چند بودند: برنابا و شمعون ملقب به نیجر و لوکیوس قیروانی و مناحم برادررضاعی هیرودیس تیترارخ و سولس.۱
2 Walipokuwa wakimwabudu Bwana na kufunga, Roho Mtakatifu alisema, “Niteengeeni pembeni Barnaba na Sauli, waifanye kazi niliyo waitia.”
چون ایشان در عبادت خدا و روزه مشغول می‌بودند، روح‌القدس گفت: «برنابا و سولس را برای من جداسازید از بهر آن عمل که ایشان را برای آن خوانده‌ام.»۲
3 Baada ya Kanisa kufunga, kuomba, na kuweka mikono yao juu ya watu hawa, wakawaacha waende.
آنگاه روزه گرفته و دعا کرده ودستها بر ایشان گذارده، روانه نمودند.۳
4 Kwa hiyo Barnabas na Sauli walimtii Roho Mtakatifu na walitelemka kuelekea Seleukia; Kutoka huko walisafiri baharini kuelekea kisiwa cha Kipro.
پس ایشان از جانب روح‌القدس فرستاده شده، به سلوکیه رفتند و از آنجا از راه دریا به قپرس آمدند.۴
5 Walipokuwa katika mji wa Salami, walilitangaza neno la Mungu katika Masinagogi ya Wayahudi. Pia walikuwa pamoja na Yohana Marko kama msaidizi wao.
و وارد سلامیس شده، در کنایس یهود به کلام خدا موعظه کردند و یوحنا ملازم ایشان بود.۵
6 Walipokwenda katika kisiwa chote mpaka Pafo, walikuta mtu fulani mchawi, Myahudi nabii wa uongo, ambaye jina lake lilikuwa Bar Yesu.
و چون در تمامی جزیره تا به پافس گشتند، در آنجا شخص یهودی را که جادوگر ونبی کاذب بود یافتند که نام او باریشوع بود.۶
7 Mchawi huyu alishirikiana na Liwali Sergio Paulus, aliyekuwa mtu mwenye akili. Mtu huyu aliwaalika Barnaba na Sauli, kwa sababu alihitaji kusikia neno la Mungu.
اورفیق سرجیوس پولس والی بود که مردی فهیم بود. همان برنابا و سولس را طلب نموده، خواست کلام خدا را بشنود.۷
8 Lakini Elima “yule mchawi” (hivyo ndivyo jina lake lilivyo tafsiriwa) aliwapinga; alijaribu kumgeuza yule liwali atoke kwenye imani.
اما علیما یعنی آن جادوگر، زیرا ترجمه اسمش همچنین می‌باشد، ایشان رامخالفت نموده، خواست والی را از ایمان برگرداند.۸
9 Lakini Sauli aliyeitwa Paulo, alikuwa amejazwa na Roho Mtakatikfu, akamkazia macho
ولی سولس که پولس باشد، پر ازروح‌القدس شده، بر او نیک نگریسته،۹
10 na akasema “Ewe mwana wa Ibilisi, umejazwa na aina zote za udanganyifu na udhaifu. Wewe ni adui wa kila aina ya haki. Hautakoma kuzigeuza njia za Bwana, zilizonyooka, je utaweza?
گفت: «ای پر از هر نوع مکر و خباثت، ای فرزند ابلیس ودشمن هر راستی، باز نمی ایستی از منحرف ساختن طرق راست خداوند؟۱۰
11 Sasa tazama, mkono wa Bwana upo juu yako, na utakuwa kipofu. Hautaliona Jua kwa muda” mara moja ukungu na giza vilianguka juu ya Elimas; alianza kuzunguka pale akiomba watu wamwongoze kwa kumshika mkono.
الحال دست خداوند بر توست و کور شده، آفتاب را تا مدتی نخواهی دید.» که در همان ساعت، غشاوه وتاریکی او را فرو گرفت و دور زده، راهنمایی طلب می‌کرد.۱۱
12 Baada ya liwali kuona kilichotokea, aliamini, kwa sababu alishangazwa kwa mafundisho kuhusu Bwana.
پس والی چون آن ماجرا را دید، از تعلیم خداوند متحیر شده، ایمان آورد.۱۲
13 Sasa Paulo na rafiki zake walisafiri majini kutoka Pafo na wakafika Perge katika Pamfilia. Lakini Yohana aliwaacha na kurudi Yerusalemu.
آنگاه پولس و رفقایش از پافس به کشتی سوار شده، به پرجه پمفلیه آمدند. اما یوحنا ازایشان جدا شده، به اورشلیم برگشت.۱۳
14 Paulo na rafiki yake walisafiri kutoka Perge na wakafika Antiokia ya Pisidia. Huko walikwenda katika sinagogi siku ya Sabato na kukaa chini.
و ایشان از پرجه عبور نموده، به انطاکیه پیسیدیه آمدند ودر روز سبت به کنیسه درآمده، بنشستند.۱۴
15 Baada ya kusoma sheria na manabii, viongozi wa sinagogi aliwatumia ujumbe wakisema, “Ndugu, kama mnao ujumbe wa kutia moyo watu hapa, semeni”
وبعد از تلاوت تورات و صحف انبیا، روسای کنیسه نزد ایشان فرستاده، گفتند: «ای برادران عزیز، اگر کلامی نصیحت‌آمیز برای قوم دارید، بگویید.»۱۵
16 Kwa hiyo Paulo alisimama na kuwapungia mkono; alisema, “Wanaume wa Israeli na enyi mnao mtii Mungu, sikilizeni.
پس پولس برپا ایستاده، به‌دست خوداشاره کرده، گفت: «ای مردان اسرائیلی وخداترسان، گوش دهید!۱۶
17 Mungu wa hawa watu wa Israeli aliwachagua baba zetu na kuwafanya watu wengi walipokaa katika nchi Misri, na kwa mkono wake kuinuliwa aliwaongoza nje yake.
خدای این قوم، اسرائیل، پدران ما را برگزیده، قوم را در غربت ایشان در زمین مصر سرافراز نمود و ایشان را به بازوی بلند از آنجا بیرون آورد؛۱۷
18 Kwa miaka arobaini aliwavumilia katika jangwa.
و قریب به چهل سال در بیابان متحمل حرکات ایشان می‌بود.۱۸
19 Baada ya kuyaharibu mataifa saba katika nchi ya Kaanani, aliwapa watu wetu nchi yao kwa urithi.
و هفت طایفه را در زمین کنعان هلاک کرده، زمین آنها را میراث ایشان ساخت تا قریب چهار صد و پنجاه سال.۱۹
20 Matukio haya yote yalitokea zaidi ya miaka mia nne na hamsini. Baada ya vitu hivi vyote, Mungu aliwapa waamuzi mpaka Samweli Nabii.
و بعد از آن بدیشان داوران داد تا زمان سموئیل نبی.۲۰
21 Baada ya haya, watu waliomba mfalme, hivyo Mungu aliwapa Sauli mwana wa Kishi, mtu wa kabila la Benjamini, kuwa mfalme kwa miaka arobaini.
و از آن وقت پادشاهی خواستند و خدا شاول بن قیس را ازسبط بنیامین تا چهل سال به ایشان داد.۲۱
22 Kisha baada ya Mungu kumuondoa katika ufalme, alimwinua Daudi kuwa mfalme wao. Ilikuwa ni kuhusu Daudi kwamba Mungu alisema, 'Nimempata Daudi mwana wa Yese kuwa mtu apendezwaye na moyo wangu; ambaye atafanya kila kitu nipendacho.'
پس اورا از میان برداشته، داود را برانگیخت تا پادشاه ایشان شود و در حق او شهادت داد که “داود بن یسی را مرغوب دل خود یافته‌ام که به تمامی اراده من عمل خواهد کرد.”۲۲
23 Kutoka kwenye ukoo wa mtu huyu Mungu ameiletea Israeli mkombozi, Yesu, kama alivyoahidi kufanya.
و از ذریت او خدابرحسب وعده، برای اسرائیل نجات‌دهنده‌ای یعنی عیسی را آورد،۲۳
24 Hili lilianza kutokea, kabla ya Yesu kuja, Yohana kwanza alitangaza ubatizo wa toba kwa watu wote wa Israeli.
چون یحیی پیش ازآمدن او تمام قوم اسرائیل را به تعمید توبه موعظه نموده بود.۲۴
25 Naye Yohana alipokuwa akimalizia kazi yake, alisema, 'Mwanifikiri mimi ni nani? mimi si yule. Lakini sikilizeni, ajaye nyuma yangu, sisitahili kulegeza viatu vya miguu yake.'
پس چون یحیی دوره خودرا به پایان برد، گفت: “مرا که می‌پندارید؟ من اونیستم، لکن اینک بعد از من کسی می‌آید که لایق گشادن نعلین او نیم.”۲۵
26 Ndugu, watoto wa ukoo wa Abrahamu, na wale ambao kati yenu mnamwabudu Mungu, ni kwa ajili yetu kwamba ujumbe huu wa ukombozi umetumwa.
«ای برادران عزیز و ابنای آل ابراهیم وهرکه از شما خداترس باشد، مر شما را کلام این نجات فرستاده شد.۲۶
27 Kwa wale waishio Yerusalemu, na watawala wao, hawakumtambua kwa uhalisia, na wala hawakuutambua ujumbe wa manabii ambao husomwa kila Sabato; kwa hiyo walitimiliza ujumbe wa manabii kwa kumhukumu kifo Yesu.
زیرا سکنه اورشلیم وروسای ایشان، چونکه نه او را شناختند و نه آوازهای انبیا را که هر سبت خوانده می‌شود، بروی فتوی دادند و آنها را به اتمام رسانیدند.۲۷
28 Japokuwa hawakupata sababu nzuri kwa kifo ndani yake, walimwomba Pilato amuue.
وهر‌چند هیچ علت قتل در وی نیافتند، از پیلاطس خواهش کردند که او کشته شود.۲۸
29 Walipomaliza mambo yote yaliyoandikwa kuhusu yeye, walimshusha kutoka mtini na kumlaza kaburini.
پس چون آنچه درباره وی نوشته شده بود تمام کردند، او رااز صلیب پایین آورده، به قبر سپردند.۲۹
30 Lakini Mungu alimfufua kutoka wafu.
لکن خدااو را از مردگان برخیزانید.۳۰
31 Alionekana kwa siku nyingi kwa wale waliokwenda pamoja naye kutoka Galilaya kuelekea Yerusalemu. Watu hawa sasa ni mashahidi wa watu.
و او روزهای بسیار ظاهر شد بر آنانی که همراه او از جلیل به اورشلیم آمده بودند که الحال نزد قوم شهود او می‌باشند.۳۱
32 Hivyo tunawaletea habari njema kuhusu ahadi walizopewa mababu zetu.
پس ما به شما بشارت می‌دهیم، بدان وعده‌ای که به پدران ما داده شد،۳۲
33 Mungu aliweka ahadi hizi kwetu, watoto wao, katika hilo alimfufua Yesu na kumrudisha tena katika uhai. Hili pia liliandikwa katika Zaburi ya pili: 'Wewe ni Mwanangu, leo nimekuwa Baba yako'
که خدا آن را به ما که فرزندان ایشان می‌باشیم وفا کرد، وقتی که عیسی را برانگیخت، چنانکه در زبور دوم مکتوب است که “تو پسر من هستی، من امروز تو را تولیدنمودم.”۳۳
34 Pia kuhusu ukweli ni kwamba alimfufua kutoka wafu ili kwamba mwili wake usiharibike, ameongea hivi: 'Nitakupatia utakatifu na baraka halisi za Daudi'
و در آنکه او را از مردگان برخیزانید تادیگر هرگز راجع به فساد نشود چنین گفت که “به برکات قدوس و امین داود برای شما وفا خواهم کرد.”۳۴
35 Hii ndiyo sababu kasema pia katika zaburi nyingine, 'Hautaruhusu mtakatifu wako kuuona uozo.'
بنابراین در جایی دیگر نیز می‌گوید: “توقدوس خود را نخواهی گذاشت که فساد را بیند.”۳۵
36 Kwa kuwa baada ya Daudi kutumikia mapenzi ya Mungu katika kizazi chake, alilala, alilazwa pamoja na baba zake, na aliuona uaharibifu,
زیرا که داود چونکه در زمان خود اراده خدا راخدمت کرده بود، به خفت و به پدران خود ملحق شده، فساد را دید.۳۶
37 Lakini aliyefufuliwa na Mungu hakuuona uharibifu.
لیکن آن کس که خدا او رابرانگیخت، فساد را ندید.۳۷
38 Hivyo na ifahamike kwenu, ndugu, kupitia mtu huyu, msamaha wa dhambi umehubiriwa.
«پس‌ای برادران عزیز، شما را معلوم باد که به وساطت او به شما از آمرزش گناهان اعلام می‌شود.۳۸
39 Kwa yeye kila aaminiye anahesabiwa haki na mambo yote ambayo sheria ya Musa isingewapatia haki.
و به وسیله او هر‌که ایمان آورد، عادل شمرده می‌شود، از هر چیزی که به شریعت موسی نتوانستید عادل شمرده شوید.۳۹
40 Hivyo basi kuweni waangalifu kwamba kitu walichokiongelea manabii kisitokee kwenu:
پس احتیاط کنید، مبادا آنچه در صحف انبیامکتوب است، بر شما واقع شود،۴۰
41 'Tazama, enyi mnaodharau, na mkashangae na mkaangamie; kwa vile nafanya kazi katika siku zenu, Kazi ambayo hamwezi kuiamini, hata kama mtu atawaeleza.”
که “ای حقیرشمارندگان، ملاحظه کنید و تعجب نمایید و هلاک شوید زیرا که من عملی را درایام شما پدید آرم، عملی که هر‌چند کسی شما را از آن اعلام نماید، تصدیق نخواهیدکرد.»۴۱
42 Wakati Paulo na Barnaba walipoondoka, watu wakawaomba waongee maneno haya siku ya Sabato ijayo.
پس چون از کنیسه بیرون می‌رفتند، خواهش نمودند که در سبت آینده هم این سخنان را بدیشان بازگویند.۴۲
43 Wakati mkutano wa sinagogi ulipokwisha, Wayahudi wengi na waongofu thabiti waliwafuata Paulo na Barnaba, ambao waliongea nao na waliwahimiza waendelee katika neema ya Mungu.
و چون اهل کنیسه متفرق شدند، بسیاری از یهودیان و جدیدان خداپرست از عقب پولس و برنابا افتادند؛ و آن دو نفر به ایشان سخن گفته، ترغیب می‌نمودند که به فیض خداثابت باشید.۴۳
44 Sabato iliyofuata, karibu mji mzima ulikusanyika kusikia neno la Mungu.
اما در سبت دیگر قریب به تمامی شهر فراهم شدند تا کلام خدا را بشنوند.۴۴
45 Wayahudi walipoona makutano, walijawa na wivu na kuongea maneno yaliyopinga vitu vilivyosemwa na Paulo na walimtukana.
ولی چون یهود ازدحام خلق را دیدند، از حسد پرگشتند و کفر گفته، با سخنان پولس مخالفت کردند.۴۵
46 Lakini Paulo na Barnaba waliongea kwa ujasiri na kusema, “Ilikuwa ni muhimu kwamba neno la Mungu liongelewe kwanza kwenu. Kwa kuwa mnalisukumia mbali kutoka kwenu nakujiona kuwa hamkusitahili uzima wa milele, angalieni tutawageukia Mataifa. (aiōnios g166)
آنگاه پولس و برنابا دلیر شده، گفتند: «واجب بود کلام خدا نخست به شما القا شود. لیکن چون آن را رد کردید و خود را ناشایسته حیات جاودانی شمردید، همانا به سوی امت هاتوجه نماییم. (aiōnios g166)۴۶
47 Kama ambavyo Bwana ametuamuru, akisema, 'Nimewaweka ninyi kama nuru kwa watu wa mataifa, kwamba mlete wokovu kwa pande zote za dunia.”
زیرا خداوند به ما چنین امرفرمود که “تو را نور امت‌ها ساختم تا الی اقصای زمین منشا نجات باشی.”»۴۷
48 Mataifa waliposikia hili, walifurahi na kulisifu neno la Bwana. Wengi waliochaguliwa kwa uzima wa milele waliamini. (aiōnios g166)
چون امت‌ها این راشنیدند، شادخاطر شده، کلام خداوند را تمجیدنمودند و آنانی که برای حیات جاودانی مقرربودند، ایمان آوردند. (aiōnios g166)۴۸
49 Neno la Bwana lilienea nchi yote.
و کلام خدا در تمام آن نواحی منتشرگشت.۴۹
50 Lakini wayahudi waliwasihi waliojitoa na wanawake muhimu, pia na viongozi wa mji. Haya yalichochea mateso dhidi ya Paulo na Barnaba na waliwatupa nje ya mipaka ya mji.
اما یهودیان چند زن دیندار و متشخص و اکابر شهر را بشورانیدند و ایشان را به زحمت رسانیدن بر پولس و برنابا تحریض نموده، ایشان را از حدود خود بیرون کردند.۵۰
51 Lakini Paulo na Barnaba walikung'uta vumbi ya miguu yao. Kisha walienda kwenye mji wa Ikonia.
و ایشان خاک پایهای خود را بر ایشان افشانده، به ایقونیه آمدند.۵۱
52 Na wanafunzi walijawa na furaha pamoja na Roho mtakatifu.
و شاگردان پر از خوشی و روح‌القدس گردیدند.۵۲

< Matendo 13 >