< Matendo 13 >

1 Sasa katika kanisa la Antiokia, palikuwa na baadhi ya manabii na walimu. Walikua Barnaba, Simeoni (aliyeitwa Nigeri). Lukio wa Kirene, Manaeni( ndugu asiye wa damu wa Herode kiongozi wa mkoa), na Sauli.
Irezao o mpitoky naho mpañòke mpiamy Fivori’ i Antiokiaio: i Barna­basy naho i Simeona natao Nigera, le i Losio nte-Kirenìa naho i Menahema (i niara-nibey amy Heroda mpanjakay) vaho i Saole.
2 Walipokuwa wakimwabudu Bwana na kufunga, Roho Mtakatifu alisema, “Niteengeeni pembeni Barnaba na Sauli, waifanye kazi niliyo waitia.”
Ie nitalaho amy Talè naho nililitse, le hoe i Arofo Masiñey: Aviho ho ahy t’i Barnabasy naho i Saole ho ami’ty fitoroñañe ikanjiako iareo.
3 Baada ya Kanisa kufunga, kuomba, na kuweka mikono yao juu ya watu hawa, wakawaacha waende.
Aa ie nililitse naho niloloke, le nampitongoàñe fitàñe vaho nampionjoneñe mb’eo.
4 Kwa hiyo Barnabas na Sauli walimtii Roho Mtakatifu na walitelemka kuelekea Seleukia; Kutoka huko walisafiri baharini kuelekea kisiwa cha Kipro.
Amy nañiraha’ i Arofo Masiñey, le nizotso mb’e Seleokia mb’eo iereo vaho nijon-dakañe mb’e Kiprosy.
5 Walipokuwa katika mji wa Salami, walilitangaza neno la Mungu katika Masinagogi ya Wayahudi. Pia walikuwa pamoja na Yohana Marko kama msaidizi wao.
Ie toly e Salamisy le nitaroñe i tsaran’ Añaharey amo fitontona’ o Jiosio. Tam’ iereo ka t’i Jaona ho mpiatrake.
6 Walipokwenda katika kisiwa chote mpaka Pafo, walikuta mtu fulani mchawi, Myahudi nabii wa uongo, ambaye jina lake lilikuwa Bar Yesu.
Ie niranga i toko-nosey naho nandoake Pafo añe, le nifanjò ami’ty mpañorik’ andro, mpitoki-vìlañe Jiosy atao Bar-Iesosy,
7 Mchawi huyu alishirikiana na Liwali Sergio Paulus, aliyekuwa mtu mwenye akili. Mtu huyu aliwaalika Barnaba na Sauli, kwa sababu alihitaji kusikia neno la Mungu.
nire­ketse amy Sergio Paolo ragova, ondaty mahilala; kinanji’ indatiy t’i Barnabasy naho i Saole fa nipay ty hijanjiñe o tsaran’ Añahareo.
8 Lakini Elima “yule mchawi” (hivyo ndivyo jina lake lilivyo tafsiriwa) aliwapinga; alijaribu kumgeuza yule liwali atoke kwenye imani.
Fe natreatrè i Elima ambiasa (añara’e izay) ie nipay ty hampiamboho i ragovay tsy hiantoke.
9 Lakini Sauli aliyeitwa Paulo, alikuwa amejazwa na Roho Mtakatikfu, akamkazia macho
Nilifotse i Arofo Masiñey t’i Saole, i natao Paoliy ka, le niharefe’e t’i Elima
10 na akasema “Ewe mwana wa Ibilisi, umejazwa na aina zote za udanganyifu na udhaifu. Wewe ni adui wa kila aina ya haki. Hautakoma kuzigeuza njia za Bwana, zilizonyooka, je utaweza?
vaho nanoa’e ty hoe: Ty pea ze fonga famañahiañe naho fìtake, ana’ i Ratiy tìa! rafelahi’ ze atao havañonañe! Tsy mete apo’o hao ty fampikelohañ’ o lalam-banta’ i Talèo?
11 Sasa tazama, mkono wa Bwana upo juu yako, na utakuwa kipofu. Hautaliona Jua kwa muda” mara moja ukungu na giza vilianguka juu ya Elimas; alianza kuzunguka pale akiomba watu wamwongoze kwa kumshika mkono.
Ingo te ama’o henaneo ty fità’ i Talè, le ho goa, tsy hahaisake i àndroy heike. Aa le nivotrak’ ama’e ami’ty manao zao ty zono naho ieñe vaho nitoantoañe mb’eo re nipay ty hitarik’ aze am-pitàñe.
12 Baada ya liwali kuona kilichotokea, aliamini, kwa sababu alishangazwa kwa mafundisho kuhusu Bwana.
Ie nioni’ i ragovay i nanoeñey, le niantoke, toe nahavereñ’ aze ty fañòhañe i Talè.
13 Sasa Paulo na rafiki zake walisafiri majini kutoka Pafo na wakafika Perge katika Pamfilia. Lakini Yohana aliwaacha na kurudi Yerusalemu.
Aa le nijon-dakañe boake Pafo t’i Paoly naho o rañe’eo nimb’e Perga’ i Pamfilia mb’eo, fe nisitak’ am’iereo t’i Jaona nimpoly mb’e Ierosaleme añe.
14 Paulo na rafiki yake walisafiri kutoka Perge na wakafika Antiokia ya Pisidia. Huko walikwenda katika sinagogi siku ya Sabato na kukaa chini.
Ie hirike Perga le nandoak’ Antiokia’ i Pisidia, naho niheo am-pitontonañ’ ao ami’ty andro Sabotse vaho niambesatse.
15 Baada ya kusoma sheria na manabii, viongozi wa sinagogi aliwatumia ujumbe wakisema, “Ndugu, kama mnao ujumbe wa kutia moyo watu hapa, semeni”
Ie nitampetse ty famakiañe i Hake naho o Mpitokio, le nampanohine’ o mpifehe’ i fitontonañeio ami’ty hoe: O roahalahio, hera aman-tsara mahaosike ondatio, le milañonà.
16 Kwa hiyo Paulo alisimama na kuwapungia mkono; alisema, “Wanaume wa Israeli na enyi mnao mtii Mungu, sikilizeni.
Niongake t’i Paoly nanondrotondro fitàñe le nanao ty hoe: Ry nte-Israeleo naho ze mpañeveñe aman’ Añahareo, mijanjiña!
17 Mungu wa hawa watu wa Israeli aliwachagua baba zetu na kuwafanya watu wengi walipokaa katika nchi Misri, na kwa mkono wake kuinuliwa aliwaongoza nje yake.
Jinobon’ Añahare’ ondati’ Israele retoañe o roaen-tikañeo, le nonjone’e ondatio t’ie nitaveañe ho renetane an-tane Egipte ao, vaho am-pionjonam-pità’e ty niaoloa’e iareo nienga i taney;
18 Kwa miaka arobaini aliwavumilia katika jangwa.
Miha-efa-polo taoñe ty nañantoàña’e am-patrambey añe.
19 Baada ya kuyaharibu mataifa saba katika nchi ya Kaanani, aliwapa watu wetu nchi yao kwa urithi.
Ie rineba’e ty fifeheañe fito e Kanana ao, le natolo’e iareo i tane’ iareoy ho lova va’e efajato taoñe tsy limampolo.
20 Matukio haya yote yalitokea zaidi ya miaka mia nne na hamsini. Baada ya vitu hivi vyote, Mungu aliwapa waamuzi mpaka Samweli Nabii.
Añe i nitaliliañey, le tinolo’e mpizaka ampara’ i Samoela mpitoky,
21 Baada ya haya, watu waliomba mfalme, hivyo Mungu aliwapa Sauli mwana wa Kishi, mtu wa kabila la Benjamini, kuwa mfalme kwa miaka arobaini.
ie nihalaly mpanjaka iereo, le tinolo’e i Saole ana’ i Kisy, afe’ i Benjamina, efapolo taoñe.
22 Kisha baada ya Mungu kumuondoa katika ufalme, alimwinua Daudi kuwa mfalme wao. Ilikuwa ni kuhusu Daudi kwamba Mungu alisema, 'Nimempata Daudi mwana wa Yese kuwa mtu apendezwaye na moyo wangu; ambaye atafanya kila kitu nipendacho.'
Ie nasinta’e, le noriza’e t’i Davide ho mpanjaka’ iareo. Le hoe ty nitaroñe’e: Nitreako t’i Davide ana’ Iesesày, ondaty mañori­ke ty troko; hene hanoe’e o satrikoo.
23 Kutoka kwenye ukoo wa mtu huyu Mungu ameiletea Israeli mkombozi, Yesu, kama alivyoahidi kufanya.
Boak’amo tarira’ indatio, ty amy tsara’ey, ty nanesean’ Añahare am’ Israele ty Mpandrombake, Iesoà.
24 Hili lilianza kutokea, kabla ya Yesu kuja, Yohana kwanza alitangaza ubatizo wa toba kwa watu wote wa Israeli.
Taolo’ ty fiavi’e le nitseize’ i Jaona ty filiporam-pisolohoañe ho amy ze hene ondati’ Israele,
25 Naye Yohana alipokuwa akimalizia kazi yake, alisema, 'Mwanifikiri mimi ni nani? mimi si yule. Lakini sikilizeni, ajaye nyuma yangu, sisitahili kulegeza viatu vya miguu yake.'
aa ie fa ho niheneke ty fitoroña’ i Jaona le nainai’e nanoa’e ty hoe: Atao’ areo ho ia v’iraho? Tsy ie iraho. Hehe t’ie tonjohize’ ty tsy mañeva ahy hampidraitse o hana’eo.
26 Ndugu, watoto wa ukoo wa Abrahamu, na wale ambao kati yenu mnamwabudu Mungu, ni kwa ajili yetu kwamba ujumbe huu wa ukombozi umetumwa.
O rolongo, ana’ o tarira’ i Abraàmeo, naho ry mpañeveñe aman’ Añahare ama’ areo, ie nampihitrifañe o entam-pandrombahañe zao.
27 Kwa wale waishio Yerusalemu, na watawala wao, hawakumtambua kwa uhalisia, na wala hawakuutambua ujumbe wa manabii ambao husomwa kila Sabato; kwa hiyo walitimiliza ujumbe wa manabii kwa kumhukumu kifo Yesu.
Toe nihenefa’ o mpimoneñe e Ierosalemeo naho o mpifehe’eo, ie tsy nahafohiñ’ aze ndra ty talili’ o Mpitoky vakieñe boa-tSabatao, fe nihenefa’iareo ami’ty namàra’ iareo aze.
28 Japokuwa hawakupata sababu nzuri kwa kifo ndani yake, walimwomba Pilato amuue.
Aa ndra te tsy nioniñe ty tali’ ty hañohofan-doza ama’e, mbe nihalalie’ iereo amy Pilato ty hamo­noañe aze.
29 Walipomaliza mambo yote yaliyoandikwa kuhusu yeye, walimshusha kutoka mtini na kumlaza kaburini.
Ie hene nifonire’ iareo ze pinatetse ty ama’e, le nazotso amy hataey vaho nirohoteñe an-kibory ao,
30 Lakini Mungu alimfufua kutoka wafu.
f’ie natroan’ Añahare amy havilasiy,
31 Alionekana kwa siku nyingi kwa wale waliokwenda pamoja naye kutoka Galilaya kuelekea Yerusalemu. Watu hawa sasa ni mashahidi wa watu.
vaho nahaoniñe aze andro maro o nindre lia ama’e hirike Galilia pake Ierosaleme añeo. Iereo ro valolombeloñe am’ondatio henaneo.
32 Hivyo tunawaletea habari njema kuhusu ahadi walizopewa mababu zetu.
Taroñe’ay ama’ areo i Talili-soa nampitamañe an-droaentikañey
33 Mungu aliweka ahadi hizi kwetu, watoto wao, katika hilo alimfufua Yesu na kumrudisha tena katika uhai. Hili pia liliandikwa katika Zaburi ya pili: 'Wewe ni Mwanangu, leo nimekuwa Baba yako'
t’ie nihenefen’ Añahare aman-tika ana’ iareo, amy nampitroara’e Iesoày. Ie i pinatetse amy Sabo faharoeiy, ty hoe: Anako irehe; Anindroany ty nisamahako azo.
34 Pia kuhusu ukweli ni kwamba alimfufua kutoka wafu ili kwamba mwili wake usiharibike, ameongea hivi: 'Nitakupatia utakatifu na baraka halisi za Daudi'
Ty hatò’ t’ie nampitroare’e amy havilasiy tsy hibalike mb’am-pihomahañe ao ka, ro tsi­nara ami’ty hoe: Hatoloko azo o fitahiañe vantañe naho to’ i Davideo.
35 Hii ndiyo sababu kasema pia katika zaburi nyingine, 'Hautaruhusu mtakatifu wako kuuona uozo.'
Hoe ka ty taroñe’ ty ila’e: Ho tana’o tsy hihomake i Masi’oy.
36 Kwa kuwa baada ya Daudi kutumikia mapenzi ya Mungu katika kizazi chake, alilala, alilazwa pamoja na baba zake, na aliuona uaharibifu,
I Davide, ie fa nitoroñe o mpiharo-nono ama’eo amy natoron’ Añahare azey, le nirotse naho nirohoteñe aman-droae’e ao t’ie nihomake.
37 Lakini aliyefufuliwa na Mungu hakuuona uharibifu.
Fe tsy nimomoke i natroan’ Añahare amy havilasiy.
38 Hivyo na ifahamike kwenu, ndugu, kupitia mtu huyu, msamaha wa dhambi umehubiriwa.
Aa le mahafohina ry longo, te indatiy ro itaroñañe ty fisolohoañe amo tahiñeo,
39 Kwa yeye kila aaminiye anahesabiwa haki na mambo yote ambayo sheria ya Musa isingewapatia haki.
le ie ro añahàñe o mpiatoo amy ze hene raha tsy nilefe’ i Hà’ i Mosèy hahàñe.
40 Hivyo basi kuweni waangalifu kwamba kitu walichokiongelea manabii kisitokee kwenu:
Mitaoa arè, kera hizò i nisaontsieñe amo Mpitokio ty hoe:
41 'Tazama, enyi mnaodharau, na mkashangae na mkaangamie; kwa vile nafanya kazi katika siku zenu, Kazi ambayo hamwezi kuiamini, hata kama mtu atawaeleza.”
Oniño ry mpanivetive, mañaraharà vaho mikoromaha, fa hitoloñe am-pitoloñañe amo andro’areoo iraho, fitoloñañe tsy hiantofa’ondaty, ndra te eo ty hampalange aze ama’areo.
42 Wakati Paulo na Barnaba walipoondoka, watu wakawaomba waongee maneno haya siku ya Sabato ijayo.
Aa ie niakatse o Jiosio, le nihalalie’ ondatio te ho lañoneñe ami’ty Sabotse here’e i tsara zay.
43 Wakati mkutano wa sinagogi ulipokwisha, Wayahudi wengi na waongofu thabiti waliwafuata Paulo na Barnaba, ambao waliongea nao na waliwahimiza waendelee katika neema ya Mungu.
Ie nigadoñe i fivoriy, maro amo Jiosio naho amo mpitalaho nivalike ho Jiosio ty nañorike i Paoly naho i Barnabasy ze nitaroñe am’iereo, nañosike iareo hifahatse amy hasoan’ Añaharey.
44 Sabato iliyofuata, karibu mji mzima ulikusanyika kusikia neno la Mungu.
Ie amy Sabata here’ey, didý tsy i rova iabiy ty nifanontoñe hijanjiñe o tsaran’ Añahareo.
45 Wayahudi walipoona makutano, walijawa na wivu na kuongea maneno yaliyopinga vitu vilivyosemwa na Paulo na walimtukana.
Aa naho niisa’ o Jiosio i màroy, le niliforem-parahy vaho nili­ere’ iereo o raha nisaontsie’ i Paolio.
46 Lakini Paulo na Barnaba waliongea kwa ujasiri na kusema, “Ilikuwa ni muhimu kwamba neno la Mungu liongelewe kwanza kwenu. Kwa kuwa mnalisukumia mbali kutoka kwenu nakujiona kuwa hamkusitahili uzima wa milele, angalieni tutawageukia Mataifa. (aiōnios g166)
Nanoiñe ty hoe am-pahavaniañe t’i Paoly naho i Barnabasy: Tsy mete tsy nitaroña’ay hey i tsaran’ Añaharey, fe kanao nikihoe’ areo le nizaka-vatañe t’ie tsy mañeva i haveloñe nainai’ey, inao arè! mitolik’ amo kilakila ondatio zahay (aiōnios g166)
47 Kama ambavyo Bwana ametuamuru, akisema, 'Nimewaweka ninyi kama nuru kwa watu wa mataifa, kwamba mlete wokovu kwa pande zote za dunia.”
amy nandilia’ i Talè anaiy, ty hoe: Nanoeko hazavàñe amo kilakila ‘ndatio irehe, hinday fandrombahañe sikal’ añ’ olo-ty tane toy añe.
48 Mataifa waliposikia hili, walifurahi na kulisifu neno la Bwana. Wengi waliochaguliwa kwa uzima wa milele waliamini. (aiōnios g166)
Ie jinanji’ o kilakila ondatio izay le niehake vaho niasy ty tsara’ Iehovà; vaho hene niantoke ze tinendre ho amy haveloñe nainai’ey. (aiōnios g166)
49 Neno la Bwana lilienea nchi yote.
Le niboele nahatsitsike i taney ty tsara’ Iehovà.
50 Lakini wayahudi waliwasihi waliojitoa na wanawake muhimu, pia na viongozi wa mji. Haya yalichochea mateso dhidi ya Paulo na Barnaba na waliwatupa nje ya mipaka ya mji.
Fe sinigì’ o Tehodao o rakemba bey mpitalahoo naho ondaty bei’ i rovaio, le trinobo’ iereo fampisoañañe amy Paoly naho i Barnabasy vaho rinoa’ iereo amy taney.
51 Lakini Paulo na Barnaba walikung'uta vumbi ya miguu yao. Kisha walienda kwenye mji wa Ikonia.
Aa le nabò’ iereo ama’e ty lembok’ am-pandia’ iareo naho nimb’e Ikonioma añe,
52 Na wanafunzi walijawa na furaha pamoja na Roho mtakatifu.
vaho nilifotse ty ehake naho i Arofo Masiñey o mpiòkeo.

< Matendo 13 >