< Matendo 12 >
1 Wakati huo mfalme Herode akanyosha mkono wake kwa baadhi ya wale wanaotoka kwenye kusanyiko ili kuwatesa.
Tehdy začal pronásledovat církev také král Herodes.
2 Akamwuua Yakobo nduguye Yohana kwa upanga.
Apoštola Jakuba, bratra Janova, dal popravit mečem.
3 Baada ya kuona kuwa inawapendeza Wayahudi, akamkamata na Petro tena. Hii ilikuwa wakati wa mikate isiyochachwa.
Když viděl, jak se tím zalíbil židovským předákům, dal o Velikonocích zatknout i Petra.
4 Alipomkamata, akamweka gerezani na akaweka vikosi vinne vya askari ili kumlinda, alikuwa akitarajia kumpeleka kwa watu baada ya Pasaka.
Vsadil ho do žaláře, který hlídalo šestnáct vojáků. Střídali se po čtveřicích; z toho dva strážili přede dveřmi a dva byli stále uvnitř s Petrem, který měl s každým z nich spojenu jednu ruku řetězem.
5 Petro akawekwa gerezani, lakini maombi yakafanywa kwa bidii na kusanyiko kwa ajili yake kwa Mungu.
Tak pečlivě dal král svého vězně hlídat a po Velikonocích ho chtěl okázale soudit. Po celou tu dobu se církev za Petra nepřetržitě modlila.
6 Siku kabla Herode hajaenda kumtoa, Usiku huo Petro alikuwa amelala katikati ya maaskari wawili, akiwa amefungwa na minyororo miwili, na walinzi mbele ya mlango walikuwa wakilinda gereza.
V noci před chystaným procesem, když Petr spal mezi svými strážci, rýpl ho někdo do boku a probudil ho.
7 Tazama, malaika wa Bwana ghafla akamtokea na nuru ikang'aa ndani. Akampiga Petro ubavuni na kumwamsha akisema, “Amka haraka.”ndipo minyororo aliyokuwa amefungwa ikafunguka kutoka mikononi mwake.
Petr vidí, že kobka je plná světla a řetězy z jeho rukou dole. Před ním stojí Boží anděl a říká: „Rychle, vstávej, oblec se a obuj!“Petr poslechne a dostává další příkaz: „Vezmi si plášť a pojď za mnou!“
8 Malaika akamwambia, “Vaa nguo zako na vaa viatu vyako.” Petro akafanya hivyo. Malaika akamwambia, “Vaa vazi lako na unifuate.”
9 Hivyo Petro akamfuata Malaika na akatoka nje. Hakuamini kilichofanywa na malaika kama ni cha kweli. Alidhani anaona maono.
Anděl jde napřed, Petr ho následuje, ale neví, zda bdí či sní.
10 Baada ya kupita lindo la kwanza na la pili, wakafika kwenye geti la chuma la kuingilia kwenda mjini, likafunguka lenyewe kwa ajili yao. Wakatoka nje wakashuka kwenye mtaa, mara Malaika akamwacha.
Minou bez potíží vnitřní i vnější stráž a už přicházejí k železné hlavní bráně. Ta se před nimi sama otevírá! Vycházejí do ulice, projdou ji a tu se anděl Petrovi ztrácí.
11 Petro alipojitambua, akasema, “Sasa nimeamini kuwa Bwana alimtuma Malaika wake ili kunitoa katika mikono ya Herode, na kwa matarajio ya watu wote wa uyahudi.”
Tehdy jako by se Petr probral ze sna; stál na ulici a teprve si plně uvědomil, že to Pán poslal svého anděla, vytrhl ho z Herodových rukou a tak zmařil plány Židů.
12 Baada ya kujua haya, akaja kwenye nyumba ya Mariamu mama yake Yohana ambaye ni Marko; Wakristo wengi walikusanyika wakiomba.
Když si to Petr ujasnil, spěchal do domu Marie, matky Jana Marka. Tam se právě sešli křesťané a modlili se.
13 Alipobisha kwenye mlango wa kizuizi, mtumishi mmoja msichana anayeitwa Roda akaja kufungua.
Petr zabušil na dveře a služebná jménem Rodé se přišla zeptat, kdo to je.
14 Alipotambua ni sauti ya Petro, kwa furaha akashindwa kuufungua mlango; badala yake, akakimbia ndani ya chumba; na kuwajulisha kuwa Petro amesimama mbele ya Mlango.
Když se Petr ohlásil, poznala ho Rodé po hlase, ale samou radostí zapomněla otevřít a běžela zvěstovat dovnitř, kdo to stojí u dveří.
15 Hivyo, Wakasema kwake, “Wewe ni mwendawazimu” lakini alikazia kuwa ni kweli ni yeye. Wakasema “Huyo ni malaika wake.”
Nikdo jí nechtěl uvěřit: „To není možné, tys to popletla!“Rodé však trvala na svém: „Poznala jsem přece Petrův hlas!“Usoudili tedy, že apoštol byl zabit a že přišel jeho anděl.
16 Lakini Petro aliendelea kubisha, na walipofungua mlango, wakamwona na wakashangaa sana. Petro akawanyamazisha kwa mkono kimya kimya na akawaambia jinsi Bwana alivyomtoa kutoka Gerezani. akasema,
Vtom však Petr zaklepal znovu. Otevřeli a celí užaslí uvítali Petra živého.
17 “Wajulishe haya mambo Yakobo na ndugu zake.” Kisha akaondoka akaenda sehemu nyingine.
Když je konečně utišil, vypravoval jim, jak ho Pán vyvedl ze žaláře. Ještě je požádal, aby podali zprávu Ježíšovu bratru Jakubovi a ostatním křesťanům; pak odešel, aby se ukryl.
18 Kulipokuwa mchana, kukawa na huzuni kubwa kati ya askari, kuhusiana na kilichotokea kwa Petro.
Ráno vypukl mezi strážci poplach: Kam se poděl vězeň?
19 Baada ya Herode kumtafuta na hakumwona akawauliza walinzi na akaamuru wauawe. Akaenda kutoka uyahudi mpaka Kaisaria na kukaa huko.
Herodes ho dal hledat, ale marně. Vyslýchal vojáky, a když se od nich nic nedozvěděl, dal je popravit.
20 Herode alikuwa na hasira juu ya watu wa Tiro na Sidoni. Wakaenda kwa pamoja kwake. Wakawa na urafiki na Blasto msaidizi wa mfalme, ili awasaidie. Kisha wakaomba amani, kwa sababu nchi yao ilipokea chakula kutoka katika nchi ya mfalme.
Záhy nato se Herodes odebral z Judska do Césareje, kde se nějaký čas zdržel. Měl tehdy spory s obyvateli přístavů Týr a Sidón. Ti se nakonec zalekli jeho výhrůžek a chtěli raději uzavřít příměří, protože byli na Herodově území hospodářsky závislí. Poslali společného vyslance a úplatkem získali přízeň předního králova dvořana Blasta.
21 Siku iliyokusudiwa Herode alivaa mavazi ya kifalme na kukaa kwenye kiti chake cha kifalme, na akawahutubia.
V den audience usedl Herodes ve slavnostním rouchu na trůn a přednesl řeč.
22 Watu wakapiga kelele, “Hii ni sauti ya mungu wala si sauti ya mwanadamu!”
Lid začal provolávat: „Nemluvil člověk, to promluvil bůh!“
23 Mara ghafla malaika akampiga, kwa sababu alikuwa hakumpa Mungu utukufu; akaliwa na chango na akafa
Herodes tu božskou poctu přijímal jako samozřejmost, ale náhle se zhroutil; Bůh ho ranil pro jeho pýchu. Zemřel pak velice bídně, plný červů.
24 Lakini neno la Mungu likakua na kusambaa.
Navzdory pronásledování se Boží poselství rozmáhalo a šířilo.
25 Baada ya Barnaba na Sauli kukamilisha huduma yao wakatoka pale wakarejea Yerusalemu, wakamchukua na Yohana ambaye jina la kuzaliwa ni Marko.
Barnabáš a Saul splnili svoje poslání v Jeruzalémě a vrátili se do Antiochie, kam s sebou vzali Jana Marka.