< Matendo 11 >
1 Mitume na ndugu wale waliokuwa huko Yudea walisikia kuwa wamataifa wamelipokea neno la Mungu.
The apostles and [other] believers who lived in various towns in Judea [province] heard people say that [some] non-Jewish people had believed the message [from] God [about Jesus].
2 Petro alipokuja huko Yerusalemu, lile kundi la watu waliotahiriwa wakaanza kumkosoa, Wakisema,
So when Peter [and the six other believers] returned [from Caesarea] to Jerusalem, [some] Jewish believers criticized Peter, [because they thought that Jews should not associate with non-Jews] [MTY].
3 “Umeshikamana na watu wasiotahiriwa na kula nao!”
They said to him, “Not only was it wrong for you(sg) to visit non-Jewish people, you [even] ate with them!”
4 Lakini Petro alianza kueleza tukio kwa kina; akisema,
So Peter began to explain exactly [what had happened concerning Cornelius].
5 “Nilikuwa naomba katika mji wa Yafa, na nikaona maono ya chombo kikishuka chini kama nguo kubwa ikishuka kutoka mbinguni katika pembe zake zote nne. Kikashuka kwangu.
He said, “I was praying [by myself] in Joppa [town], and in a trance I saw a vision. I saw that something like a large sheet was being lowered from heaven. [It was tied with ropes] at its four corners, and it came down to where I was.
6 Nilikitazama na kufikiri juu yake. Nikaona wanyama wenye miguu minne waishio katika nchi, na wanyama wa polini na wanyama watambaao na ndege wa angani.
As I was looking intently into it, I saw some tame animals [but also animals that our laws forbid us to eat, including] wild animals, snakes, and wild birds.
7 Kisha nikasikia sauti ikisema nami, “Amka, Petro, chinja naj ule!”
Then I heard God [MTY] commanding me, ‘Peter, get up, kill [some of these], and [cook and] eat [their meat]!’
8 Nikasema, “Siyo hivyo, Bwana, mdomoni mwangu hakujawahi kuingia kitu chochote kisicho kitakatifu au kichafu”
But I replied, ‘Lord, [you(sg)] surely do not [really want me to do that], because I have never eaten [MTY] meat [from any animal] that [our laws say] that we [(exc)] must not eat [SYN]!’
9 Lakini sauti ikajibu tena kutoka Mbinguni, kile Mungu alichokitangaza kuwa ni safi, usikiite najisi,
God spoke from heaven [to me] a second time, ‘[I am] God, [so] if I have made something acceptable [to eat], do not say that it is not acceptable [to eat]!’
10 Hii ilitokea mara tatu, na kila kitu kikachukuliwa mbinguni tena.
Then [after that happened three times, the sheet with] all [those animals and birds] was pulled up into heaven again.”
11 Tazama, wakati huo watu watatu walikuwa wamesimama mbele ya nyumba ile tulimokuwa; wametumwa kutoka Kaisaria kuja kwangu.
“At that exact moment, three men who had been {whom [Cornelius] had} sent from Caesarea arrived at the house where I was staying.
12 Roho akaniambia kwenda nao, na nisitofautiane nao. Hawa wanaume sita wakaenda pamoja na mimi na tuliende kwenye nyumba ya mtu mmoja.
[God’s] Spirit told me that I should be willing to go with them [even though they were not Jews]. These six [Jewish] believers [from Joppa] went with me [to Caesarea], and then we [(exc)] went into that [non-Jewish] man’s house.
13 Alituambia vile alivyomwona malaika amesimama ndani ya nyumba yake akisema, “Nitume Yafa nikamlete simoni ambaye jina lake lingine ni Petro.
He told us that he had seen an angel standing in his house. The angel told him, ‘Tell some [men] to go to Joppa and bring back Simon whose other name is Peter.
14 Atasema ujumbe kwako katika huo utaokoka wewe na nyumba yako yote.”
He will tell you [(sg)] how you and everyone [MTY] else in your house will be saved {how [God] will save you and everyone [MTY] else in your house}.’
15 Nilipoanza kusema nao, Roho mtakatifu akaja juu yao kama alivyokuja kwetu mwanzoni.
After I started to speak, the Holy Spirit [suddenly] came down on them, just like he had first [MTY] come on us [during the Pentecost festival].
16 Nakumbuka maneno ya Bwana, alivyosema, “Yohana alibatiza kwa maji; lakini mtabatizwa katika Roho mtakatifu.”
Then I remembered what the Lord had said: ‘John caused people to be baptized in water, but [God] will cause the Holy Spirit [to enter you and change your lives.’]
17 Pia kama Mungu ametoa zawadi kama alizotupa sisi tulipoamini katika Bwana Yesu Kristo, mimi ni nani, kwamba naweza kumpinga Mungu?
God gave those non-Jews the same Holy Spirit that he had given to us [(inc)] after we believed in the Lord Jesus Christ. So, ([I] could not [possibly] tell God that he did wrong [when he gave them the Holy Spirit!]/how could I [tell] God that he did wrong [when he gave them the Holy Spirit]?) [RHQ] [He was showing that he had received them]!”
18 Waliposikia mambo haya, hawakurudisha, bali walimsifu Mungu na kusema, “Mungu ametoa toba kwa ajili ya wa mataifa pia”
After [those Jewish believers] heard what Peter said, they stopped criticizing [him. Instead], they praised God, saying, “Then it is [clear to us that] God has also accepted the non-Jews so that they will have eternal life, if they turn from their sinful behavior [and believe in Jesus]!”
19 Basi waamini ambao mateso yalianzia kwenye kifo cha Stephano walitawanyika kutoka Yerusalemu-waamini hawa walienda mbali, hadi mpaka Foinike, Kipro na Antiokia. Waliwaambia ujumbe kuhusu Yesu peke yake kwa wayahudi na si kwa mwingine awaye yote.
After [people had killed] Stephen, many of the believers left [Jerusalem and went] to other places, because people were causing them to suffer [there in Jerusalem. Some of] them went to Phoenicia [region], some went to Cyprus [Island], and others went to Antioch [city in Syria province. In those places] they were continually telling people the message [about Jesus], but they told only other Jewish people.
20 Lakini baadhi yao ni watu kutoka Kipro na Krene, walikuja Antiokia na kusema na wayunani na kumhubiri Bwana Yesu.
Some of the believers were men from Cyprus and from Cyrene [city in north Africa]. They went to Antioch, and [although they told other Jews about] the Lord Jesus, they also told non-Jewish people [there].
21 Na mkono wa Bwana ulikuwa pamoja nao, na watu wengi waliamini na kumgeukia Bwana.
The Lord [God] [MTY] was powerfully enabling those [believers to preach effectively. As a result], very many [non-Jewish] people believed [their message and] trusted in the Lord [Jesus].
22 Habari zao zikafikia masikioni mwa kanisa la Yerusalem: na wakamtuma Barnaba aende mpaka Antiokia.
The group of believers in Jerusalem heard [MTY] [people say that many people in Antioch were believing in Jesus. So] the [leaders] of the congregation in [Jerusalem] asked Barnabas to go to Antioch.
23 Alipokuja na kuona karama ya Mungu alifurahi; na aliwatia moyo wote kubaki na Bwana katika mioyo yao.
When he got [there], he realized that God had acted kindly toward [the believers. So] he was very happy, and he continually encouraged all of the [believers] to continue to trust completely in the Lord [Jesus].
24 Kwa sababu alikuwa mtu mwema na amejazwa na Roho Mtakatifu na imani na watu wengi wakaongezeka katika Bwana.
Barnabas was a good man [whom] the Holy Spirit completely controlled, one who trusted [God] completely. [Because of what Barnabas did], many people [there] believed in the Lord [Jesus].
25 Baadaye Barnaba alienda Tarso kumwona Sauli.
Then Barnabas went to Tarsus [in Cilicia province to try] to find Saul.
26 Alipompata, akamleta Antiokia. Ikawa kwa mwaka mzima wakakusanyika pamoja na kanisa na kuwafundisha watu wengi. Na wanafunzi wakaitwa wakristo kwa mara ya kwanza huko Antiokia.
After he found him, Barnabas brought him [back to] Antioch [to help teach the believers. So during] a whole year [Barnabas and Saul] met [regularly] with the congregation [there] and taught many of them [about Jesus. It was] at Antioch that the believers were first called Christians {[that people] first called the believers Christians}.
27 Na katika siku hizi manabii wakashuka kutoka Yerusalemu mpaka Antiokia.
During the time [that Barnabas and Saul were] at Antioch, some [believers who were] prophets arrived there from Jerusalem.
28 Mmoja wao ni Agabo ndilo jina lake, akasimama akiashiriwa na Roho kuwa njaa kali itatokea ulimwenguni mwote. Hii ilitokea wakati wa siku za Klaudio.
One of them, whose name was Agabus, stood up [in order to speak]. [God’s] Spirit enabled him to prophesy (that there would soon be a famine in many countries/that [people] in many countries [HYP] would soon [suffer because they] would not have enough [food] to eat). (That famine happened when Claudius was the [Roman Emperor].)
29 Kwa hiyo, wanafunzi, kila mmoja alivyo fanikiwa, waliamua kupeleka misaada kwa ndugu walioko Uyahudi.
When the believers [there heard what Agabus said], they decided that they would send [money] to help the believers who lived in Judea. Each [of them decided to give as much money] as he was able [to give].
30 Walifanya hivi; Walituma pesa kwa mkono wa Barnaba na Sauli.
They sent [the money] with Barnabas and Saul to the leaders of the congregation [in Jerusalem].