< Matendo 10 >

1 Kulikuwa na mtu fulani katika mji wa kaisaria, jina lake aliitwa Kornelio, alikuwa mkuu wa kikosi cha Kiitalia.
Sezariye'de Kornelius adında bir adam vardı. “İtalyan” taburunda yüzbaşıydı.
2 Alikuwa mchamungu na alimwabudu Mungu na nyumba yake yote; alitoa pesa nyingi kwa wayahudi na aliomba kwa Mungu siku zote.
Dindar bir adamdı. Hem kendisi hem de bütün ev halkı Tanrı'dan korkardı. Halka çok yardımda bulunur, Tanrı'ya sürekli dua ederdi.
3 Muda wa saa tisa za mchana, akaona maono Malaika wa Mungu anakuja kwake. Malaika akamwambia “Kornelio!
Bir gün saat üç sularında, bir görümde Tanrı'nın bir meleğinin kendisine geldiğini açıkça gördü. Melek ona, “Kornelius” diye seslendi.
4 Kornelio akamwangalia malaika na alikuwa na hofu kubwa sana akasema “Hii ni nini mkuu?” Malaika akamwambia “Maombi yako na zawadi zako kwa masikini zimepanda juu kama kumbukumbu kwenye uwepo wa Mungu”.
Kornelius korku içinde gözlerini ona dikti, “Ne var, efendim?” dedi. Melek ona şöyle dedi: “Duaların ve sadakaların anılmak üzere Tanrı katına ulaştı.
5 Sasa tuma watu kwenda mji wa Yafa kumleta mtu mmoja anayeitwa Simoni ambaye pia huitwa Petro.
Şimdi Yafa'ya adam yolla, Petrus olarak da tanınan Simun'u çağırt.
6 Anakaa na mtengenezaji wa Ngozi aitwaye Simoni ambaye nyumba yake iko kando ya bahari.”
Petrus, evi deniz kıyısında bulunan Simun adlı bir dericinin yanında kalıyor.”
7 Baada ya Malaika aliyekuwa akisema naye kuondoka, Kornelio akawaita watumishi wa nyumbani kwake wawili, na askari aliyekuwa akimwabudu Mungu kati ya maaskari waliokuwa wanamtumikia.
Kendisiyle konuşan melek uzaklaştıktan sonra Kornelius, iki uşağıyla özel yardımcılarından dindar bir askeri çağırdı.
8 Kornelio aliwaambia yote yaliyotokea na akawatuma Yafa.
Kendilerine her şeyi anlattıktan sonra onları Yafa'ya gönderdi.
9 Siku iliyofuata muda wa saa sita wakiwa njiani na wamekaribia mjini, Petro akapanda juu darini kuomba.
Ertesi gün onlar yol alıp kente yaklaşırlarken, saat on iki sularında Petrus dua etmek için dama çıktı.
10 Na pia akawa na njaa na alihitaji kitu cha kula, lakini wakati watu wanapika chakula, akaonyeshwa maono,
Acıkınca da yemek istedi. Yemek hazırlanırken Petrus kendinden geçti.
11 akaona anga limefuguka na chombo kinashuka na kitu fulani kama nguo kubwa ikishuka chini kwenye ardhi katika kona zake zote nne.
Göğün açıldığını ve büyük bir çarşafı andıran bir nesnenin dört köşesinden sarkıtılarak yeryüzüne indirildiğini gördü.
12 Ndani yake kulikuwa na aina zote za wanyama wenye miguu minne na watambaao juu ya ardhi, na ndege wa angani.
Çarşafın içinde, yeryüzünde yaşayan her türden dört ayaklı hayvanlar, sürüngenler ve kuşlar vardı.
13 Tena sauti ikasema kwake “Amka, Petro chinja na ule”.
Bir ses ona, “Kalk Petrus, kes ve ye!” dedi.
14 Lakini Petro akasema “Siyo hivyo, Bwana kwa sababu sijawahi kula kitu chochote najisi na kichafu.
“Asla olmaz, ya Rab!” dedi Petrus. “Hiçbir zaman bayağı ya da murdar herhangi bir şey yemedim.”
15 Lakini sauti ikaja kwake tena kwa mara ya pili “Alichokitakasa Mungu usikiite najisi wala kichafu”.
Ses tekrar, ikinci kez duyuldu; Petrus'a, “Tanrı'nın temiz kıldıklarına sen bayağı deme” dedi.
16 Hii ilitokea mara tatu, na kile chombo kikawa kimechukuliwa tena angani.
Bu, üç kez tekrarlandı. Sonra çarşafı andıran nesne hemen göğe alındı.
17 Na wakati Petro akiwa katika hali ya kuchanganyikiwa juu ya hayo maono yanamaanisha nini, Tazama, watu waliokuwa wametumwa na Kornelio wakasimama mbele ya lango, wakiuliza njia ya kwenda kwenye nyumba.
Petrus şaşkınlık içindeydi. Gördüğü görümün ne anlama gelebileceğini düşünürken, Kornelius'un gönderdiği adamlar sora sora Simun'un evinin kapısına kadar geldiler.
18 Na wakaita na kuuliza kama Simoni ambaye pia aliitwa Petro kama alikuwa anakaa pale.
Evdekilere seslenerek, “Petrus diye tanınan Simun burada mı kalıyor?” diye sordular.
19 Wakati huo Petro alipokuwa akiwaza juu ya hayo maono, Roho akasema naye, “Tazama watu watatu wanakutafuta.
Petrus hâlâ görümün anlamını düşünürken Ruh ona, “Bak, üç kişi seni arıyor” dedi.
20 Amka na ushuke chini na uende nao. Usiogope kwenda nao, kwa sababu nimewatuma.”
“Haydi kalk, aşağı in. Hiç çekinmeden onlarla git. Çünkü onları ben gönderdim.”
21 Petro akashuka chini kwao na kusema “Mimi ni yule mnayemtafuta. Kwa nini mmekuja?”
Petrus aşağı inip adamlara, “Aradığınız kişi benim” dedi. “Gelişinizin sebebi ne acaba?”
22 Wakasema, “Akida mmoja jina lake Kornelio, mtu wa haki na hupenda kumwabudu Mungu, na watu humsema vyema katika taifa lote la kiyahudi, ameambiwa na malaika wa Mungu kukutuma ili kwenda kwenye nyumba yake, ili asikie ujumbe kutoka kwako.”
“Doğru ve Tanrı'dan korkan, bütün Yahudi ulusunca iyiliğiyle tanınan, Kornelius adında bir yüzbaşı var” dediler. “Kutsal bir melek ona, seni evine çağırtıp senin söyleyeceklerini dinlemesini buyurdu.”
23 Petro akawakaribisha kuingia ndani na kukaa pamoja naye. Asubuhi iliyofuata akaamka akaenda pamoja naye, na ndugu wachache kutoka Yafa wakaambatana naye.
Bunun üzerine Petrus onları içeri alıp konuk etti. Ertesi gün Petrus kalktı, onlarla birlikte yola çıktı. Yafa'daki kardeşlerden bazıları da ona katıldı.
24 Siku iliyofuata walikuja Kaisaria. Na Kornelio alikuwa akiwasubiri; na alikuwa amewaita pamoja ndugu zake na marafiki zake wa karibu.
İkinci gün Sezariye'ye vardılar. Bu arada Kornelius, akraba ve yakın dostlarını toplamış onları bekliyordu.
25 Wakati Petro akiingia ndani, Kornelio akamlaki na kuinama hadi chini kwenye miguu yake kwa kumheshimu.
Eve giren Petrus'u karşıladı, tapınırcasına ayaklarına kapandı.
26 Lakini Petro akamwinua na kusema “Simama; mimi mwenyewe pia ni mwanadamu.”
Petrus ise onu ayağa kaldırarak, “Kalk, ben de insanım” dedi.
27 Wakati Petro akiwa anaongea naye, alienda ndani akakuta watu wamekusanyika pamoja.
Petrus Kornelius'la konuşa konuşa içeri girdiğinde birçok insanın toplanmış olduğunu gördü.
28 Akawaambia, “Ninyi wenyewe mnajua kuwa siyo sheria ya kiyahudi kushirikiana au kutembelewa na mtu ambaye si wa taifa hili. Lakini Mungu amenionesha mimi kuwa sipaswi kumwita mtu yeyote ni najisi au mchafu.
Onlara şöyle dedi: “Bir Yahudi'nin başka ulustan biriyle ilişki kurmasının, onu ziyaret etmesinin töremize aykırı olduğunu bilirsiniz. Oysa Tanrı bana, hiç kimseye bayağı ya da murdar dememem gerektiğini gösterdi.
29 Na ndiyo maana nimekuja bila kubisha, nilipotumwa kwa ajili ya hiyo. Kwa hiyo niwaulize kwa nini mlitumwa kwa ajili yangu.”
Bu nedenle, çağrıldığım zaman hiç itiraz etmeden geldim. Şimdi, beni ne amaçla çağırttığınızı sorabilir miyim?”
30 Kornelio akasema, “Siku nne zilizopita, wakati kama huu nilikuwa naomba muda wa saa tisa mchana ndani ya nyumba yangu; Nikaona mbele yangu mtu amesimama akiwa na mavazi meupe,
Kornelius, “Üç gün önce bu sıralarda, saat üçte evimde dua ediyordum” dedi. “Birdenbire, parlak giysili bir adam önüme çıkıverdi.
31 Akaniambia “Kornelio maombi yako yamesikiwa na Mungu, na zawadi zako kwa masikini zimekuwa ukumbusho mbele za Mungu.
‘Kornelius’ dedi, ‘Tanrı senin duanı işitti, verdiğin sadakaları andı.
32 Kwa hiyo tuma mtu Yafa na akamwite mtu mmoja anayeitwa Simoni aje kwako, ambaye pia huitwa Petro. ambaye anaishi kwa mtengenezaji wa Ngozi mmoja aitwaye Simoni ambaye nyumba yake iko pembeni mwa bahari.
Yafa'ya adam yolla, Petrus diye tanınan Simun'u çağırt. O, deniz kıyısında oturan derici Simun'un evinde kalıyor.’
33 Zingatia: Msatri huu, “Naya atakapokuja atasema nanyi,” haumo kwenye maandiko ya kale.
Bunun üzerine sana hemen adam yolladım. Sen de lütfedip geldin. İşte şimdi biz hepimiz, Rab'bin sana buyurduğu her şeyi dinlemek üzere Tanrı'nın önünde toplanmış bulunuyoruz.”
34 Ndipo Petro akafungua mdomo wake na kusema “Kweli, nimeamini kuwa Mungu hawezi kuwa na upendeleo.
O zaman Petrus söz alıp şöyle dedi: “Tanrı'nın insanlar arasında ayrım yapmadığını, ama kendisinden korkan ve doğru olanı yapan kişiyi, ulusuna bakmaksızın kabul ettiğini gerçekten anlıyorum.
35 Badala yake, kila taifa mtu yeyote anayemwabudu na kufanya matendo ya haki anakubalika kwake.
36 Unajua ujumbe alioutoa kwa watu wa Israel, alipokuwa akitangaza habari njema ya amani kupitia Yesu Kristo ambaye ni Bwana wa wote-
Tanrı'nın, herkesin Rabbi olan İsa Mesih aracılığıyla esenliği müjdeleyerek İsrailoğulları'na ilettiği bildiriden haberiniz vardır.
37 ninyi wenyewe mnajua tukio lililotokea, ambalo limetokea Yudea yote na lilianzia Galilaya, baada ya ubatizo ambao Yohana alitangaza.
Yahya'nın vaftiz çağrısından sonra Celile'den başlayarak bütün Yahudiye'de meydana gelen olayları, Tanrı'nın, Nasıralı İsa'yı nasıl Kutsal Ruh'la ve kudretle meshettiğini biliyorsunuz. İsa her yanı dolaşarak iyilik yapıyor, İblis'in baskısı altında olanların hepsini iyileştiriyordu. Çünkü Tanrı O'nunla birlikteydi.
38 tukio lililokuwa linamhusu Yesu Kristo jinsi Mungu alivyomtia mafuta kwa Roho Mtakatifu na kwa nguvu. Alienda akifanya mema na kuponya wote walioteswa na ibilsi, kwa kuwa Mungu alikuwa pamoja naye.
39 Sisi ni mashahidi wa mambo yote aliyoyafanya katika nchi za Uyahudi na katika Yerusalemu- huyu ni Yesu waliyemuua na kumtundika mtini.
“Biz İsa'nın, Yahudiler'in ülkesinde ve Yeruşalim'de yaptıklarının hepsine tanık olduk. O'nu çarmıha gerip öldürdüler.
40 Huyu mtu Mungu alimfufua siku ya tatu na kumpa kujulikana,
Ama Tanrı O'nu üçüncü gün diriltti ve açıkça görünmesini sağladı.
41 si kwa watu wote, lakini kwa mashahidi waliochaguliwa kabla na Mungu. - sisi wenyewe, tulio kula naye na kunywa naye baada ya kufufuka kutoka kwa wafu.
İsa halkın tümüne değil de, Tanrı'nın önceden seçtiği tanıklara –ölümden dirilmesinden sonra kendisiyle birlikte yiyip içen bizlere– göründü.
42 Ametuagiza kuhubiri kwa watu na kushuhudia kuwa huyu ndiye ambaye Mungu alimchagua kuwa mwamuzi wa walio hai na waliokufa.
Tanrı tarafından ölülerle dirilerin Yargıcı olarak atanan kişinin kendisi olduğunu halka duyurmamızı, buna tanıklık etmemizi buyurdu.
43 Katika yeye manabii wote washuhudie, ili kwamba kila anayeamini katika yeye atapokea msamaha wa dhambi kupitia jina lake.”
Peygamberlerin hepsi O'nunla ilgili tanıklıkta bulunuyorlar. Şöyle ki, O'na inanan herkesin günahları O'nun adıyla bağışlanır.”
44 Wakati Petro akiendelea kusema haya, Roho Mtakatifu akawajaza wote waliokuwa wakisikiliza ujumbe wake.
Petrus daha bu sözleri söylerken Kutsal Ruh, konuşmayı dinleyen herkesin üzerine indi.
45 Watu wale wanaohusika na kikundi cha waamini waliotahiriwa- wale wote waliokuja na Petro- walishangazwa, kwa sababu ya karama ya Roho Mtakatifu aliyemwagwa pia kwa wamataifa.
Petrus'la birlikte gelen Yahudi imanlılar, Kutsal Ruh armağanının öteki uluslardan olanların da üzerine dökülmesini şaşkınlıkla karşıladılar.
46 Kwa kuwa walisikia hawa wamataifa wanaongea kwa lugha zingine na kumwabudu Mungu. Petro akajibu,
Çünkü onların, bilmedikleri dillerle konuşup Tanrı'yı yücelttiklerini duyuyorlardı. O zaman Petrus, “Bunlar, tıpkı bizim gibi Kutsal Ruh'u almışlar. Suyla vaftiz olmalarına kim engel olabilir?” dedi.
47 “Kuna mtu yeyote anaweza kuzuia maji ili watu wasibatizwe, Watu hawa wamempokea Roho Mtakatifu kama sisi?”
48 Ndipo akawaamuru wabatizwe kwa jina la Yesu Kristo. Baadaye wakamwomba akae nao kwa siku kadhaa.
Böylelikle onların İsa Mesih adıyla vaftiz olmalarını buyurdu. Sonra onlar Petrus'a, birkaç gün yanlarında kalması için ricada bulundular.

< Matendo 10 >