< Matendo 10 >
1 Kulikuwa na mtu fulani katika mji wa kaisaria, jina lake aliitwa Kornelio, alikuwa mkuu wa kikosi cha Kiitalia.
Kaisiria ni mih wasiit heh men ah Kornelias ngeh ih angta, heh Room nok hah Sipaahi “Itali Sipaahi” ngeh ih men rumta adi sipaahi Saahaap angta.
2 Alikuwa mchamungu na alimwabudu Mungu na nyumba yake yote; alitoa pesa nyingi kwa wayahudi na aliomba kwa Mungu siku zote.
Kornelias ah tongtang mina angta, erah damdi neng jaatang Rangte ra choote ang rumta. Jehudi mina changthih noodek loong ah chosok eta eno saarookwet rangsoom rangtu ih tongta.
3 Muda wa saa tisa za mchana, akaona maono Malaika wa Mungu anakuja kwake. Malaika akamwambia “Kornelio!
Jaasiit, saasong saapootjom di, Kornelias ih motmang tupta, Rangte rangsah ah ra haano liita, “Kornelias!”
4 Kornelio akamwangalia malaika na alikuwa na hofu kubwa sana akasema “Hii ni nini mkuu?” Malaika akamwambia “Maombi yako na zawadi zako kwa masikini zimepanda juu kama kumbukumbu kwenye uwepo wa Mungu”.
Heh ih Rangte rangsah ah cho damdi ramram ih sok ano chengta, “Erah tiimjih ah, chuupha?” Rangsah ih ngaak baatta, “Rangte ih an rangsoom nyia an lakkot suh eroon ela, erah thoidi Rangte in an rangsoom ah chaat eha.
5 Sasa tuma watu kwenda mji wa Yafa kumleta mtu mmoja anayeitwa Simoni ambaye pia huitwa Petro.
Mih wasiit je ah heh men ah Simon Pitar ngeh ih kali rum ah erah mih ah amadoh wajombaji suh Joppa nawa poonkaat thuk uh.
6 Anakaa na mtengenezaji wa Ngozi aitwaye Simoni ambaye nyumba yake iko kando ya bahari.”
Siikhoop pheehoonte Simoon ngeh ih mih wasiit je ah erah nok adi heh wenwah, heh nok ah juusih kaang ni.”
7 Baada ya Malaika aliyekuwa akisema naye kuondoka, Kornelio akawaita watumishi wa nyumbani kwake wawili, na askari aliyekuwa akimwabudu Mungu kati ya maaskari waliokuwa wanamtumikia.
Erah lih adi rangsah ah maatsoon eta, eno Kornelias ih heh nok ni mootkaatte dah wanyi nyia toongtang thoon heh sipaahi ah poonta.
8 Kornelio aliwaambia yote yaliyotokea na akawatuma Yafa.
Heh ih tiimjih tupta, erah loong ah baat ano Joppa ni kaat thuk jomrumta.
9 Siku iliyofuata muda wa saa sita wakiwa njiani na wamekaribia mjini, Petro akapanda juu darini kuomba.
Erah saalih adi, nengjom Joppa ni wangte lam ni khoom jomrum adi, Pitar ah rangnithung di rangsoom suh nokkhoh ni duuwangta.
10 Na pia akawa na njaa na alihitaji kitu cha kula, lakini wakati watu wanapika chakula, akaonyeshwa maono,
Heh ram ih ti ano tiim atiim phaksat thung angta; eno changsong tokdi, heh ih motmang tupta.
11 akaona anga limefuguka na chombo kinashuka na kitu fulani kama nguo kubwa ikishuka chini kwenye ardhi katika kona zake zote nne.
Heh ih rangmong kaasak daap dat arah japtupta eno dam elongwah likhiik heh kaang rongbajiiji tamhoom choi datti ra taha.
12 Ndani yake kulikuwa na aina zote za wanyama wenye miguu minne na watambaao juu ya ardhi, na ndege wa angani.
Erah di luiamaan, siiawi jeeje arah, pu ajuk nyia woma woh loong angta.
13 Tena sauti ikasema kwake “Amka, Petro chinja na ule”.
Pitar ih miroot esiit japchaatta, “Toonchap uh, Pitar; arah loong ah tekbuh phak uh!”
14 Lakini Petro akasema “Siyo hivyo, Bwana kwa sababu sijawahi kula kitu chochote najisi na kichafu.
Eno Pitar ih liita, “Teesu ngah ih taphak kang! Ngah ih esot eruh maang taat phakkang.”
15 Lakini sauti ikaja kwake tena kwa mara ya pili “Alichokitakasa Mungu usikiite najisi wala kichafu”.
Eno miroot ah ih heh suh we ngaak liita, “Rangte ih esa ngeh ih liiha suh esot ngeh ih lali theng.”
16 Hii ilitokea mara tatu, na kile chombo kikawa kimechukuliwa tena angani.
Emah mah ih jaajom noisok ano, lakdamdam ih rang ni ngaaktoon wanta.
17 Na wakati Petro akiwa katika hali ya kuchanganyikiwa juu ya hayo maono yanamaanisha nini, Tazama, watu waliokuwa wametumwa na Kornelio wakasimama mbele ya lango, wakiuliza njia ya kwenda kwenye nyumba.
Erah motmang ah tiimjih noisok halang ngeh ih samthun adi, Kornelias ih kaat thuk jomrumta, loong ah ih Simoon nok ah jatjoh rum ano, paakaalu reeni chap kah jomrumta.
18 Na wakaita na kuuliza kama Simoni ambaye pia aliitwa Petro kama alikuwa anakaa pale.
Neng loong ah ih jaamcheng rumta, “Adi wenwah Simoon Pitar ngeh ih eje nih ang weela?”
19 Wakati huo Petro alipokuwa akiwaza juu ya hayo maono, Roho akasema naye, “Tazama watu watatu wanakutafuta.
Pitar ih motmang dowa tiimjih suh liiha ngeh ih samthun roh ih adi, Chiiala rah ih baatta, “Boichaat thaak uh! Mih wajom ih jam halu.
20 Amka na ushuke chini na uende nao. Usiogope kwenda nao, kwa sababu nimewatuma.”
Erah raangtaan ih datkhoom kah uh, neng damdoh chomui suh nak tanyah uh, neng jom ngah ih kaat thuk halang.”
21 Petro akashuka chini kwao na kusema “Mimi ni yule mnayemtafuta. Kwa nini mmekuja?”
Eno Pitar ah datkhoom kah ano baat kaat rumta, “Sen ih jam han abah ngah hanih. Tiimjam ra tahan?”
22 Wakasema, “Akida mmoja jina lake Kornelio, mtu wa haki na hupenda kumwabudu Mungu, na watu humsema vyema katika taifa lote la kiyahudi, ameambiwa na malaika wa Mungu kukutuma ili kwenda kwenye nyumba yake, ili asikie ujumbe kutoka kwako.”
“Kornelias saahaap ih kaat thuk hali,” erah jom ah ih ngaakbaat rumta. Kornelias ah Rangte rangsoomte nyia Jehudi mina thoontang ih choomjoha nyia soongraang rumha. Rangsah ih heh nok nah an poonkaat thuk suh baatta, an ih tiimjih baat uh erah japchaat suh ah.”
23 Petro akawakaribisha kuingia ndani na kukaa pamoja naye. Asubuhi iliyofuata akaamka akaenda pamoja naye, na ndugu wachache kutoka Yafa wakaambatana naye.
Pitar ih erah jom nok ni noppoon wanrum ano niikja anah jamthiin theng ngeh ih baat rumta. Erah saalih adi neng damdi wakwangta, eno Joppa dowa Kristaan mararah uh neng damdi wakwang ih rumta.
24 Siku iliyofuata walikuja Kaisaria. Na Kornelio alikuwa akiwasubiri; na alikuwa amewaita pamoja ndugu zake na marafiki zake wa karibu.
Eno Pitar ah saasiit adi thok khoomta, erah di Kornelias ih hephoh hewah nyia heh joonte sano loong ah lompoon ano, Pitar ah bansok rumta.
25 Wakati Petro akiingia ndani, Kornelio akamlaki na kuinama hadi chini kwenye miguu yake kwa kumheshimu.
Pitar ah nokmong ni nopwang damdam, Kornelias ah chomuita, heh lakuh ni chooktong ano, heh ngathong ni chuubonta.
26 Lakini Petro akamwinua na kusema “Simama; mimi mwenyewe pia ni mwanadamu.”
Eno Pitar ih chapsiit ano liita, “Toonchap uh,” “Ngah bah hansi mina.”
27 Wakati Petro akiwa anaongea naye, alienda ndani akakuta watu wamekusanyika pamoja.
Nokmong ni nopkhoom damdi, Pitar nyia Kornelias roongwaan nyuuta ah di, miloong ban tongta ah japtup wangta.
28 Akawaambia, “Ninyi wenyewe mnajua kuwa siyo sheria ya kiyahudi kushirikiana au kutembelewa na mtu ambaye si wa taifa hili. Lakini Mungu amenionesha mimi kuwa sipaswi kumwita mtu yeyote ni najisi au mchafu.
Pitar ih baatta, “An ih jat ehu Jehudi mih heh hootthe jun ih Ranglajatte damdi tachomui thukka. Erabah Rangte ih o uh esot ngeh ih lasamthun theng ngeh ih noisok halang.
29 Na ndiyo maana nimekuja bila kubisha, nilipotumwa kwa ajili ya hiyo. Kwa hiyo niwaulize kwa nini mlitumwa kwa ajili yangu.”
Erah thoidi, an ih poon hangno jengdaan laje thang ih wang halang. Enoothong, ngah ih cheng hala, tiim esuh maatpoon halang?”
30 Kornelio akasema, “Siku nne zilizopita, wakati kama huu nilikuwa naomba muda wa saa tisa mchana ndani ya nyumba yangu; Nikaona mbele yangu mtu amesimama akiwa na mavazi meupe,
Kornelias ih baatta, “Sa jom ngani, amah tokdi, saasong saapootjom di nga nok ni rangsoomtang. Dotdi mih wasiit nyuh phaakjaaja ih kap ano nga ngathong ni chap ano
31 Akaniambia “Kornelio maombi yako yamesikiwa na Mungu, na zawadi zako kwa masikini zimekuwa ukumbusho mbele za Mungu.
baat tahang: ‘Kornelias! Rangte ih an rangsoom nyia mih moot chosok ho ah chaat eha.
32 Kwa hiyo tuma mtu Yafa na akamwite mtu mmoja anayeitwa Simoni aje kwako, ambaye pia huitwa Petro. ambaye anaishi kwa mtengenezaji wa Ngozi mmoja aitwaye Simoni ambaye nyumba yake iko pembeni mwa bahari.
Joppa ni Simon Pitar ngeh ih je ah o subah uh poonkaat thuk uh. Erah ni siikhoop pheehoonte Simoon ngeh ih wasiit je ah eno heh nok ni heh wenwah, heh nok ah juusih kaang ni ngeh ih baat tahang.’
33 Zingatia: Msatri huu, “Naya atakapokuja atasema nanyi,” haumo kwenye maandiko ya kale.
Erah thoidi an kharok ih poonkaat thuk hala, an ese ih wang halu. Rangte ngathong ni, seng loong ah ih adi bansok hi Teesu ih tiimbaat thuk ho erah boichaat suh ah.”
34 Ndipo Petro akafungua mdomo wake na kusema “Kweli, nimeamini kuwa Mungu hawezi kuwa na upendeleo.
Pitar phang jengta: “Amadi ngah ih samthun hang amiisak Rangte ih loongtang phoosiit ih sok ha.
35 Badala yake, kila taifa mtu yeyote anayemwabudu na kufanya matendo ya haki anakubalika kwake.
O mina ih heh rangsoomha nyia kateng ah erah mih ah kap ha, ojaat opaat ang abah uh ah.
36 Unajua ujumbe alioutoa kwa watu wa Israel, alipokuwa akitangaza habari njema ya amani kupitia Yesu Kristo ambaye ni Bwana wa wote-
Sen loong ah ih jat ih han heh ih Ijirel mina loong asuh Jisu mendi Ruurang Ese baatkaat taha ah, heh Teesu khotok di Teesu.
37 ninyi wenyewe mnajua tukio lililotokea, ambalo limetokea Yudea yote na lilianzia Galilaya, baada ya ubatizo ambao Yohana alitangaza.
Joon ih juutem tiit Galili ni phangbaatta lih dowa ih Ijirel hah ni mamah angta erah sen ih jat ehan.
38 tukio lililokuwa linamhusu Yesu Kristo jinsi Mungu alivyomtia mafuta kwa Roho Mtakatifu na kwa nguvu. Alienda akifanya mema na kuponya wote walioteswa na ibilsi, kwa kuwa Mungu alikuwa pamoja naye.
Najaret dowa Jisu ah uh sen ih jat ehan, Rangte ih heh suh Esa Chiiala nyia chaan aphaan mamah ih kota loong ah uh jat ehan. Jisu noongrep ni tumkhoomta adi, Rangte ah heh damdam angta, eno mootse kaatse loong ah reeta nyia Hakhoh luuwang chaan aphaan lakkhui ni chamnaangta loong ah deesiit eta.
39 Sisi ni mashahidi wa mambo yote aliyoyafanya katika nchi za Uyahudi na katika Yerusalemu- huyu ni Yesu waliyemuua na kumtundika mtini.
Ijirel nyia Jerusalem hah ni heh mamah ih reeraangta erah jatte ah seng loong ah. Erah lih adi mina loong ah ih bangphak khoni tekrapbot rumta.
40 Huyu mtu Mungu alimfufua siku ya tatu na kumpa kujulikana,
Ang abah uh Rangte ih sa jom lidi tek nawa ngaaksaat ih thukta, eno mih miksok ni dong taha,
41 si kwa watu wote, lakini kwa mashahidi waliochaguliwa kabla na Mungu. - sisi wenyewe, tulio kula naye na kunywa naye baada ya kufufuka kutoka kwa wafu.
loongtang miksok di lah angka bah uh, Rangte ih o danjeeta erah mina, seng loong likhiik o heh damdi ngaaksaat lidi room phaksatte loong ah ih japtupti.
42 Ametuagiza kuhubiri kwa watu na kushuhudia kuwa huyu ndiye ambaye Mungu alimchagua kuwa mwamuzi wa walio hai na waliokufa.
Eno seng loong asuh ruurang Ese tiit ah baat etheng ngeh ih nyia rangkhothung ni ething, tekmang danjeete eje ngeh ih mina loong asuh baat an ngeh ih jengdang kohali.
43 Katika yeye manabii wote washuhudie, ili kwamba kila anayeamini katika yeye atapokea msamaha wa dhambi kupitia jina lake.”
Khowah loongtang ih heh tiit ah baatta, neng ih liita o mina ih heh suh tuumaang ih tong ah neng rangdah ah heh men nyia chaan aphaan nawa ih biin anaan choh ah.”
44 Wakati Petro akiendelea kusema haya, Roho Mtakatifu akawajaza wote waliokuwa wakisikiliza ujumbe wake.
Pitar ih tiitkhaap baatta adi, Esa Chiiala ah boichaatte loong sak ni ra taha.
45 Watu wale wanaohusika na kikundi cha waamini waliotahiriwa- wale wote waliokuja na Petro- walishangazwa, kwa sababu ya karama ya Roho Mtakatifu aliyemwagwa pia kwa wamataifa.
Ranglajatte sak ni nep Esa Chiiala pakaat kano, Pitar damdi Joppa nawa ra taha Jehudi rangsoomte loong ah paatjaata.
46 Kwa kuwa walisikia hawa wamataifa wanaongea kwa lugha zingine na kumwabudu Mungu. Petro akajibu,
Tiimnge liidi, Ranglajatte loong ah jengkhaap ena ena jeng ano Rangte phoongpha rumta. Pitar ih liita:
47 “Kuna mtu yeyote anaweza kuzuia maji ili watu wasibatizwe, Watu hawa wamempokea Roho Mtakatifu kama sisi?”
“Seng ih chohi ah likhiik arah mina loong ah ih uh Esa Chiiala choh rumha. O ih bah uh neng juutem ah jen daan tam ih ah?”
48 Ndipo akawaamuru wabatizwe kwa jina la Yesu Kristo. Baadaye wakamwomba akae nao kwa siku kadhaa.
Erah lih adi Jisu mendi juutem baat rumta. Eno neng dam doh sajombaji than waktong thiin suh Pitar suh baat rumta.