< Matendo 10 >
1 Kulikuwa na mtu fulani katika mji wa kaisaria, jina lake aliitwa Kornelio, alikuwa mkuu wa kikosi cha Kiitalia.
Acunüng, Ketarih khawa Konelih ngming naki Romah cetca keptin veki, acun cun Itali yekap ngvai ami ti.
2 Alikuwa mchamungu na alimwabudu Mungu na nyumba yake yote; alitoa pesa nyingi kwa wayahudi na aliomba kwa Mungu siku zote.
Ani cun Pamhnam üng hlimtui lü, a ima vekie ami van naw Pamhnam kyühkie, mpyenkseki Judah khyange jah petmsawt lü aktäa ktaiyüki.
3 Muda wa saa tisa za mchana, akaona maono Malaika wa Mungu anakuja kwake. Malaika akamwambia “Kornelio!
Acuna, mhnüp mülam naji kthum bang üng, Pamhnama khankhawngsä mat law lü, “Konelih aw” ti lü ngkhü lawki cun angsing hmumkthehnak a hmuh.
4 Kornelio akamwangalia malaika na alikuwa na hofu kubwa sana akasema “Hii ni nini mkuu?” Malaika akamwambia “Maombi yako na zawadi zako kwa masikini zimepanda juu kama kumbukumbu kwenye uwepo wa Mungu”.
Acunüng, Konelih naw a kyühnak am bükteng lü, “Bawipa aw, ini?” a ti. Acunüng, ani naw, “Na ktaiyünak ja na petmsawte naw Pamhnam jesak se, Pamhnam naw na ktaiyünak ning msang khaia kyaki.
5 Sasa tuma watu kwenda mji wa Yafa kumleta mtu mmoja anayeitwa Simoni ambaye pia huitwa Petro.
“Tuhkbäih Jukpei mlüha khyang ja tüih lü khyang mat Sihmon Pita ngming naki jah khüsaka;
6 Anakaa na mtengenezaji wa Ngozi aitwaye Simoni ambaye nyumba yake iko kando ya bahari.”
savun pyangkia Sihmona veia kaiki ni, a im cun mliktui peia veki ni” a ti.
7 Baada ya Malaika aliyekuwa akisema naye kuondoka, Kornelio akawaita watumishi wa nyumbani kwake wawili, na askari aliyekuwa akimwabudu Mungu kati ya maaskari waliokuwa wanamtumikia.
Acunüng, ngthuheipüikia khankhawngsä a ceh be ja, Konelih naw a mpya üngka nghngih ja, anglätse khüikie üngka Pamhnam üpnaki yekap mat khü lü;
8 Kornelio aliwaambia yote yaliyotokea na akawatuma Yafa.
ngthu a jah mtheh päng üng Jukpei mlüha a jah tüih.
9 Siku iliyofuata muda wa saa sita wakiwa njiani na wamekaribia mjini, Petro akapanda juu darini kuomba.
Angawi üng, ami ceh lam mlüh pei ami pha law hlü üng, Pita cun ktaiyü khaia im mkhyuma kaiki.
10 Na pia akawa na njaa na alihitaji kitu cha kula, lakini wakati watu wanapika chakula, akaonyeshwa maono,
A ei naw mcawi law se, bu ei law hlüki; cunsepi, a ei vai ami pawh k'um üng Mhnama mdannak a hmuh.
11 akaona anga limefuguka na chombo kinashuka na kitu fulani kama nguo kubwa ikishuka chini kwenye ardhi katika kona zake zote nne.
Khankhaw nghmawng law lü jihnua mäiha kphyüa kitmaki mdeka kya lawse a hmuh.
12 Ndani yake kulikuwa na aina zote za wanyama wenye miguu minne na watambaao juu ya ardhi, na ndege wa angani.
Acuna k'uma, khawmdek üng ngvak hükiea khisa avan ja khankhawa khae naküt vekie.
13 Tena sauti ikasema kwake “Amka, Petro chinja na ule”.
A veia kthai pha lawki cun, “Pita aw, tho law; ja hnim lü jah eia” a ti.
14 Lakini Petro akasema “Siyo hivyo, Bwana kwa sababu sijawahi kula kitu chochote najisi na kichafu.
Acunsepi, Pita naw, “Bawipa aw, acukba am kya; am ngcimcaiki ja mtüikheh i am ei khawi veng” a ti.
15 Lakini sauti ikaja kwake tena kwa mara ya pili “Alichokitakasa Mungu usikiite najisi wala kichafu”.
Acunüng, Khana kthai naw anghnginaka, “Pamhnam naw a ngcimsak päng nang naw am ngcimcaiki käh tia” a ti.
16 Hii ilitokea mara tatu, na kile chombo kikawa kimechukuliwa tena angani.
Acukba cia kthum vei ngdang law lü; acunüng acuna jiha mäih cun khankhawa a ju jäh law be.
17 Na wakati Petro akiwa katika hali ya kuchanganyikiwa juu ya hayo maono yanamaanisha nini, Tazama, watu waliokuwa wametumwa na Kornelio wakasimama mbele ya lango, wakiuliza njia ya kwenda kwenye nyumba.
Pita naw mdannak a hmuh cun asuilam am ksing lü ana ve k'um üng, Koneliha a tüiha khyange naw Sihmona a im ngthäh law u lü mkawt peia ngdüi lawki he.
18 Na wakaita na kuuliza kama Simoni ambaye pia aliitwa Petro kama alikuwa anakaa pale.
Sihmon Pita ngmingnaki khin cun, acua a pha ja am a pha ngpyang u lü ami ju kthäh.
19 Wakati huo Petro alipokuwa akiwaza juu ya hayo maono, Roho akasema naye, “Tazama watu watatu wanakutafuta.
Acunüng, Pita naw mdannak a hmu cun, a ngaikyu hui üng, Ngmüimkhya Ngcim naw a veia, “Ngaia, khyang kthum naw ning sui hü ve u.
20 Amka na ushuke chini na uende nao. Usiogope kwenda nao, kwa sababu nimewatuma.”
Acunakyase, tho law lü ju kyuma, käh cücawn lü jah läka; anini cun keia jah tüih law ni” a ti.
21 Petro akashuka chini kwao na kusema “Mimi ni yule mnayemtafuta. Kwa nini mmekuja?”
Acunüng, Pita cun, acunea veia kyum lü ami veia, “Nami sui hü hin kei ni; ia phäha nami lawki ni?” a ti.
22 Wakasema, “Akida mmoja jina lake Kornelio, mtu wa haki na hupenda kumwabudu Mungu, na watu humsema vyema katika taifa lote la kiyahudi, ameambiwa na malaika wa Mungu kukutuma ili kwenda kwenye nyumba yake, ili asikie ujumbe kutoka kwako.”
Amimi naw, “Konelih, yekap ngvai, khyang kdaw, Pamhnam kyühki, Judah khyange naküt üng ngming dawnak yaki naw a ima nang ning khü lü na ngthu pyen ngai khaia, Pamhnama khankhawngsä mat naw a mtheha kyaki” ami ti.
23 Petro akawakaribisha kuingia ndani na kukaa pamoja naye. Asubuhi iliyofuata akaamka akaenda pamoja naye, na ndugu wachache kutoka Yafa wakaambatana naye.
Pita naw, acuna khyange cun im k'uma ja luhpüi lü a jah khinnak. A ngawia Pita cun tho law lü ami veia cit se, Jukpei mlüha ka, jumeikie avange pi a veia cit hngakie.
24 Siku iliyofuata walikuja Kaisaria. Na Kornelio alikuwa akiwasubiri; na alikuwa amewaita pamoja ndugu zake na marafiki zake wa karibu.
Angawi be kce üng, Ketarih mlüha phakie. Acuia, Konelih naw a khyange ja a püie ja khü lü, anini cun ami jah na k'äih.
25 Wakati Petro akiingia ndani, Kornelio akamlaki na kuinama hadi chini kwenye miguu yake kwa kumheshimu.
Pita a pha law üng, Konelih naw ana dokham lü a khaw kunga mbawki.
26 Lakini Petro akamwinua na kusema “Simama; mimi mwenyewe pia ni mwanadamu.”
Acunsepi, Pita naw ani cun mtho lü, “Ngdüia, kei pi nghngicima ni ka kya ve” a ti.
27 Wakati Petro akiwa anaongea naye, alienda ndani akakuta watu wamekusanyika pamoja.
A veia a ngthuhei maha va lut lü khyang khawha ana ve se a hmu.
28 Akawaambia, “Ninyi wenyewe mnajua kuwa siyo sheria ya kiyahudi kushirikiana au kutembelewa na mtu ambaye si wa taifa hili. Lakini Mungu amenionesha mimi kuwa sipaswi kumwita mtu yeyote ni najisi au mchafu.
Ami veia, “Judah khyang naw khyangmjükce ngkhawtpüi lü ami veia a ceh hü vai käh nglawiki tia nami ksingki; acunsepi, ‘U pi am ngcim, phyawksak ve’ käh ka ti vaia, Pamhnam naw na mtheh pängki ni.
29 Na ndiyo maana nimekuja bila kubisha, nilipotumwa kwa ajili ya hiyo. Kwa hiyo niwaulize kwa nini mlitumwa kwa ajili yangu.”
Acunakyase, na na khü law ja, käh dam lü ka lawkia kyaki. Acunakyase ka ning jah kthäh khai, “Ia phäha nami na khü lawki ni?” a ti.
30 Kornelio akasema, “Siku nne zilizopita, wakati kama huu nilikuwa naomba muda wa saa tisa mchana ndani ya nyumba yangu; Nikaona mbele yangu mtu amesimama akiwa na mavazi meupe,
Konelih naw, “Ahin kcün mhnüp kthum anghjawk üng, ka ima naji kthum üng ka ktaiyü k'um üng; khyang mat suisak bawk suisa lü, ka maa ngdüi lawki naw,
31 Akaniambia “Kornelio maombi yako yamesikiwa na Mungu, na zawadi zako kwa masikini zimekuwa ukumbusho mbele za Mungu.
‘Konelih aw, na ktaiyünak Pamhnam naw ngja ve, na petmsawt ja na bilawh naküt pi Pamhnam naw ksing ve.
32 Kwa hiyo tuma mtu Yafa na akamwite mtu mmoja anayeitwa Simoni aje kwako, ambaye pia huitwa Petro. ambaye anaishi kwa mtengenezaji wa Ngozi mmoja aitwaye Simoni ambaye nyumba yake iko pembeni mwa bahari.
Acunakyase, Jukpei mlüha khyang tüi lü Sihmon, Pita ami ti cun, na veia khüa; ani cun mliktui pei, savun pyangki Sihmona ima kaiki ni’ a ti.
33 Zingatia: Msatri huu, “Naya atakapokuja atasema nanyi,” haumo kwenye maandiko ya kale.
Acunakyase, na veia khyang angxita ka tüih lawa kyaki; na law hin daw ve. Acunakyase, Bawipa naw ngthu aning mtheh naküt ngai khaia, atuh Pamhnama hmuha kami van hin üng kami veki” a ti.
34 Ndipo Petro akafungua mdomo wake na kusema “Kweli, nimeamini kuwa Mungu hawezi kuwa na upendeleo.
Pita naw pyen lü, “Pamhnam naw, khyang naküt atänga jah mceiki tia akcanga ka ksingki;
35 Badala yake, kila taifa mtu yeyote anayemwabudu na kufanya matendo ya haki anakubalika kwake.
acunsepi, au pi amät hjawkhah lü akdaw pawhkia khyang mjü naküt cun mkhawihnga lü jah dokhamki.
36 Unajua ujumbe alioutoa kwa watu wa Israel, alipokuwa akitangaza habari njema ya amani kupitia Yesu Kristo ambaye ni Bwana wa wote-
“Ani naw, acuna ngthu cun nami ksingki, acun hin Jesuh Khritaw üngkhyüh dim’yenaka thangkdaw Isarel veia a peta kyaki. ‘Jesuh cun khyang naküta Bawia kyaki’ tia nami ksingki.
37 ninyi wenyewe mnajua tukio lililotokea, ambalo limetokea Yudea yote na lilianzia Galilaya, baada ya ubatizo ambao Yohana alitangaza.
Johan naw Baptican khamnaka mawng ngthu a pyen käna, Kalile üngkhyüh cutei lü Isarel khaw naküt üng ngthu ngthang hükia münkse bilawhnake cun nangmi naw pi nami ksingki;
38 tukio lililokuwa linamhusu Yesu Kristo jinsi Mungu alivyomtia mafuta kwa Roho Mtakatifu na kwa nguvu. Alienda akifanya mema na kuponya wote walioteswa na ibilsi, kwa kuwa Mungu alikuwa pamoja naye.
Nazaret Jesuha mawng ta ania khana Pamhnam naw Ngmüimkhya Ngcim ja johit am a besak; ani cun Pamhnama veia vekia kyase, khyanga khana akdaw pawh lü khawyaia jah khuimkhae naküt jah mdaw be lü cit hüki.
39 Sisi ni mashahidi wa mambo yote aliyoyafanya katika nchi za Uyahudi na katika Yerusalemu- huyu ni Yesu waliyemuua na kumtundika mtini.
Judahea khaw ja Jerusalem mlüh a jah bilawh naküt kami saksinaki; ani cun kutlamktung üng taih u lü, ami hnim.
40 Huyu mtu Mungu alimfufua siku ya tatu na kumpa kujulikana,
Pamhnam naw amhnüp thum üng mtho be lü a ngdangsak,
41 si kwa watu wote, lakini kwa mashahidi waliochaguliwa kabla na Mungu. - sisi wenyewe, tulio kula naye na kunywa naye baada ya kufufuka kutoka kwa wafu.
acunsepi, khyang naküta veia am kya lü, keimie kami saksi khaia Pamhnam naw a jah xü, thihnak üngkhyüh a thawh be käna amät am atänga eiaw yüm khaia a jah mtheh ni.
42 Ametuagiza kuhubiri kwa watu na kushuhudia kuwa huyu ndiye ambaye Mungu alimchagua kuwa mwamuzi wa walio hai na waliokufa.
Acuna Bawipa cun akthie ja akxüng hea khana ngthumkhyah khaia Pamhnam naw a mcawna kyaki tia, khyangea veia sang hü khaiea, jah ksing hüsak khaiea, Pamhnam naw ngthu a jah pet.
43 Katika yeye manabii wote washuhudie, ili kwamba kila anayeamini katika yeye atapokea msamaha wa dhambi kupitia jina lake.”
A u pi, ani jumeiki naküt, a ngminga phäha a mkhyekatnak mhlätnak yah khai tia, ania mawng cun sahmae naküt naw ami sang khawi ni” a ti.
44 Wakati Petro akiendelea kusema haya, Roho Mtakatifu akawajaza wote waliokuwa wakisikiliza ujumbe wake.
Pita naw acuna ngthu a pyen hui üng, ngthu ngjakie naküta khana, Ngmüimkhya Ngcim pha lawki.
45 Watu wale wanaohusika na kikundi cha waamini waliotahiriwa- wale wote waliokuja na Petro- walishangazwa, kwa sababu ya karama ya Roho Mtakatifu aliyemwagwa pia kwa wamataifa.
Pitaa veia law hngakie Judah jumeiki khyange naw, khyangmjükceea khana pi Pamhnam naw Ngmüimkhya Ngcim a pha lawsak hmu u lü cäikie.
46 Kwa kuwa walisikia hawa wamataifa wanaongea kwa lugha zingine na kumwabudu Mungu. Petro akajibu,
Käh ksinga ngthu am ngthuhei u lü Pamhnam mhlünmtai u se, ami jah ksinga phäha kyaki. Acunüng, Pita naw jah msang lü,
47 “Kuna mtu yeyote anaweza kuzuia maji ili watu wasibatizwe, Watu hawa wamempokea Roho Mtakatifu kama sisi?”
“Hine, mimi mäiha Ngmüimkhya Ngcim yah hngakie cun tui üng Baptican am khan khaiea, u naw a jah khyawh ni?” ti lü,
48 Ndipo akawaamuru wabatizwe kwa jina la Yesu Kristo. Baadaye wakamwomba akae nao kwa siku kadhaa.
Jesuh Khritawa ngming am Baptican khan khaiea a jah mtheh. Acun käna Pita cun ami veia asäng ve khaia ami nghuinak.