< 3 Yohana 1 >

1 Mzee, kwa Gayo mpenzi, ninayempenda katika kweli.
O ancião para Gaio, o amado, a quem amo em verdade.
2 Mpendwa, nakuombea ufanikiwe katika mambo yote na kuwa na afya njema, kama vile roho yako inavyofanikiwa.
Querido, rezo para que prospereis em todas as coisas e sejais saudável, mesmo quando vossa alma prospera.
3 Maana nilifurahi sana wakati nilipoambiwa na ndugu waliokuja na kutoa ushuhuda juu ya kweli yako, kama vile unavyoenenda katika kweli.
Pois eu me alegrei muito quando irmãos vieram e testemunharam sobre sua verdade, mesmo quando você caminha na verdade.
4 Sina furaha kubwa zaidi ya hii, kusikia kwamba watoto wangu wanatembea katika kweli.
Não tenho maior alegria do que esta: ouvir falar de meus filhos caminhando na verdade.
5 Mpendwa, unaenenda kwa uaminifu unapowahudumia ndugu na wageni,
Amado, você faz um trabalho fiel em tudo o que realiza para aqueles que são irmãos e estranhos.
6 ambao wametoa ushuhuda wa upendo wako mbele ya kanisa. Unafanya vizuri kuwasafirisha katika safari zao kwa namna ambayo inampendeza Mungu.
Eles testemunharam sobre seu amor antes da assembléia. Você fará bem em enviá-los em sua jornada de uma maneira digna de Deus,
7 Kwa sababu kwa ajili ya Jina, walienda bila kuchukua kitu chochote kutoka kwa watu wa Mataifa.
porque por causa do Nome que eles saíram, não tirando nada dos gentios.
8 Hivyo, tunatakiwa kuwakaribisha watu kama hawa, ili tuwe watenda kazi wenza kwa ajili ya kweli.
Portanto, devemos receber tais, para que possamos ser companheiros de trabalho pela verdade.
9 Nililiandikia kusanyiko jambo fulani, lakini Diotrofe, anayependa kuwa wa kwanza miongoni mwao, hakubaliani na sisi.
Escrevi para a assembléia, mas Diotrephes, que adora ser o primeiro entre eles, não aceita o que dizemos.
10 Hivyo, kama nikija nitayakumbuka matendo yake anayoyafanya, jinsi anavyosema maneno mabaya kinyume nasi. Hajaridhika na matendo haya, yeye mwenyewe hawapokei ndugu. Hata huwakataza wengine ambao wanatamani kuwakaribisha hao ndugu na kuwafukuza watoke kwenye kusanyiko.
Portanto, se eu vier, chamarei a atenção para seus atos que ele faz, acusando-nos injustamente com palavras maliciosas. Não contente com isso, ele não recebe os próprios irmãos, e aqueles que o fariam, ele proíbe e expulsa da assembléia.
11 Mpenzi, usiige kilicho kibaya, bali iga kilicho chema. Yeye atendaye mema ni wa Mungu; na yeye atendaye mabaya hajamwona Mungu.
Amados, não imitem o que é mau, mas o que é bom. Aquele que faz o bem é de Deus. Aquele que faz o mal não tem visto Deus.
12 Demetrio ameshuhudiwa na wote na kweli yenyewe. sisi pia ni mashahidi, na unajua kuwa ushahuhuda wetu ni wa kweli.
Demétrio tem o testemunho de todos, e da própria verdade; sim, nós também testemunhamos, e vocês sabem que nosso testemunho é verdadeiro.
13 Ninayo mambo mengi ya kukuandikia, lakini sipendi kukuandikia kwa kalamu na wino.
Eu tinha muitas coisas para lhe escrever, mas não estou disposto a escrever-lhe com tinta e caneta;
14 Bali ninatarajia kukuona hivi karibuni, na tutaongea nawe ana kwa ana. Amani iwe pamoja nawe. Marafiki wanakusalimu. Wasalimu marafiki kila mmoja kwa jina lake.
mas espero vê-lo em breve. Então falaremos cara a cara. A paz seja com você. Os amigos o saúdam. Cumprimentem os amigos pelo nome.

< 3 Yohana 1 >