< 3 Yohana 1 >
1 Mzee, kwa Gayo mpenzi, ninayempenda katika kweli.
Mbaha, Gayo ne gane, Yuve nehuganile mu yelweli.
2 Mpendwa, nakuombea ufanikiwe katika mambo yote na kuwa na afya njema, kama vile roho yako inavyofanikiwa.
Vegane nihohodovela usayiwe hu fifufyoni nu huwa nkafu pa mbele, ndu enumbula yaho umuyisayiwa.
3 Maana nilifurahi sana wakati nilipoambiwa na ndugu waliokuja na kutoa ushuhuda juu ya kweli yako, kama vile unavyoenenda katika kweli.
Na hovwihe vavile vambolile ava likolo vavo vahinchile nu huhumia elimenyu lya lweli yaho, ndu umovugendela mu lweli.
4 Sina furaha kubwa zaidi ya hii, kusikia kwamba watoto wangu wanatembea katika kweli.
Nelevovole uluhekelo uluvaha ululutelile, uhupulika uhuta avana vanu vigenda muyelweli.
5 Mpendwa, unaenenda kwa uaminifu unapowahudumia ndugu na wageni,
Vegane yuwe vugenda mu yelweli uhuvatanga avalokolo na avagenji.
6 ambao wametoa ushuhuda wa upendo wako mbele ya kanisa. Unafanya vizuri kuwasafirisha katika safari zao kwa namna ambayo inampendeza Mungu.
Vavo vahominche uvaye lweli nu ulugano lwaho pampelela. Vuvomba vononu uhuvatanga mu njila ncha vene nu uhong'ovosya u Nguluve.
7 Kwa sababu kwa ajili ya Jina, walienda bila kuchukua kitu chochote kutoka kwa watu wa Mataifa.
Ulwahova ndi tawa valutile hetagega ehenu hyohyoni uhuhuma hu vanuavakilunga.
8 Hivyo, tunatakiwa kuwakaribisha watu kama hawa, ili tuwe watenda kazi wenza kwa ajili ya kweli.
Pu, tunogiwa uhuvambelela avanu ndava, pu tuve vavomba mbombo vaniie va yelweli.
9 Nililiandikia kusanyiko jambo fulani, lakini Diotrofe, anayependa kuwa wa kwanza miongoni mwao, hakubaliani na sisi.
Navasimbile avalulundamano elimenyu, ulwahuva Diotrofe uveinogwa uhuva mbulongolo huvanine, sihwedehane nufwe.
10 Hivyo, kama nikija nitayakumbuka matendo yake anayoyafanya, jinsi anavyosema maneno mabaya kinyume nasi. Hajaridhika na matendo haya, yeye mwenyewe hawapokei ndugu. Hata huwakataza wengine ambao wanatamani kuwakaribisha hao ndugu na kuwafukuza watoke kwenye kusanyiko.
Nenginche, nikumbuhaga imbombo incha mwene incho ihonchivomba, umu inchova amamenyu amavivi gaga sa getu. Sedehine ni mbombo inchi, umwene sihovupilila avalokolo. Ihovabencha avange vavo vinogwa uhuvumpelela avalokolo nu huwaswema vahome mu lulundamano.
11 Mpenzi, usiige kilicho kibaya, bali iga kilicho chema. Yeye atendaye mema ni wa Mungu; na yeye atendaye mabaya hajamwona Mungu.
Vegane, usite uhwegela ifivivi, egelaga ifinya vononu. umwene yuywa ivomba amanonu iva va Nguruve nu uve ivomba amavivi iva sambwene u Nguruve.
12 Demetrio ameshuhudiwa na wote na kweli yenyewe. sisi pia ni mashahidi, na unajua kuwa ushahuhuda wetu ni wa kweli.
Demetrio avonike na vanu voni na yelweli, na yofwe tulevatangeli, uhumanyile uhuta amamenyu getu ga yelweli.
13 Ninayo mambo mengi ya kukuandikia, lakini sipendi kukuandikia kwa kalamu na wino.
Nelenago amamenyu mingi agahuhusimbila, leno saninogwa uhuhusimbile ne simbelo.
14 Bali ninatarajia kukuona hivi karibuni, na tutaongea nawe ana kwa ana. Amani iwe pamoja nawe. Marafiki wanakusalimu. Wasalimu marafiki kila mmoja kwa jina lake.
Ninogwa uhwagana muve lenoleno, pu ya twinchovana. Uluhungu luve nuve, avamanyani vihoho ponia, vaponiage avamanyani yomoyomo hulitawa lya mwene