< 3 Yohana 1 >
1 Mzee, kwa Gayo mpenzi, ninayempenda katika kweli.
Mupati kuli uyandika Gayiyasi, ooyo ngwenjanda chakasimpe.
2 Mpendwa, nakuombea ufanikiwe katika mambo yote na kuwa na afya njema, kama vile roho yako inavyofanikiwa.
Oyandwa, Ndikukkombela ikuti zintu zyoonse zikwendele kabotu alubo upone kabotu, mbuli mbopona kabotu mumuuya wako.
3 Maana nilifurahi sana wakati nilipoambiwa na ndugu waliokuja na kutoa ushuhuda juu ya kweli yako, kama vile unavyoenenda katika kweli.
Nkambo ndakakondwa ndakabotelwa loko inzubo nizyakasika akupa bukamboni bwakasimpe kaako, mbuli mboyenda mukasimpe.
4 Sina furaha kubwa zaidi ya hii, kusikia kwamba watoto wangu wanatembea katika kweli.
Nsikwe kubotelwa kumbi kwinda oku pe, ikumvwa kuti bana bangu benda mukasimpe.
5 Mpendwa, unaenenda kwa uaminifu unapowahudumia ndugu na wageni,
Oyandwa, uchita michito chalusyomo mpobelekela inzubo akubenzu,
6 ambao wametoa ushuhuda wa upendo wako mbele ya kanisa. Unafanya vizuri kuwasafirisha katika safari zao kwa namna ambayo inampendeza Mungu.
aabo bakazopa bukamboni bwaluyando lwako kunembo lyembungano. Uchita kabotu kubasindikila munyeendo zyabo chakubotezya Leza,
7 Kwa sababu kwa ajili ya Jina, walienda bila kuchukua kitu chochote kutoka kwa watu wa Mataifa.
nkambo kezina eelyo ndibayobwendela, nkabata tambwide chintu kuli bamasi.
8 Hivyo, tunatakiwa kuwakaribisha watu kama hawa, ili tuwe watenda kazi wenza kwa ajili ya kweli.
Aboobo aswebo tulachitambula mbubo, ikuti tukabe basimulimo nyokwe mukasimpe.
9 Nililiandikia kusanyiko jambo fulani, lakini Diotrofe, anayependa kuwa wa kwanza miongoni mwao, hakubaliani na sisi.
Kuli nzindakalembela imbungano, pesi Diyotilefesi, oyo uyandisya kuba mutanzi akati kabo, tatutambuli pe swebo.
10 Hivyo, kama nikija nitayakumbuka matendo yake anayoyafanya, jinsi anavyosema maneno mabaya kinyume nasi. Hajaridhika na matendo haya, yeye mwenyewe hawapokei ndugu. Hata huwakataza wengine ambao wanatamani kuwakaribisha hao ndugu na kuwafukuza watoke kwenye kusanyiko.
Eelyo, nindasika, nzomuyeezya milimo yakwe njali kuchita, yakututamikizya chakubeja amajwi mabi kulindiswe. Mukutakkutisika, takaki biyo kutambula ibana bakwabo, pesi ulakasya alubo kulaabo ibayanda kubatambula benzu mpawo akubatanda mumbungano.
11 Mpenzi, usiige kilicho kibaya, bali iga kilicho chema. Yeye atendaye mema ni wa Mungu; na yeye atendaye mabaya hajamwona Mungu.
Noyandwa, utatobeli kuchita zibi pesi kuleezyo zibotu. Ooyo uchita zibotu nguwa Leza; simuchita zibi tanakubona Leza,
12 Demetrio ameshuhudiwa na wote na kweli yenyewe. sisi pia ni mashahidi, na unajua kuwa ushahuhuda wetu ni wa kweli.
Demetiliyasi wakatambula bukamboni bubotu kuli boonse amukasimpe. Alubo andiswe tuli bakamboni, alubo ayebo ulizi kuti bukamboni bwesu mbwakasimpe.
13 Ninayo mambo mengi ya kukuandikia, lakini sipendi kukuandikia kwa kalamu na wino.
Ndali ezyiingi zyakukulembela pesi nsikkonzyi kukulembela pe zyoonse empesele amulende.
14 Bali ninatarajia kukuona hivi karibuni, na tutaongea nawe ana kwa ana. Amani iwe pamoja nawe. Marafiki wanakusalimu. Wasalimu marafiki kila mmoja kwa jina lake.
Pesi ndilangila kuzokubona lino lino, elyo tuzowambuula katulangene. Lumuno alube ayebo. Benzuma balikumujuzya. Ujuzye ibeenzuma oko muzina.