< 2 Timotheo 1 >

1 Paulo mtume wa Yesu Kristo kwa mapenzi ya Mungu, sawasawa na ahadi ya uzima ulio ndani ya Kristo Yesu,
Paul, apôtre de Jésus-Christ par la volonté de Dieu, — pour annoncer la promesse de la vie qui est en Jésus-Christ, —
2 kwa Timotheo mwana mpendwa: Neema, rehema na amani toka kwa Mungu Baba na Kristo Yesu Bwana wetu.
à Timothée, mon enfant bien-aimé. Que la grâce, la miséricorde et la paix te soient données de la part de Dieu, le Père, et de Jésus-Christ, notre Seigneur!
3 Ninamshukuru Mungu, ambaye ninamtumikia kwa nia njema kama walivyofanya baba zangu, ninapokumbuka daima katika maombi yangu. Usiku na
Je rends grâces à Dieu que je sers, comme mes ancêtres l'ont fait, avec une conscience pure, faisant mention de toi sans cesse, nuit et jour, dans mes prières.
4 mchana ninatamani kukuona, ili kwamba nijawe na furaha. Ninayakumbuka machozi yako.
Car je me souviens de tes larmes, et j'ai un grand désir de te voir, afin d'être rempli de joie.
5 Nimekuwa nikikumbushwa kuhusu imani yako halisi, ambayo hapo kwanza ilikaa kwa bibi yako Loisi na mama yako Yunisi. Na nina hakika ya kwamba imani hiyo inakaa ndani yako pia.
Je garde aussi le souvenir de ta foi sincère, la foi qui demeura d'abord en Lois, ton aïeule, et en Eunice, ta mère, et qui, j'en suis persuadé, demeure aussi en toi.
6 Hii ndiyo sababu nakukumbusha kuchochea karama ya Mungu iliyomo ndani yako kwa njia ya kuwekewa mikono yangu.
C'est pourquoi, je te recommande de rallumer le don de Dieu, que tu as reçu par l'imposition de mes mains.
7 Kwa kuwa Mungu hakutupa roho ya woga, bali ya nguvu na upendo na nidhamu.
Car Dieu ne nous a pas donné un esprit de timidité, mais un esprit de force, d'amour et de prudence.
8 Kwa hiyo usiuonee haya ushuhuda kuhusu Bwana wetu, wala wangu mimi Paulo mfungwa wake. Bali ushiriki mateso kwa ajili ya injili sawasawa na uweza wa Mungu.
N'aie donc pas honte du témoignage que tu dois rendre à notre Seigneur, ni de moi, qui suis son prisonnier; mais souffre avec moi pour l'Évangile, par la force que Dieu donne.
9 Ni Mungu aliyetuokoa na kutuita kwa wito mtakatifu. Hakufanya hivi kulingana na kazi zetu bali kulingana na neema na mpango wake mwenyewe. Alitupatia mambo haya katika Kristo Yesu kabla ya nyakati kuanza. (aiōnios g166)
C'est lui qui nous a sauvés et qui nous a appelés, par une vocation sainte, non pas selon nos oeuvres, mais selon son propre dessein, selon la grâce qui nous a été donnée en Jésus-Christ avant tous les siècles, (aiōnios g166)
10 Lakini sasa wokovu wa Mungu umekwishafunuliwa kwa kuja kwa mwokozi wetu Kristo Yesu. Ni Kristo aliyeikomesha mauti na kuleta uzima usiokoma kwa nuru ya injili.
et qui a été maintenant manifestée par l'apparition de notre Sauveur Jésus-Christ, lequel a détruit la mort et mis en évidence la vie et l'immortalité par l'Évangile.
11 Kwa sababu hiyo nilichaguliwa kuwa mhubiri, mtume na mwalimu.
C'est pour cet Évangile que j'ai été établi prédicateur, apôtre et docteur;
12 Kwa sababu hii nateseka pia, lakini sioni haya kwa kuwa namjua yeye niliyekwisha kumuamini. Nina hakika kuwa yeye anaweza kukitunza kile nilichokikabidhi kwake hata siku ile.
et telle est la cause des maux que j'endure. Mais je n'en ai point honte; car je sais en qui j'ai cru, et je suis persuadé qu'il a la puissance de garder mon dépôt jusqu'au grand jour.
13 Ukumbuke mfano wa ujumbe wa uaminifu uliousikia toka kwangu, pamoja na imani na upendo ulio ndani ya Kristo Yesu.
Conserve, dans la foi et dans la charité qui est en Jésus-Christ, le modèle des saines instructions que tu as reçues de moi.
14 Yatunze Mambo mazuri aliyokukabidhi Mungu kupitia Roho Mtakatifu aishiye ndani yetu.
Garde le bon dépôt, par le Saint-Esprit qui habite en nous.
15 Unajua ya kuwa, wote waishio katika Asia waliniacha. Kwenye kundi hili wamo Figelo na Hemogene.
Tu sais que tous ceux qui sont en Asie m'ont abandonné; de ce nombre sont Phygelle et Hermogène.
16 Bwana airehemu nyumba ya Onesiforo kwa kuwa mara nyingi aliniburudisha na hakuionea aibu minyororo yangu.
Que le Seigneur fasse miséricorde à la famille d'Onésiphore; car il m'a souvent réconforté, et il n'a pas eu honte de mes chaînes.
17 Badala yake, alipokuwa Roma alinitafuta kwa bidii na akanipata.
Bien plus, dès son arrivée à Rome, il m'a cherché avec empressement, et il m'a trouvé.
18 Mungu amjalie kupata rehema kutoka kwake siku ile. Kama alivyonisaidia nilipokuwa Efeso, wewe wajua vyema.
Que le Seigneur lui-même lui donne de trouver miséricorde auprès du Seigneur, au grand jour! Tu sais aussi, mieux que personne, tous les services qu'il m'a rendus à Éphèse.

< 2 Timotheo 1 >