< 2 Timotheo 4 >

1 Ninakupa agizo hili lenye uzito mbele za Mungu na Kristo Yesu, atakaye wahukumu walio hai na wafu, na kwa sababu ya kufunuliwa kwake na Ufalme wake:
Ordeno-vos, portanto, diante de Deus e do Senhor Jesus Cristo, que julgará os vivos e os mortos ao seu aparecimento e seu Reino:
2 Hubiri Neno. Uwe tayari kwa wakati ufaao na usiofaa. Waambie watu dhambi zao, kemea, himiza, kwa uvumilivu wote na mafundisho.
pregar a palavra; ser urgente no tempo e fora do tempo; repreender, repreender e exortar com toda a paciência e ensino.
3 Kwa maana wakati utakuja ambao watu hawatachukuliana na mafundisho ya kweli. Badala yake, watajitafutia walimu wa kufundisha kulingana na tamaa zao. kwa njia hii masikio yao yatakuwa yametekenywa.
Pois chegará o momento em que eles não ouvirão a sã doutrina, mas terão comichão nos ouvidos, amontoarão para si mesmos professores após suas próprias luxúrias,
4 Wataacha kusikiliza mafundisho ya kweli, na kugeukia hadithi.
e desviarão seus ouvidos da verdade, e se voltarão para as fábulas.
5 Lakini wewe uwe mwaminifu katika mambo yote, vumilia magumu, fanya kazi ya mwinjilisti; timiza huduma yako.
Mas você estará sóbrio em todas as coisas, sofrerá dificuldades, fará o trabalho de um evangelista e cumprirá seu ministério.
6 Kwa maana mimi tayari nimekwisha kumiminwa. Muda wa kuondoka kwangu umewadia.
Pois já estou sendo oferecido, e a hora da minha partida chegou.
7 Nimeshindana katika haki, Mwendo nimeumaliza, Imani nimeilinda.
Eu lutei a boa luta. Terminei o curso. Mantive a fé.
8 Taji ya haki imewekwa kwa ajili yangu, ambayo Bwana, anayehukumu kwa haki, atanipa siku ile. Na siyo kwangu tu bali pia kwa wote wanaongojea kwa shauku kuonekana kwake.
De agora em diante, a coroa da justiça está guardada para mim, que o Senhor, o juiz justo, me dará naquele dia; e não somente para mim, mas também para todos aqueles que amaram sua aparição.
9 Jitahidi kuja kwagu haraka.
Be diligente para vir até mim em breve,
10 Kwa kuwa Dema ameniacha. Anaupenda ulimwengu wa sasa na amekwenda Thesalonike, Kreseni alikwenda Galatia, na Tito alikwenda Dalmatia. (aiōn g165)
para Demas me deixou, tendo amado este mundo atual, e foi para Tessalônica; Crescens para Gálatas; e Titus para Dalmácia. (aiōn g165)
11 Luka tu ndiye yuko pamoja nami. Umchukue Marko uje naye kwani yeye ni muhimu kwangu katika huduma.
Somente Luke está comigo. Leve Marcos e traga-o com você, pois ele é útil para mim para o serviço.
12 Nimemtuma Tikiko Efeso.
Mas eu enviei Tíquico a Éfeso.
13 Lile joho ambalo nililiacha Troa kwa Karpo, utakapokuja lilete, pamoja na vile vitabu hasa vile vya ngozi.
Traga o manto que deixei em Troas com Carpo quando vier - e os livros, especialmente os pergaminhos.
14 Alekizanda mfua chuma alinitendea maovu mengi. Bwana atamlipa kulingana na matendo yake.
Alexandre, o caldeireiro, fez-me muito mal. O Senhor lhe pagará de acordo com suas obras.
15 Nawe pia jihadhari naye, kwani aliyapinga sana maneno yetu.
Beware dele, pois ele se opôs muito às nossas palavras.
16 Katika utetezi wangu wa kwanza, hakuna mtu yeyote aliyesimama pamoja nami, badala yake, kila mmoja aliniacha. Mungu asiwahesabie hatia.
Na minha primeira defesa, ninguém veio para me ajudar, mas todos me deixaram. Que isso não seja mantido contra eles.
17 Lakini Bwana alisimama pamoja nami, akanitia nguvu ili kwamba kupitia kwangu, neno linenwe kwa ukamilifu na mataifa wapate kusikia. Niliokolewa katika kinywa cha Simba.
Mas o Senhor me apoiou e me fortaleceu, para que através de mim a mensagem pudesse ser totalmente proclamada, e que todos os gentios pudessem ouvir. Por isso, fui libertado da boca do leão.
18 Bwana ataniepusha na matendo yote maovu na kuniokoa kwa ajili ya ufalme wake wa mbinguni. Utukufu uwe kwake milele na milele. Amen (aiōn g165)
E o Senhor me libertará de toda obra maligna e me preservará para seu Reino celestial. Para ele seja a glória para todo o sempre. Amém. (aiōn g165)
19 Msalimie Priska, Akila na nyumba ya Onesiforo.
Saudar Prisca e Aquila, e a casa de Onesiphorus.
20 Erasto alibaki huko Korintho, lakini Trifimo nilimuacha Mileto akiwa mgonjwa.
Erastus permaneceu em Corinto, mas deixei Trophimus em Miletus doente.
21 Fanya hima uje kabla ya kipindi cha baridi. Eubulo anakusalimu, pia Pude, Lino, Claudia na ndugu wote.
Seja diligente para vir antes do inverno. Eubulus o saúda, assim como Pudens, Linus, Claudia, e todos os irmãos.
22 Mungu awe pamoja na roho yako, Neema iwe nawe.
O Senhor Jesus Cristo esteja com seu espírito. A graça esteja com você. Amém.

< 2 Timotheo 4 >