< 2 Timotheo 4 >
1 Ninakupa agizo hili lenye uzito mbele za Mungu na Kristo Yesu, atakaye wahukumu walio hai na wafu, na kwa sababu ya kufunuliwa kwake na Ufalme wake:
Nikulagiza palongolo ya Chapanga na Kilisitu Yesu mwakuvahamula vandu vevavili mumi na vevafwili, na ndava ibwela kulongosa ngati Nkosi,
2 Hubiri Neno. Uwe tayari kwa wakati ufaao na usiofaa. Waambie watu dhambi zao, kemea, himiza, kwa uvumilivu wote na mafundisho.
kokosa Lilovi la Bwina lukumbi vandu vigana amala vigana lepi, lukumbi lweluganikiwa na lwangaganikiwa, ywanga, hakalila, na kangamalisa vandu kwa kuwula kwa usindimala woha.
3 Kwa maana wakati utakuja ambao watu hawatachukuliana na mafundisho ya kweli. Badala yake, watajitafutia walimu wa kufundisha kulingana na tamaa zao. kwa njia hii masikio yao yatakuwa yametekenywa.
Yati lubwela lukumbi vandu nakuyuwanila mawuliwu ga chakaka, ndi yati vilanda mnogo wavi vene kujilondela vawula ago vevakuvajovela mambu gevigana kuyuwana kwa mumakutu gavi gegituguta.
4 Wataacha kusikiliza mafundisho ya kweli, na kugeukia hadithi.
Yati vibela kuyuwana uchakaka, yati ving'anamkila majovo ga udese.
5 Lakini wewe uwe mwaminifu katika mambo yote, vumilia magumu, fanya kazi ya mwinjilisti; timiza huduma yako.
Nambu veve, uvya mihu mukila hali, sindimala mang'ahiso henga lihengu la ukokosa wa Lilovi la Bwina, henga cheuganikiwa mulihengu laku la kumhengela Chapanga.
6 Kwa maana mimi tayari nimekwisha kumiminwa. Muda wa kuondoka kwangu umewadia.
Kwa upandi wangu nene, nivili papipi kuwusiwa luteta na lukumbi lwa kufwa kwangu kuhikili.
7 Nimeshindana katika haki, Mwendo nimeumaliza, Imani nimeilinda.
Nitovini ngondo bwina, nijumbili mbaka mwishu wa kujumba kwangu, niyilindi sadika yangu.
8 Taji ya haki imewekwa kwa ajili yangu, ambayo Bwana, anayehukumu kwa haki, atanipa siku ile. Na siyo kwangu tu bali pia kwa wote wanaongojea kwa shauku kuonekana kwake.
Ndi hinu yisigalili ndu kupewa njombi ya uhotola ndi Chapanga vavikili vala vandu vaki, ndi njombi Bambu, mweihamula ngati cheyiganikiwa, yati akunipela ligono lila, nambu lepi nene ndu, ndi na vala voha vevilolela kwa uganu kuhumila kwaki.
9 Jitahidi kuja kwagu haraka.
Ukangamala kanyata kubwela kwa nene.
10 Kwa kuwa Dema ameniacha. Anaupenda ulimwengu wa sasa na amekwenda Thesalonike, Kreseni alikwenda Galatia, na Tito alikwenda Dalmatia. (aiōn )
Dema aganili mambu ga pamulima apa anilekili na kuhamba Tesalonike. Kilesike ahambili Galatia na Tito ahambili Dalimatia. (aiōn )
11 Luka tu ndiye yuko pamoja nami. Umchukue Marko uje naye kwani yeye ni muhimu kwangu katika huduma.
Ndi Luka mwene mweavili apa pamonga na nene. Mtola Maluko umbwela nayu, muni yati ihotola kunitangatila lihengu langu.
12 Nimemtuma Tikiko Efeso.
Namtumili Tukiko ku Efeso kula.
13 Lile joho ambalo nililiacha Troa kwa Karpo, utakapokuja lilete, pamoja na vile vitabu hasa vile vya ngozi.
Peubwela niletela likoti langu lenalekili kwa Kalipo ku Tloa, niletela na hitabu na neju hila ya chikumba.
14 Alekizanda mfua chuma alinitendea maovu mengi. Bwana atamlipa kulingana na matendo yake.
Yula mweitengeneza vindu vya mashonga gamahele liina laki Alekizanda anikitili uhakau wamahele, Bambu Chapanga yati akumlipisa kulandana na matendu gaki.
15 Nawe pia jihadhari naye, kwani aliyapinga sana maneno yetu.
Jiyangalila nayu muni aubelili ujumbi witu kwa ligoga neju.
16 Katika utetezi wangu wa kwanza, hakuna mtu yeyote aliyesimama pamoja nami, badala yake, kila mmoja aliniacha. Mungu asiwahesabie hatia.
Lukumbi penajikengelela mu libanji kawaka mundu mwayimili upandi wangu, voha vanilekili. Chapanga akotoka kuvavalangila kubuda uko!
17 Lakini Bwana alisimama pamoja nami, akanitia nguvu ili kwamba kupitia kwangu, neno linenwe kwa ukamilifu na mataifa wapate kusikia. Niliokolewa katika kinywa cha Simba.
Nambu Bambu atamili pamonga na nene, anipelili makakala, na kuhotola kukokosa ujumbi woha, vandu vangalikuvya Vayawudi vauyuwana, kavili na sanguliwi kuhumua mulifwa ngati mumlomo wa lihimba.
18 Bwana ataniepusha na matendo yote maovu na kuniokoa kwa ajili ya ufalme wake wa mbinguni. Utukufu uwe kwake milele na milele. Amen (aiōn )
Bambu yati akunisangula mu mambu goha gahakau, na kunitola mbaka muunkosi waki wa kunani. Kwaki uvya ukulu magono goha gangali mwishu! Ena. (aiōn )
19 Msalimie Priska, Akila na nyumba ya Onesiforo.
Vajambusa Plisika na Akula, pamonga na vandu va nyumba ya Onesifolo.
20 Erasto alibaki huko Korintho, lakini Trifimo nilimuacha Mileto akiwa mgonjwa.
Elasito asigalili Kolinto na Tofimo namlekili Mileto ndava muni avili na utamu.
21 Fanya hima uje kabla ya kipindi cha baridi. Eubulo anakusalimu, pia Pude, Lino, Claudia na ndugu wote.
Kita kanyata kubwela kwakona lukumbi lwa mbepu. Ebulo, Pude, Lino na Klaudia vakuvajambusa, mewawa valongo vangi voha.
22 Mungu awe pamoja na roho yako, Neema iwe nawe.
Bambu avya na veve mumpungu waku. Nikuvaganila ubwina wa Chapanga mwavoha.