< 2 Timotheo 4 >
1 Ninakupa agizo hili lenye uzito mbele za Mungu na Kristo Yesu, atakaye wahukumu walio hai na wafu, na kwa sababu ya kufunuliwa kwake na Ufalme wake:
Nihuhupa eliagizo huvulongolo hwa Nguluve nu Klisite Yesu, uvepya ihega avumi na avafile uhuva avunihe umbaha yuywa.
2 Hubiri Neno. Uwe tayari kwa wakati ufaao na usiofaa. Waambie watu dhambi zao, kemea, himiza, kwa uvumilivu wote na mafundisho.
Lumbelela ilimenyu uve nuwakati uvuvufaa nu vusaufaa vavule avanu imbivi chavo kemea nu himisia vumelela amafundisio.
3 Kwa maana wakati utakuja ambao watu hawatachukuliana na mafundisho ya kweli. Badala yake, watajitafutia walimu wa kufundisha kulingana na tamaa zao. kwa njia hii masikio yao yatakuwa yametekenywa.
Uhuva vwiva nu nugehe avanu vitanganaga na mafundesio aga yelweli bada vilonda ava mwalimu avahuvafundesia uhulingana ni tama iyavene hunjela eye imbuluhutu chitehiwe.
4 Wataacha kusikiliza mafundisho ya kweli, na kugeukia hadithi.
Vihelehelwa uhupolehecha amafundesio ga lweli nu hugevuhela ihadisi.
5 Lakini wewe uwe mwaminifu katika mambo yote, vumilia magumu, fanya kazi ya mwinjilisti; timiza huduma yako.
Lino uve mwaminifu katika amambo goni vumelela amagumu vomba embombo iyavuinjilisti; timesia ehepawa hiaho.
6 Kwa maana mimi tayari nimekwisha kumiminwa. Muda wa kuondoka kwangu umewadia.
Uhuva une nele tayali uhududeliwa usehe gwango gusilile.
7 Nimeshindana katika haki, Mwendo nimeumaliza, Imani nimeilinda.
Nesindile nu vuyeleli ulugendo ni malile uledeho nemalile.
8 Taji ya haki imewekwa kwa ajili yangu, ambayo Bwana, anayehukumu kwa haki, atanipa siku ile. Na siyo kwangu tu bali pia kwa wote wanaongojea kwa shauku kuonekana kwake.
Taji ya haki yevekiwe hwajili yango uhuva uNguluve ihaga hu hahi ayehuma esihu ela nasikwangu tu navavo vihugo jela uhuvune ha umwene.
9 Jitahidi kuja kwagu haraka.
Wetange whiicha hulione.
10 Kwa kuwa Dema ameniacha. Anaupenda ulimwengu wa sasa na amekwenda Thesalonike, Kreseni alikwenda Galatia, na Tito alikwenda Dalmatia. (aiōn )
Uhuva dema andehile aheganile ehelonga ehwaleno alutile Thesalonike, Kreseni alutile Galatia, na Tito ahalutile Dalmatia. (aiōn )
11 Luka tu ndiye yuko pamoja nami. Umchukue Marko uje naye kwani yeye ni muhimu kwangu katika huduma.
U Luka viale pamoja nune utole u Maliko wichenave uhuva umwe na alinuvumhimu sana huliumwe huhuduma.
12 Nimemtuma Tikiko Efeso.
Nesuhile tikiko Efeso.
13 Lile joho ambalo nililiacha Troa kwa Karpo, utakapokuja lilete, pamoja na vile vitabu hasa vile vya ngozi.
Lela iligwanda ilinali lehile ulilete pamoja nivitabu ivia ngwembe.
14 Alekizanda mfua chuma alinitendea maovu mengi. Bwana atamlipa kulingana na matendo yake.
U Alekizanda suha viuma ambombile imbivi nyingi uNguluve alangomba hi fatana ni mivombelo egwa mwene.
15 Nawe pia jihadhari naye, kwani aliyapinga sana maneno yetu.
Nayuve ujehadhali nu mwene alehupinga amamenyu geto.
16 Katika utetezi wangu wa kwanza, hakuna mtu yeyote aliyesimama pamoja nami, badala yake, kila mmoja aliniacha. Mungu asiwahesabie hatia.
Uhutetela hulione vahuanja, hakuna umunu yoyoni uvalihuva pamoja na hela munu alihundeha. UNguluve sava valele ilikosa.
17 Lakini Bwana alisimama pamoja nami, akanitia nguvu ili kwamba kupitia kwangu, neno linenwe kwa ukamilifu na mataifa wapate kusikia. Niliokolewa katika kinywa cha Simba.
Lakini uNguluve anyemile une ahama amaha uhugendela hulione elimenyu lichoviwe huva panzi vapate uhwideha umna ohuliwe mndomo ugwa Simba.
18 Bwana ataniepusha na matendo yote maovu na kuniokoa kwa ajili ya ufalme wake wa mbinguni. Utukufu uwe kwake milele na milele. Amen (aiōn )
UNguluve ihunyepuswa nulu gendo uluvivi nuhu nyohola huvu vaha uwahukianya uvaha vuve isihuchoni. Amen. (aiōn )
19 Msalimie Priska, Akila na nyumba ya Onesiforo.
Iponie Priska, Akila ne nyumba ya Onesiforo.
20 Erasto alibaki huko Korintho, lakini Trifimo nilimuacha Mileto akiwa mgonjwa.
Erasto asigile hu Korintho, lakini tulifemo nandehile Mileto avile tamu.
21 Fanya hima uje kabla ya kipindi cha baridi. Eubulo anakusalimu, pia Pude, Lino, Claudia na ndugu wote.
Voluba haga kabla ya mepu. Eubulo ihuhuponi pia Pude, Lino, Claudia nu lokolo.
22 Mungu awe pamoja na roho yako, Neema iwe nawe.
U Nguluve ale pamoja ni numbula yaho uvupohi vuvenufwe.