< 2 Timotheo 3 >

1 Lakini fahamu hili: katika siku za mwisho kutakuwa na nyakati ngumu.
Sache que, dans les derniers jours, il surviendra des temps difficiles.
2 kwa sababu watu watakuwa wenye kujipenda wenyewe, wenye kupenda fedha, wenye kujisifu, wenye majivuno, wenye dhihaka, wasiotii wazazi wao, wasiokuwa na shukurani na waovu.
En effet, les hommes seront épris d'eux-mêmes, attachés à l'argent, vaniteux, arrogants, médisants, rebelles à leurs parents, ingrats, profanes,
3 Wasio na upendo wa asili, wasiotaka kuishi kwa amani na yeyote, wachonganishi, wasingiziaji, wasioweza kujizuia, wenye vurugu, wasiopenda mema.
durs, implacables, calomniateurs, intempérants, cruels, ennemis des gens de bien,
4 Watakuwa wasaliti, wakaidi, wenye kujipenda wenyewe na wapenda anasa kuliko kumpenda Mungu.
traîtres, emportés, enflés d'orgueil, amis du plaisir plutôt que de Dieu,
5 Kwa nje watakuwa na sura ya ucha Mungu, lakini wataikana nguvu yake. Jiepushe na watu hao.
gardant l'apparence de la piété, mais ayant renié ce qui en fait la force. Éloigne-toi aussi de ces gens-là.
6 Kwa kuwa baadhi yao ni wanaume wanaoingia kwenye familia za watu na kushawishi wanawake wajinga. Hawa ni wanawake waliojawa dhambi na wenye kuongozwa na tamaa za kila aina.
Il en est parmi eux qui s'introduisent dans les maisons, et qui captivent l'esprit de certaines femmes chargées de péchés, possédées de diverses convoitises,
7 Wanawake hawa hujifunza siku zote, lakini kamwe hawawezi kuufikia ufahamu wa ile kweli.
apprenant toujours, sans pouvoir jamais parvenir à la connaissance de la vérité.
8 Kama vile ambavyo Yane na Yambre walisimama kinyume na Musa. Kwa njia hii walimu hawa wa uongo husimama kinyume na kweli. Ni watu walioharibiwa katika fikira zao, wasiokubalika kuhusiana na imani.
Et comme Jannès et Jambrès s'opposèrent à Moïse, de même ces hommes s'opposent à la vérité: leur esprit est corrompu, et leur foi incapable de résister à l'épreuve.
9 Lakini hawataendelea mbali. Kwa kuwa upumbavu wao utawekwa wazi kwa watu wote, kama ulivyokuwa wa wale watu.
Mais ils ne réussiront pas dans leurs desseins; car leur folie sera rendue manifeste pour tout le monde, comme le fut celle de ces deux hommes.
10 Lakini wewe umeyafuata mafundisho yangu, mwenendo wangu, makusudi yangu, imani yangu, uvumilivu wangu, upendo wangu na ustahimilivu wangu,
Pour toi, tu t'es attaché à me suivre dans mon enseignement, ma conduite, mes projets, dans ma foi, ma patience, ma charité, ma constance,
11 mateso, maumivu na yaliyonipata kule Antiokia, Ikonio na Listra. Niliyavumilia mateso. Bwana aliniokoa katika yote hayo.
dans les persécutions et les afflictions qui me sont survenues à Antioche, à Iconie, à Lystre. Ces persécutions, je les ai toutes supportées, et toujours le Seigneur m'en a délivré.
12 Wote wanaotaka kuishi katika maisha ya kumcha Mungu katika Kristo Yesu watateswa.
Aussi bien, tous ceux qui veulent vivre pieusement en Jésus-Christ seront persécutés.
13 Watu waovu na wadanganyifu watazidi kuwa waovu zaidi. Watawapotosha wengine. Wao wenyewe wamepotoshwa.
Mais les hommes méchants et les imposteurs s'enfonceront toujours plus dans le mal, égarant les autres en s'égarant eux-mêmes.
14 Lakini wewe, dumu katika mambo uliyojifunza na kuyaamini kwa uthabiti. Kwa kuwa unajua umejifunza kwa nani.
Pour toi, demeure ferme dans les choses que tu as apprises et reçues avec une conviction entière. Tu sais, en effet, de qui tu les as apprises;
15 Unatambua ya kuwa tangu utotoni mwako uliyajua maandiko matakatifu. Haya yanaweza kukuhekimisha kwa ajili ya wokovu kwa njia ya imani katika kristo Yesu.
et, depuis ton enfance, tu connais les saintes lettres, qui peuvent te rendre sage à salut par la foi en Jésus-Christ.
16 Kila andiko limetiwa pumzi na Mungu. Linafaa kwa mafundisho yenye faida, kwa kushawishi, kwa kurekebisha makosa, na kwa kufundishia katika haki.
Toute l'Écriture est divinement inspirée, et utile pour enseigner, pour convaincre, pour corriger, pour instruire dans la justice,
17 Hii ni kwamba mtu wa Mungu awe kamili, akiwa amepewa nyenzo zote kwa ajili ya kutenda kila kazi njema.
afin que l'homme de Dieu soit accompli et bien préparé pour toute bonne oeuvre.

< 2 Timotheo 3 >