< 2 Timotheo 1 >
1 Paulo mtume wa Yesu Kristo kwa mapenzi ya Mungu, sawasawa na ahadi ya uzima ulio ndani ya Kristo Yesu,
Paulusi, muapositola wa Jesu Keresite chetato ye Ireeza, chakuya chesepiso ya vuhalo bwina mwa Keresite Jesu,
2 kwa Timotheo mwana mpendwa: Neema, rehema na amani toka kwa Mungu Baba na Kristo Yesu Bwana wetu.
kwa Timotea, mwanangu yo sakahala: Chisemo, inse, ni inkozo izwilila kwa Ireeza Tayo ni Keresite Jesu Simwene wetu.
3 Ninamshukuru Mungu, ambaye ninamtumikia kwa nia njema kama walivyofanya baba zangu, ninapokumbuka daima katika maombi yangu. Usiku na
Ni litumera kwe Ireeza, uzo u ni vasebelezi kuzwililila ku basukulu wa vesukulu wetu, chakuya chezwalo lijolola, sina ha ni zwilile habusu kukuzeza mwitapelo zangu musihali ni masiku.
4 mchana ninatamani kukuona, ili kwamba nijawe na furaha. Ninayakumbuka machozi yako.
Sina mu ni zezera zinsozi zako, ni shukelwe ku kubona, chakuti ni zule chakusanga.
5 Nimekuwa nikikumbushwa kuhusu imani yako halisi, ambayo hapo kwanza ilikaa kwa bibi yako Loisi na mama yako Yunisi. Na nina hakika ya kwamba imani hiyo inakaa ndani yako pia.
Ni vakumbuluswa chetumelo yako ikolete isa yangayi, iva hali chetanzi kubanyokokolo va Loisi ni vanyoko va Eunisi. Mi ni zumina kuti ihala ni kwako bulyo.
6 Hii ndiyo sababu nakukumbusha kuchochea karama ya Mungu iliyomo ndani yako kwa njia ya kuwekewa mikono yangu.
Ili nji vaka ha ni ku ku kumbulusa utimbe impo ya Ireeza ina kwako chakubikwa heulu mayanza angu.
7 Kwa kuwa Mungu hakutupa roho ya woga, bali ya nguvu na upendo na nidhamu.
Chakuti Ireeza kana a vatuhi luhuho lwa lyowa, kono lwa ziho nilwe rato ni lwe kute.
8 Kwa hiyo usiuonee haya ushuhuda kuhusu Bwana wetu, wala wangu mimi Paulo mfungwa wake. Bali ushiriki mateso kwa ajili ya injili sawasawa na uweza wa Mungu.
Chobulyo kanji u swabeli vupaki bwa Nfumwetu, kapa ime, Paulusi, ni musuminwa wakwe. Nihakuva bulyo, u liyavele mu manyando a evangeli chakuya cha maata a Ireeza.
9 Ni Mungu aliyetuokoa na kutuita kwa wito mtakatifu. Hakufanya hivi kulingana na kazi zetu bali kulingana na neema na mpango wake mwenyewe. Alitupatia mambo haya katika Kristo Yesu kabla ya nyakati kuanza. (aiōnios )
Nji yena Ireeza ya va tuhazi mi ni chatusumpa cha musumpiro u jolola. A vachiti ichi, isinyi cha misebezi yetu, kono chakuya chamihupulo yakwe ikolete. A vatuhi izi zintu cha Keresite Jesu pili inako neiseni kutanga. (aiōnios )
10 Lakini sasa wokovu wa Mungu umekwishafunuliwa kwa kuja kwa mwokozi wetu Kristo Yesu. Ni Kristo aliyeikomesha mauti na kuleta uzima usiokoma kwa nuru ya injili.
Kono hanu intukuluho ya Ireeza iva zibahazwa chakuboneka chamupulusi wetu Kelesite Jesu. I vali nji Keresite, ya vamanisi ifu ni kuleta buhalo busena ma maninizo che seli lya evangeli.
11 Kwa sababu hiyo nilichaguliwa kuwa mhubiri, mtume na mwalimu.
Hakwinabulyo ni vaketelwa bukutazi, buapositola ni buluti.
12 Kwa sababu hii nateseka pia, lakini sioni haya kwa kuwa namjua yeye niliyekwisha kumuamini. Nina hakika kuwa yeye anaweza kukitunza kile nilichokikabidhi kwake hata siku ile.
Chevakelyo name ni banyandi che zo zintu. Kono kaniswabite, chakuti ni zi uzo ye nizumine kwali. Mi ni bazumini kuti u wola kubika izo ze ni bamuhi kusikila izuba ilyo.
13 Ukumbuke mfano wa ujumbe wa uaminifu uliousikia toka kwangu, pamoja na imani na upendo ulio ndani ya Kristo Yesu.
Uvike mutala wa mañusa o vazuwi kwangu, chetumelo ni ilato lina kwa Keresite Jesu.
14 Yatunze Mambo mazuri aliyokukabidhi Mungu kupitia Roho Mtakatifu aishiye ndani yetu.
Zintu zilotu izo Ireeza aba viki kwako, zivavalele cha Luhuho Lujolola, luhala mukati kanko.
15 Unajua ya kuwa, wote waishio katika Asia waliniacha. Kwenye kundi hili wamo Figelo na Hemogene.
Wizi zintu izi, chakuti vonse vahala mwa Isia ba va ni futatili. Muchikwata echo kwina Figelo, ni Hemogene.
16 Bwana airehemu nyumba ya Onesiforo kwa kuwa mara nyingi aliniburudisha na hakuionea aibu minyororo yangu.
Mi Simwine ahe chisemo ku venzubo ya Onesiforo, chakuti hangi a vanikatulusi mi kana a vaniswabeli ha ni vena mumahaka.
17 Badala yake, alipokuwa Roma alinitafuta kwa bidii na akanipata.
Chevaka linabulyo, ha vena mwa Roma, a ba tukufalelwe kunisaka, mane na cha niwana.
18 Mungu amjalie kupata rehema kutoka kwake siku ile. Kama alivyonisaidia nilipokuwa Efeso, wewe wajua vyema.
Simwine a muhe kuwana chisemo chizwilila kwali mwelyo izuva. Ni mwinzila zonse za va nitusi mwa Efese, iwe uzizi hande.