< 2 Wathesalonike 3 >
1 Na sasa, ndugu, tuombeeni, kwamba neno la Bwana liweze kuenea na kutukuzwa, kama ilivyo pia kwenu.
Zizan merveye brar Rji ni ta'u dun intra ti bu di suma da kpa dindima, na da ha ni yin.
2 Ombeni kwamba tuweze kuokolewa kutoka katika uovu na watu waasi, kwa kuwa si wote wana imani.
izi bra ni kini gbudgbu ni wo inji bi ti mene sur ni keta. ana ko uhan ane ti dindimana.
3 Lakini Bwana ni mwaminifu, ambaye atawaimarisha ninyi na kuwalinda kutoka kwa yule mwovu.
Kiton Rji niti dindi, wawuyin ni zota da kata di bin memesur.
4 Tunaujasiri katika Bwana kwa ajili yenu, kwamba mnatenda na mtaendelea kutenda mambo ambayo tunawaagiza.
Ki ha gregreme ne kitin ni tun bi don bi tin, krin ni tin brun kpe kitsro yi.
5 Bwana aweze kuongoza mioyo yenu katika upendo na katika uvumilivu wa Kristo.
Titi ni zo yin nime surbi ye ne sun Rji ni losur ni Almasihu.
6 Sasa tunawaagiza, ndugu, katika jina la Bwana Yesu Kristo, kwamba mwepuke kila ndugu ambaye anaishi maisha ya uvivu na siyo kwa kutokana na desturi ambazo mlipokea kutoka kwetu.
Zizan kin noyi titatre, mereveye ni mi den titibu Yesu Almasihu, kiklu kpe mereveye bin ba son lahga ba tikpe kuma ni tun iri beblatra bikpa ni won bun.
7 Kwa kuwa ninyi wenyewe mnajua ni sawa kwenu kutuiga sisi. Hatukuishi miongoni mwenu kama wale ambao hawakuwa na nidhamu.
Dun bi yin nitunbi bina to na a bin donyi koyi ni ta. kina son ni bi bana ha nimye bina kama bimba ucrumba.
8 Na hatukula chakula cha mtu yeyote bila kukilipia. Badala yake, tulifanya kazi usiku na mchana kwa kazi ngumu na kwa shida, ili tusiweze kuwa mzigo kwa yeyote katika ninyi.
Kina rin birin ni dwona tun kine han dinba. aha nayi ki tin dun bu incu ni injin tun me yah ni kuci kina lo kpin uruma niko twan.
9 Tulifanya hivi si kwa sababu hatuna mamlaka. Badala yake, tulifanya hivi ili tuwe mfano kwenu, ili kwamba mweze kutuiga sisi.
Kin tin nayin adin kin ha gbegle na ba. In a tonki a ha, kin tin wayin kina brin grum don bani to ni kpan bu, don kina tsroyi.
10 Wakati tulipokuwa pamoja nanyi tuliwaagiza, “Ikiwa mmoja wenu hataki kufanya kazi, na asile.”
In ton ki ha neyin, ki neyi inmre, uwu wona tinduna, na no lah na”
11 Kwa kuwa tunasikia kwamba baadhi wanaenenda kwa uvivu miongoni mwenu. Hawafanyi kazi lakini badala yake ni watu wasio na utaratibu.
Kin wo di bari ba kaba ni tindum. Ba tindun sai shiga shirgn barin.
12 Sasa hao nao tunaagiza na kuwaasa katika Bwana Yesu Kristo, kwamba lazima wafanye kazi kwa utulivu na kula chakula chao wenyewe.
Irin bi ban ki noba umurni ni noba latra nemetiti Yesu Almasihu duban tin dun. da funtun ba den rin birin tun ba.
13 Lakini ninyi, ndugu, msizimie roho katika kufanya yaliyo sahihi.
To merevaye na brin tin wa a dindinna.
14 Ikiwa mtu yeyote hataki kutii neno letu katika waraka huu, mwe makini naye na msiwe na ushirika pamoja naye, ili kwamba aweze kuaibika.
idi wa aka wotra di lan ni me fufuh, ki mleyah di'u ki na ko zontun ni una kotepen dun ni isha tin.
15 Msimchukulie kama adui, lakini mwonyeni kama ndugu.
Ki na bari akpan'u latremuna, kin no tre a kpan u mre vayin.
16 Bwana wa amani mwenyewe awape amani wakati wowote katika njia zote. Bwana awe nanyi nyote.
Ki no isin di kusun dinye isin un chachu ni ko oghon re me. Don Titin ni kusun niyin duka.
17 Hii ni salam yangu, Paulo, kwa mkono wangu mwenyewe, ambayo ni alama katika kila waraka. Hivi ndivyo niandikavyo.
Iwayi a cinmu, ime Bulus, di wonmu, in wayi a gban ni kowuni funfun mu me gha nakin.
18 Neema ya Bwana wetu Yesu Kristo iweze kuwa nanyi nyote.
Ni si sur Titibu Yesu Almasihu di ku sun ni me phenme Amin.