< 2 Wathesalonike 2 >

1 Sasa kuhusu kuja kwa Bwana wetu Yesu Kristo na kukusanywa pamoja ili tuwe naye: tunawaomba ninyi ndugu zetu,
Ei Pumapa Jisua juong nôkna rang le a kôm ei hong intûpna rang roia han: ka lâibungngei le sarnungei, nangni ke ngên ani,
2 kwamba msisumbuliwe wala kutabishwa kwa urahisi, kwa roho, au kwa ujumbe au kwa barua inayoonkana kuwa imetoka kwetu, ikisema ya kuwa siku ya Bwana tayari imekuja.
Pumapa Nikhuo chu atung zoi tiin ratha chongphuongin mini, thurchi misîrin mini, kin lekhamuthuon sikin mini, abairalin nin mindonna minjêlin le nin jâminzal kelen no roi.
3 Mtu na asiwadanganye kwa namna yoyote. Kwa kuwa haitakuja mpaka lile anguko litokee kwanza na mtu wa uasi afunuliwe, yule mwana wa uharibifu.
Kho anga lampuia khom tutên nangni huong no rese ngei. Inhelna nûktak le Puoloipa Inkhat, meidîla paia om rangpu hah ahong inlang mâka chu ha Nikhuo hah tung no nih.
4 Huyu ndiye apingaye naye hujiinua mwenyewe akimpinga Mungu na chochote kinachoabudiwa. Na matokeo yake, hukaa kwenye hekalu la Mungu na kujionyesha yeye kuwa kama Mungu.
Ama han pathiena ânbê murdi aninônchu biekna neinun murdi doi a ta, male amananâkin an chunga omin inpâk atih. Pathien Biekin tena luo sên insung a ta, Pathien'n inbê atih.
5 Je, hamkumbuki kuwa nilipokuwa nanyi niliwaambia juu ya mambo haya?
Nin lâia ko om lâihan ma roi ngei murdi hah nangni ki ril ngâi ti nin riettit khâi loi mini?
6 Sasa mnajua kile kinachomzuia, ili kwamba aweze kufunuliwa kwa wakati sahihi utakapowadia.
Atûn ala hongtung loina rangin imini ala khapa, maha nin riet. Hanchu azora taka Puoloipa Inkhat hah hong inlang atih.
7 Kwa kuwa siri ya yule mtu mwenye kuasi inafanya kazi mpaka sasa, ila tu kuna anaye mzuia sasa mpaka atakapotolewa njiani.
Misîrtheiloi Puoloina ha chu atûn hin khom inthupin sin a tho tir zoi ani, aniatachu asûrmintang ngâipu ha a lampui renga lâkpaiin aom mâka chu ahongtung rang hah hongtung no ni.
8 Ndipo yule mwenye kuasi atakapofunuliwa, amabaye Bwana Yesu atamwua kwa pumzi ya kinywa chake. Bwana atamfanya kuwa si chochote kwa ufunuo wa ujio wake.
Hanchu Puoloipa Inkhat hah hong inlâr a ta, hannirese Pumapa Jisua a juong nôk tena chu a bâiruhu ântêr lehan ama hah that a ta, male minmang atih.
9 Ujio wa yule mwenye kuasi utakuwa kwa sababu ya kazi ya shetani kwa nguvu zote, ishara na maajabu ya uongo,
Ma Puoloipa Inkhat hah Soitan ranak râtna leh hong suok a ta, sininkhêlngei le kamâmruoingei arothol jât tamtak sin a ta,
10 na uongo wote wenye udhalimu. Mambo haya yatakuwepo kwa wale wanaopotea, kwa sababu hawakuupokea upendo wa kweli kwa ajili ya kuokolewa kwao.
male ânmangrip rang ngei chunga huongna siettak jât dadang mang atih. An inmangripna rang abi chu sanminringa an omna rang chongtak hah an modôm loi sik le lungkham an mu loi sika ani.
11 Kwa sababu hiyo Mungu anawatumia kazi yenye uovu ili waamini uongo.
Masikin chongnôk an iemna rangin Pathien'n dikloina sinthotheina ranak an kôm a tîra.
12 Matokeo yake ni kwamba wote watahukumiwa, wale ambao hawakuamini ukweli bali wao hujifurahisha katika udhalimu.
Asikchu tutu khom chongtak iem loia, sietna tienga râisâninshak uol ngei han theiloi an chang theina rangin ani.
13 Lakini inatupasa tumshukuru Mungu kila mara kwa ajili yenu ndugu mpendwao na Bwana. Kwa sababu Bwana aliwachagua ninyi kama malimbuko ya wokovu kwa utakaso wa Roho na imani katika ile kweli.
Pumapa'n a lungkham ngâi nangni, lâibungngei le sarnungei, nangni rangin zoratin Pathien kôm râisânchong kin misîr ngêt ngâi ani. Ratha sinthotheinân a mi inthieng ni rang le chongtaka nan taksônna sika sanminringna chang masa rangin Pathien'n nangni thang ani.
14 Hiki ndicho alichowaitieni ninyi, kwamba kupitia injili muweza kuupata utukufu wa Bwana wetu Yesu Kristo.
Pathien'n ma nin kôma Thurchi Sa kin misîr sai renga han nangni a koia; ei Pumapa Jisua Khrista kôma roiinpuina nin man rangtum hah chang rangin nangni a koi ani.
15 Kwa hiyo, ndugu, simameni imara. Ueleweni ule utamaduni mliofundishwa, kwa neno au kwa barua yetu.
Masikin, kin lâibungngei le sarnungei, inding det ungla, thurchi misîr le lekhamuthuona chongtak nangni kin minchu ngei hah anruonin mutu mindet tit roi.
16 Sasa, Bwana wetu Yesu Kristo mwenyewe, na Mungu Baba yetu aliyetupenda na kutupa faraja ya milele na ujasiri mwema kwa ajili ya maisha yajayo kupitia neema, (aiōnios g166)
Ei Pumapa Jisua Khrista nanâk le Pathien ei Pa, mi lungkhamna le mi moroina inthûlngâiloi hâina le sabeina det mi pêkpu han, (aiōnios g166)
17 awafariji na kuifanya imara mioyo yenu katika kila neno na kazi njema.
sin asa tho bang rang le asa ti rangin nin mulungrîlngei mohôkin nangni man rât rese.

< 2 Wathesalonike 2 >