< 2 Wathesalonike 2 >

1 Sasa kuhusu kuja kwa Bwana wetu Yesu Kristo na kukusanywa pamoja ili tuwe naye: tunawaomba ninyi ndugu zetu,
Eshi ahunze hwa Yesu uBwana wetu U Yesu UKiristi awunganya, tikhale peka numwene: tihuwalavya amwe muwaholo wetu,
2 kwamba msisumbuliwe wala kutabishwa kwa urahisi, kwa roho, au kwa ujumbe au kwa barua inayoonkana kuwa imetoka kwetu, ikisema ya kuwa siku ya Bwana tayari imekuja.
aje msahatamiwe nantele msahayaziwe nalinali hu Mpepo au hunongwa, hukalata, yilolehana aje isiku ilia Bwana tayari lyezeli.
3 Mtu na asiwadanganye kwa namna yoyote. Kwa kuwa haitakuja mpaka lile anguko litokee kwanza na mtu wa uasi afunuliwe, yule mwana wa uharibifu.
Umntu asahahopela hwidala lyolyonti sagalihueza lila lyagwe umuntu wimbiwilifumile shoti awoneshe, uola umwana wi mbiwi.
4 Huyu ndiye apingaye naye hujiinua mwenyewe akimpinga Mungu na chochote kinachoabudiwa. Na matokeo yake, hukaa kwenye hekalu la Mungu na kujionyesha yeye kuwa kama Mungu.
Uno yuyola azinjila nantele ahuilola hahonti hahaputwa. Hahafumila epo, akhala mshiwamnza isha Ngolobhe ahuilolesya umwene awanji yu Ngolobhe.
5 Je, hamkumbuki kuwa nilipokuwa nanyi niliwaambia juu ya mambo haya?
Mwe, saga mkumbuha aje lwanahali namwe nahawawozyezye humambo eegaa?
6 Sasa mnajua kile kinachomzuia, ili kwamba aweze kufunuliwa kwa wakati sahihi utakapowadia.
Eshi mmenye shishi huzuwila aje aoneshe isiku ziakwe lwaliafia.
7 Kwa kuwa siri ya yule mtu mwenye kuasi inafanya kazi mpaka sasa, ila tu kuna anaye mzuia sasa mpaka atakapotolewa njiani.
Isiri yula umuntu wimbiwi awomba imbombo eshu, aleho yazijila eshi mpakalwa haiepa mwidala.
8 Ndipo yule mwenye kuasi atakapofunuliwa, amabaye Bwana Yesu atamwua kwa pumzi ya kinywa chake. Bwana atamfanya kuwa si chochote kwa ufunuo wa ujio wake.
Oula umiwi lwahaiwa pazelu ubwana Yesu ahaibuda nu moyela wilomu lyakwe. UBwana ahaimwomba awe saga hantu hohoti nufunuo wahuenza hwakwe.
9 Ujio wa yule mwenye kuasi utakuwa kwa sababu ya kazi ya shetani kwa nguvu zote, ishara na maajabu ya uongo,
Ahunzeala umiwi ihaiwa mbombo ya shetani hungovu zyonti, ishiwonesho, na amawonesho gilenkha,
10 na uongo wote wenye udhalimu. Mambo haya yatakuwepo kwa wale wanaopotea, kwa sababu hawakuupokea upendo wa kweli kwa ajili ya kuokolewa kwao.
ilenka lyonti liwalangani amambo eego gahaiwa hwa wala wawate ujile, huje sangawaposheye ulugano wa liolioli sangawakombolelwe ewo.
11 Kwa sababu hiyo Mungu anawatumia kazi yenye uovu ili waamini uongo.
Shesho Ungolobhe ahuwapela imbombo yili ni mbiwi aje weteshe ilenka.
12 Matokeo yake ni kwamba wote watahukumiwa, wale ambao hawakuamini ukweli bali wao hujifurahisha katika udhalimu.
Haha fumila epo huje wahailongwa, wala wasagateshe lioli awene wahasongwezye uwalangani.
13 Lakini inatupasa tumshukuru Mungu kila mara kwa ajili yenu ndugu mpendwao na Bwana. Kwa sababu Bwana aliwachagua ninyi kama malimbuko ya wokovu kwa utakaso wa Roho na imani katika ile kweli.
Eshi ihuaziwa husalipye Ungolobhe hani amwe muwaholo mganilwe nu Bwana. Huje uBwaan ahawasaluye amwe muwe wahuande akombolewe kwa uwoziwa wa Umpepo nulweteho wa lioli.
14 Hiki ndicho alichowaitieni ninyi, kwamba kupitia injili muweza kuupata utukufu wa Bwana wetu Yesu Kristo.
Eli lyanahawa hakwizizye amwe ashirile izwi muwajie akawe utundumu wa Bwana Yesu UKristi.
15 Kwa hiyo, ndugu, simameni imara. Ueleweni ule utamaduni mliofundishwa, kwa neno au kwa barua yetu.
Mwe wahalo, emelelaji shinza umanyaji ulautamaduni mmanyiziwe hwizwi ni karata zyetu.
16 Sasa, Bwana wetu Yesu Kristo mwenyewe, na Mungu Baba yetu aliyetupenda na kutupa faraja ya milele na ujasiri mwema kwa ajili ya maisha yajayo kupitia neema, (aiōnios g166)
Eshi, U Bwana witu U Yesu UKristu yeyo mwene nu Nngolobhe, udaada wetu yatuganile na hutipele uwila nudandamazu uwinza uwakhale uuhuenza ashilile wene, (aiōnios g166)
17 awafariji na kuifanya imara mioyo yenu katika kila neno na kazi njema.
awasowelezye na gombe amoyo genyu, ashilile inzuri ni mbombo inyinza.

< 2 Wathesalonike 2 >