< 2 Wathesalonike 2 >

1 Sasa kuhusu kuja kwa Bwana wetu Yesu Kristo na kukusanywa pamoja ili tuwe naye: tunawaomba ninyi ndugu zetu,
Tumbwe husu icha kwa Nngwana witu Yesu kwembania pamo linga tube na ywembe: tunda kunnoba mwenga mwalongo bitu.
2 kwamba msisumbuliwe wala kutabishwa kwa urahisi, kwa roho, au kwa ujumbe au kwa barua inayoonkana kuwa imetoka kwetu, ikisema ya kuwa siku ya Bwana tayari imekuja.
kwamba kana bachumbwe na kutabisha kwa rahisi, kwa mwoyo au habari au kwa barua yaibonekana kuwa ya ipita kwinu, ya ibaya ya kuwa lichuba lya Nngwana tayari iichile.
3 Mtu na asiwadanganye kwa namna yoyote. Kwa kuwa haitakuja mpaka lile anguko litokee kwanza na mtu wa uasi afunuliwe, yule mwana wa uharibifu.
Mundu kana ankonge kwa namna yeyote kwa kuwa iicha lii mpaka wulo mtumboko wa kwanza upite mundu nnau abonekane yuloo mwana nnau.
4 Huyu ndiye apingaye naye hujiinua mwenyewe akimpinga Mungu na chochote kinachoabudiwa. Na matokeo yake, hukaa kwenye hekalu la Mungu na kujionyesha yeye kuwa kama Mungu.
Hayu nga ywakanaye ywaipuna mwene ywankana Nnongo na chochote cha kiabudiwa. Na matokeo gake Tama pahekalu la Nnongo na kuilangiya ywembe kati Nnongo.
5 Je, hamkumbuki kuwa nilipokuwa nanyi niliwaambia juu ya mambo haya?
mkumbukyali bulii panibile na mwenga na mmakiye husu ikowe Kati yii?
6 Sasa mnajua kile kinachomzuia, ili kwamba aweze kufunuliwa kwa wakati sahihi utakapowadia.
Tumbwe ndangite chilo chakinzuia, linga aweche kukumukwa kwa wakati wene wapalikwa.
7 Kwa kuwa siri ya yule mtu mwenye kuasi inafanya kazi mpaka sasa, ila tu kuna anaye mzuia sasa mpaka atakapotolewa njiani.
Siri ya yolo mundu nnau ipanga lyengo mpaka nambiambi, ila kuina ywazuia nambiambi mpaka bamuye mundela.
8 Ndipo yule mwenye kuasi atakapofunuliwa, amabaye Bwana Yesu atamwua kwa pumzi ya kinywa chake. Bwana atamfanya kuwa si chochote kwa ufunuo wa ujio wake.
Nga yulo nnau ngaba pamuhukwa ambaye Nngwana Yesu apakumulana kwa mbunuo ya nkano wake. Nngwana apangali apakuchelewa kwa paumukwa kwa icha kwake.
9 Ujio wa yule mwenye kuasi utakuwa kwa sababu ya kazi ya shetani kwa nguvu zote, ishara na maajabu ya uongo,
Icha kwa yulo nnau kupapanga kwa lyengo shetani kwa ngupu yote, ishara na maajabu ga ubochuu,
10 na uongo wote wenye udhalimu. Mambo haya yatakuwepo kwa wale wanaopotea, kwa sababu hawakuupokea upendo wa kweli kwa ajili ya kuokolewa kwao.
na ubochu woti wene ulau mambo ga gapabaa kwa balo babaoba kwa kuwa baupoki lii upendo wa kweli linga kombolewa kwabe.
11 Kwa sababu hiyo Mungu anawatumia kazi yenye uovu ili waamini uongo.
kwa kitumbu so Nnongo atumiya lyengo lya ubou linga baubili ubuchu.
12 Matokeo yake ni kwamba wote watahukumiwa, wale ambao hawakuamini ukweli bali wao hujifurahisha katika udhalimu.
Matokeo gake bote balau ukumilwa, balu babakotwike aminiya ukweli ila bembe kwipulaisha na mulau.
13 Lakini inatupasa tumshukuru Mungu kila mara kwa ajili yenu ndugu mpendwao na Bwana. Kwa sababu Bwana aliwachagua ninyi kama malimbuko ya wokovu kwa utakaso wa Roho na imani katika ile kweli.
itubidi tuchukuru Nnongo kila wakati kwa ajili yinu mwalongo mwampendilwe na Nngwana maana Nngwana achawi mwenga kati malimbo kunkombwa kwa kutakasa mwoyo na ubilya Kati yilo kweli.
14 Hiki ndicho alichowaitieni ninyi, kwamba kupitia injili muweza kuupata utukufu wa Bwana wetu Yesu Kristo.
Asii nga sankemi mwenga, kwa ajili muwese pata heshimu kwa Nngwana witu Yesu Kirisitu.
15 Kwa hiyo, ndugu, simameni imara. Ueleweni ule utamaduni mliofundishwa, kwa neno au kwa barua yetu.
Kwa-nyo mwalongo muyime kwa likakala. muutange utamaduni wa mupundishilwe kwa makowe au barua yitu.
16 Sasa, Bwana wetu Yesu Kristo mwenyewe, na Mungu Baba yetu aliyetupenda na kutupa faraja ya milele na ujasiri mwema kwa ajili ya maisha yajayo kupitia neema, (aiōnios g166)
Twembe lelo Nngwana witu Yesu Kirisitu mwene, Nnongo Tati bitu babatuywa pendile na kumpea pole yangali yomoka na ujasiliwema was maisa gagaisa pitya nema. (aiōnios g166)
17 awafariji na kuifanya imara mioyo yenu katika kila neno na kazi njema.
Apei pole na kuupanga yeme ngupu miyo yinu na kila likowe na lyengo linannoga.

< 2 Wathesalonike 2 >