< 2 Wathesalonike 2 >

1 Sasa kuhusu kuja kwa Bwana wetu Yesu Kristo na kukusanywa pamoja ili tuwe naye: tunawaomba ninyi ndugu zetu,
Zizan ton yen vivren Rjinbu Yesu Almasihu ni shbinbu ni kun sonbu niu kin bra yin merveye.
2 kwamba msisumbuliwe wala kutabishwa kwa urahisi, kwa roho, au kwa ujumbe au kwa barua inayoonkana kuwa imetoka kwetu, ikisema ya kuwa siku ya Bwana tayari imekuja.
Kina tin fu gbagblana koni yaubshishi ni tremina ko ruhu ka tondun ko nha funfin wandi tin na kita kinnha wa nitra iton yen vivren Rji a yen yen.
3 Mtu na asiwadanganye kwa namna yoyote. Kwa kuwa haitakuja mpaka lile anguko litokee kwanza na mtu wa uasi afunuliwe, yule mwana wa uharibifu.
Ni duntworin gurna ko ta inghun rimin. Ni ngho yi in vima ri hei yen tsen fandarewa ni ye rin ba tsar mementin in kpa ti meme inviren wuka sun.
4 Huyu ndiye apingaye naye hujiinua mwenyewe akimpinga Mungu na chochote kinachoabudiwa. Na matokeo yake, hukaa kwenye hekalu la Mungu na kujionyesha yeye kuwa kama Mungu.
Uwayi ni tin gun ani ba tunma zakpe da ba yo inde Rji ko wa ba bauta'u idimba a ha anisun kursiyi Rji da ni ya yotunma Rji
5 Je, hamkumbuki kuwa nilipokuwa nanyi niliwaambia juu ya mambo haya?
Bina ton na iton wa ki ha ya yin me la yiu ipke biyin.
6 Sasa mnajua kile kinachomzuia, ili kwamba aweze kufunuliwa kwa wakati sahihi utakapowadia.
Zizan bin ton kpe a char tin zin anaki ba tsoro tun iton ma yin.
7 Kwa kuwa siri ya yule mtu mwenye kuasi inafanya kazi mpaka sasa, ila tu kuna anaye mzuia sasa mpaka atakapotolewa njiani.
Ko zizan ka brin nitin latre ni tin dun, tse de bin ba cha zin her ba zulu rin.
8 Ndipo yule mwenye kuasi atakapofunuliwa, amabaye Bwana Yesu atamwua kwa pumzi ya kinywa chake. Bwana atamfanya kuwa si chochote kwa ufunuo wa ujio wake.
Ni wa yin ba tsor vivre wukpa ti meme (tawaye) wa timbu vivre Rji ni ka surtun wa wu virin yo ma. Timbu ni gin kamye ba kperin ba ta nuna yema.
9 Ujio wa yule mwenye kuasi utakuwa kwa sababu ya kazi ya shetani kwa nguvu zote, ishara na maajabu ya uongo,
Itin wu kpa timeme ni yeri ni tun duma wa meme inbulin ni gbegle ma. alama da kpe mamaki unce.
10 na uongo wote wenye udhalimu. Mambo haya yatakuwepo kwa wale wanaopotea, kwa sababu hawakuupokea upendo wa kweli kwa ajili ya kuokolewa kwao.
Ba ta gur ni kpa tin meme inkpin bi yin ba zame ni bin ba ka sun tun don ba kamba huhu kpa su dindi di kpan ceto.
11 Kwa sababu hiyo Mungu anawatumia kazi yenye uovu ili waamini uongo.
Ni ta dalilin Rji tin gbegblema ni bin ba ha latre don ba kpa nyme ni che ba.
12 Matokeo yake ni kwamba wote watahukumiwa, wale ambao hawakuamini ukweli bali wao hujifurahisha katika udhalimu.
Idimba ba rin latre, bin wa ba ba kpa nyme ni jayi ba na taba jin rashi tin dindina.
13 Lakini inatupasa tumshukuru Mungu kila mara kwa ajili yenu ndugu mpendwao na Bwana. Kwa sababu Bwana aliwachagua ninyi kama malimbuko ya wokovu kwa utakaso wa Roho na imani katika ile kweli.
Kin be tsro girbu chachu ni vivre Rji ni bi yin merveye watimbu ne sanyin intimbu chun yin di bin merma unrin si sur bu krekreme ni ruhu ki kpanyme ni janji.
14 Hiki ndicho alichowaitieni ninyi, kwamba kupitia injili muweza kuupata utukufu wa Bwana wetu Yesu Kristo.
Uwayin shine akpe wa a yota ni wawu ta wuin kpa Bishararmu nikine kpan dindima ni timbu yesu Almasihu.
15 Kwa hiyo, ndugu, simameni imara. Ueleweni ule utamaduni mliofundishwa, kwa neno au kwa barua yetu.
To mereveyinmu krin kpakba ni rike al'adu kitsro yin, ko to inlan ko ta ta ahofunfunbu.
16 Sasa, Bwana wetu Yesu Kristo mwenyewe, na Mungu Baba yetu aliyetupenda na kutupa faraja ya milele na ujasiri mwema kwa ajili ya maisha yajayo kupitia neema, (aiōnios g166)
Ziza ki dun baci vivre Yesu Almasihu tun ma di Rji titibu wa sonta a nota imesur wu ka kur sur dan gbitun dindima dan ko shishi ki tin dindi. (aiōnios g166)
17 awafariji na kuifanya imara mioyo yenu katika kila neno na kazi njema.
A noyin si sur da me sur bi ni ko wani iri dun dindi di la'tre.

< 2 Wathesalonike 2 >