< 2 Samweli 1 >

1 Baada ya kifo cha Sauli, Daud alirudi kutoka kuwashambulia Waamaleki na akakaa Siklagi kwa siku mbili.
Solo da bogoloba, Da: ibidi da A: malege fi dunu ilima hasalasilalu, Sigela: ge moilai bai bagadega buhagili, eso aduna esalu.
2 Siku ya tatu, mtu mmoja alikuja kutoka kambi ya Sauli nguo zake zikiwa zimeraruliwa na akiwa na vumbi juu ya kichwa chake. Alipofika kwa Daudi alinamisha uso wake chini akajifanya yeye mwenyewe kuwa si kitu.
Amalalu, diahabe goi ayeligi afae da Solo ea fisisu awali diasu amoganini manebe ba: i. Ea da: i dioi dawa: digima: ne, e abula gadelale amola e da osobo ea dialuma da: iya duduli gala: i ba: i. E da Da: ibidima misini, ema nodone dawa: digima: ne osoboga beguduli diasa: i.
3 Daudi akamuliza, “Unatoka wapi?” Yeye akajibu, “Nimeponyoka kutoka kambi ya Israeli.”
Da: ibidi da ema amane adole ba: i, “Di da habogainini misibala: ?” Ayeligi da bu adole i, “Na da Isala: ili ilia ha wa: i fisisu amoganini hobeale misi.”
4 Daudi akamwambia, “Tafadhari nieleze jinsi mambo yalivyokuwa.” Akajibu, “Watu walikimbia kutoka vitani. Wengi wameanguka, na wengi wao wameuawa. Sauli na Yonathani mwanawe pia wameuawa.”
Da: ibidi da amane sia: i, “Di da gegei amo hou huluane nama adodole ima.” Ayeligi dunu da amane sia: i, “Ninia dadi gagui dunu da huluane gegesu amoba: le hobeale asi dagoi. Amaiba: le, ninia dunu da bagohame bogogia: i dagoi. Solo amola ea mano Yonada: ne da elegalu bogoi dagoi.”
5 Daudi akamwuliza kijana, “unajuaje kuwa Sauli na Yonathani mwanawe wameuawa?”
Da: ibidi da ema adole ba: i, “Di da Solo amola Yonada: ne ela bogoi da habodane dawa: bela: ?”
6 Yule kijana akajibu, “Kwa bahati nilikuwa juu ya Mlima Gilboa, na pale alikuwepo Sauli ameegemea mkuki wake, na magari ya farasi na waongozaji walikuwa karibu kumkamata.
Ayeligi da bu adole i, “Na da Giliboua agolo amo da: iya lela ba: i, Solo da ea gogega udidili lelebe ba: i, amola ha lai dunu ilia sa: liode, amola dunu ilia da hosi da: iya fila heda: i amola da gagadenena ahoanebe ba: i.
7 Sauli alipogeuka aliniona na akaniita. Nikajibu, 'Mimi hapa.'
Amalu Solo da beba: loba, na ba: beba: le, e da nama wele sia: i. Na da bu ema adole i `Wae! Ada!’
8 Akaniuliza, 'Wewe ni nani?' Nikamjibu, 'Mimi ni Mwamaleki,'
E da na nowayale naba ba: i. Na da bu adole i, `Na da A: malege dunu.’
9 Akaniambia, Tafadhari simama juu yangu uniuwe, kwa kuwa shida kubwa imenipata, lakini uhai ungalimo ndani yangu.'
Amalu e da amane sia: i, `Di da guiguda: misini, na fane legema! Na da baligiliwane fane odahida: iba: le, na da bogomu gadenei esala.’
10 Hivyo nilisimama juu yake nikamuuwa, kwa maana nilijua kwamba asingeweza kuishi baada ya kuwa ameanguka. Ndipo nikachukuwa taji iliyokuwa juu ya kichwa chake na kikuku kilichokuwa mkononi mwake, na nimevileta hapa kwako, bwana wangu.”
Amaiba: le, na da ema gadenena heda: le, e fane legei dagoi. Bai na dawa: loba ea bogomu asigi dawa: su amo gisigisia, bogomu agoane ba: i. Amanoba na da ea dialuma da: iya habuga amola ea lobofasele fei huluane lale, dima gaguli misi wea!”
11 Kisha Daudi akararua mavazi yake, na watu wote waliokuwa pamoja naye wakafanya vilevile.
Da: ibidi da da: i dione fofagiba: le, ea abula huluane gagadelai. Amola ea fi dunu ilia da amo defele ilila: abula gagadelai.
12 Walilia, wakaomboleza na kufunga mpaka jioni kwa ajili ya Sauli, Yonathani mwanawe, watu wa Yahwe, na kwa ajili ya nyumba ya Israeli kwa maana wameanguka kwa upanga.
Ilia da Hina Gode Ea fi Isala: ili dunu bagohame amola Solo amola Yonada: ne ilia da bogogia: i amo dawa: beba: le, ilia da ha: i mae nawane didigia: lala soge gasi.
13 Daudi akamwambia yule kijana, “Unatokea wapi?” Akajibu, mimi ni kijana wa mgeni Mwamaleki.”
Da: ibidi da amo sia: gaguli misi ayeligi ema adole ba: i, “Di da nowa fi dunula: ?” E da bu adole i, “Na da A: malege fi dunu, be amomane na da soge dia ouligi amo ganodini esala.”
14 Daudi akamwambia, “Kwa nini haukuogopa kumwua mfalme, mtiwa mafuta wa Yahwe kwa mkono wako?”
Da: ibidi da ema amane adole ba: i, “Abuliba: le di da Hina Gode Ea ilegei Hina bagade amo fane legemu amo hame beda: bela: ?”
15 Daudi akamwita mmojawapo wa vijana na akamwambia, “Nenda ukamuue.” Hivyo kijana huyo akaenda na kumpiga hata ata chini, Mwamaleki akafa.
Amalu, Da: ibidi da ea dunu afae misa: ne sia: i, amalu ema amane sia: i, “Goe dunu fane legema!” Amabeba: le, e da amo ayeligi fane legei dagoi.
16 Ndipo Daudi akamwambia Mwamaleke aliyekufa, “Damu yako iwe juu ya kichwa chako kwa kuwa kinywa chako kimeshuhudia dhidi yako kusema, Nimemuua mfalme mtiwa mafuta wa Yahwe.
Amola Da: ibidi da A: malege dunu bogolala amo ba: lu, e da amane sia: i, “Di bogoma: ne di fawane olela misi dagoi. Di da Hina Gode Ea ilegei hina bagade amo dia fane legei sia: i dagoiba: le, di fawane da dima bogoma: ne fofada: i dagoi.”
17 Ndipo Daudi akaimba wimbo wa maombolezo juu ya Sauli na Yonathani mwanawe.
Da: ibidi da Solo amola egefe Yonada: ne elama asigili, goe fofagini disu gesami hea: i.
18 Akawaamuru watu kuufundisha wimbo wa Bow kwa wana wa Yuda, ambao umeandikwa katika Kitabu cha Yashari.
Amola Da: ibidi da amo gesami ilia da Yuda dunu fi huluane ilima olelema: ne sia: i. (Amo gesami da Ya: isia Buga ganodini dialoma: ne dedene legei.)
19 “Utukufu wako, Israel, umeondolewa, umeondolewa juu ya mahali pako pa juu! Jinsi mwenye nguvu alivyoanguka!
“Isala: ili agolo amo da: iya ninia ouligisu dunu da bogogia: i dagoi. Ninia gasa bagadedafa dadi gagui dunu bagohame da amogai dafane bogoi dagoi.
20 Msiiseme katika Gathi, msiitangaze katika mitaa ya Ashikeloni, ili binti za wafilisti wasifurahi, ili binti za wasiotailiwa wasisherehekee.
Ga: de moilai bai bagadega amola Asegelone logoga maedafa adole gama. Filisidini uda ilia hahawane nodosa: besa: le, mae adole gama. Wadela: i fi ilia idiwi ilia gadele osa: besa: le, mae sia: ma.
21 Milima ya Gilboa, kusiwe na umande au mvua juu yenu. wala mashamba yasitoe nafaka kwa ajili ya sadaka, kwa maana hapo ngao ya mwenye nguvu imeharibiwa. Ngao ya Sauli haiwezi tena kutiwa mafuta.
Giliboua agolo amoga da gibu amola oubi mogele hamedafa sa: imu da defea. Giliboua bugili nasu soge amoga ha: i manu hamedafa heda: mu da defea. Ninia gasa bagade dadi gagui dunu ilia ibidigi da ilia gogosiasu olelema: ne amogai diafula. Be Solo ea ibidigi da doga: le susuligi amoga legesu, be wali da hame legesa.
22 Kutoka katika damu ya waliouawa, kutoka katika miili ya wenye nguvu, upinde wa Yonathani haukurudi nyuma, na upanga wa Sauli haukurudi patupu.
Yonada: ne ea dadi da giolasi galu. Be Solo ea gegesu gobihei sedadega mae dawa: le, buluduli fane legele, maga: me bususu dawa: i.
23 Sauli na Yonathani walikuwa wakipendwa na walikuwa wenye neema maishani, hata wakati wa mauti yao walikuwa pamoja. Walikuwa na kasi kuliko tai, walikuwa na nguvu kuliko simba.
Solo amola Yonada: ne ela da noga: idafa amola hahawanedafa galu. Ele galu esalu, amola ele galu bogoi. Ela da buhiba ea hagili ahoasu baligi, amola elea gasa da laione wa: me ea gasa baligi dagoi.
24 Enyi binti wa Israeli lieni juu ya Sauli, aliyewavika mavazi ya thamani pamoja na vito vya thamani, na aliyetia mapambo ya dhahabu katika mavazi yenu.
Dilia Isala: ili uda! Dilia huluane Soloma asigiba: le dadawa: loma. E da dilima abula yoi noga: idafa dilima ga: ma: ne i. Amola e da dili nina: hamoma: ne, gouli amola igi ida: iwane dilima iasu.
25 Jinsi wenye nguvu walivyoanguka vitani! Yonathani ameuawa juu ya mahali pako pa juu.
Ninia gesa: i dadi gagui dunu ilia da dafane bogogia: i. Ilia da gegenana bogogia: i. Yonada: ne da agolo amoga dafane bogoi diala.
26 Nimesikitishwa sana kwa ajili yako, Yonathani ndugu yangu. Ulikuwa mpendwa wangu sana. Upendo wako kwangu ulikuwa wa ajabu, ukipita upendo wa wanawake.
Naeya Yonada: ne! Na da diha fofagini disa. Di da na dogolegeidafa galu. Amola di da nama dogolegeidafa galu. Dia nama dogolegesu hou da udama magedasu hou amo da baligili ba: su.
27 Jinsi wenye nguvu walivyoanguka na silaha za vita zimeteketea!”
Gesa: i dadi gagui da dafane bogoi dagoi. Ilia gegesu liligi da udigili fisili, gugunufinisi dagoi ba: sa.”

< 2 Samweli 1 >