< 2 Samweli 8 >

1 ikawa baada ya haya Daudi aliwashambulia Wafilisti na kuwashinda. Hivyo Daudi akaichukua Gathi na vijiji vyake kutoka katika mamlaka ya wafilisti.
Bir süre sonra Davut Filistliler'i yenip boyunduruğu altına aldı ve Meteg-Amma'yı Filistliler'in yönetiminden çıkardı.
2 Kisha akaishinda Moabu na akawapima watu wake kwa mstari kwa kuwafanya walale chini juu ya ardhi. Alipima mistari miwili ya kuua, na mstari mmoja kamili kuwahifadhi hai. Hivyo Wamoabu wakawa watumishi wa Daudi na wakaanza kumlipa kodi.
Moavlılar'ı da bozguna uğrattı. Onları yere yatırıp iple ölçtü. Ölçtüğü iki sırayı öldürdü, bir bütün sırayı sağ bıraktı. Moavlılar Davut'un haraç ödeyen köleleri oldular.
3 Kisha Daudi akamshinda Hadadezeri mwana wa Rehobu, mfalme wa Soba, Hadadezeri aliposafiri kuurudisha ufalme wake katika mto Frati.
Davut Fırat'a kadar krallığını yeniden kurmaya giden Sova Kralı Rehov oğlu Hadadezer'i de yendi.
4 Daudi aliteka magari 1, 700 ya farasi na askari ishirini elfu waendao kwa miguu. Daudi akawakata miguu farasi wa magari, lakini akahifadhi wakutosha magari mia moja.
Bin yedi yüz atlısıyla yirmi bin yaya askerini ele geçirdi. Yüz savaş arabası için gereken atların dışındaki bütün atları da sakatladı.
5 Wakati Washami wa Dameski walipokuja kumsaidia Hadadeziri mfalme wa Soba, Daudi akaua katika Washami watu ishirini na mbili elfu.
Sova Kralı Hadadezer'e yardıma gelen Şam Aramlıları'ndan yirmi iki bin kişiyi öldürdü.
6 Daudi akaweka ngome huko Shamu ya Dameski, na Washami wakawa watumishi wake na wakaleta kodi. Yahwe akampa Daudi ushindi kila alikokwenda.
Sonra Şam Aramlıları'nın ülkesine askeri birlikler yerleştirdi. Onlar da Davut'un haraç ödeyen köleleri oldular. RAB Davut'u gittiği her yerde zafere ulaştırdı.
7 Daudi akachukua ngao za dhahabu walizokuwa nazo watumishi wa Hadadezeri naye akazileta Yerusalemu.
Davut Hadadezer'in komutanlarının taşıdığı altın kalkanları alıp Yeruşalim'e götürdü.
8 Mfalme Daudi akachukua shaba nyingi kutoka Beta na Berosai, miji ya Hadadezeri.
Ayrıca Hadadezer'in yönetimindeki Betah ve Berotay kentlerinden bol miktarda tunç aldı.
9 Wakati Tou, mfalme wa Hamathi, aliposikia kwamba Daudi amelishinda jeshi lote la Hadadezeri,
Hama Kralı Toi, Davut'un Hadadezer'in bütün ordusunu bozguna uğrattığını duydu.
10 Tou akamtuma Hadoramu mwanawe kwa mfalme Daudi kumpa salamu na kumbariki, kwa kuwa Daudi alikuwa amepigana na Hadadezeri na kumshinda, maana Hadadezeri alikuwa amepiga vita dhidi ya Tou. Hadoramu akaja pamoja na vitu vya fedha, dhahabu, na shaba.
Toi Kral Davut'u selamlamak ve Hadadezer'le savaşıp yendiği için onu kutlamak üzere oğlu Yoram'ı ona gönderdi. Çünkü Toi Hadadezer'le sürekli savaşmıştı. Yoram Davut'a altın, gümüş, tunç armağanlar getirdi.
11 Mfalme Daudi akaviweka wakfu vitu hivi kwa ajili ya Yahwe, pamoja na fedha na dhahabu kutoka katika mataifa yote aliyokuwa ameyashinda-
Kral Davut bu armağanları yendiği bütün uluslardan –Aram, Moav, Ammonlular, Filistliler ve Amalekliler'den– ele geçirdiği altın ve gümüşle birlikte RAB'be adadı. Bunun yanısıra Sova Kralı Rehov oğlu Hadadezer'den yağmalanan altınla gümüşü de RAB'be adadı.
12 kutoka Shamu, Moabu, Waamoni, Wafilist, Waamaleki, pamoja na nyara zote alizoziteka kutoka kwa Hadadezeri mwana wa Rehobu, mfalme wa Soba.
13 Jina la Daudi likajulikana sana alipowashinda washami katika bonde la Chumvi, pamoja na watu wao wapatao elfu kumi na nane.
Davut Tuz Vadisi'nde on sekiz bin Edomlu öldürüp dönünce üne kavuştu.
14 Akaweka ngome katika Edomu yote, na Waedomu wote wakawa watumishi wake. Yahwe akampa Daudi ushindi kila alipokwenda.
Edom'un her yanına askeri birlikler yerleştirdi. Edomlular'ın tümü Davut'un köleleri oldular. RAB Davut'u gittiği her yerde zafere ulaştırdı.
15 Daudi akatawala juu ya Israeli yote, naye akatenda kwa haki na usawa kwa watu wote.
Bütün İsrail'de krallık yapan Davut halkına doğruluk ve adalet sağladı.
16 Yoabu mwana wa Seruya alikuwa mkuu wa jeshi, na Yehoshafati mwana wa Ahiludi alikuwa mwenye kuandika taarifa.
Seruya oğlu Yoav ordu komutanı, Ahilut oğlu Yehoşafat devlet tarihçisiydi.
17 Sadoki mwana wa Ahitubu na Ahimeleki mwana wa Abiathari walikuwa makuhani, na Seraya alikuwa mwandishi.
Ahituv oğlu Sadok'la Aviyatar oğlu Ahimelek kâhin, Seraya yazmandı.
18 Benaya mwana wa Yehoyada alikuwa juu ya Wakerethi na Wapelethi, na wana wa Daudi walikuwa washauri wa mfalme.
Yehoyada oğlu Benaya Keretliler'le Peletliler'in komutanıydı. Davut'un oğullarıysa kâhindi.

< 2 Samweli 8 >