< 2 Samweli 8 >

1 ikawa baada ya haya Daudi aliwashambulia Wafilisti na kuwashinda. Hivyo Daudi akaichukua Gathi na vijiji vyake kutoka katika mamlaka ya wafilisti.
Kalpasan daytoy immay ti tiempo a rinaut ni David dagiti Filisteo ket naparmekna ida. Isu a tinagikua ni David ti Gat ken dagiti luglugar manipud iti turay ti Filistia.
2 Kisha akaishinda Moabu na akawapima watu wake kwa mstari kwa kuwafanya walale chini juu ya ardhi. Alipima mistari miwili ya kuua, na mstari mmoja kamili kuwahifadhi hai. Hivyo Wamoabu wakawa watumishi wa Daudi na wakaanza kumlipa kodi.
Ket pinarmekna ti Moab ken rinukodna dagiti tattaoda iti linia babaen iti panangpaiddana kadakuada iti daga. Nangrukod isuna iti dua a linia a mapapatay, ken maysa a buo a linia nga agtalinaed a sibibiag. Isu a nagbalin nga adipen ni David dagiti Moabita ket nangrugida a nagbayad iti buis kenkuana.
3 Kisha Daudi akamshinda Hadadezeri mwana wa Rehobu, mfalme wa Soba, Hadadezeri aliposafiri kuurudisha ufalme wake katika mto Frati.
Pinarmek ngarud ni David ni Adadezer a putot a lalaki ni Rehob, ti ari ti Soba, kabayatan nga agdaldaliasat ni Adadezer tapno mapasublina ti turayna iti abay ti Karayan Eufrates.
4 Daudi aliteka magari 1, 700 ya farasi na askari ishirini elfu waendao kwa miguu. Daudi akawakata miguu farasi wa magari, lakini akahifadhi wakutosha magari mia moja.
Tiniliw ni David manipud kenkuana ti 1, 700 a karwahe ken 20, 000 a magmagna a soldado. Pinilay ni David dagiti amin a pangkarwahe a kabalio, ngem nangibati ti umdas a pagpaguyodda iti sangagasut a karwahe.
5 Wakati Washami wa Dameski walipokuja kumsaidia Hadadeziri mfalme wa Soba, Daudi akaua katika Washami watu ishirini na mbili elfu.
Idi dimteng dagiti Arameo a taga Damasco a mangtulong kenni Adadezer nga ari ti Soba, pinapatay ni David ti 22, 000 a lallaki nga Arameo.
6 Daudi akaweka ngome huko Shamu ya Dameski, na Washami wakawa watumishi wake na wakaleta kodi. Yahwe akampa Daudi ushindi kila alikokwenda.
Ket nangipatakder ni David ti kampo ti soldado idiay Aram iti Damasco, ket nagbalin nga adipenna dagiti Arameo ken nangbuisda kenkuana. Pinagballigi ni Yahweh ni David iti sadinoman a napananna.
7 Daudi akachukua ngao za dhahabu walizokuwa nazo watumishi wa Hadadezeri naye akazileta Yerusalemu.
Innala ni David dagiti balitok a kalasag nga adda kadagiti adipen ni Adadezer ket inyapanna dagitoy idiay Jerusalem.
8 Mfalme Daudi akachukua shaba nyingi kutoka Beta na Berosai, miji ya Hadadezeri.
Adu a bronse ti innala ni Ari David manipud Beta ken Berotai, dagiti siudad ni Adadezer.
9 Wakati Tou, mfalme wa Hamathi, aliposikia kwamba Daudi amelishinda jeshi lote la Hadadezeri,
Idi nangngeg ni Toi nga ari ti Hamat, a pinarmek ni David dagiti amin nga armada ni Adadezer,
10 Tou akamtuma Hadoramu mwanawe kwa mfalme Daudi kumpa salamu na kumbariki, kwa kuwa Daudi alikuwa amepigana na Hadadezeri na kumshinda, maana Hadadezeri alikuwa amepiga vita dhidi ya Tou. Hadoramu akaja pamoja na vitu vya fedha, dhahabu, na shaba.
imbaon ni Toi ti putotna a lalaki a ni Joram tapno kablaawanna ken bendisionanna ni Ari David, gapu ta nakiranget ni David maibusor kenni Adadezer ket pinarmekna isuna, ken gapu ta nakirangranget idi ni Adadezer kenni Toi. Nangitugot ni Joram kadagiti alikamen a pirak, balitok, ken bronse.
11 Mfalme Daudi akaviweka wakfu vitu hivi kwa ajili ya Yahwe, pamoja na fedha na dhahabu kutoka katika mataifa yote aliyokuwa ameyashinda-
Insagut ni David dagitoy nga alikamen kenni Yahweh, agraman dagiti pirak ken balitok a naggapu kadagiti nasion a sinaksakupna—
12 kutoka Shamu, Moabu, Waamoni, Wafilist, Waamaleki, pamoja na nyara zote alizoziteka kutoka kwa Hadadezeri mwana wa Rehobu, mfalme wa Soba.
manipud Aram, Moab, kadagiti tattao iti Ammon, dagiti Filisteo, ken Amalec, agraman dagiti amin a sinamsamna nga alikamen ni Adadezer a putot a lalaki ni Rehob nga Ari ti Soba.
13 Jina la Daudi likajulikana sana alipowashinda washami katika bonde la Chumvi, pamoja na watu wao wapatao elfu kumi na nane.
Nalatak ni nagan ni David idi nagawid isuna manipud iti panangsakupna kadagiti Arameo agraman kadagiti 18, 000 a lallaki idiay Tanap ti Asin.
14 Akaweka ngome katika Edomu yote, na Waedomu wote wakawa watumishi wake. Yahwe akampa Daudi ushindi kila alipokwenda.
Nangipasdek isuna iti kampo ti soldado iti entero nga Edom, ken nagbalin nga adipenna dagiti amin nga Edomita. Pinagballigi ni Yahweh ni David sadinoman ti napnapananna.
15 Daudi akatawala juu ya Israeli yote, naye akatenda kwa haki na usawa kwa watu wote.
Nagari ni David iti entero nga Israel, ken impatungpalna ti hustisia ken kinalinteg kadagiti amin a tattaona.
16 Yoabu mwana wa Seruya alikuwa mkuu wa jeshi, na Yehoshafati mwana wa Ahiludi alikuwa mwenye kuandika taarifa.
Ni Joab a putot a lalaki ni Zeruyas ti pangulo ti armada, ken ni Johosafat a putot a lalaki ni Ahilud ti taga-lista.
17 Sadoki mwana wa Ahitubu na Ahimeleki mwana wa Abiathari walikuwa makuhani, na Seraya alikuwa mwandishi.
Ni Zadok a putot a lalaki ni Ahitub ken Ahimelec a putot a lalaki ni Abiatar dagiti papadi, ken ni Seraias ti eskriba.
18 Benaya mwana wa Yehoyada alikuwa juu ya Wakerethi na Wapelethi, na wana wa Daudi walikuwa washauri wa mfalme.
Ni Benaias a putot a lalaki ni Jehoyaba ti pangulo dagiti Cereteo ken dagiti Filiteo, ken dagiti putot a lallaki ni David ti kangatuan a mangmagbaga ti ari.

< 2 Samweli 8 >