< 2 Samweli 8 >
1 ikawa baada ya haya Daudi aliwashambulia Wafilisti na kuwashinda. Hivyo Daudi akaichukua Gathi na vijiji vyake kutoka katika mamlaka ya wafilisti.
Og det skete derefter, at David slog Filisterne og ydmygede dem, og David tog Metheg-Ha-Amma ud af Filisternes Haand.
2 Kisha akaishinda Moabu na akawapima watu wake kwa mstari kwa kuwafanya walale chini juu ya ardhi. Alipima mistari miwili ya kuua, na mstari mmoja kamili kuwahifadhi hai. Hivyo Wamoabu wakawa watumishi wa Daudi na wakaanza kumlipa kodi.
Og han slog Moabiterne og maalte dem med en Snor, idet han lod dem lægge sig paa Jorden, og han maalte to Snore fulde til at slaa ihjel, og en Snor fuld til at lade leve; saa bleve Moabiterne Davids Tjenere, og de bragte ham Skænk.
3 Kisha Daudi akamshinda Hadadezeri mwana wa Rehobu, mfalme wa Soba, Hadadezeri aliposafiri kuurudisha ufalme wake katika mto Frati.
David slog og Hadad-Eser, Rekobs Søn, Kongen i Zoba, der denne drog hen at vende sin Haand mod Floden Frat.
4 Daudi aliteka magari 1, 700 ya farasi na askari ishirini elfu waendao kwa miguu. Daudi akawakata miguu farasi wa magari, lakini akahifadhi wakutosha magari mia moja.
Og David tog fra ham tusinde og syv Hundrede Ryttere og tyve Tusinde Mand Fodfolk, og David lammede alle Vognheste og lod hundrede Heste blive tilovers af dem.
5 Wakati Washami wa Dameski walipokuja kumsaidia Hadadeziri mfalme wa Soba, Daudi akaua katika Washami watu ishirini na mbili elfu.
Men Syrerne af Damaskus kom for at hjælpe Hadad-Eser, Kongen af Zoba, og David slog af Syrerne to og tyve Tusinde Mænd.
6 Daudi akaweka ngome huko Shamu ya Dameski, na Washami wakawa watumishi wake na wakaleta kodi. Yahwe akampa Daudi ushindi kila alikokwenda.
Og David lagde Besætning i det damascenske Syrien; saa bleve Syrerne Davids Tjenere, som bragte ham Skænk; og Herren frelste David, ihvor han drog hen.
7 Daudi akachukua ngao za dhahabu walizokuwa nazo watumishi wa Hadadezeri naye akazileta Yerusalemu.
Og David tog de Guldskjolde, som vare hos Hadad-Esers Tjenere, og førte dem til Jerusalem.
8 Mfalme Daudi akachukua shaba nyingi kutoka Beta na Berosai, miji ya Hadadezeri.
Men af Betha og af Berothaj, Hadad-Esers Stæder, tog Kong David saare meget Kobber.
9 Wakati Tou, mfalme wa Hamathi, aliposikia kwamba Daudi amelishinda jeshi lote la Hadadezeri,
Der Thoi, Kongen af Hamath, hørte, at David havde slaget hele Hadad-Esers Hær,
10 Tou akamtuma Hadoramu mwanawe kwa mfalme Daudi kumpa salamu na kumbariki, kwa kuwa Daudi alikuwa amepigana na Hadadezeri na kumshinda, maana Hadadezeri alikuwa amepiga vita dhidi ya Tou. Hadoramu akaja pamoja na vitu vya fedha, dhahabu, na shaba.
da sendte Thoi sin Søn Joram til Kong David for at hilse ham og for at velsigne ham, fordi han havde stridt imod Hadad-Eser og slaget ham; thi Hadad-Eser førte stedse Krig imod Thoi; og han havde Sølvkar og Guldkar og Kobberkar med sig.
11 Mfalme Daudi akaviweka wakfu vitu hivi kwa ajili ya Yahwe, pamoja na fedha na dhahabu kutoka katika mataifa yote aliyokuwa ameyashinda-
Ogsaa dem helligede Kong David for Herren, tillige med det Sølv og det Guld, som han helligede fra alle de Hedninger, som han havde undertvunget,
12 kutoka Shamu, Moabu, Waamoni, Wafilist, Waamaleki, pamoja na nyara zote alizoziteka kutoka kwa Hadadezeri mwana wa Rehobu, mfalme wa Soba.
fra Syrien og fra Moab og fra Ammons Børn og fra Filisterne og fra Amalek og af Byttet fra Hadad-Eser, Rekobs Søn, Kongen af Zoba.
13 Jina la Daudi likajulikana sana alipowashinda washami katika bonde la Chumvi, pamoja na watu wao wapatao elfu kumi na nane.
Og David gjorde sig navnkundig, der han kom tilbage, efter at han havde slaget Syrerne, og (slog af Edomiterne) udi Saltdalen atten Tusinde.
14 Akaweka ngome katika Edomu yote, na Waedomu wote wakawa watumishi wake. Yahwe akampa Daudi ushindi kila alipokwenda.
Og han lagde Besætning udi Edom, udi hele Edom lagde han Besætning, og alle Edomiterne bleve Davids Tjenere; og Herren frelste David, ihvor han drog hen.
15 Daudi akatawala juu ya Israeli yote, naye akatenda kwa haki na usawa kwa watu wote.
Saa var David Konge over al Israel, og David gjorde Ret og Retfærdighed for alt sit Folk.
16 Yoabu mwana wa Seruya alikuwa mkuu wa jeshi, na Yehoshafati mwana wa Ahiludi alikuwa mwenye kuandika taarifa.
Og Joab, Zerujas Søn, var over Hæren, og Josafat, Ahiluds Søn, var Historieskriver;
17 Sadoki mwana wa Ahitubu na Ahimeleki mwana wa Abiathari walikuwa makuhani, na Seraya alikuwa mwandishi.
og Zadok, Ahitubs Søn, og Akimelek, Abjathars Søn, vare Præster, og Seraja var Skriver;
18 Benaya mwana wa Yehoyada alikuwa juu ya Wakerethi na Wapelethi, na wana wa Daudi walikuwa washauri wa mfalme.
og Benaja, Jojadas Søn, var over de Krethi og de Plethi, og Davids Sønner vare hans ypperste Raad.