< 2 Samweli 7 >

1 Ikawa mfalme alipokuwa amekwisha kukaa katika nyumba yake, na baada ya Yahwe kuwa amemstarehesha kutokana na adui zake wate waliomzunguka,
and to be for to dwell [the] king in/on/with house: palace his and LORD to rest to/for him from around from all enemy his
2 mfalme akamwambia nabii Nathani, “Tazama, mimi ninaishi katika nyumba ya mierezi, lakini sanduku la Mungu lipo hemani.
and to say [the] king to(wards) Nathan [the] prophet to see: behold! please I to dwell in/on/with house: home cedar and ark [the] God to dwell in/on/with midst [the] curtain
3 Basi Nathani akamwambia mfalme, “Nenda, fanya lililo moyoni mwako, kwa maana Yahwe yupo nawe.”
and to say Nathan to(wards) [the] king all which in/on/with heart your to go: went to make: do for LORD with you
4 Lakini usiku usiku uleule neno la Yahwe lilimjia Nathani kusema,
and to be in/on/with night [the] he/she/it and to be word LORD to(wards) Nathan to/for to say
5 “Nenda na umwambie mtumishi wangu Daudi, 'Hivi ndivyo asemavyo Yahwe: Je utanijengea nyumba ya kuishi?”
to go: went and to say to(wards) servant/slave my to(wards) David thus to say LORD you(m. s.) to build to/for me house: home to/for to dwell me
6 Kwa maana sijawai kuishi katika nyumba tangu siku ile nilipowaleta wana wa Israeli kutoka Misri hata leo; badala yake nimekuwa nikitembea katika hema, hema la kukutania.
for not to dwell in/on/with house: home to/for from day: today to ascend: establish I [obj] son: descendant/people Israel from Egypt and till [the] day: today [the] this and to be to go: walk in/on/with tent and in/on/with tabernacle
7 Mahali pote ambapo nimekuwa nikihama miongoni mwa wana wote wa Israeli, Je niliwai kusema lolote na viongozi wa Israeli niliowaweka kuwachunga watu wangu Israeli, kusema, “Kwa nini hamjanijengea nyumba ya mierezi?”
in/on/with all which to go: walk in/on/with all son: descendant/people Israel word to speak: speak with one tribe: ruler Israel which to command to/for to pasture [obj] people my [obj] Israel to/for to say to/for what? not to build to/for me house: home cedar
8 Sasa basi, mwambie Daudi, mtumishi wangu, “Hiki ndicho asemacho Yahwe wa majeshi: 'Nilikutwaa kutoka machungani, kutoka katika kuwafuata kondoo, ili uwe mtawala juu ya watu wangu Israeli.
and now thus to say to/for servant/slave my to/for David thus to say LORD Hosts I to take: take you from [the] pasture from after [the] flock to/for to be leader upon people my upon Israel
9 Nimekuwa pamoja nawe popote ulipokwenda na nimewakatilia mbali adui zako wote mbele yako. Na nitakutengenezea jina kubwa, kama jina la mojawapo ya wakuu walio juu ya nchi.
and to be with you in/on/with all which to go: went and to cut: eliminate [emph?] [obj] all enemy your from face: before your and to make to/for you name great: large like/as name [the] great: large which in/on/with land: country/planet
10 Nitatenga mahali kwa ajili ya watu wangu Israeli nami nitawapanda pale, ili kwamba waweze kuishi mahali pao wenyewe na wasisumbuliwe tena. Waovu hawatawatesa tena, kama walivyofanya mwanzo.
and to set: appoint place to/for people my to/for Israel and to plant him and to dwell underneath: stand him and not to tremble still and not to add: again son: descendant/people injustice to/for to afflict him like/as as which in/on/with first: previous
11 Kama walivyofanya tangu siku ile nilipoamuru waamuzi juu ya watu wangu Israeli. Nami nitakustarehesha kutokana na adui zako wote. Zaidi ya hayo, Mimi, Yahwe, nakutamkia kwamba nitakutengenezea nyumba.
and to/for from [the] day which to command to judge upon people my Israel and to rest to/for you from all enemy your and to tell to/for you LORD for house: household to make to/for you LORD
12 Siku zako zitakapokwisha na ukalala pamoja na baba zako, nitainua mzao baada yako, atokaye katika mwili wako mwenyewe, nitauimalisha ufalme wake.
for to fill day your and to lie down: lay down with father your and to arise: establish [obj] seed: children your after you which to come out: produce from belly your and to establish: establish [obj] kingdom his
13 Naye atajenga nyumba kwa jina langu, nami nitakiimalisha kiti chake cha enzi daima.
he/she/it to build house: home to/for name my and to establish: establish [obj] throne kingdom his till forever: enduring
14 Nitakuwa baba kwake, naye atakuwa mwanangu. Atakapotenda dhambi, nitamwadhibu kwa fimbo ya wanadamu na kwa mapigo ya wana wa watu.
I to be to/for him to/for father and he/she/it to be to/for me to/for son: child which in/on/with to pervert he and to rebuke him in/on/with tribe: staff human and in/on/with plague son: child man
15 Lakini uaminifu wa agano langu hautamwondokea, kama nilivyouondoa kutoka kwa Sauli, niliyemwondoa mbele yako.
and kindness my not to turn aside: depart from him like/as as which to turn aside: remove from from with Saul which to turn aside: remove from to/for face: before your
16 Nyumba yako na ufalme wako utathibitiswa mbele yako daima. Kiti chako cha enzi kitakuwa imara daima.”
and be faithful house: household your and kingdom your till forever: enduring to/for face: before your throne your to be to establish: establish till forever: enduring
17 Nathani akamwambia Daudi na kumtaarifu maneno haya yote, na akamwambia kuhusu ono lote.
like/as all [the] word [the] these and like/as all [the] vision [the] this so to speak: speak Nathan to(wards) David
18 Kisha mfalme Daudi akaingia ndani na kuketi mbele ya Yahwe; akasema, “Mimi ni nani, Yahwe Mungu, na familia yangu ni nini hata umenileta hapa nilipo?
and to come (in): come [the] king David and to dwell to/for face: before LORD and to say who? I Lord YHWH/God and who? house: household my for to come (in): bring me till here
19 Na hili lilikuwa jambo dogo mbele yako, Bwana Yahwe. Hata ukasema kuhusu familia ya mtumishi wako wakati mkuu ujao, nawe umenionesha vizazi vijavyo, Bwana Yahwe!
and be small still this in/on/with eye: appearance your Lord YHWH/God and to speak: speak also to(wards) house: household servant/slave your to/for from distant and this custom [the] man Lord YHWH/God
20 Mimi Daudi, niseme nini zaidi kwako? Umemweshimu mtumishi wako, Bwana Yahwe.
and what? to add David still to/for to speak: speak to(wards) you and you(m. s.) to know [obj] servant/slave your Lord YHWH/God
21 Kwa ajili ya neno lako, na kwa ajili ya kutimiza kusudi lako mwenyewe, umefanya jambo kubwa namna hii na kulidhihirisha kwa mtumishi wako.
in/on/with for the sake of word: promised your and like/as heart your to make: do [obj] all [the] greatness [the] this to/for to know [obj] servant/slave your
22 Kwa hiyo wewe ni mkuu, Bwana Yahwe. Kwa maana hakuna mwingine aliye kama wewe, na hakuna Mungu mwingine badala yako, kama jinsi ambayo tumesikia kwa masikio yetu wenyewe.
upon so to magnify Lord YHWH/God for nothing like you and nothing God exception you in/on/with all which to hear: hear in/on/with ear our
23 Kwani kuna taifa lipi lililo kama watu wako Israeli, taifa moja juu ya nchi ambalo wewe, Mungu, ulikwenda na kuwakomboa kwa ajili yako wewe mwenyewe? Ulifanya hivi ili kwamba wawe watu kwa ajili yako mwenyewe, kujifanyia jina kwa ajili yako mwenyewe, na kufanya matendo makuu na ya kuogofya kwa ajili ya nchi yako. Uliyaondoa mataifa na miungu yao kutoka mbele ya watu wako, uliowakomboa kutoka Misri.
and who? like/as people your like/as Israel nation one in/on/with land: country/planet which to go: went God to/for to ransom to/for him to/for people and to/for to set: make to/for him name and to/for to make: do to/for you [the] greatness and to fear: revere to/for land: country/planet your from face: before people your which to ransom to/for you from Egypt nation and God his
24 Umeiimarisha Israel kama watu wako daima, na wewe, Yahwe, kuwa Mungu wao.
and to establish: establish to/for you [obj] people your Israel to/for you to/for people till forever: enduring and you(m. s.) LORD to be to/for them to/for God
25 Basi sasa, Yahwe Mungu, ahadi uliyofanya kuhusu mtumishi wako na familia yake iwe imara daima. Ufanye kame uilivyo sema.
and now LORD God [the] word which to speak: speak upon servant/slave your and upon house: household his to arise: establish till forever: enduring and to make: do like/as as which to speak: speak
26 Na jina lako liwe kuu daima, ili watu waseme, 'Yahwe wa majeshi ni Mungu wa Israeli,' wakati nyumba yangu, Daudi, mtumishi wako itakapokaa imara mbele zako daima.
and to magnify name your till forever: enduring to/for to say LORD Hosts God upon Israel and house: household servant/slave your David to be to establish: establish to/for face: before your
27 Kwa maana wewe, Yahwe wa majeshi, Mungu wa Israeli, umedhihirisha kwa mtumishi wako kwamba utamjengea nyumba. Ndiyo maana mimi, mtumishi wako, nimepata ujasiri kuomba kwako.
for you(m. s.) LORD Hosts God Israel to reveal: reveal [obj] ear: to ears servant/slave your to/for to say house: home to build to/for you upon so to find servant/slave your [obj] heart his to/for to pray to(wards) you [obj] [the] prayer [the] this
28 Sasa, Bwana Yahwe, wewe ni Mungu, na maneno yako ni amini, na umefanya ahadi hii njema kwa mtumishi wako.
and now Lord YHWH/God you(m. s.) he/she/it [the] God and word your to be truth: certain and to speak: promise to(wards) servant/slave your [obj] [the] welfare [the] this
29 Sasa basi, na ikupendeze kuibariki nyumba ya mtumishi wako, ili iendelee mbele yako daima. Kwa maana wewe, Bwana Yahwe, umeyasema mambo haya, na kwa ahadi yako nyumba ya mtumishi wako itabarikiwa daima.
and now be willing and to bless [obj] house: household servant/slave your to/for to be to/for forever: enduring to/for face: before your for you(m. s.) Lord YHWH/God to speak: speak and from blessing your to bless house: household servant/slave your to/for forever: enduring

< 2 Samweli 7 >