< 2 Samweli 4 >
1 Ikawa Ishboshethi, mwana wa Sauli, aliposikia kwamba Abneri amekufa huko Hebroni, mikono yake ikadhoofika, na Israeli yote ikataabika.
Avner'in Hevron'da öldürüldüğünü duyan Saul oğlu İş-Boşet korkuya kapıldı. Bütün İsrail halkı da dehşet içindeydi.
2 Basi mwana wa Sauli alikuwa na watu wawili waliokuwa wakuu wa vikosi vya askari. Mmoja wao alikuwa Baana na mwingine alikuwa Rekabu, wana wa Rimoni Mbeerothi wa wana wa Benjamini(kwa maana Berothi ilihesabiwa kuwa sehemu ya Benjamini,
Saul oğlu İş-Boşet'in iki akıncı önderi vardı; bunlar Benyamin oymağından Beerotlu Rimmon'un oğullarıydı. Birinin adı Baana, öbürününki Rekav'dı. –Beerot Benyamin oymağından sayılırdı.
3 na Waberothi walikimbilia Gitaimu na wamekuwa wakiishi pale hadi sasa).
Beerotlular Gittayim'e kaçmışlardı. Yabancı olan bu halk bugün de orada gurbette yaşıyor.–
4 Basi Yonathani, mwana wa Sauli, alikuwa na mwana mlemavu wa miguu. Alikuwa na umri wa miaka mitano habari kuhusu Sauli na Yonathani ilipofika Yezreeli. Yaya wake akamchukua ili akimbie. Lakini wakati anakimbia, mwana wa Yonathani alianguka na akawa kirema. Jina lake aliitwa Mefiboshethi.
Saul oğlu Yonatan'ın Mefiboşet adında bir oğlu vardı; iki ayağı da topaldı. Saul'la Yonatan'ın ölüm haberi Yizreel'den ulaştığında, Mefiboşet beş yaşındaydı. Dadısı onu alıp kaçmıştı. Ne var ki, aceleyle kaçmaya çalışırken çocuk düşüp sakatlanmıştı.
5 Hivyo wana wa Rimoni mbeerothi, Rekabu na Baana, wakasafiri mchana wakati wa jua kali mpaka nyumbani mwa Ishbothethi, yeye alikuwa amepumzika mchana.
Beerotlu Rimmon'un oğulları Rekav'la Baana yola koyuldular. Öğle sıcağında İş-Boşet'in evine vardıklarında İş-Boşet uzanmış dinlenmekteydi.
6 Mwanamke aliyekuwa akililinda lango alisinzia wakati akipepeta ngano, Rekabu na Baana waliingia ndani polepole na wakampita.
Buğday alacakmış gibi yaparak eve girdiler. O sırada İş-Boşet yatak odasında yatağında uzanıyordu. Adamlar İş-Boşet'in karnını deşip öldürdüler. Başını gövdesinden ayırıp yanlarına aldılar. Rekav'la kardeşi Baana kaçıp bütün gece Arava yolundan ilerlediler.
7 Hivyo walipoingia ndani ya nyumba, walimpiga na kumuua wakati amelala chumbani mwake. Kisha wakakata kichwa chake na wakaondoka nacho, wakasafiri njiani usiku kucha mpaka Araba.
8 Wakaleta kichwa cha Ishboshethi kwa Daudi huko Hebroni, nao wakamwambia mfalme, “Tazama, hiki ni kichwa cha Ishboshethi mwana wa Sauli, adui yako, aliyekuwa akiutafuta uhai wako. Leo Yahwe amemlipia kisasi bwana wetu mfalme dhidi ya Sauli na uzao wake.”
İş-Boşet'in başını Hevron'da Kral Davut'a getirip, “İşte seni öldürmek isteyen düşmanın Saul'un oğlu İş-Boşet'in başı!” dediler, “RAB bugün Saul'dan ve onun soyundan efendimiz kralın öcünü aldı.”
9 Daudi akawajibu Rekabu na Baana nduguye, wana wa Rimoni mbeerothi, akawambia, “Kama Yahwe aishivyo, aliyeuokoa uhai wangu na kila shida,
Ama Davut Beerotlu Rimmon'un oğulları Rekav'la kardeşi Baana'ya şöyle karşılık verdi: “Beni her türlü sıkıntıdan kurtaran yaşayan RAB adıyla derim ki, iyi haber getirdiğini sanarak bana Saul'un öldüğünü bildiren adamı yakalayıp Ziklak'ta yaşamına son verdim. Getirdiği iyi haber için verdiğim ödül buydu!
10 mtu mmoja aliponiambia, 'Tazama, Sauli amekufa,' akifikiri alileta habari njema, nilimkamata na kumwua huko Siklagi. Huo ndio ujira niliompa kwa habari yake.
11 Namna gani, mtu mwovu anapomwua mwenye haki kitandi mwake ndani ya nyumba, Je nisiitake damu yake kutoka katika mikono yenu, na kuwaondoa duniani?”
Doğru birini evinde, yatağında öldüren kötü kişilerin ölümü çok daha kesindir! Şimdi sizi yeryüzünden yok ederek onun öcünü sizden almayacak mıyım?”
12 Kisha Daudi akawaagiza vijana, nao wakawaua wakakata mikono na miguu yao na kuwatundika kando ya bwawa huko Hebroni. Lakini wakakichukua kichwa cha Ishboshethi na kukizika katika kaburi la Abneri katika Hebroni.
Sonra adamlarına buyruk verdi. İki kardeşi öldürüp ellerini, ayaklarını kestiler ve Hevron'daki havuzun yanına astılar. İş-Boşet'in başını ise götürüp Hevron'da Avner'in mezarına gömdüler.