< 2 Samweli 4 >

1 Ikawa Ishboshethi, mwana wa Sauli, aliposikia kwamba Abneri amekufa huko Hebroni, mikono yake ikadhoofika, na Israeli yote ikataabika.
Ie jinanji’ i ana’ i Saole e Kebroney te nivilasy t’i Abnere, le nigebañe ty fità’e vaho ninevenevetse iaby o ana’ Israeleo.
2 Basi mwana wa Sauli alikuwa na watu wawili waliokuwa wakuu wa vikosi vya askari. Mmoja wao alikuwa Baana na mwingine alikuwa Rekabu, wana wa Rimoni Mbeerothi wa wana wa Benjamini(kwa maana Berothi ilihesabiwa kuwa sehemu ya Benjamini,
Ondaty roe ty nimpifehem-pirimboñañe amy ana’ i Saoley; ty raike natao Baanà, naho ty tahina’ ty raike: Rekabe, sambe ana’ i Rimone nte Beerote, ana’ i Beniamine; amy te nivolilieñe amy Beniamine t’i Beerote;
3 na Waberothi walikimbilia Gitaimu na wamekuwa wakiishi pale hadi sasa).
aa le nibioñe mb’e Gitaime mb’eo o nte-Beeroteo, vaho nañialo ho renetane añe pake henaneo.
4 Basi Yonathani, mwana wa Sauli, alikuwa na mwana mlemavu wa miguu. Alikuwa na umri wa miaka mitano habari kuhusu Sauli na Yonathani ilipofika Yezreeli. Yaya wake akamchukua ili akimbie. Lakini wakati anakimbia, mwana wa Yonathani alianguka na akawa kirema. Jina lake aliitwa Mefiboshethi.
Nanañ’ anadahy kepek’ am-pandia t’Ionatane ana’ i Saole, ie lime taoñe te pok’eo i talily i Saole naho Ionatane e Iezreeley le rinambe’ i mpiatrak’ azey naho nandrifitse ty lay; aa ie nitaentaeñe hipitsike le nidorasitse nahakepeke i natao Mefibosètey.
5 Hivyo wana wa Rimoni mbeerothi, Rekabu na Baana, wakasafiri mchana wakati wa jua kali mpaka nyumbani mwa Ishbothethi, yeye alikuwa amepumzika mchana.
Niheo mb’eo i ana’ i Rimone nte-Beerote rey, i Rekabe naho i Baanà, le nivotrak’ añ’ anjomba’ Isbo­sete an-tsingilingilien’ andro, ie nandre am-pandreañe ao.
6 Mwanamke aliyekuwa akililinda lango alisinzia wakati akipepeta ngano, Rekabu na Baana waliingia ndani polepole na wakampita.
Nimoak’ am-po i anjom­bay iereo nanao ho mpampibalike vare-bolè, le tinombo’ iareo ambane’ ty pa’e faha-lime ao; vaho nivoratsake t’i Rekabe naho i Baanà rahalahi’ey.
7 Hivyo walipoingia ndani ya nyumba, walimpiga na kumuua wakati amelala chumbani mwake. Kisha wakakata kichwa chake na wakaondoka nacho, wakasafiri njiani usiku kucha mpaka Araba.
Ie nimoak’ añ’ anjomba ao iereo, ie nandre am-pandrea’e an-trañom-pandrea’e ao, le tinombo’ iareo, vinono, naho kinitsi’ iereo ty añambone’e vaho nikatsakatsak’ amy haleñey niranga i montoñey.
8 Wakaleta kichwa cha Ishboshethi kwa Daudi huko Hebroni, nao wakamwambia mfalme, “Tazama, hiki ni kichwa cha Ishboshethi mwana wa Sauli, adui yako, aliyekuwa akiutafuta uhai wako. Leo Yahwe amemlipia kisasi bwana wetu mfalme dhidi ya Sauli na uzao wake.”
Nendese’ iereo mb’amy Davide e Kebrone mb’eo ty añambone’ Isbosete le nanao ty hoe amy mpanjakay, Ingo ty añambone’ Isbosete ana’ i Saole rafelahi’oy, i nipay ty fiai’oy, fa nondroha’ Iehovà ty kabò’ i talèko mpanjakay amy Saole naho amy tiri’ey anindroany.
9 Daudi akawajibu Rekabu na Baana nduguye, wana wa Rimoni mbeerothi, akawambia, “Kama Yahwe aishivyo, aliyeuokoa uhai wangu na kila shida,
Aa hoe ty natoi’ i Davide amy Rakabe naho i Baanà rahalahi’e, ana’ i Rimone nte-Beerote: Kanao veloñe t’Iehovà nijebañe ty fiaiko amy ze atao rafelahy iaby,
10 mtu mmoja aliponiambia, 'Tazama, Sauli amekufa,' akifikiri alileta habari njema, nilimkamata na kumwua huko Siklagi. Huo ndio ujira niliompa kwa habari yake.
naho nitalily amako ty nanao ty hoe: Inao, vilasy t’i Saole. Ie natao’e te nanday talily soa. Fe rinambeko vaho zinevoko e Tsiklage ao ho tambe’ i talili’ey.
11 Namna gani, mtu mwovu anapomwua mwenye haki kitandi mwake ndani ya nyumba, Je nisiitake damu yake kutoka katika mikono yenu, na kuwaondoa duniani?”
Tsy antsake hao ondaty lo-tsereke namono indaty marentane añ’anjomba’e am-pandrea’ey? Tsy hampañavahako am-pità’ areo hao ty lio’e hanintak’ anahareo an-tane atoy?
12 Kisha Daudi akawaagiza vijana, nao wakawaua wakakata mikono na miguu yao na kuwatundika kando ya bwawa huko Hebroni. Lakini wakakichukua kichwa cha Ishboshethi na kukizika katika kaburi la Abneri katika Hebroni.
Aa le linili’ i Davide o gaon-dahi’eo, le vinono’ iereo naho kinitsike o fitañe naho fandia’ iareoo naho naradorado ambone’ i antara’ i Kebroney. Nitakone’ iereo ty añambone’ Isbosete vaho nalenteke an-kibori’ i Abnere e Kebrone ao.

< 2 Samweli 4 >