< 2 Samweli 3 >
1 Kulikuwa na vita ya mda mrefu kati ya nyumba ya Sauli na nyumba ya Daudi. Daudi akaendelea kupata nguvu zaidi, lakini nyumba ya Sauli iliendelea kudhoofika na kuthoofika.
Şaulneyiy Davudne nasılen səvxı'y xıliyda ts'ıts'exhe. Vaxt apk'ıniylette, Davudne nasılena guc hexxooxhe, Şaulnemee nasılena k'ıl qooxhe vuxha.
2 Wana wakazaliwa kwa Daudi huko Hebron. Mzaliwa wake wa kwanza alikuwa Amnoni, kwa Ahinoamu wa Yezreeli.
Xevronee Davudus dixbı vooxhe. Ts'erriyna dix İzre'elyğançene Axinoamee uxuna Amnon ıxha.
3 Mwanawe wa pili, Kileabu, alizaliwa kwa Abigaili, mjane wa Nabali wa Karmeli. Wa tatu, Absalomu, alikuwa mwana wa Maaka, binti Talmai, mfalme wa Geshuri.
Q'ör'esda Karmelyğançene Navalne sip'ıree Avigailee uxuna Kilav ıxha. Xhebır'esda Geşurne paççahne Talmayne yişşee Maakayee uxuna Avşalom ıxha.
4 Mwana wa nne wa Daudi, Adoniya, alikuwa mwana wa Hagithi. Mwanawe wa tano alikuwa Shefatia mwana wa Abitali,
Yoq'ur'esda Haggitee uxuna Adoniya, xhor'esda Avitalee uxuna Şefatya,
5 na wa sita, Ithreamu, alikuwa mwana wa Egla mkewe Daudi. Hawa wote walizaliwa kwa Daudi huko Hebroni.
yixhır'esdar Davudne xhunaşşee Eglayee uxuna İtream ıxha. Davudus man gırgınbı dixbı Xevronee vuxha.
6 Ikawa wakati wa vita kati ya nyumba ya Sauli na nyumba ya Daudi Abneri akajifanya mwenye nguvu katika nyumba ya Sauli.
Şaulnayiy Davudna nasıl siviyxəmee, Avneree Şaulne sural guc saa'a vuxha.
7 Sauli alikuwa na suria jina lake Rispa, binti Aiya. Ishboshethi akamuuliza Abneri, “Kwa nini umelala na suria wa baba yangu?”
Şauluqa Ayyayna yiş Ritspa donana caariye yixha. İşboşetee Avnerık'le eyhen: – Nya'a ğu, yizde dekkıne caariyeyka g'ılexha?
8 Hata ikawa Abneri akakasirika sana kutokana na maneno ya Ishboshethi naye akasema, “Je mimi ni kichwa cha mbwa wa Yuda? Ninaonesha uaminifu kwa nyumba ya Sauli, baba yako, kwa jamaa yake, na rafiki zake, kwa kutokukuweka katika mkono wa Daudi. Na bado leo unanishutumu kuhusu mwanamke.
İşboşetne mane cuvabıke Avnerıs geeb qəl vuxha, eyhen: – Nya'a zı vas, Yahudaabışin sura aqqına xvaana vuk'ulyne vob? Zı g'iyna yiğıniy yiğne dekkıne Şaulne nasılen, mang'une hambazaaşin sura aqqı. Zı ğu Davudne xılyaqa quvu deş. Ğu həşde mane zəiyfal-alla yizde gardanaqa bınah giviyxhe!
9 Mungu na anifanyie hivyo, Abneri, na kuzidi, ikiwa sitafanya kwa Daudi kama Yahwe alivyomwapia,
Zı Davudus, Rəbbee mang'us k'ın g'assırıyn hide'eene, hasre Allahee Avnerne vuk'lelqa yiğbı alle'ecen!
10 kuuhamisha ufalme kutoka nyumba ya Sauli na kukisimika kiti cha enzi cha Daudi juu ya Israeli na juu ya Yuda, kutoka Dani hadi Beersheba.”
Zı paççahiyvalla Şaulne nasılıke g'avşu, Davudusqa qevles. Mana İzrailynayiy Yahudeyayna, Danile Beer-Şevalqamee, paççah ixhes.
11 Ishboshethi hakuweza kumjibu Abneri neno tena, kwani alimuogopa.
İşboşetık'le man eyhenbı g'ayxhımee, mana Avnerıle qəyq'ən ıxhayke, mang'us alidghıniycad qeles dəxə axva.
12 Kisha Abneri akatuma wajumbe kwa Daudi kusema, “Nchi hii ni ya nani? Fanya agano nami, nawe utaona kwamba mkono wangu uko nawe, kuiIeta Israeli yote kwako.”
Qiyğa Avneree, Davudusqa cun insanar g'axuvu, eyhen: – İn ciga şavunne vod? Qora, zınayiy ğu cuvab g'ats'ak'vanas. Qiyğa gırgınacab İzrail yiğne suralqa ts'ıts'aa'as zı vas kumag ha'asın.
13 Daudi akajibu, “Vema, nitafanya agano nawe. Lakini neno moja ninalolitaka kutoka kwako ni kwamba hautauona uso wangu usipomuleta kwanza Mikali, binti Sauli, unapokuja kuonana nami.”
Davudee eyhen: – Geed yugda, zı vaka cuvab g'ats'ak'vanasın. Saccu ğu zasqa ı'qqəmee, vakasana Şaulna yiş Mikal ayre. Mana dena zasqa ımmayle.
14 Kisha Daudi akatuma wajumbe kwa Ishboshethi, mwana wa Sauli, kusema, “Nipe Mikali, mke wangu niliyetoa kwa ajili yake govi mia moja za Wafilisti.”
Davudee, İşboşetısqa Şaulne dixesqa cun insanar g'axuvu, eyhen: – Zı vəş sunnat hıdi'ına Filiştinğançena gik'ul-alla zas Şaulee hiyvuna yizda xhunaşşe Mikal zasqa seek'al hee'e.
15 Hivyo Ishboshethi akatuma kwa Mikali na kumchukua kutoka kwa mme wake, Paltieli mwana wa Laishi.
İşboşetee, insan g'axuvu, zəiyfa adamiysse Layişne dixesse Paltielsee g'ayşes ileeka.
16 Mme wake akafuatana naye, huku akilia, akaendelea hadi Bahurimu. Kisha Abneri akamwambia, “basi sasa rudi nyumbani.” Hivyo akarudi.
Məng'ı'na adamiy geşşe-geşşe Baxurimqamee xhunaşşeyqa qihna ayk'an. Maa'ad Avneree mang'uk'le eyhen: – Yı'q'əlqa sak'le. Manar siyk'alna.
17 Abneri akaongea na wazee wa Israeli kusema, “Zamani mlitaka Daudi awe mfalme wenu.
Avner İzrailyne ağsaqqalaaşika yuşanxha, eyhen: – Şos mısa ıkkannaniy vor, Davuduke şos paççah ha'as!
18 Basi sasa fanyeni hivyo. Kwa maana Yahwe alisema kuhusu Daudi kusema, “Kwa mkono wa Daudi mtumishi wangu nitawaokoa watu wangu Israeli kutoka katika mkono wa Wafilisti na kutoka katika mkono wa adui zao wote.”
Həşde vuşde yik'eençe ı'lğəən he'e! Rəbbee Davuduk'le dişdiy uvhu: «Zı Yizde nukarne Davudne xıleka, İzrail Filiştinaaşdeyiy gırgıne duşmanaaşine xılençe g'attivxhan haa'as».
19 Pia Abneri akasema na watu wa Benjamini ana kwa ana. Kisha Abneri akaenda kuongea na Daudi huko Hebroni akaeleza kila jambo ambalo Israeli na nyumba yote ya Benjamini walitamani kulitimiza.
Avneree man, hark'ın, Benyaminaaşik'led eyhen. Qiyğa İzrailyneyiy Benyaminaaşde yik'eençe ılğəən Davudus yuşan ha'asva, mana Xevronqa hayk'an.
20 Wakati Abneri na watu ishirini kati ya watu wake walifika Hebroni kumuona Daudi, Daudi akaandaa sherehe kwa ajili yao.
Xevroneeqa, Avnerıka sacigee Davudusqa g'ayre insan arayle. Davudee, Avnerısiy cune insanaaşis otxhun-ulyodğiy hele.
21 Abneri akamweleza Daudi, “Nitainuka na kukukusanyia Israeli wote, bwana wangu mfalme, ili kwamba wafanye agano nawe, kwamba utawale juu ya yote unayotaka.” Hivyo Daudi akamruhusu Abneri kuondoka, Abneri akaondoka kwa amani.
Avneree Davuduk'le eyhen: – Hasre zı həşde hark'ın, gırgına İzrail yizde xərıng'usqa, paççahısqa, saa'as. Ğunar manbışika cuvab g'ats'ak'vne. Qiyğab vas nişşisiy vukkan, xəbvalla hee'e. Məxüd ıxha Davudee Avner vuççud hidi'ı g'ekkana.
22 Kisha askari wa Daudi na Yoabu wakarudi kutoka katika kuteka nyara na wakaja na nyara nyingi. Lakini Abneri hakuwepo Hebroni pamoja na Daudi. Daudi alikuwa amemruhusu kuondoka, na alikuwa ameondoka kwa amani.
Mane gahıl Yoav, Davudne insanaaşika dəv'eençe sark'ıl eyxhe. Manbışe mebınbışike g'ayşuyn geed kar adayle. Mane gahıl Avner, Davudusse Xevronğançe ark'ın eyxhe. Davudee, Avner vuççud hidi'ı, g'aykkı ıxha.
23 Wakati Yoabu na Jeshi lote walipofika, Yoabu aliambiwa, “Abneri mwana wa Neri alikuja kwa mfalme, na mfalme amemruhusu kuondoka, naye Abneri ameondoka kwa amani.”
Yoav, gırgıne g'oşunuka sark'ıling'a, mang'uk'le eyhen: – Nerna dix Avneriy arı. Paççahee mang'uk vuççud hidi'ı, g'aykkına.
24 Kisha Yoabu akaja kwa mfalme na kusema, “Umefanya nini? Tazama, Abneri alikuja kwako! Kwa nini umemruhusu kuondoka, naye amenda?
Yoav, paççahne k'anyaqa qarı, eyhen: – Ğu hı'iyn kar hucoone? Yiğne k'anyaqa Avnerniy'e arı? Ğu nya'a mana g'aykkı? Həşde mana ark'ınna.
25 Haujui kwamba Abneri mwana wa Neri alikuja kukudanganya na kupeleleza hali yako na kuangalia kila unalofanya?”
Vak'lecar Nerna dix Avner ats'ana. Mang'vee vas horbı ha'asva, yiğın hark'ın-qaraylen cigayiy ğu g'ecen işbı ats'axhxhesvacar arı ıxha.
26 Yoabu alipoondoka kwa Daudi, alituma wajumbe kumfuatia Abneri, nao wakamrudisha kutoka katika kisima cha Sirah, lakini Daudi hakulijua hili.
Yoav Davudusse qığeç'umee, mang'vee Avnerıqa qihna cun insanar g'uxoole. Manbışer Avner Sira eyhene kahrızısse yı'q'əlqa sak'al ha'a. Davuduk'le man ats'acad eyxhe deş.
27 Abneri aliporudi Hebroni, Yoabu alimchukua kando kati ya lango ili aongee naye faraghani. Hapohapo Yoabu alimchoka tumboni na kumuua. Hivyo, akalipa kisasi cha damu ya Asaheli nduguye.
Avner Xevronqa sak'ımee, Yoavee cona q'öyrecab, yuşan haa'asın xhinne, mana şaharne akkabışiyle aqa akkyayhe. Qiyğad cune çocul Asahelil-alla, mang'une vuxhnes g'ılıncıqa ı'xı', gek'ana.
28 Daudi alipolisikia jambo hili akasema, “Mimi na ufalme wangu hatuna hatia mbele za Yahwe daima, kuhusiana na damu ya Abneri mwana wa Neri.
Davuduk'le, man ats'axhxhamee, eyhen: – Rəbbine ögil Nerne duxayne Avnerne ebal-alla, mısacab zaliy yizde ölkal bınah aaxvas deş.
29 Hatia ya damu ya Abneri na iwe juu ya Yoabu na nyumba yote ya baba yake. Na asikosekane katika familia ya Yoabu mtu mwenye vidonda, au mwenye ukoma, au kirema atembeaye kwa fimbo au aliyeuawa kwa upanga au mwenye kukosa chakula.”
Havaasre mana bınah Yoavılqayiy mang'une xizanılqa vuxhecen. Hasre Yoavne nasılee maşika gyatsts'ıyn ı'xnabınana insan deşda, əsaka iykarna insan deşda, g'ılıncıke qek'ana insan deşda, mıssınçika qek'ana insan deşda gah mooxhecen.
30 Hivyo Yoabu na Abishai nduguye wakamwua Abneri, kwa sababu alimwua Asaheli ndugu yao vitani huko Gibeoni.
Yoaveeyiy cune çocee Avişayee Avner gek'ana. Manbışe mana cona çoc Asahel Giveonee əlyhəəne dəv'ee gik'uynçil-alla gek'a.
31 Daudi akamwambia Yoabu na wote waliokuwa pamoja naye, “Rarueni mavazi yenu, jivikeni nguo za magunia, na muomboleze mbele ya mwili wa Abneri.” Na mfalme Daudi akaufuata mwili wa Abneri wakati wa mazishi.
Qiyğa Davudee Yoavık'leyiy cune k'anene insanaaşik'le eyhen: – Tanalinbı qıt'axxı, palanbı ale'e, Avnernemee gyaaşe. Avner qıkkek'ane mıghırıqa qihna vuc paççah Davud ayk'an.
32 Wakamzika Abneri huko Hebroni. Mfalme akalia kwa sauti katika kaburi la Abneri, na watu wote pia wakalia.
Avner Xevronee k'eyxha. Paççah mang'une nyuq'vnel oo axtıra geşşena. Mang'uka sacigee milletıd geşşen.
33 Mfalme akamwombolea Abneri naye akaimbo, “Je ilipasa Abneri afe kama afavyo mpumbavu?
Paççah Davud Avnerne nyuq'vnel oo inva eyhe-eyhe geşşu: Avner məxür, g'eliqqa huvu, gik'as dexheyiy.
34 Mikono yako haikufungwa. Miguu yako hakuwa imefungwa minyororo. Kama mtu aangukavyo mbele ya wana wa uovu, ndivyo ulivyoanguka.” Watu wote wakamlilia zaidi.
Yiğın xıleppı ayt'ıl ıxha deş, G'elybışisıb zincır üvxü vuxha deş. Ğu sixnareeşine ögil qukkyoyk'alan xhinne qukkyork'ul. Manva uvhumee, millet meed Avnernemee geşşen.
35 Watu wote wakaja kumtaka Daudi ale wakati kungali mchana, lakini Daudi akaapa, “Mungu na anifanyie hivyo, na kuzidi, ikiwa nitaonja mkate au chochote kabla jua halijazama.”
Qiyğa manbışin gırgınbı abı, Davudee, exha qixhesse, kar oxhnecenva mana ittunçil aqqaqqa ıxha. Davudeeme, k'ın g'assır, eyhen: – Verığ k'yooçesse, yizde ghalek gıney, medın kar set'veene, havaasre Allahee zalqa ver ablee'ecen!
36 Watu wote wakaiona huzuni ya Daudi, na ikawapendeza, hivyo kila alichokifanya mfalme kikawapendeza.
Milletık'le paççahee ha'an g'acu, man gırgın manbışde yik'eençe eyxhe. Paççahee ha'an gırgıncad milletıs ıkkiykanan.
37 Hivyo watu wote na Israeli wote wakatambua siku hiyo kwamba haikuwa nia ya mfalme Abneri mwana wa Neri afe.
Mane yiğıl gırgıne milletık'leyiy gırgıne İzrailik'lecad ats'axhxhen, Nerna dix Avner paççahee gidek'u ıxhay.
38 Mfalme akawaambia watumishi wake, “je hamjui kuwa mtu mkuu ameanguka leo hii katika Israeli?
Paççahee cune insanaaşik'le eyhen: – G'iyna İzrailee xərna, qıvaats'ına insan qik'uva ats'a dişde?
39 Nami leo nimedhoofika, japokuwa nimetiwa mafuta kuwa mfalme. Watu hawa, wana wa Seruya ni hatari sana kwangu. Yahwe na amrudishie mwovu kwa kumlipa kwa ajili ya uovu wake kama anavyostahili.
G'iyna zı g'əyxı'na paççahır ixheene, zaqa guc k'ılyba vob. Tseruyayn dixbı, Yoaviy Avişay, zale nimee vuxhee gucuka vob. Havaasre Rəbbee pisvalla haa'ang'us, haa'ane pisvallays sik'ı helecen!