< 2 Samweli 3 >

1 Kulikuwa na vita ya mda mrefu kati ya nyumba ya Sauli na nyumba ya Daudi. Daudi akaendelea kupata nguvu zaidi, lakini nyumba ya Sauli iliendelea kudhoofika na kuthoofika.
И бысть брань на много между домом Саулим и между домом Давидовым, и дом Давидов возвышашеся и укрепляшеся, дом же Сауль идяше и изнемогаше.
2 Wana wakazaliwa kwa Daudi huko Hebron. Mzaliwa wake wa kwanza alikuwa Amnoni, kwa Ahinoamu wa Yezreeli.
И родишася Давиду в Хевроне сынов шесть: и бе первородный ему Амнон от Ахинаамы Иезраилитыни,
3 Mwanawe wa pili, Kileabu, alizaliwa kwa Abigaili, mjane wa Nabali wa Karmeli. Wa tatu, Absalomu, alikuwa mwana wa Maaka, binti Talmai, mfalme wa Geshuri.
и вторый ему сын Далуиа от Авигеи Кармилския, и третий Авессалом сын Маахи дщере Фолми царя Гессирска,
4 Mwana wa nne wa Daudi, Adoniya, alikuwa mwana wa Hagithi. Mwanawe wa tano alikuwa Shefatia mwana wa Abitali,
четвертый Адониа сын Аггифы, и пятый Сафатиа от Авиталы,
5 na wa sita, Ithreamu, alikuwa mwana wa Egla mkewe Daudi. Hawa wote walizaliwa kwa Daudi huko Hebroni.
и шестый Иефераам от Еглы жены Давидовы: сии родишася Давиду в Хевроне.
6 Ikawa wakati wa vita kati ya nyumba ya Sauli na nyumba ya Daudi Abneri akajifanya mwenye nguvu katika nyumba ya Sauli.
И бысть внегда быти брани между домом Саулим и между домом Давидовым, и бяше Авенир держа дом Саулов.
7 Sauli alikuwa na suria jina lake Rispa, binti Aiya. Ishboshethi akamuuliza Abneri, “Kwa nini umelala na suria wa baba yangu?”
И Саулова подложница бе, ейже бе имя Ресфа, дщерь Иоля. И вниде к ней Авенир, и рече Иевосфей сын Сауль ко Авениру: что яко вшел еси к подложнице отца моего?
8 Hata ikawa Abneri akakasirika sana kutokana na maneno ya Ishboshethi naye akasema, “Je mimi ni kichwa cha mbwa wa Yuda? Ninaonesha uaminifu kwa nyumba ya Sauli, baba yako, kwa jamaa yake, na rafiki zake, kwa kutokukuweka katika mkono wa Daudi. Na bado leo unanishutumu kuhusu mwanamke.
И разгневася зело Авенир о словеси сем на Иевосфеа и рече ему Авенир: еда песия глава есмь аз? Сотворих днесь милость дому Саула отца твоего и братии и знаемым, и не отступих в дом Давидов, и ищеши на мне ты о неправде жены днесь?
9 Mungu na anifanyie hivyo, Abneri, na kuzidi, ikiwa sitafanya kwa Daudi kama Yahwe alivyomwapia,
Сия да сотворит Бог Авениру и сия да приложит ему, зане якоже клятся Господь Давиду, тако сотворю ему в сей день,
10 kuuhamisha ufalme kutoka nyumba ya Sauli na kukisimika kiti cha enzi cha Daudi juu ya Israeli na juu ya Yuda, kutoka Dani hadi Beersheba.”
еже отяти царство от дому Сауля и воздвигнути престол Давидов во Израили и во Иуде от Дана даже до Вирсавии.
11 Ishboshethi hakuweza kumjibu Abneri neno tena, kwani alimuogopa.
И не возможе ктому Иевосфей отвещати Авениру словесе от боязни, яже к нему.
12 Kisha Abneri akatuma wajumbe kwa Daudi kusema, “Nchi hii ni ya nani? Fanya agano nami, nawe utaona kwamba mkono wangu uko nawe, kuiIeta Israeli yote kwako.”
И посла Авенир к Давиду послы в Фелам, идеже бе, абие, глаголя: положи завет твой со мною, и се, рука моя с тобою, еже возвратити ми к тебе весь дом Израилев.
13 Daudi akajibu, “Vema, nitafanya agano nawe. Lakini neno moja ninalolitaka kutoka kwako ni kwamba hautauona uso wangu usipomuleta kwanza Mikali, binti Sauli, unapokuja kuonana nami.”
И рече Давид: добре, аз положу с тобою завет, токмо словесе единаго прошу у тебе, глаголя: не имаши видети лица моего, аще не приведеши Мелхолы дщере Саули, приходящу ти видети лице мое.
14 Kisha Daudi akatuma wajumbe kwa Ishboshethi, mwana wa Sauli, kusema, “Nipe Mikali, mke wangu niliyetoa kwa ajili yake govi mia moja za Wafilisti.”
И посла Давид ко Иевосфею сыну Саулю вестники, глаголя: отдаждь мне жену мою Мелхолу, юже взях за сто необрезаний иноплеменничих.
15 Hivyo Ishboshethi akatuma kwa Mikali na kumchukua kutoka kwa mme wake, Paltieli mwana wa Laishi.
И посла Иевосфей, и взят ю от мужа ея от Фалтиила сына Селлимова.
16 Mme wake akafuatana naye, huku akilia, akaendelea hadi Bahurimu. Kisha Abneri akamwambia, “basi sasa rudi nyumbani.” Hivyo akarudi.
И идяше муж ея с нею плачася даже до Варакима. И рече к нему Авенир: иди, возвратися. И возвратися.
17 Abneri akaongea na wazee wa Israeli kusema, “Zamani mlitaka Daudi awe mfalme wenu.
И рече Авенир к старейшинам Израилевым, глаголя: вчера и третияго дне искасте Давида, да царствует над вами:
18 Basi sasa fanyeni hivyo. Kwa maana Yahwe alisema kuhusu Daudi kusema, “Kwa mkono wa Daudi mtumishi wangu nitawaokoa watu wangu Israeli kutoka katika mkono wa Wafilisti na kutoka katika mkono wa adui zao wote.”
и ныне сотворите, якоже Господь глагола о Давиде, глаголя: рукою раба Моего Давида спасу люди Моя Израиля от руки иноплеменничи и от руки всех врагов их.
19 Pia Abneri akasema na watu wa Benjamini ana kwa ana. Kisha Abneri akaenda kuongea na Daudi huko Hebroni akaeleza kila jambo ambalo Israeli na nyumba yote ya Benjamini walitamani kulitimiza.
И глагола Авенир во ушы Вениамину: и иде Авенир глаголати во ушы Давидовы в Хеврон вся, елика угодна беша пред очима Израилевыма и пред очима всего дому Вениаминя.
20 Wakati Abneri na watu ishirini kati ya watu wake walifika Hebroni kumuona Daudi, Daudi akaandaa sherehe kwa ajili yao.
И прииде Авенир к Давиду в Хеврон, и с ним двадесять мужей. И сотвори Давид пир Авениру и мужем его иже с ним.
21 Abneri akamweleza Daudi, “Nitainuka na kukukusanyia Israeli wote, bwana wangu mfalme, ili kwamba wafanye agano nawe, kwamba utawale juu ya yote unayotaka.” Hivyo Daudi akamruhusu Abneri kuondoka, Abneri akaondoka kwa amani.
И рече Авенир к Давиду: востану ныне и пойду и соберу к господину моему царю всего Израиля, и положу с ним завет, и царствовати имаши всеми, ихже желает душа твоя. И посла Давид Авенира, и иде с миром.
22 Kisha askari wa Daudi na Yoabu wakarudi kutoka katika kuteka nyara na wakaja na nyara nyingi. Lakini Abneri hakuwepo Hebroni pamoja na Daudi. Daudi alikuwa amemruhusu kuondoka, na alikuwa ameondoka kwa amani.
И се, отроцы Давидовы и Иоав идяху от исхода и корысть многу несяху с собою, и Авенир уже не бе с Давидом в Хевроне, яко отслан бяше, и отиде с миром.
23 Wakati Yoabu na Jeshi lote walipofika, Yoabu aliambiwa, “Abneri mwana wa Neri alikuja kwa mfalme, na mfalme amemruhusu kuondoka, naye Abneri ameondoka kwa amani.”
Иоав же и все воинство его прииде: и возвестиша Иоаву, глаголюще: прихождаше Авенир сын Ниров к Давиду, и отсла его, и отиде с миром.
24 Kisha Yoabu akaja kwa mfalme na kusema, “Umefanya nini? Tazama, Abneri alikuja kwako! Kwa nini umemruhusu kuondoka, naye amenda?
И вниде Иоав к царю и рече: что сие сотворил еси? Се, прихождаше Авенир к тебе, и почто отпустил еси его, и отиде с миром?
25 Haujui kwamba Abneri mwana wa Neri alikuja kukudanganya na kupeleleza hali yako na kuangalia kila unalofanya?”
Или не веси злобы Авенира сына Нирова, яко слукавствовати к тебе прииде, и уразумети исход твой и вход твой, и уведати вся елика твориши ты?
26 Yoabu alipoondoka kwa Daudi, alituma wajumbe kumfuatia Abneri, nao wakamrudisha kutoka katika kisima cha Sirah, lakini Daudi hakulijua hili.
И возвратися Иоав от Давида, и посла послы вслед Авенира, и возвратиша его от кладязя Сеирамска: Давид же не ведяше.
27 Abneri aliporudi Hebroni, Yoabu alimchukua kando kati ya lango ili aongee naye faraghani. Hapohapo Yoabu alimchoka tumboni na kumuua. Hivyo, akalipa kisasi cha damu ya Asaheli nduguye.
И возврати Авенира в Хеврон, и соврати его Иоав на страну от врат глаголати к нему лукавно: и удари его в лядвия, и умре в крови Асаила брата Иоавля.
28 Daudi alipolisikia jambo hili akasema, “Mimi na ufalme wangu hatuna hatia mbele za Yahwe daima, kuhusiana na damu ya Abneri mwana wa Neri.
И услыша Давид по сих и рече: чист есмь аз и царство мое от Господа и отныне и до века от крове Авенира сына Нирова:
29 Hatia ya damu ya Abneri na iwe juu ya Yoabu na nyumba yote ya baba yake. Na asikosekane katika familia ya Yoabu mtu mwenye vidonda, au mwenye ukoma, au kirema atembeaye kwa fimbo au aliyeuawa kwa upanga au mwenye kukosa chakula.”
да снидет на главу Иоавлю и на весь дом отца его, и да не оскудеет от дому Иоавля изливаяй семя, и прокаженный, и держайся жезла, и падаяй оружием, и умаленный хлебами.
30 Hivyo Yoabu na Abishai nduguye wakamwua Abneri, kwa sababu alimwua Asaheli ndugu yao vitani huko Gibeoni.
Иоав же и Авесса брат его наблюдаху Авенира, понеже уби Асаила брата их в Гаваоне на брани.
31 Daudi akamwambia Yoabu na wote waliokuwa pamoja naye, “Rarueni mavazi yenu, jivikeni nguo za magunia, na muomboleze mbele ya mwili wa Abneri.” Na mfalme Daudi akaufuata mwili wa Abneri wakati wa mazishi.
И рече Давид ко Иоаву и ко всем людем его: раздерите ризы вашя и препояшитеся вретищы, и рыдайте о Авенире. Сам же царь Давид идяше вслед одра.
32 Wakamzika Abneri huko Hebroni. Mfalme akalia kwa sauti katika kaburi la Abneri, na watu wote pia wakalia.
И погребоша Авенира в Хевроне. И воздвиже царь глас свой и плакася над гробом его, и вси людие плакаша о Авенире.
33 Mfalme akamwombolea Abneri naye akaimbo, “Je ilipasa Abneri afe kama afavyo mpumbavu?
И плакася царь над Авениром и рече: еда смертию Навала умре Авенир?
34 Mikono yako haikufungwa. Miguu yako hakuwa imefungwa minyororo. Kama mtu aangukavyo mbele ya wana wa uovu, ndivyo ulivyoanguka.” Watu wote wakamlilia zaidi.
Руце твои не связаны, нозе твои не во оковах: не приступил еси якоже Навал, пред сынми неправды пал еси. И собрашася вси людие плакатися его,
35 Watu wote wakaja kumtaka Daudi ale wakati kungali mchana, lakini Daudi akaapa, “Mungu na anifanyie hivyo, na kuzidi, ikiwa nitaonja mkate au chochote kabla jua halijazama.”
и приидоша вси людие предложити Давиду ясти хлебы еще сущу дни. И клятся Давид, глаголя: сия да сотворит ми Бог и сия да приложит, яко аще не зайдет солнце, не имам вкусити хлеба ни иного чего.
36 Watu wote wakaiona huzuni ya Daudi, na ikawapendeza, hivyo kila alichokifanya mfalme kikawapendeza.
И познаша вси людие, и угодна быша пред ними вся, елика сотвори царь пред людьми.
37 Hivyo watu wote na Israeli wote wakatambua siku hiyo kwamba haikuwa nia ya mfalme Abneri mwana wa Neri afe.
И разумеша вси людие и весь Израиль в той день, яко не бысть от царя убийства Авениру сыну Нирову.
38 Mfalme akawaambia watumishi wake, “je hamjui kuwa mtu mkuu ameanguka leo hii katika Israeli?
И рече царь отроком своим: не весте ли, яко властелин велик паде в сей день во Израили?
39 Nami leo nimedhoofika, japokuwa nimetiwa mafuta kuwa mfalme. Watu hawa, wana wa Seruya ni hatari sana kwangu. Yahwe na amrudishie mwovu kwa kumlipa kwa ajili ya uovu wake kama anavyostahili.
И яко аз есмь ближний днесь и возставлен в царя? Мужие же сии сынове Саруины жесточайшии мене суть: да воздаст Господь творящему лукавная по злобе его.

< 2 Samweli 3 >