< 2 Samweli 3 >

1 Kulikuwa na vita ya mda mrefu kati ya nyumba ya Sauli na nyumba ya Daudi. Daudi akaendelea kupata nguvu zaidi, lakini nyumba ya Sauli iliendelea kudhoofika na kuthoofika.
Isala: ili dunu mogili da Da: ibidi ea fi fuligala: su. Mogili da Solo egaga fi fuligala: su. Amaiba: le, gegesu da bagade heda: i. Da: ibidima fuligala: su fi ilia gasa da heda: lalu, be ea ha lai ilia gasa da gududafa sa: i.
2 Wana wakazaliwa kwa Daudi huko Hebron. Mzaliwa wake wa kwanza alikuwa Amnoni, kwa Ahinoamu wa Yezreeli.
Da: ibidi egefelali gafeyale gala da Hibalone moilai bai bagade amo ganodini lalelelegei. Magobo mano da A: manone (ea: me da Yeseliele uda amo ea dio amo Ahinoua: me).
3 Mwanawe wa pili, Kileabu, alizaliwa kwa Abigaili, mjane wa Nabali wa Karmeli. Wa tatu, Absalomu, alikuwa mwana wa Maaka, binti Talmai, mfalme wa Geshuri.
Amo baligia da Gilia: be (ea: me da Gamele uda, Na: iba: le ea didalo, ea dio amo A: biga: ile). Amo baligia da A: basalome (ea: me da Gisie hina bagade Da: lama: i ea idiwi, amo Ma: iaga).
4 Mwana wa nne wa Daudi, Adoniya, alikuwa mwana wa Hagithi. Mwanawe wa tano alikuwa Shefatia mwana wa Abitali,
Amo baligia da Adounaidia (ea: me da Ha: gide). Amo baligia da Siefada: ia (ea: me da Abaida: le).
5 na wa sita, Ithreamu, alikuwa mwana wa Egla mkewe Daudi. Hawa wote walizaliwa kwa Daudi huko Hebroni.
Ufidafa da Idilia: me (ea: me da Egela). Amo dunu mano huluane da Hibalone moilai bai bagadegamusu lalelelegei galu.
6 Ikawa wakati wa vita kati ya nyumba ya Sauli na nyumba ya Daudi Abneri akajifanya mwenye nguvu katika nyumba ya Sauli.
Da: ibidima fuligala: su dunu amola Solo ea sosogo fi fuligala: su dunu ele gegenanu. A: bena da Solo ea sosogo fi fuligala: su fi amo ganodini gasawane heda: lebe ba: i.
7 Sauli alikuwa na suria jina lake Rispa, binti Aiya. Ishboshethi akamuuliza Abneri, “Kwa nini umelala na suria wa baba yangu?”
Eso afaega, Esiabousiede (Solo egefe) e da A: bena da Solo ea gidisedagi uda Lisiba (A: ia ea mano) amola gilisili golaiba: le, diwaneya udidi.
8 Hata ikawa Abneri akakasirika sana kutokana na maneno ya Ishboshethi naye akasema, “Je mimi ni kichwa cha mbwa wa Yuda? Ninaonesha uaminifu kwa nyumba ya Sauli, baba yako, kwa jamaa yake, na rafiki zake, kwa kutokukuweka katika mkono wa Daudi. Na bado leo unanishutumu kuhusu mwanamke.
Amoga, A:bena da ougi bagade ba: i. E amane sia: i, “Di da dawa: loba na da Soloma baligi fa: ma: bela: ? Di da dawa: loba na da Yuda dunu ilia hawa: hamobe hamosala: ? Na da muni amogainini dia ada Solo amola yolalali amola ea sama huluane, ili fawane fuligala: su. Amola Da: ibidi da dili mae hasalima: ne, na da hamosu. Be wali di da ogogole na da udama doaga: i sia: sa.
9 Mungu na anifanyie hivyo, Abneri, na kuzidi, ikiwa sitafanya kwa Daudi kama Yahwe alivyomwapia,
10 kuuhamisha ufalme kutoka nyumba ya Sauli na kukisimika kiti cha enzi cha Daudi juu ya Israeli na juu ya Yuda, kutoka Dani hadi Beersheba.”
Hina Gode da Da: ibidima, E da Isala: ili hina bagade hou Solo amola egaga fi amoga fadegale, Da: ibidi da Isala: ili amola Yuda soge huluanedafa ouligima: ne hina bagade hamomu ilegei. Wali, na da amo hou dafawanedafa ba: ma: ne hame hamosea, Gode da na fane legemu da defea.”
11 Ishboshethi hakuweza kumjibu Abneri neno tena, kwani alimuogopa.
Esiabousiede da A: benaba: le bagadewane beda: i. E da bu adole imunu hamedei ba: i.
12 Kisha Abneri akatuma wajumbe kwa Daudi kusema, “Nchi hii ni ya nani? Fanya agano nami, nawe utaona kwamba mkono wangu uko nawe, kuiIeta Israeli yote kwako.”
Amogalu, Da: ibidi da Hibalone moilai bai bagadega esalu. A: bena da ema adola ahoasu dunu ema amane sia: na masa: ne asunasi, “Nowa da ninia soge ouligima: bela: ? Nama gousa: su hamoma. Amasea, Isala: ili dunu huluane di fuligala: ma: ne, na da di fidimu.”
13 Daudi akajibu, “Vema, nitafanya agano nawe. Lakini neno moja ninalolitaka kutoka kwako ni kwamba hautauona uso wangu usipomuleta kwanza Mikali, binti Sauli, unapokuja kuonana nami.”
Da: ibidi da bu adole i, “Defea! Dia liligi afae fawane hamosea, na da ani gousa: su hamomu. Di da na ba: la masea, Solo idiwi Maiga: le, amo nama oule misa.”
14 Kisha Daudi akatuma wajumbe kwa Ishboshethi, mwana wa Sauli, kusema, “Nipe Mikali, mke wangu niliyetoa kwa ajili yake govi mia moja za Wafilisti.”
Amola Da: ibidi da sia: adola ahoasu dunu Esiabousiede ema amane sia: ma: ne sia: si, “Na uda Maiga: le nama bu ima. Na da Filisidini dunu 100 ilia ewa gadofo amo uda lama: ne dabe i galu.”
15 Hivyo Ishboshethi akatuma kwa Mikali na kumchukua kutoka kwa mme wake, Paltieli mwana wa Laishi.
Amaiba: le, Esiabousiede da Maiga: le amo ea egoa Ba: ladiele (La: ise egefe) amo ea lai amo sugui.
16 Mme wake akafuatana naye, huku akilia, akaendelea hadi Bahurimu. Kisha Abneri akamwambia, “basi sasa rudi nyumbani.” Hivyo akarudi.
Ba: ladiele da diginiwane Maiga: lema fa: no bobogele, Bahiulimi moilaiga doaga: i. Amalalu, A:bena da ema amane sia: i, “Di diasua buhagima!” Amanobamone, e da buhagi.
17 Abneri akaongea na wazee wa Israeli kusema, “Zamani mlitaka Daudi awe mfalme wenu.
A: bena da Isala: ili ouligisu dunu ilima asili, amane sia: i, “Dilia da eso bagohame amoga Da: ibidi dilia hina bagade hamoma: ne hananusu.
18 Basi sasa fanyeni hivyo. Kwa maana Yahwe alisema kuhusu Daudi kusema, “Kwa mkono wa Daudi mtumishi wangu nitawaokoa watu wangu Israeli kutoka katika mkono wa Wafilisti na kutoka katika mkono wa adui zao wote.”
Wali, amo hamoma! Hina Gode Ea sia: i bu dawa: ma! E amane sia: i, `Na da na hawa: hamosu dunu Da: ibidi amo ea loboga, Na fi Isala: ili dunu amo Filisidini dunu amola ilia ha lai dunu huluane ili mae hasalima: ne gaga: mu.’”
19 Pia Abneri akasema na watu wa Benjamini ana kwa ana. Kisha Abneri akaenda kuongea na Daudi huko Hebroni akaeleza kila jambo ambalo Israeli na nyumba yote ya Benjamini walitamani kulitimiza.
Amola A: bena da amanewane Bediamini fi dunuma sia: i. Amalalu, e da Hibalone amoga asili, e da Bediamini amola Isala: ili dunu ilia hamomu sia: i, amo Da: ibidima olelei.
20 Wakati Abneri na watu ishirini kati ya watu wake walifika Hebroni kumuona Daudi, Daudi akaandaa sherehe kwa ajili yao.
A: bena amola ea dunu 20 agoane da Hibalone moilai bai bagadega Da: ibidima misi. Da: ibidi ili aowama: ne lolo nasu hamoi.
21 Abneri akamweleza Daudi, “Nitainuka na kukukusanyia Israeli wote, bwana wangu mfalme, ili kwamba wafanye agano nawe, kwamba utawale juu ya yote unayotaka.” Hivyo Daudi akamruhusu Abneri kuondoka, Abneri akaondoka kwa amani.
A: bena da Da: ibidima amane adole i, “Hina noga: idafa! Na da wali asili, Isala: ili dunu huluane di fuligala: ma: ne hamomu. Amasea, ilia huluane da di hina bagade hamoma: ne sia: mu. Amola dia hanai defele, di da Isala: ili soge huluanedafa ouligima: mu.” Da: ibidi da A: bena da se hamedafa nabima: ne, gaga: su sia: ilegei.
22 Kisha askari wa Daudi na Yoabu wakarudi kutoka katika kuteka nyara na wakaja na nyara nyingi. Lakini Abneri hakuwepo Hebroni pamoja na Daudi. Daudi alikuwa amemruhusu kuondoka, na alikuwa ameondoka kwa amani.
Amalu fa: no, Youa: be amola Da: ibidi ea ouligisu dunu eno da ha wa: i asili, liligi lai bagadedafa gagaguli buhagi. Be ilia da A: bena Hibalone amoga esalebe hame ba: i. Bai Da: ibidi da A: benama e da se hamedafa nabima: ne, gaga: su sia: ilegele, hi diasua masa: ne asunasi.
23 Wakati Yoabu na Jeshi lote walipofika, Yoabu aliambiwa, “Abneri mwana wa Neri alikuja kwa mfalme, na mfalme amemruhusu kuondoka, naye Abneri ameondoka kwa amani.”
Youa: be amola ea dunu da doaga: le nabagaloba, A:bena da Da: ibidima misini amola Da: ibidi da e se mae nabima: ne ilegelalu hi diasua masa: ne asunasi, amo ilia nabi.
24 Kisha Yoabu akaja kwa mfalme na kusema, “Umefanya nini? Tazama, Abneri alikuja kwako! Kwa nini umemruhusu kuondoka, naye amenda?
Amaiba: le, Youa: be da hina bagade ema asili amane sia: i, “Di da adi hamobela: ? A: bena da dima misi. Dia abuliba: le e udigili masa: ne logo doasibala: ?
25 Haujui kwamba Abneri mwana wa Neri alikuja kukudanganya na kupeleleza hali yako na kuangalia kila unalofanya?”
E da dima ogogomusa: misi. Amola dia hamobe amola ahoabe huluane abedemusa: misi. Di da ea hou dawa: !”
26 Yoabu alipoondoka kwa Daudi, alituma wajumbe kumfuatia Abneri, nao wakamrudisha kutoka katika kisima cha Sirah, lakini Daudi hakulijua hili.
Youa: be da Da: ibidi yolesilalu, sia: adola ahoasu dunu, amo A: bena bu misa: ne sia: ma: ne asunasi. Ilia da A: bena amo Sila si hano esalebe ba: loba, e bu oule misi. Be Da: ibidi da amo hou hame dawa: i galu.
27 Abneri aliporudi Hebroni, Yoabu alimchukua kando kati ya lango ili aongee naye faraghani. Hapohapo Yoabu alimchoka tumboni na kumuua. Hivyo, akalipa kisasi cha damu ya Asaheli nduguye.
A: bena da Hibalone logo holeiga doaga: loba, Youa: be da logo bega: ema ogogole wamo sia: sia: musia: ne oule aliagale, e gobiheiga hagomo sone legei. Amola A: bena da medole legei dagoi ba: i. Bai e da Youa: be eya A: sahele fane legei.
28 Daudi alipolisikia jambo hili akasema, “Mimi na ufalme wangu hatuna hatia mbele za Yahwe daima, kuhusiana na damu ya Abneri mwana wa Neri.
Da: ibidi da amane hamoi sia: nababeba: le, e da amane sia: i, “Hina Gode da dawa: ! Na amola na baligia aligi dunu huluane, ninia da A: bena e hamedafa fane legei.
29 Hatia ya damu ya Abneri na iwe juu ya Yoabu na nyumba yote ya baba yake. Na asikosekane katika familia ya Yoabu mtu mwenye vidonda, au mwenye ukoma, au kirema atembeaye kwa fimbo au aliyeuawa kwa upanga au mwenye kukosa chakula.”
Gode da Youa: be amola ea sosogo fi huluane ilima amo hou ea dabe se iasu ilima imunu da defea. Egaga fifi misunu amo ganodini, dunu afae da gadofo olo bagade o wadela: i uda lasu olo bagade o dunu da gasa hameba: le uda ea hawa: fawane hamomu dawa: o dunu da gegesu ganodini fane legei o dunu da ha: i bagade, agoaiwane dunu ba: mu da defea. Gode da Youa: be fi ilima amane se dabe imunu da defea.”
30 Hivyo Yoabu na Abishai nduguye wakamwua Abneri, kwa sababu alimwua Asaheli ndugu yao vitani huko Gibeoni.
Youa: be amola eaeya Abisia: i da amanewane A: bena dabe i. Bai e da ela eya A: sahele amo Gibione gegesu ganodini fane legei.
31 Daudi akamwambia Yoabu na wote waliokuwa pamoja naye, “Rarueni mavazi yenu, jivikeni nguo za magunia, na muomboleze mbele ya mwili wa Abneri.” Na mfalme Daudi akaufuata mwili wa Abneri wakati wa mazishi.
Amalalu, Da: ibidi da Youa: be amola ea dunu ilia da abula gagadelale, amola abula wadela: i ebobolesi sasalili, A:benaha fofagini didigia: ma: ne sia: i. Bogoi uli dogomusa: gilisisu amoga, hina bagade Da: ibidi da bogoi doufa da: iya gisa ahoabe amoga fa: no bobogei.
32 Wakamzika Abneri huko Hebroni. Mfalme akalia kwa sauti katika kaburi la Abneri, na watu wote pia wakalia.
Ilia da A: bena amo Hibalone moilai bai bagadega uli dogoi. Da: ibidi amola dunu huluane da uli dogoi bega: didigia: sa esafulu.
33 Mfalme akamwombolea Abneri naye akaimbo, “Je ilipasa Abneri afe kama afavyo mpumbavu?
Da: ibidi da A: benaha asigili fofagi gesami amane hea: i, “A: bena da abuliba: le gagaoui dunuga bogosu defele bagobela: ?
34 Mikono yako haikufungwa. Miguu yako hakuwa imefungwa minyororo. Kama mtu aangukavyo mbele ya wana wa uovu, ndivyo ulivyoanguka.” Watu wote wakamlilia zaidi.
Ea lobo da hame la: gi ba: i. Ea emo da hame la: gi ba: i. E da dunu amo wadela: i hamosu dunuga medole legei, amo defele bogoi.” Amalalu, dunu huluane eha da bu didiga: i.
35 Watu wote wakaja kumtaka Daudi ale wakati kungali mchana, lakini Daudi akaapa, “Mungu na anifanyie hivyo, na kuzidi, ikiwa nitaonja mkate au chochote kabla jua halijazama.”
Amo esoha, dunu da gebewane Da: ibidi e ha: i moma: ne sia: i. Be e da dafawane amane ilegele sia: i, “Na da wali eso amoga ha: i nasea, Gode da na fane legemu da defea.”
36 Watu wote wakaiona huzuni ya Daudi, na ikawapendeza, hivyo kila alichokifanya mfalme kikawapendeza.
Ilia da amo hou ba: lalu, hahawane ba: i. Dafawane! Ilia da hina bagade Da: ibidi ea hamobe huluane hahawane ba: i.
37 Hivyo watu wote na Israeli wote wakatambua siku hiyo kwamba haikuwa nia ya mfalme Abneri mwana wa Neri afe.
Da: ibidi ea fi dunu huluane, amola Isala: ili fi dunu huluane da hina bagade da A: bena fane legei amo hamedafa fidi, amo noga: le dawa: i galu.
38 Mfalme akawaambia watumishi wake, “je hamjui kuwa mtu mkuu ameanguka leo hii katika Israeli?
Hina bagade da ea eagene ouligisu dunuma amane sia: i, “Dilia! Noga: le dawa: ma! Wali eso, Isala: ili soge ouligisu dunu bagade da bogoi dagoi.
39 Nami leo nimedhoofika, japokuwa nimetiwa mafuta kuwa mfalme. Watu hawa, wana wa Seruya ni hatari sana kwangu. Yahwe na amrudishie mwovu kwa kumlipa kwa ajili ya uovu wake kama anavyostahili.
Gode da na hina bagade hamoma: ne ilegei dagoi. Be wali eso na da gasa hamedene gogaya: i ba: sa. Selouaia egefelali da baligili bidi hamobeba: le, na higasa. Hina Gode da ilia wadela: i hamoi defele, se dabe ilima imunu da defea.”

< 2 Samweli 3 >