< 2 Samweli 24 >

1 Kisha hasira ya Yahwe ikawaka dhidi ya Israeli, naye akamchochea Daudi kinyume chao kusema, “Nenda, ukawahesabu Israeli na Yuda.”
Or la colère de l'Eternel s'embrasa encore contre Israël; parce que David fut incité contr'eux à dire: Va, dénombre Israël et Juda.
2 Mfalme akamwambia Yoabu, jemedari wa jeshi, aliyekuwa pamoja naye, “Nenda upite katika kabila zote za Israeli, toka Dani mpaka Beersheba, uwahesabu watu wote, ili niweze kujua idadi kamili ya watu wanaofaa kwa vita.”
Le Roi donc dit à Joab, chef de l'armée, lequel il avait avec soi: Passe maintenant par toutes les Tribus d'Israël, depuis Dan jusqu'à Beersébah, et dénombre le peuple, afin que j'en sache le nombre.
3 Yoabu akamwambia mfalme, “Yahwe Mungu wako na aizidishe hesabu ya watu mara mia, na macho ya bwana wangu mfalme yaone ikifanyika. Lakini kwa nini bwana wangu mfalme analitaka jambo hili?
Mais Joab répondit au Roi: Que l'Eternel ton Dieu veuille augmenter ton peuple autant, et cent fois autant qu'il est maintenant; et que les yeux du Roi mon Seigneur le voient! mais pourquoi le Roi mon Seigneur prend-il plaisir à cela?
4 Walakini neno la mfalme lilikuwa la mwisho dhidi ya Yoabu na dhidhi ya majemedari wa jeshi. Hivyo Yoabu na majemedari wakatoka mbele ya mfalme kuwahesabu watu wa Israeli.
Néanmoins la parole du Roi l'emporta sur Joab, et sur les Chefs de l'armée; et Joab et les chefs de l'armée sortirent de la présence du Roi pour dénombrer le peuple, [savoir] Israël.
5 Wakavuka Yordani na kupiga kambi karibu na Aroeri, kusini mwa mji bondeni. Kisha wakasafiri kupitia Gadi mpaka Yazeri.
Ils passèrent donc le Jourdain, et se campèrent en Haroher, à main droite de la ville, qui est au milieu du torrent de Gad, et vers Jahzer.
6 Wakaja Gileadi na nchi ya Tahtimu Hodshi, kisha Dani, Jaani na karibu kuelekea Sidoni.
Et ils vinrent en Galaad, et dans la terre de ceux qui habitent au bas [pays] d'Hodsi, et vinrent à Dan-Jahan, et ensuite aux environs de Sidon.
7 Wakafika ngome ya Tiro na miji yote ya Wahivi na Wakanaani. Kisha wakaenda Negebu katika Yuda huko Beersheba.
Et ils vinrent jusqu'à la forteresse de Tsor, et dans toutes les villes des Héviens, et des Cananéens, et sortirent vers le Midi de Juda à Beersébah.
8 Walipokuwa wamepita katika nchi yote, wakarejea Yerusalemu mwishoni mwa miezi tisa na siku ishirini.
Ainsi ils traversèrent tout le pays, et revinrent à Jérusalem au bout de neuf mois et vingt jours.
9 Ndipo Yoabu alipotoa taarifa ya hesabu kamili kwa mfalme kuhusu watu wawezao kupigana vita. Katika Israeli kulikuwa na watu 800, 000 jasiri wawezao kutoa upanga, na wale wa Yuda walikuwa watu 500, 000.
Et Joab donna au Roi le rolle du dénombrement du peuple; et il y eut de ceux d'Israël huit cent mille hommes de guerre tirant l'épée, et de ceux de Juda cinq cent mille hommes.
10 Ndipo moyo wa Daudi ukamchoma alipokuwa amewahesabu watu. Hivyo akamwambia Yahwe, “Kwa kufanya hivi nimetenda dhambi sana. Sasa, Yahwe, uiondoe hatia ya mtumishi wako, kwani nimetenda kwa upumbavu.”
Alors David fut touché en son cœur, après qu'il eut fait ainsi dénombrer le peuple; et David dit à l'Eternel: J'ai commis un grand péché en faisant cela, mais, je te prie, ô Eternel! pardonne l'iniquité de ton serviteur; car j'ai agi très-follement.
11 Daudi alipoinuka asubuhi, neno la Yahwe likamjia nabii Gadi, mwonaji wa Daudi, kusema,
Après cela David se leva dès le matin, et la parole de l'Eternel fut [adressée] à Gad le Prophète, qui était le Voyant de David, en disant:
12 Nenda umwambie Daudi; 'Hivi ndivyo asemavyo Yahwe: “Ninakupa mambo matatu. Uchague mojawapo.”
Va, et dis à David: Ainsi a dit l'Eternel: J'apporte trois choses contre toi; choisis l'une des trois, afin que je te la fasse.
13 Hivyo Gadi akaenda kwa Daudi na kumwambia, “Je miaka mitatu ya njaa ije katika nchi yako? au miezi mitatu ukimbie kutoka kwa adui zako huku wakikufuatia? au kuwe na tauni ya siku tatu katika nchi yako? Amua sasa jibu gani nimrudishie aliyenituma.”
Gad vint donc vers David, et lui fit entendre cela en disant: Que veux-tu qui t'arrive: ou sept ans de famine sur ton pays; ou que durant trois mois tu fuies devant tes ennemis, et qu'ils te poursuivent; ou que durant trois jours la mortalité soit en ton pays? Avises-y maintenant, et regarde ce que tu veux que je réponde à celui qui m'a envoyé.
14 Ndipo Daudi alipomwambia Gadi, “Nipo katika shida kubwa. Haya na tuanguke katika mikono ya Yahwe kuliko kuanguka katika mikono ya mwanadamu, kwani matendo yake ya rehema ni makuu sana.”
Et David répondit à Gad: Je suis dans une très-grande angoisse. Je te prie que nous tombions entre les mains de l'Eternel, car ses compassions sont en grand nombre; et que je ne tombe point entre les mains des hommes.
15 Hivyo akatuma tauni juu ya Israeli kuanzia asubuhi kwa muda ulioamriwa, na watu sabini na tano elfu kutoka Dani mpaka Beersheba wakafa.
L'Eternel donc envoya la mortalité en Israël, depuis le matin jusqu'au temps de l'assignation; et il mourut du peuple depuis Dan jusqu'à Beersébah, soixante-dix mille hommes.
16 Malaika aliponyosha mkono wake kuelekea Yerusalemu ili kuuharibu, Yahwe akabadili nia yake kuhusu madhara, na akamwambia malaika aliyekuwa tiyari kuwaangamiza watu, “Yatosha! Rudisha mkono wako sasa.” Wakati huo malaika wa Yahwe alikuwa amesimama katika kiwanja cha kupuria cha Arauna Myebusi.
Mais quand l'Ange eut étendu sa main sur Jérusalem pour la ravager, l'Eternel se repentit de ce mal-là et dit à l'Ange qui faisait le dégât parmi le peuple: C'est assez, retire à cette heure ta main. Or l'Ange de l'Eternel était auprès de l'aire d'Arauna Jébusien.
17 Daudi alipomwona malaika aliyekuwa amewapiga watu, akamwambia Yahwe kusema, “Nimetenda dhambi, na nimetenda kwa upumbavu. Lakini kondoo hawa, wamefanya nini? Tafadhari, mkono wako na uniadhibu mimi na familia ya baba yangu!”
Car David voyant l'Ange qui frappait le peuple, parla à l'Eternel, et dit: Voici, c'est moi qui ai péché, c'est moi qui ai commis l'iniquité, mais ces brebis qu'ont-elles fait? Je te prie que ta main soit contre moi, et contre la maison de mon père.
18 Kisha Gadi akaja siku hiyo kwa Daudi na kumwambia, “Kwea na ujenge madhabahu kwa ajili ya Yahwe katika kiwanja cha kupuria cha Arauna Myebusi.”
Et en ce jour-là Gad vint vers David, et lui dit: Monte, et dresse un autel à l'Eternel dans l'aire d'Arauna Jébusien.
19 Hivyo Daudi akakwea kama Gadi alivyomwelekeza kufanya, kama Yahwe alivyokuwa ameagiza.
Et David monta selon la parole de Gad, ainsi que l'Eternel l'avait commandé.
20 Arauna akatazama na kumwona mfalme na watumishi wake wakikaribia. Ndipo Arauna akaondoka na kumsujudia mfalme uso wake mpaka juu ya ardhi.
Et Arauna regarda, et vit le Roi, et ses serviteurs qui venaient vers lui; et ainsi Arauna sortit, et se prosterna devant le Roi, le visage contre terre.
21 Kisha Arauna akasema, “Kwa nini bwana wangu mfalme amekuja kwangu, mtumishi wake? Daudi akajibu, “Kununua uwanja wako wa kupuria, ili nimjengee Yahwe madhabahu, ili kwamba tauni iondolewe kwa watu.”
Et Arauna dit: Pour quel sujet le Roi mon Seigneur vient-il vers son serviteur? Et David répondit: Pour acheter ton aire, et y bâtir un autel à l'Eternel, afin que cette plaie soit arrêtée de dessus le peuple.
22 Arauna akamwambia Daudi, “Chukua liwe lako, bwana wangu mfalme. Ulifanyie lolote lolote lililojema machoni pako. Tazama, ng'ombe kwa ajili ya sadaka ya kuteketezwa na miganda ya kupuria na nira kwa kuni.
Et Arauna dit à David: Que le Roi mon Seigneur prenne et offre ce qu'il lui plaira. Voilà des bœufs pour l'holocauste, et des chariots, et un attelage de bœufs au lieu de bois.
23 Haya yote bwana wangu mfalme, mimi Arauna nakupa.” Kisha akamwambia mfalme, “Yahwe Mungu wako na awe nawe.”
Arauna donna tout cela au Roi [comme] un Roi. Et Arauna dit au Roi: L'Eternel ton Dieu veuille t'avoir pour agréable!
24 Mfalme akamwambia Arauna, “Hapana, nahimiza kukinunua kwa thamani yake. Sitatoa kama sadaka ya kuteketezwa kwa Yahwe chochote nisichokigharimia.” Hivyo Daudi akakinunua kiwanja cha kupuria na ng'ombe kwa shekeli hamsini za fedha.
Et le Roi répondit à Arauna: Non, mais je l'achèterai de toi pour un certain prix, et je n'offrirai point à l'Eternel mon Dieu des holocaustes qui ne me coûtent rien. Ainsi David acheta l'aire, et il [acheta aussi] les bœufs cinquante sicles d'argent.
25 Daudi akajenga madhabahu kwa Yahwe pale na kutoa juu yake sadaka za kuteketezwa na sadaka za amani. Hivyo wakamsihi Yahwe kwa niaba ya nchi, hivyo akaizuia tauni katika katika Israeli yote.
Puis David bâtit là un autel à l'Eternel, et offrit des holocaustes et des sacrifices de prospérités; et l'Eternel fut apaisé envers le pays, et la plaie fut arrêtée en Israël.

< 2 Samweli 24 >