< 2 Samweli 24 >

1 Kisha hasira ya Yahwe ikawaka dhidi ya Israeli, naye akamchochea Daudi kinyume chao kusema, “Nenda, ukawahesabu Israeli na Yuda.”
and to add: again face: anger LORD to/for to be incensed in/on/with Israel and to incite [obj] David in/on/with them to/for to say to go: went to count [obj] Israel and [obj] Judah
2 Mfalme akamwambia Yoabu, jemedari wa jeshi, aliyekuwa pamoja naye, “Nenda upite katika kabila zote za Israeli, toka Dani mpaka Beersheba, uwahesabu watu wote, ili niweze kujua idadi kamili ya watu wanaofaa kwa vita.”
and to say [the] king to(wards) Joab ruler [the] strength: soldiers which with him to rove please in/on/with all tribe Israel from Dan and till Beersheba Beersheba and to reckon: list [obj] [the] people and to know [obj] number [the] people
3 Yoabu akamwambia mfalme, “Yahwe Mungu wako na aizidishe hesabu ya watu mara mia, na macho ya bwana wangu mfalme yaone ikifanyika. Lakini kwa nini bwana wangu mfalme analitaka jambo hili?
and to say Joab to(wards) [the] king and to add LORD God your to(wards) [the] people like/as them and like/as them hundred beat and eye lord my [the] king to see: see and lord my [the] king to/for what? to delight in in/on/with word: thing [the] this
4 Walakini neno la mfalme lilikuwa la mwisho dhidi ya Yoabu na dhidhi ya majemedari wa jeshi. Hivyo Yoabu na majemedari wakatoka mbele ya mfalme kuwahesabu watu wa Israeli.
and to strengthen: prevail over word [the] king to(wards) Joab and upon ruler [the] strength: soldiers and to come out: come Joab and ruler [the] strength: soldiers to/for face: before [the] king to/for to reckon: list [obj] [the] people [obj] Israel
5 Wakavuka Yordani na kupiga kambi karibu na Aroeri, kusini mwa mji bondeni. Kisha wakasafiri kupitia Gadi mpaka Yazeri.
and to pass [obj] [the] Jordan and to camp in/on/with Aroer right: south [the] city which in/on/with midst [the] torrent: valley [the] Gad and to(wards) Jazer
6 Wakaja Gileadi na nchi ya Tahtimu Hodshi, kisha Dani, Jaani na karibu kuelekea Sidoni.
and to come (in): come [the] Gilead [to] and to(wards) land: country/planet Kadesh Kadesh and to come (in): come Dan [to] Jaan and around to(wards) Sidon
7 Wakafika ngome ya Tiro na miji yote ya Wahivi na Wakanaani. Kisha wakaenda Negebu katika Yuda huko Beersheba.
and to come (in): come fortification Tyre and all city [the] Hivite and [the] Canaanite and to come out: come to(wards) Negeb Judah Beersheba Beersheba
8 Walipokuwa wamepita katika nchi yote, wakarejea Yerusalemu mwishoni mwa miezi tisa na siku ishirini.
and to rove in/on/with all [the] land: country/planet and to come (in): come from end nine month and twenty day Jerusalem
9 Ndipo Yoabu alipotoa taarifa ya hesabu kamili kwa mfalme kuhusu watu wawezao kupigana vita. Katika Israeli kulikuwa na watu 800, 000 jasiri wawezao kutoa upanga, na wale wa Yuda walikuwa watu 500, 000.
and to give: give Joab [obj] number appointment [the] people to(wards) [the] king and to be Israel eight hundred thousand man strength to draw sword and man Judah five hundred thousand man
10 Ndipo moyo wa Daudi ukamchoma alipokuwa amewahesabu watu. Hivyo akamwambia Yahwe, “Kwa kufanya hivi nimetenda dhambi sana. Sasa, Yahwe, uiondoe hatia ya mtumishi wako, kwani nimetenda kwa upumbavu.”
and to smite heart David [obj] him after so to recount [obj] [the] people and to say David to(wards) LORD to sin much which to make: do and now LORD to pass: bring please [obj] iniquity: crime servant/slave your for be foolish much
11 Daudi alipoinuka asubuhi, neno la Yahwe likamjia nabii Gadi, mwonaji wa Daudi, kusema,
and to arise: rise David in/on/with morning and word LORD to be to(wards) Gad [the] prophet seer David to/for to say
12 Nenda umwambie Daudi; 'Hivi ndivyo asemavyo Yahwe: “Ninakupa mambo matatu. Uchague mojawapo.”
to go: went and to speak: speak to(wards) David thus to say LORD three I to lift upon you to choose to/for you one from them and to make: do to/for you
13 Hivyo Gadi akaenda kwa Daudi na kumwambia, “Je miaka mitatu ya njaa ije katika nchi yako? au miezi mitatu ukimbie kutoka kwa adui zako huku wakikufuatia? au kuwe na tauni ya siku tatu katika nchi yako? Amua sasa jibu gani nimrudishie aliyenituma.”
and to come (in): come Gad to(wards) David and to tell to/for him and to say to/for him to come (in): come to/for you seven year famine in/on/with land: country/planet your if: surely no three month to flee you to/for face: before enemy your and he/she/it to pursue you and if: surely no to be three day pestilence in/on/with land: country/planet your now to know and to see: select what? to return: return to send: depart me word: speaking
14 Ndipo Daudi alipomwambia Gadi, “Nipo katika shida kubwa. Haya na tuanguke katika mikono ya Yahwe kuliko kuanguka katika mikono ya mwanadamu, kwani matendo yake ya rehema ni makuu sana.”
and to say David to(wards) Gad distress to/for me much to fall: fall please in/on/with hand: power LORD for many (compassion his *Q(K)*) and in/on/with hand: power man not to fall: fall
15 Hivyo akatuma tauni juu ya Israeli kuanzia asubuhi kwa muda ulioamriwa, na watu sabini na tano elfu kutoka Dani mpaka Beersheba wakafa.
and to give: give LORD pestilence in/on/with Israel from [the] morning and till time meeting: time appointed and to die from [the] people from Dan and till Beersheba Beersheba seventy thousand man
16 Malaika aliponyosha mkono wake kuelekea Yerusalemu ili kuuharibu, Yahwe akabadili nia yake kuhusu madhara, na akamwambia malaika aliyekuwa tiyari kuwaangamiza watu, “Yatosha! Rudisha mkono wako sasa.” Wakati huo malaika wa Yahwe alikuwa amesimama katika kiwanja cha kupuria cha Arauna Myebusi.
and to send: reach hand his [the] messenger: angel Jerusalem to/for to ruin her and to be sorry: relent LORD to(wards) [the] distress: harm and to say to/for messenger: angel [the] to ruin in/on/with people many now to slacken hand your and messenger: angel LORD to be with threshing floor ([the] Araunah *Q(K)*) [the] Jebusite
17 Daudi alipomwona malaika aliyekuwa amewapiga watu, akamwambia Yahwe kusema, “Nimetenda dhambi, na nimetenda kwa upumbavu. Lakini kondoo hawa, wamefanya nini? Tafadhari, mkono wako na uniadhibu mimi na familia ya baba yangu!”
and to say David to(wards) LORD in/on/with to see: see he [obj] [the] messenger: angel [the] to smite in/on/with people and to say behold I ([the] to pasture *X*) to sin and I to pervert and these [the] flock what? to make: do to be please hand your in/on/with me and in/on/with house: household father my
18 Kisha Gadi akaja siku hiyo kwa Daudi na kumwambia, “Kwea na ujenge madhabahu kwa ajili ya Yahwe katika kiwanja cha kupuria cha Arauna Myebusi.”
and to come (in): come Gad to(wards) David in/on/with day [the] he/she/it and to say to/for him to ascend: rise to arise: raise to/for LORD altar in/on/with threshing floor (Araunah *Q(K)*) [the] Jebusite
19 Hivyo Daudi akakwea kama Gadi alivyomwelekeza kufanya, kama Yahwe alivyokuwa ameagiza.
and to ascend: rise David like/as word Gad like/as as which to command LORD
20 Arauna akatazama na kumwona mfalme na watumishi wake wakikaribia. Ndipo Arauna akaondoka na kumsujudia mfalme uso wake mpaka juu ya ardhi.
and to look Araunah and to see: see [obj] [the] king and [obj] servant/slave his to pass upon him and to come out: come Araunah and to bow to/for king face his land: soil [to]
21 Kisha Arauna akasema, “Kwa nini bwana wangu mfalme amekuja kwangu, mtumishi wake? Daudi akajibu, “Kununua uwanja wako wa kupuria, ili nimjengee Yahwe madhabahu, ili kwamba tauni iondolewe kwa watu.”
and to say Araunah why? to come (in): come lord my [the] king to(wards) servant/slave his and to say David to/for to buy from from with you [obj] [the] threshing floor to/for to build altar to/for LORD and to restrain [the] plague from upon [the] people
22 Arauna akamwambia Daudi, “Chukua liwe lako, bwana wangu mfalme. Ulifanyie lolote lolote lililojema machoni pako. Tazama, ng'ombe kwa ajili ya sadaka ya kuteketezwa na miganda ya kupuria na nira kwa kuni.
and to say Araunah to(wards) David to take: take and to ascend: offer up lord my [the] king [the] pleasant (in/on/with eye: appearance his *Q(K)*) to see: behold! [the] cattle to/for burnt offering and [the] threshing sled and article/utensil [the] cattle to/for tree: wood
23 Haya yote bwana wangu mfalme, mimi Arauna nakupa.” Kisha akamwambia mfalme, “Yahwe Mungu wako na awe nawe.”
[the] all to give: give Araunah [the] king to/for king and to say Araunah to(wards) [the] king LORD God your to accept you
24 Mfalme akamwambia Arauna, “Hapana, nahimiza kukinunua kwa thamani yake. Sitatoa kama sadaka ya kuteketezwa kwa Yahwe chochote nisichokigharimia.” Hivyo Daudi akakinunua kiwanja cha kupuria na ng'ombe kwa shekeli hamsini za fedha.
and to say [the] king to(wards) Araunah not for to buy to buy from [obj] you in/on/with price and not to ascend: offer up to/for LORD God my burnt offering for nothing and to buy David [obj] [the] threshing floor and [obj] [the] cattle in/on/with silver: money shekel fifty
25 Daudi akajenga madhabahu kwa Yahwe pale na kutoa juu yake sadaka za kuteketezwa na sadaka za amani. Hivyo wakamsihi Yahwe kwa niaba ya nchi, hivyo akaizuia tauni katika katika Israeli yote.
and to build there David altar to/for LORD and to ascend: offer up burnt offering and peace offering and to pray LORD to/for land: country/planet and to restrain [the] plague from upon Israel

< 2 Samweli 24 >