< 2 Samweli 24 >

1 Kisha hasira ya Yahwe ikawaka dhidi ya Israeli, naye akamchochea Daudi kinyume chao kusema, “Nenda, ukawahesabu Israeli na Yuda.”
Eso afaega, Hina Gode da bu Isala: ili fi ilima ougi galu. E da Da: ibidi ilima bidi hamosu doaga: ma: ne hamoi. Hina Gode da ema amane sia: i, “Masa! Isala: ili amola Yuda fi dunu idima.”
2 Mfalme akamwambia Yoabu, jemedari wa jeshi, aliyekuwa pamoja naye, “Nenda upite katika kabila zote za Israeli, toka Dani mpaka Beersheba, uwahesabu watu wote, ili niweze kujua idadi kamili ya watu wanaofaa kwa vita.”
Amaiba: le, Da: ibidi da dadi gagui wa: i ouligisudafa amo Youa: be, ema amane sia: i, “Di amola dia afoha ouligisu dunu huluane amo Isala: ili fi huluane fodomane fasisa asili muni na: iyado soge bega: asili na: iyado bega: doaga: le amola dunu huluane idima. Na da ili idi dawa: mu hanai gala.”
3 Yoabu akamwambia mfalme, “Yahwe Mungu wako na aizidishe hesabu ya watu mara mia, na macho ya bwana wangu mfalme yaone ikifanyika. Lakini kwa nini bwana wangu mfalme analitaka jambo hili?
Be Youa: be da amane adole i, “Hina noga: idafa! Dia Hina Gode da Isala: ili dunu ilia idi amo bagalesili, bu afae da 100 ba: ma: ne hamomu da defea. Amola amo dafawane ba: ma: ne, di da esalumu da defea. Be di, hina noga: idafa, abuliba: le amo hamomusa: hanabela: ?”
4 Walakini neno la mfalme lilikuwa la mwisho dhidi ya Yoabu na dhidhi ya majemedari wa jeshi. Hivyo Yoabu na majemedari wakatoka mbele ya mfalme kuwahesabu watu wa Israeli.
Be Da: ibidi da Youa: be amola ea afoha ouligisu dunu ea sia: i nabawane hamoma: ne logei. Ilia da e fisili, Isala: ili dunu idimusa: asi.
5 Wakavuka Yordani na kupiga kambi karibu na Aroeri, kusini mwa mji bondeni. Kisha wakasafiri kupitia Gadi mpaka Yazeri.
Ilia da Yoda: ne Hano degele, Aloua moilai ga (south) la: idi amoga fi dialu. (Aloua da Ga: de soge ganodini, fago dogoa dialebe ba: i). Amogainini asili, ilia ga (north) Ya: isa moilai bai bagadega asi.
6 Wakaja Gileadi na nchi ya Tahtimu Hodshi, kisha Dani, Jaani na karibu kuelekea Sidoni.
Amo yolesili, ilia da Gilia: de baligili, Ga: idese soge (Hidaide fi soge amo ganodini dialebe) amoga doaga: i. Amalalu, ilia da Da: ne moilaiga asili, amola bu guma: dini, Saidone moilai bai bagadega asi.
7 Wakafika ngome ya Tiro na miji yote ya Wahivi na Wakanaani. Kisha wakaenda Negebu katika Yuda huko Beersheba.
Amalalu, ilia da bu ga (south) asili, gagili sali moilai bai bagade Daia amoga doaga: i. Amalalu, ilia da Haifaide dunu amola Ga: ina: ne dunu ilia moilai huluane amoga asili, amola ilia ahoabe dagomusa: , Biasiba moilai bai bagade (Yuda ga [south] soge ganodini diala) amoga doaga: i.
8 Walipokuwa wamepita katika nchi yote, wakarejea Yerusalemu mwishoni mwa miezi tisa na siku ishirini.
Ilia da oubi sesegeyale amola eso 20 amoga ahoanu, ilia da Yelusalemega buhagi. Ilia da soge huluanedafa amo ganodini ahoanu dagoi ba: i.
9 Ndipo Yoabu alipotoa taarifa ya hesabu kamili kwa mfalme kuhusu watu wawezao kupigana vita. Katika Israeli kulikuwa na watu 800, 000 jasiri wawezao kutoa upanga, na wale wa Yuda walikuwa watu 500, 000.
Ilia da hina bagadema amo dunu huluane amo da gegemusa: defele esalu, amo ilia idi ema sia: ne iasu. Ilia idi da Isala: ili dunu 800,000 amola Yuda dunu 500,000.
10 Ndipo moyo wa Daudi ukamchoma alipokuwa amewahesabu watu. Hivyo akamwambia Yahwe, “Kwa kufanya hivi nimetenda dhambi sana. Sasa, Yahwe, uiondoe hatia ya mtumishi wako, kwani nimetenda kwa upumbavu.”
Be Da: ibidi da amo dunu fi idisu lai dagobeba: le, e da ea asigi dawa: su ganodini se nabalu, Hina Godema amane sia: i, “Na da amo hamobeba: le, wadela: le bagadedafa hamoi. Dafawane! Na da gagaoui agoane hamoi dagoi. Na gogolema: ne olofoma.”
11 Daudi alipoinuka asubuhi, neno la Yahwe likamjia nabii Gadi, mwonaji wa Daudi, kusema,
12 Nenda umwambie Daudi; 'Hivi ndivyo asemavyo Yahwe: “Ninakupa mambo matatu. Uchague mojawapo.”
Hina Gode da Ga: de (Da: ibidi ea balofede dunu) ema amane sia: i, “Di Da: ibidima asili, amola ema Na da ilegesu udiana ema olelemu. Amo ilegesu hi da ilegesea, amo Na da ema hamomu.” Golale hahabe, Da: ibidi da wa: legadole, amola amogalu,
13 Hivyo Gadi akaenda kwa Daudi na kumwambia, “Je miaka mitatu ya njaa ije katika nchi yako? au miezi mitatu ukimbie kutoka kwa adui zako huku wakikufuatia? au kuwe na tauni ya siku tatu katika nchi yako? Amua sasa jibu gani nimrudishie aliyenituma.”
Ga: de da ema asili, Hina Gode Ea sia: i ema alofele i. E da Da: ibidima amane adole ba: i, “Di da adi ilegesala: ? Dia soge amo ganodini ode udiana ha: mu ilegema: bela: ? O oubi udiana amoga dia ha lai da di hasalabeba: le, di sefasimu, amo ilegema: bela: ? O eso udiana olo bagade di dia sogega ba: mu, amo ilegema: bela: ? Di dawa: lalu, nama adole ima. Amasea, na da Hina Godema alofele adole imunu.”
14 Ndipo Daudi alipomwambia Gadi, “Nipo katika shida kubwa. Haya na tuanguke katika mikono ya Yahwe kuliko kuanguka katika mikono ya mwanadamu, kwani matendo yake ya rehema ni makuu sana.”
Da: ibidi da bu adole i, “Na da bidi hamosu bagadedafa amoga sisiga: i. Be na da osobo bagade dunuga se nabimu higa: i. Hina Gode Hisu da ninima se imunu da defea. Bai e da asigisa, amola gogolema: ne olofosu dawa:”
15 Hivyo akatuma tauni juu ya Israeli kuanzia asubuhi kwa muda ulioamriwa, na watu sabini na tano elfu kutoka Dani mpaka Beersheba wakafa.
Amaiba: le, Hina Gode da olo bagade Isala: ili dunuma iasi. Olo da amogala hahabe muni, Gode ea ilegei eso idi ganodini ba: i. Olo da Isala: ili soge bega: asili, la: idi bega: doaga: le, amola Isala: ili dunu 70,000 da bogogia: i ba: i.
16 Malaika aliponyosha mkono wake kuelekea Yerusalemu ili kuuharibu, Yahwe akabadili nia yake kuhusu madhara, na akamwambia malaika aliyekuwa tiyari kuwaangamiza watu, “Yatosha! Rudisha mkono wako sasa.” Wakati huo malaika wa Yahwe alikuwa amesimama katika kiwanja cha kupuria cha Arauna Myebusi.
Hina Gode Ea a: igele dunu da Yelusaleme wadela: lesimu amo galuwane, Hina Gode da da: i dione, a:igele dunuma sia: i, “Aligima! Bu mae wadela: lesima.” Amogalu, a:igele dunu da Yebiusaide dunu ea dio amo Alona ea widi dabasu sogebi amoga lelebe ba: i.
17 Daudi alipomwona malaika aliyekuwa amewapiga watu, akamwambia Yahwe kusema, “Nimetenda dhambi, na nimetenda kwa upumbavu. Lakini kondoo hawa, wamefanya nini? Tafadhari, mkono wako na uniadhibu mimi na familia ya baba yangu!”
Da: ibidi da a: igele amo da Isala: ili dunuma se ianabe amo ba: i. E da Hina Godema amane sia: i, “Na fawane da wadela: le hamoi. Amo hahani dunu da adi hamobela: ? Di da na amola na sosogo ninima se imunu da defea galu.”
18 Kisha Gadi akaja siku hiyo kwa Daudi na kumwambia, “Kwea na ujenge madhabahu kwa ajili ya Yahwe katika kiwanja cha kupuria cha Arauna Myebusi.”
Amo eso amagalawane, Ga: de da Da: ibidima asili, amane sia: i, “Dia Alona ea widi dabasu amoga asili, Hina Godema gobele salimusa: , oloda gaguma.”
19 Hivyo Daudi akakwea kama Gadi alivyomwelekeza kufanya, kama Yahwe alivyokuwa ameagiza.
Da: ibidi da Hina Gode Ea sia: Ga: demadi misi, amo nababeba: le, asi.
20 Arauna akatazama na kumwona mfalme na watumishi wake wakikaribia. Ndipo Arauna akaondoka na kumsujudia mfalme uso wake mpaka juu ya ardhi.
Alona da ba: le guduli, hina bagade amola ea ouligisu dunu ema manebe ba: i. E da Da: ibidi midadi amoga hi gobele osoba gala: la sa: ili,
21 Kisha Arauna akasema, “Kwa nini bwana wangu mfalme amekuja kwangu, mtumishi wake? Daudi akajibu, “Kununua uwanja wako wa kupuria, ili nimjengee Yahwe madhabahu, ili kwamba tauni iondolewe kwa watu.”
amane adole ba: i, “Hina noga: idafa! Dia abuliba: le guiguda: misibala: ?” Da: ibidi da bu adole i, “Na da dia widi dabasu sogebi amogawi amo olo hedofama: ne, Hina Godema oloda hamomusa: , amo bidi lama: ne misi.”
22 Arauna akamwambia Daudi, “Chukua liwe lako, bwana wangu mfalme. Ulifanyie lolote lolote lililojema machoni pako. Tazama, ng'ombe kwa ajili ya sadaka ya kuteketezwa na miganda ya kupuria na nira kwa kuni.
Alona da amane sia: i, “Defea, hina noga: idafa! Lama! Amola dia hanaiga Hina Godema gobele salima. Amola na bulamagau di oloda da: iya gobele salimusa: lama. Ilia `youge’ amola dabasu ifa amo lalu didima: ne lama.”
23 Haya yote bwana wangu mfalme, mimi Arauna nakupa.” Kisha akamwambia mfalme, “Yahwe Mungu wako na awe nawe.”
Alona da amo liligi huluane amo hina bagadema udigili i. E da ema amane sia: i, “Dia Hina Gode da dia iasu hahawane lamu da defea.”
24 Mfalme akamwambia Arauna, “Hapana, nahimiza kukinunua kwa thamani yake. Sitatoa kama sadaka ya kuteketezwa kwa Yahwe chochote nisichokigharimia.” Hivyo Daudi akakinunua kiwanja cha kupuria na ng'ombe kwa shekeli hamsini za fedha.
Be hina bagade da bu adole i, “Hame mabu! Na da amo liligi ea bidi defele dima imunu. Liligi amo na da bidi mae iawene udigili lai, amo na da na Hina Godema hame gobele salimu.” Amola, e da widi dabasu sogebi amola bulamagau, amo silifa fage 50amoga bidi lai.
25 Daudi akajenga madhabahu kwa Yahwe pale na kutoa juu yake sadaka za kuteketezwa na sadaka za amani. Hivyo wakamsihi Yahwe kwa niaba ya nchi, hivyo akaizuia tauni katika katika Israeli yote.
Amalalu, e da Hina Godema oloda gaguli, amola amo da: iya Wadela: i Hou Dabe Ima: ne Iasu amola Hahawane Olofosu Gobele Salasu hamosu. Hina Gode da Da: ibidi ea sia: ne gadosu nababeba: le, dabe adole i. Amola olo bagade Isala: ili sogega dialu da hedofai dagoi ba: i. Sia: ama dagoi

< 2 Samweli 24 >