< 2 Samweli 23 >
1 Haya ni maneno ya mwisho ya Daudi-Daudi mwana wa Yese, mtu aliyeheshimiwa sana, aliyetiwa mafuta na Mungu wa Yakobo, mwandishi mzuri wa zaburi wa Israeli.
Dessa äro de sista Davids ord; David, Isai son, sade: Den mannen sadet, som för en Jacobs Guds smord uppsätter är, och en lustig Israels diktare.
2 “Roho ya Yahwe alisema nami, na neno lake lilikuwa ulimini mwangu.
Herrans Ande hafver talat genom mig, och hans ord är skedt genom mina tungo.
3 Mungu wa Israeli alinena, Mwamba wa Israeli aliniambia, “Atawalaye kwa haki juu yangu, atawalaye katika hofu ya Mungu.
Israels Gud hafver talat till mig; Israels tröst hafver mig tillsagt, den der råder öfver menniskorna, den rättvise rådanden i Guds fruktan;
4 Atakuwa kama nuru ya asubuhi jua linapochomoza, asubuhi isiyo na mawingu, wakati mche mwororo unapochipua kutoka ardhini kupitia mwangaza wa mng'ao wa jua baada ya mvua.
Såsom ljuset är om morgonen, då solen uppgår bittida, utan moln; och af skenet efter regn växer gräs upp af jordene.
5 Hakika, je familia yangu haiko hivi mbele za Mungu? Je hajafanya nami agano la milele, taratibu la uhakika kwa kila njia? Je yeye haongezi wokovu wangu na kutimiza kila hitaji langu?
Ty ingen ting är för Gudi såsom mitt hus; ty han hafver gjort ett evigt förbund med mig, i alla måtto visst och fast; ty det är all min salighet, och all lust, att intet så växa skall.
6 Lakini yasiyofaa yote yatakuwa kama miiba na kutupwa mbali, kwa maana haiwezekani kukusanywa kwa mikono.
Men den ogudaktige Belial skall varda alldeles utrotad såsom törne, så att man intet behåller deraf.
7 Ayagusaye ni lazima atumie chombo cha chuma au au fumo la mkuki. Ni lazima yachomwe mahali yalipo.
Och om någor antastar dem, skola de med jern och spets platt förderfva dem; och man skall uppbränna dem med eld i deras rum.
8 Haya ni majina ya askari wa Daudi: Yashobeamu Mhakmoni alikuwa kiongozi wa mashujaa. Aliua watu mia nne wakati mmoja.
Desse äro namnen af Davids hjeltar: Jasabeam, Hachmoni son, den ypperste ibland tre; hvilken upphof sin spets, och slog ihjäl åttahundrad i ena reso.
9 Baada yake alikuwa Elieza mwana wa Dodo, mwana wa mwahohi, mmoja wa mashujaa watatu wa Daudi. Alikuwepo walipowashinda Wafilisti waliokuwa wamekusanyika kwa vita, na wakati watu wa Israeli walipokuwa wamekimbia.
Näst honom var Eleazar, Dodi son, Ahohi sons, ibland de tre hjeltar med David, då de förhädde de Philisteer, och voro der församlade till strid, och Israels män drogo upp.
10 Elieza akasimama na kuwapiga Wafilisti mpaka mkono wake ukachoka, mpaka mkono wake ukang'ang'ania mpini wa upanga wake. Siku hiyo Yahwe akatoa ushindi mkuu. Jeshi likarejea kwa ajili ya kuteka tu nyara za waliouawa na Elieza.
Då stod han, och slog de Philisteer, tilldess hans hand dofnade, trött af svärdena. Och Herren gaf en stor salighet på den tiden, så att folket vände om igen efter honom till att röfva.
11 Baada yake alikuwa Shama mwana wa Agee, Mharari. Wafilisti wakajikusanya pamoja palipokuwa na shamba la dengu, na jeshi likawakimbia.
Efter honom var Samma, Age son, den Hararitens. Då de Philisteer församlade sig i en rota, och der var en åker full med linse, och folket flydde för de Philisteer;
12 Lakini Shama akasimama katikati ya shamba na kulitetea. Aliwauwa Wafilisti, na Yahwe akaleta ushindi mkuu.
Då trädde han midt uppå den åkren, och undsatte honom, och slog de Philisteer; och Herren gaf en stor salighet.
13 Watatu kati ya askari thelathini walishuka kwa Daudi nyakati za mavuno, katika pango la Adulamu. Jeshi la Wafilisti lilikuwa limepiga kambi katika bonde la Mrefai.
Och desse tre ypperste ibland tretio kommo neder i andene, till David uti kulona Adullam; och de Philisteers rote låg i Rephaims dal.
14 Wakati huo Daudi alikuwa katika ngome yake, pangoni, wakati Wafilisti walikuwa wanaimilk Bethlehemu.
Men David var på den tiden på borgene; och de Philisteers folk låg i BethLehem.
15 Daudi alitamani maji na akasema, “Kama ingekuwa mtu mmoja angenipa maji ya kunywa kutoka kisima kilichopo Bethlehemu, kisima kilichopo langoni!”
Och David vardt lysten och sade: Ho vill hemta mig dricka af det vatten i BethLehems brunn, under portenom?
16 Hivyo mashujaa hawa watatu wakapita kati ya jeshi la Wafilisti na kuchota maji katika kisima cha Bethlehemu, kilichopo langoni. Wakachukua maji na kuyaleta kwa Daudi, lakini yeye akakataa kuyanywa. Badala yake akayamwaga mbele za Yahwe.
Då föllo de tre hjeltar in uti de Philisteers lägre, och hemtade vatten utu brunnenom i BethLehem, under porten, och båro till David; men han ville intet dricka det, utan utgöt det Herranom;
17 Kisha akasema, “Iwe mbali nami, Yahwe, kwamba niyanywe haya. Je ninywe damu ya watu waliohatarisha maisha yao?” Hivyo akakataa kuyanywa. Haya ni mambo yaliyofanywa na mashujaa watatu.
Och sade: Det låte Herren vara långt ifrå mig, att jag detta göra skulle; är det icke de mäns blod, som sitt lif vågade, och gingo dit? Och han ville icke drickat. Det gjorde nu de tre hjeltar.
18 Abishai, nduguye Yoabu na mwana wa Seruya, alikuwa akida wa watatu. Alipigana kwa mkuki wake na watu mia tatu na akawauwa wote mara. Mara kwa mara alitajwa kati ya mashujaa watatu.
Abisai, Joabs broder, ZeruJa son, var ock en ypperst ibland tre. Han hof sin spets upp, och slog trehundrad, och var också prisad ibland tre;
19 Hakuwa maarufu kuliko wale watatu? Alifanywa akida wao. Lakini, umaarufu wake haukulingana na umaarufu wa wale mashujaa watatu.
Och den härligaste ibland tre och var deras öfverste; men han kom icke intill de tre.
20 Benaya kutoka Kabseeli mwana wa Yehoyada; alikuwa mtu hodari aliyefanya matendo makuu. Aliwauwa wana wawili wa Arieli wa Moabu. Pia alishuka shimoni na kuuwa simba wakati wa theruji.
Och Benaja, Jojada son, IsHails sons af storom gerningom, af Kabzeel, han slog tu de Moabiters lejon, och gick ned, och slog ett lejon i brunnenom i snötiden;
21 Na alimwua Mmisri aliyekuwa mtu mnene sana. Mmisri alikuwa na mkuki mkononi, lakini Benaya alipigana naye kwa fimbo tu. Aliuchukua mkuki mkononi mwa Mmisri na kisha kumwua nao.
Och slog desslikes en grufvelig Egyptisk man; den hade en spets i sine hand; men han gick neder till honom med en staf, och tog den Egyptien spetsen utu handene, och slog honom ihjäl med sin egen spets.
22 Benaya mwana wa Yehoyada alifanya matendo haya, naye alitajwa kati ya mashujaa watatu.
Detta gjorde Benaja, Jojada son, och var beprisad ibland de tre hjeltar;
23 Alikuwa na heshima kuliko mashujaa thelathini kwa ujumla wao, lakini hakuwa na heshima kama wale mashujaa watatu. Hata hivyo Daudi alimweka kuwa mlinzi wake.
Och härligare än de tretio; men han kom icke till de tre. Och David gjorde honom till sitt hemliga Råd.
24 Wafuatao ni wale watu thelathini: Asaheli nduguye Yoabu, Elhanani mwana wa Dodo kutoka Bethlehemu,
Asahel, Joabs broder, är ibland de tretio; Elhanan, Dodo son, i BethLehem;
25 Shama Mharodi, Elika Mharodi,
Samma den Haroditen; Elika den Haroditen;
26 Helesi Mpeloni, Ira mwana wa Ikeshi Mtekoi,
Helez den Palthiten; Ira, Ikkes son, den Thekoitens;
27 Abi Ezeri Mwanathothi, Mebunai Mhushathi,
Abieser den Annethothiten; Mebunnai den Husathiten;
28 Salmoni Mhahoi, Maharai Mnetofathi;
Zalmon den Achothiten; Maharai den Netophathiten;
29 Helebu mwana wa Baana, Mnetofathi, Itai mwana wa Rabai kutoka Gibea ya Wabenjamini,
Heleb, Baena son, den Netophathiten; Itthai, Ribai son, af Gibea BenJamins barnas;
30 Benaya Mpirathoni, Hidai wa mabonde ya Gaashi.
Benaja, den Pirgathoniten; Hiddai, af de bäcker Gaas;
31 Abieliboni Mwarbathi, Azmawethi Mbarhumi,
AbiAlbon den Arbathiten; Asmaveth den Barhumiten;
32 Eliaba Mshalboni, wana wa Yasheni, Yonathani mwana wa Shama Mharari;
Eliaheba den Saalboniten, Jasens och Jonathans barn;
33 Ahiamu mwana wa Sharari Mharari,
Samma den Harariten; Ahiam, Sarars son, dens Araritens;
34 Elifeleti mwana wa Ahasbai Mmaakathi, Eliamu mwana wa Ahithofeli Mgiloni,
Eliphelet, Ahasbai son, Maachathi sons; Eliam, Achitophels son, dens Gilonitens;
35 Hezro Mkarmeli, Parai Mwarbi,
Hezrai den Carmeliten; Paarai den Arbiten;
36 Igali mwana wa Nathani kutoka Soba, Bani kutoka kabila la Gadi,
Jigeal, Nathans son, af Zoba; Bani den Gaditen;
37 Zeleki Mwamoni, Naharai Mbeerothi, mbeba silaha wa Yoabu mwana wa Seruya,
Zelek den Ammoniten; Naharai den Beerothiten, Joabs vapnedragare, ZeruJa sons;
38 Ira Mwithri, Garebu Mwithri,
Ira den Jithriten; Gareb den Jithriten;
39 Uria Mhiti - jumla yao thelathini na wanane.
Uria den Hetheen. De äro alle tillhopa sju och tretio.