< 2 Samweli 22 >

1 Daudi akamwimbia Yahwe maneno ya wimbo huu siku ile Yahwe alipomwokoa katika mkono wa adui zake wote na katika mkono wa Sauli.
و داود در روزی که خداوند او را ازدست جمیع دشمنانش و از دست شاول رهایی داد، کلمات این سرود را برای خداوند انشا نمود.۱
2 Akaomba hivi, “Yahwe ni mwamba wangu, ngome yangu, aliyeniokoa.
و گفت: «خداوند صخره من و قلعه من و رهاننده من است.۲
3 Mungu ni mwamba wangu. Yeye ni kimbilio langu. Ngao yangu, pembe ya wokovu wangu, ngome yangu na kimbilio langu, aniokoaye na mabaya yote.
خدای صخره من که بر او توکل خواهم نمود، سپر من و شاخ نجاتم، برج بلند و ملجای من، ای نجات‌دهنده من، مرا از ظلم خواهی رهانید.۳
4 Nitamwita Yahwe, astahiliye kutukuzwa, nami nitaokolewa kutoka kwa adui zangu.
خداوند را که سزاوار کل حمد است، خواهم خواند. پس از دشمنان خود خلاصی خواهم یافت.۴
5 Maana mawimbi ya mauti yalinizunguka, mafuriko ya maji ya uharibifu yakanishinda.
زیرا که موجهای موت مرا احاطه نموده، وسیلهای عصیان مرا ترسانیده بود.۵
6 Vifungo vya kuzimu vilinizunguka; kamba za mauti zikaninasa. (Sheol h7585)
رسنهای گور مرا احاطه نمودند. دامهای موت مرا دریافتند. (Sheol h7585)۶
7 Katika shida yangu nalimwita Yahwe; nilimwita Mungu wangu; akaisikia sauti yangu katika hekalu lake, na kilio changu cha msaada kikafika masikioni mwake.
در تنگی خود خداوند را خواندم. و نزد خدای خویش دعا نمودم. و او آواز مرا از هیکل خودشنید. و استغاثه من به گوش وی رسید.۷
8 Ndipo nchi ilipotikisika na kutetemeka. Misingi ya mbingu ikatetemeka na kutikiswa, kwa kuwa Mungu alikasirika.
آنگاه زمین متزلزل و مرتعش گردید. واساسهای آسمان بلرزیدند. و از حدت خشم اومتحرک گردیدند.۸
9 Moshi ukatoka katika pua yake, na miale ya moto ikatoka katika kinywa chake. Makaa yakawashwa nayo.
از بینی وی دود متصاعد شد. و از دهان او آتش سوزان درآمد و اخگرها از آن افروخته گردید.۹
10 Alizifungua mbingu akashuka, na giza totoro lilikuwa chini ya miguu yake.
و او آسمانها را خم کرده، نزول فرمود. وتاریکی غلیظ زیر پایهایش بود.۱۰
11 Alipanda juu ya kerubi na kuruka. Alionekana katika mawingu ya upepo.
بر کروبین سوار شده، پرواز نمود. و بر بالهای باد نمایان گردید.۱۱
12 Naye akalifanya giza kuwa hema kumzunguka, akakusanya mawingu makubwa ya mvua angani.
ظلمت را به اطراف خود سایبانها ساخت. واجتماع آبها و ابرهای متراکم افلاک را.۱۲
13 Makaa ya moto yalidondoka mbele zake kutoka katika radi.
از درخشندگی‌ای که پیش روی وی بود، اخگرهای آتش افروخته گردید.۱۳
14 Yahwe alishuka kutoka katika mbingu. Aliyejuu alipiga kelele.
خداوند از آسمان رعد نمود. و حضرت اعلی آواز خویش را مسموع گردانید.۱۴
15 Alipiga mishale na kuwatawanya adui zake—miale ya radi na kuwasambaratisha.
تیرها فرستاده، ایشان را پراکنده ساخت. و برق را جهانیده، ایشان را سراسیمه گردانید.۱۵
16 Kisha njia za maji zikaonekana; misingi ya dunia ikawa wazi katika kilio cha vita ya Yahweh, katika sauti za pumzi ya pua zake.
پس عمق های دریا ظاهر شد. و اساسهای ربع مسکون منکشف گردید. از توبیخ خداوند و ازنفخه باد بینی وی.۱۶
17 Kutoka juu alifika chini; akanishikilia! Aliniondoa katika vilindi vya maji.
از اعلی علیین فرستاده، مرا گرفت. و از آبهای بسیار مرا بیرون کشید.۱۷
18 Aliniokoa kutoka kwa adui zangu wenye nguvu, kwao walionichukia, kwa maana walikuwa na nguvu sana kwangu.
مرا از دشمنان زورآورم رهایی داد. و ازمبغضانم، چونکه از من قویتر بودند.۱۸
19 Walikuja kinyume changu siku ya shida yangu, lakini Yahwe alikuwa msaada wangu.
در روز شقاوت من، ایشان مرا دریافته بودند. لیکن خداوند تکیه گاه من بود.۱۹
20 Pia aliniweka mahali panapo nafasi. Aliniokoa kwa kuwa alipendezwa nami.
مرا به مکان وسیع بیرون آورد. و مرا خلاصی داد چونکه به من رغبت می‌داشت.۲۰
21 Yahwe amenituza kwa kipimo cha haki yangu; amenirejesha kwa kiwango cha usafi wa mikono yangu.
پس خداوند مرا به حسب عدالتم جزا خواهدداد. و به حسب پاکیزگی دستم مرا مکافات خواهد رسانید.۲۱
22 Kwa maana nimezishika njia za Yahwe na sijafanya uovu kwa kugeuka kutoka kwa Mungu.
زیرا که طریق های خداوند را حفظ نمودم. و ازخدای خویش عصیان نورزیدم.۲۲
23 Kwa kuwa maagizo yake yote ya haki yamekuwa mbele yangu; kwa kuwa sheria zake, sikujiepusha nazo.
چونکه جمیع احکام او در مد نظر من است. واز فرایض او انحراف نورزیدم.۲۳
24 Nimekuwa bila hatia mbele zake pia, na nimejiepusha na dhambi.
و به حضور او کامل شدم. و از عصیان ورزیدن، خویشتن را بازداشتم.۲۴
25 Kwa hiyo Yahwe amenirejesha kwa kiasi cha uadilifu wangu, kwa kipimo cha usafi wangu mbele zake.
بنابراین خداوند مرا به حسب عدالتم جزا داد. و بر‌حسب صداقتی که در نظر وی داشتم.۲۵
26 Kwa mwaminifu, unajionesha kuwa mwaminifu; kwake asiye na hatia; unajionesha kuwa hauna hatia.
با شخص رحیم، خویشتن را رحیم خواهی نمود. و با مرد کامل با کاملیت رفتار خواهی کرد.۲۶
27 Kwa usafi unajionesha kuwa msafi, lakini kwa wakaidi unajionesha kuwa mkaidi.
با شخص طاهر به طهارت عمل خواهی نمود. و با کج خلقان مخالفت خواهی کرد.۲۷
28 Unaokoa walioteswa, lakini macho yako ni kinyume cha wenye kiburi, unawashusha chini.
و قوم مستمند را نجات خواهی داد. اماچشمان تو بر متکبران است تا ایشان را پست گردانی.۲۸
29 Kwa maana wewe ni taa yangu, Yahwe. Yahwe huangaza katika giza langu.
زیرا که تو‌ای خداوند، نور من هستی. وخداوند، تاریکی مرا به روشنایی مبدل خواهدساخت.۲۹
30 Maana kwa ajili yake ninaweza kupita vipingamizi; kwa msaada wa Mungu wangu naweza kuruka juu ya ukuta.
زیرا که به استعانت تو بر لشکری تاخت آوردم. و به مدد خدای خود بر حصارها جست وخیز نمودم.۳۰
31 Maana njia za Mungu ni kamilifu. Neno la Yahwe ni safi. Yeye ni ngao yao wanaomkimbilia.
و اما خدا، طریق وی کامل است؛ و کلام خداوند مصفا؛ و او برای جمیع متوکلانش سپرمی باشد.۳۱
32 Maana ni nani aliye Mungu isipokuwa Yahwe? Na ni nani aliyemwamba isipokuwa Mungu?
زیرا کیست خدا غیر از یهوه؟ و کیست صخره غیر از خدای ما؟۳۲
33 Mungu ni kimbilio langu, na umwongoza katika njia yake mtu asiye na hatia.
خدا قلعه استوار من است. و طریق مرا کامل می سازد.۳۳
34 Huifanya myepesi miguu yangu kama kurungu na kuniweka katika vilima virefu.
و پایهایم را مثل پای غزال می‌گرداند، و مرا برمکانهای بلندم برپا می‌دارد.۳۴
35 Huifundisha mikono yangu kwa vita, na viganja vyangu kupinda upinde wa shaba.
دستهای مرا به جنگ تعلیم می‌دهد، و به بازوی خود کمان برنجین را می‌کشم.۳۵
36 Umenipa ngao ya wokovu wako, na matakwa yako yamenifanya mkuu.
و سپر نجات خود را به من خواهی داد، و لطف تو مرا بزرگ خواهد ساخت.۳۶
37 Umeitengenezea miguu yangu nafasi chini yangu, hivyo miguu yangu haikujikwaa.
قدمهای مرا در زیر من وسعت دادی که پایهایم نلغزید.۳۷
38 Niliwafuatia adui zangu na kuwaangamiza. Sikurudi nyuma hadi walipoangamizwa.
دشمنان خود را تعاقب نموده، ایشان را هلاک خواهم ساخت، و تا نابود نشوند بر نخواهم گشت.۳۸
39 Niliwararua na kuwasambaratisha; hawawezi kuinuka. Wameanguka chini ya miguu yangu.
ایشان را خراب کرده، خرد خواهم ساخت تادیگر برنخیزند، و زیر پایهایم خواهند افتاد.۳۹
40 Unaweka nguvu ndani yangu kama mkanda kwa vita; unawaweka chini yangu wanaoinuka kinyume changu.
زیرا کمر مرا برای جنگ به قوت خواهی بست، و آنانی را که به ضد من برخیزند در زیر من خم خواهی ساخت.۴۰
41 Ulinipa migongo ya shingo za adui zangu; niliwaangamiza kabisa wale wanaonichukia.
و دشمنانم را پیش من منهزم خواهی کرد تاخصمان خود را منقطع سازم.۴۱
42 Walilia kwa msaada, lakini hakuna aliyewaokoa; walimlilia Yahwe, lakini hakuwajibu.
فریاد برمی آورند، اما رهاننده‌ای نیست؛ و به سوی خداوند، لیکن ایشان را اجابت نخواهدکرد.۴۲
43 Niliwaponda katika vipande kama mavumbi juu ya ardhi, niliwakanyaga kama matope mitaani.
پس ایشان را مثل غبار زمین نرم می‌کنم. و مثل گل کوچه‌ها کوبیده، پایمال می‌سازم.۴۳
44 Umeniokoa pia kutoka katika mashutumu ya watu wangu. Umeniweka kama kichwa cha mataifa. Watu nisiowajua wananitumikia.
و تو مرا از مخاصمات قوم من خواهی رهانید، و مرا برای سرداری امت‌ها حفظ خواهی کرد، وقومی را که نشناخته بودم، مرا بندگی خواهندنمود.۴۴
45 Wageni walishurutishwa kuniinamia. Mara waliposikia kuhusu mimi, walinitii.
غریبان نزد من تذلل خواهند کرد و به مجردشنیدن من، مرا اطاعت خواهند نمود.۴۵
46 Wageni walikuja wakitetemeka kutoka katika ngome zao.
غریبان پژمرده خواهند گردید و از مکان های مخفی خود با ترس بیرون خواهند آمد.۴۶
47 Yahwe anaishi! Mwamba wangu atukuzwe. Mungu na ainuliwe, mwamba wa wokovu wangu.
خداوند زنده است و صخره من متبارک وخدای صخره نجات من متعال باد.۴۷
48 Huyu ndiye Mungu anilipiaye kisasi, awawekaye watu chini yangu.
‌ای خدایی که برای من انتقام می‌کشی و قومهارا زیر من پست می‌سازی.۴۸
49 Uniweka huru mbali na adui zangu. Hakika, uliniinua juu yao walioinuka kinyume changu. Uliniokoa kutoka kwa watu wenye ghasia.
و مرا از دست دشمنانم بیرون می‌آوری و برمقاومت کنندگانم مرا بلند می‌گردانی. تو مرا ازمرد ظالم خلاصی خواهی داد.۴۹
50 Kwa hiyo nitakushukuru, Yahwe, kati ya mataifa; nitaliimbia sifa jina lako.
بنابراین‌ای خداوند، تو را در میان امت‌ها حمدخواهم گفت. و به نام تو ترنم خواهم نمود.۵۰
51 Mungu hutoa ushindi mkuu kwa mfalme wake, na uonesha uaminifu wake wa kiagano kwa mtiwa mafuta wake, kwa Daudi na uzao wake daima.”
نجات عظیمی برای پادشاه خود می‌نماید. وبرای مسیح خویش رحمت را پدید می‌آورد. به جهت داود و ذریت وی تا ابدالاباد.»۵۱

< 2 Samweli 22 >