< 2 Samweli 20 >

1 Ikatukia pia kuwa katika eneo lilelile kulikuwa mfanya fujo jina lake Sheba mwana wa Bikri Mbenjamini. Akapiga tarumbeta na kusema, “Sisi hatuna sehemu katika Daudi, wala hatuna urithi katika mwana wa Yese. Haya kila mtu na aende nyumbani kwake, Israeli.”
Zgodilo se je, da je bil tam Beliálov mož, katerega ime je bilo Ševá, Bihríjev sin, Benjaminovec. Ta je zatrobil na šofar in rekel: »Mi nimamo deleža v Davidu niti nimamo dediščine v Jesejevem sinu. Vsak mož k svojim šotorom, oh Izrael.«
2 Hivyo watu wote wa Israeli wakamwacha Daudi na kumfuata Sheba mwana wa Bikri. Lakini watu wa Yuda wakamfuata mfalme wao kwa karibu sana, kutoka Yordani njia yote hadi Yerusalemu.
Tako je vsak mož iz Izraela odšel gor izza Davida in sledil Bihríjevem sinu Ševáju; toda Judovi možje, od Jordana, celo do Jeruzalema, so se trdno pridružili njihovemu kralju.
3 Daudi alipofika katika kasri lake huko Yerusalemu, akawachukua masuria aliokuwa amewaacha kulitunza kasri, na akawaweka katika nyumba chini ya uangalizi. Aliwaandalia mahitaji yao lakini hakulala nao tena. Hivyo walikuwa wametengwa hadi siku ya kufa kwao, waliishi kama wajane.
David je prišel k svoji hiši v Jeruzalemu in kralj je vzel deset žensk, svojih priležnic, ki jih je pustil, da varujejo hišo in jih zaprl v ječo in jih hranil, toda ni šel noter k njim. Tako so bile zaprte do dneva svoje smrti, živeče v vdovstvu.
4 Kisha mfalme akamwambia Amasa, “Uwaite watu wa Yuda ndani ya siku hizi tatu; wewe pia uwepo hapa.”
Potem je kralj rekel Amasáju: »V treh dneh mi zberi može iz Juda in ti bodi tu prisoten.«
5 Hivyo Amasa akaenda kuwaalika watu wote wa Yuda kwa pamoja, lakini akatumia muda mrefu kulika mfalme alivyokuwa amemwamuru.
Tako je Amasá odšel, da zbere Judove može, toda zadržal se je dlje kakor postavljen čas, ki mu je bil določen.
6 Hivyo Daudi akamwambia Abishai, “Sasa Sheba mwana wa Bikri atatufanyia madhara zaidi ya Absalomu. Chukua watumishi wa bwana wako, askari wangu, na umfuatie asije akaingia katika mji wenye ngome na kututoroka.”
David je rekel Abišáju: »Sedaj nam bo Bihríjev sin Ševá storil več škode, kakor jo je storil Absalom. Vzemi služabnike svojega gospoda in ga zasleduj, da si ne pridobi utrjenih mest in nam pobegne.«
7 Ndipo watu wa Yoabu wakamfuatia, pamoja na Wakerethi na Wapelethi na mashujaa wote. Wakatoka Yerusalemu ili kumfuatia Sheba mwana wa Bikri.
Tam so odšli ven za njim Joábovi možje, Keretéjci, Péletovci in vsi mogočni možje. Odšli so iz Jeruzalema, da zasledujejo Bihríjevega sina Ševája.
8 Walipokuwa katika jiwe kubwa lililoko Gibeoni, Amasa akaja kuwalaki. Yoabu alikuwa amevaa silaha ya vita aliyokuwa ameivaa, alikuwa pia na upanga uliokuwa umefungwa na mkanda katika kiuno chake. Kadili alivyoendelea mbele upanga ukadondoka.
Ko so bili pri velikem kamnu, ki je v Gibeónu, je Amasá šel pred njimi. Joábova obleka, ki jo je oblekel, je bila opasana k njemu in na njej pas s pritrjenim mečem na svojih ledjih, v svoji nožnici in ko je šel naprej, je ta padel ven.
9 Hivyo Yoabu akamwambia Amasa, “Haujambo binamu yangu?” Kwa utaratibu Yoabu akakishika kidevu cha Amasa kwa mkono wake wa kulia ili ambusu.
Joáb je rekel Amasáju: » Ali si pri zdravju, moj brat?« Joáb je z desnico prijel Amasája za brado, da ga poljubi.
10 Amasa hakutambua kwamba kulikuwa na jambia katika mkono wa kushoto wa Yoabu. Yoabu akamchoma Amasa tumboni na matumbo yake yakadondoka chini. Wala Yoabu hakumpiga tena, na Amasa akafa. Hivyo Yoabu na Abishai nduguye wakamfuatia Sheba mwana wa Bikri.
Toda Amasá ni pazil na meč, ki je bil v Joábovi roki. Tako ga je z njim udaril v peto rebro in njegovo notranjost prelil na tla in ni ga ponovno udaril in je umrl. Tako sta Joáb in njegov brat Abišáj zasledovala Bihríjevega sina Ševája.
11 Kisha mmoja wa watu wa Yoabu akasimama kando ya Amasa naye akasema, “Aliye upande wa Yoabu na aliyeupande wa Daudi na amfuate Yoabu.”
Eden izmed Joábovih mož je stal poleg njega ter rekel: »Kdor je naklonjen Joábu in kdor je za Davida, ta naj gre za Joábom.«
12 Amasa akawa anagalagala katika damu yake katikati ya njia. Mtu yule alipoona kwamba watu wote wamesimama, akambeba Amasa na kumweka shambani kando ya njia. Akatupa vazi juu yake kwa maana aliona kila mmoja aliyekuja alisimamaa pale.
Amasá se je valjal v krvi na sredi glavne ceste. In ko je mož videl, da je vse ljudstvo obstalo, je Amasája odstranil z glavne ceste na polje in nanj vrgel oblačilo, ko je videl, da je vsak, kdor je prišel mimo, mirno obstal.
13 Baada ya Amasa kuondolewa njiani watu wote wakamfuata Yoabu katika kumfuatia Sheba mwana wa Bikri.
Ko je bil odstranjen z glavne ceste, je vse ljudstvo odšlo naprej za Joábom, da zasledujejo Bihríjevega sina Ševája.
14 Sheba akazipita kabila zote za Israeli mpaka Abeli wa Beth Maaka, na katika nchi yote ya Berite ambao pia walijikusanya pamoja pia na kumfuatia Sheba.
Ta je šel skozi vse Izraelove rodove do Abéle in do Bet Maáhe in do vseh Bihríjevcev in zbrani so bili skupaj ter šli tudi za njim.
15 Walimpata na kumzingira huko Abeli wa Bethi Maaka. Wakajenga buruji ya kuhusuru mji nyuma ya ukuta. Jeshi lote lilokuwa pamoja na Yoabu likaugongagonga ukuta ili uanguke.
Prišli so in ga oblegali v Abél Bet Maáhi in nasuli so nasip zoper mesto in le-ta je stal v jarku. In vse ljudstvo, ki je bilo z Joábom, je uničevalo obzidje, da ga zrušijo.
16 Ndipo mwanamke mwerevu akapiga kelele kutoka ndani ya mji, “Sikiliza, Yoabu, tafadhari sikiliza! Sogea karibu nami ili niongee nawe.”
Potem je modra ženska iz mesta zaklicala: »Poslušajte, poslušajte. Recite, prosim vas, Joábu: ›Pridi blizu sèm, da lahko govorim s teboj.‹«
17 Hivyo Yoabu akakaribia, mwanamke akamwambia, “Je wewe ni Yoabu? Akajibu, “ni mimi.” mwanamke akamwambia, “Sikiliza maneno ya mtumishi wako.” Akajibu, “Nasikiliza.”
Ko je ta prišel bliže k njej, je ženska rekla: » Ali si ti Joáb?« Odgovoril je: »Jaz sem.« Potem mu je rekla: »Poslušaj besede svoje pomočnice.« Odgovoril je: »Poslušam.«
18 Ndipo aliposema,”Hapo zamani ilisemwa, 'Bila shaka tafuteni ushauri huko Abeli,' na kwamba ushauri huo utakata maneno.
Potem je spregovorila, rekoč: »V starih časih so bili navajeni govoriti, rekoč: ›Zagotovo bodo vprašali za nasvet v Abélu, ‹ in tako so končali zadevo.
19 Sisi ni mji ulio miongoni mwa miji yenye nguvu na aminifu sana katika Israeli. Mnataka kuharibu mji ambao ni mama katika Israeli. Kwa nini unataka kuumeza urithi wa Yahwe?”
Jaz sem ena izmed tistih, ki so v Izraelu mirni in zvesti, ti pa si prizadevaš, da uničiš mesto in mater v Izraelu. Zakaj hočeš pogoltniti Gospodovo dediščino?«
20 Ndipo Yoabu alipojibu na kusema, “Iwe mbali, iwe mbali nami, hata nikameze au kuharibu.
Joáb je odgovoril in rekel: »Daleč bodi to, daleč bodi to od mene, da bi pogoltnil ali uničil.
21 Hiyo si kweli. Lakini mtu kutoka katika nchi ya milima ya Efraimu, aitwaye Sheba mwana wa Bikri, ameinua mkono wake kinyume cha mfalme, kinyume cha Daudi. Mtoeni yeye nami nitauacha mji.” Mwanamke akamwambia Yoabu, “Utarushiwa kichwa chake kutoka juu ya ukuta.”
Zadeva ni takšna, temveč človek z gore Efrájim, po imenu Bihríjev sin Ševá, je vzdignil svojo roko zoper kralja, celó zoper Davida. Samo njega izročite in odšel bom od mesta.« Ženska je rekla Joábu: »Glej, njegova glava ti bo vržena čez obzidje.«
22 Kisha mwanamke akawaendea watu wote wa mji kwa hekima yake. Wakakiondoa kichwa cha Sheba mwana wa Bikri na kumrushia Yoabu. Ndipo alipopiga tarumbeta na watu wa Yoabu wakauacha mji kila mtu nyumbani kwake. Na Yoabu akarejea Yerusalemu kwa mfalme.
Potem je ženska, v svoji modrosti, odšla k vsemu ljudstvu. Odsekali so glavo Bihríjevega sina Ševája in jo vrgli ven k Joábu. Ta je zatrobil na šofar in umaknili so se od mesta, vsak mož k svojemu šotoru. In Joáb se je vrnil h kralju v Jeruzalem.
23 Yoabu alikuwa juu ya jeshi lote la Israeli na Benaya mwana wa Yehoiada alikuwa juu ya Wakerethi na Wapelethi.
Torej Joáb je bil nad vso Izraelovo vojsko. Jojadájev sin Benajá je bil nad Keretéjci in nad Péletovci;
24 Adoramu alikuwa juu ya watu waliofanya kazi ya shokoa na Yehoshafati mwana wa Ahiludi alikuwa mkumbushaji.
Adorám je bil nad davkom; Ahilúdov sin Józafat je bil letopisec;
25 Sheva alikuwa mwandishi, na Sadoki na Abiathari walikuwa makuhani.
Ševá je bil pisar; Cadók in Abjatár sta bila duhovnika;
26 Ira wa Yairi alikuwa mhudumu mkuu wa Daudi.
in tudi Jaírovec Irá je bil glavni častnik pri Davidu.

< 2 Samweli 20 >