< 2 Samweli 2 >

1 Ikawa baada ya haya Daudi akamuuliza Yahwe, “Je naweza kuupandia mmojawapo wa miji ya Yuda?” Yahweh akamjibu, “Panda.” Daudi akauliza, “Niuendee mji upi? Yahwe akajibu, “Hebroni”
After this, Dauid asked counsel of the Lord, saying, Shall I go vp into any of the cities of Iudah? And the Lord sayd vnto him, Goe vp. And Dauid sayd Whither shall I goe? Hee then answered, Vnto Hebron.
2 Hivyo Daudi akakwea pamoja na wake zake wawili, Ahinoamu wa Yezreeli, na Abigaili wa Karmeli, mjane wa Nabali.
So Dauid went vp thither, and his two wiues also, Ahinoam the Izreelite, and Abigail Nabals wife the Carmelite.
3 Daudi akawaleta watu waliokuwa pamoja naye, na kila mmoja akaleta familia yake katika mji wa Hebroni walipoanza kuishi.
And Dauid brought vp the men that were with him, euery man with his houshold, and they dwelt in the cities of Hebron.
4 Kisha watu wa Yuda wakaja na kumtia Daudi mafuta kuwa mfalme juu ya nyumba ya Yuda. Wakamwambia Daudi, “Watu wa Yabeshi Gileadi wamemzika Sauli.”
Then the men of Iudah came, and there they anoynted Dauid King ouer the house of Iudah. And they tolde Dauid, saying, that the men of Iabesh Gilead buried Saul.
5 Hivyo Daudi akatuma wajumbe kwa watu wa Yabeshi Gileadi akawambia, “Mbarikiwe na Yahwe, kwa kuwa mmeonesha utiifu huu kwa bwana wenu Sauli mliyemzika.
And Dauid sent messengers vnto the men of Iabesh Gilead, and said vnto them, Blessed are ye of the Lord, that yee haue shewed such kindenes vnto your lord Saul, that you haue buried him.
6 Sasa Yahwe awadhihirishie utiifu na uaminifu wa kiagano. Nami pia nitawaonesha wema kwa sababu ya yale mliyoyafanya.
Therefore now the Lord shewe mercie and trueth vnto you: and I will recompence you this benefite, because ye haue done this thing.
7 Sasa basi, mikono yenu itiwe nguvu; mwe jasiri kwa maana Sauli bwana wenu amekufa, na nyumba yote ya Yuda imenitia mafuta niwe mfalime wao.
Therefore nowe let your handes be strong, and be you valiant: albeit your master Saul bee dead, yet neuerthelesse the house of Iudah hath anoynted me King ouer them.
8 Lakini Abneri mwana wa Neri, mkuu wa jeshi la Sauli, akamchukuwa Ishboshethi mwana wa Sauli akamleta Mahanaimu.
But Abner the sonne of Ner that was captaine of Sauls hoste, tooke Ish-bosheth the sonne of Saul, and brought him to Mahanaim,
9 Akamfanya Ishboshethi mfalme juu ya Gileadi, Asheri, Yezreeli, Efraimu, Benjamini na juu ya Israeli yote.
And made him King ouer Gilead, and ouer the Ashurites, and ouer Izreel, and ouer Ephraim, and ouer Beniamin, and ouer al Israel.
10 Ishiboshethi mwana wa Sauli alikuwa na umri wa miaka arobaini alipoanza kutawala juu ya Israeli, akatawala miaka miwili. Lakini nyumba ya Yuda ikaambatana na Daudi.
Ish-bosheth Sauls sonne was fourtie yeere olde when he began to reigne ouer Israel, and reigned two yeere: but the house of Iudah followed Dauid.
11 Muda ambao Daudi alikuwa mfalme juu ya nyumba ya Yuda huko Hebroni ni miaka saba na miezi sita.
(And the time which Dauid reigned in Hebron ouer the house of Iudah, was seuen yeere and sixe moneths)
12 Abneri mwana wa Neri na watumishi wa Ishboshethi mwana wa Sauli walitoka Mahanaimu kwenda Gibeoni.
And Abner the sonne of Ner, and the seruantes of Ish-bosheth the sonne of Saul went out of Mahanaim to Gibeon.
13 Yoabu mwana wa Seruya na watumishi wa Daudi wakatoka na kukutana nao katika bwawa la Gibeoni. Wakakaa pale, kundi moja upande huu wa bwawa na kundi lingine upande wa pili.
And Ioab the sonne of Zeruiah, and the seruants of Dauid went out and met one another by the poole of Gibeon: and they sate downe, the one on the one side of the poole, and the other on the otherside of the poole.
14 Abneri akamwambia Yoabu, “haya, vijana na wainuke na kushindana mbele yetu.” Yoabu akajibu, “haya na wainuke.”
Then Abner saide to Ioab, Let the yong men nowe arise, and play before vs. And Ioab said, Let them arise.
15 Ndipo vijana walipoinuka na kukutana, kumi na wawili kwa ajili ya Banjamini na Ishboshethi mwana wa Sauli, na kumi na wawili kutoka kwa watumishi wa Daudi.
Then there arose and went ouer twelue of Beniamin by number, which perteined to Ish-bosheth the sonne of Saul, and twelue of the seruants of Dauid.
16 Kila mtu akakamata kichwa cha adui yake na kupiga upanga wake katika ubavu wa adui yake, wakaanguka chini pamoja. Kwa hiyo mahali pale pakaitwa kwa Kiebrania, “Helkath Hazzurim,” yaani “konde la upanga,” lililopo Gibeoni.
And euery one caught his fellowe by the head, and thrust his sword in his fellowes side, so they fell downe together: wherefore ye place was called Helkath-hazzurim, which is in Gibeon.
17 Vita ikawa kali sana siku ile na Abneri na watu wa Israeli wakashindwa na watumishi wa Daudi.
And the battel was exceeding sore that same day: for Abner and the men of Israel fell before the seruants of Dauid.
18 Wana watatu wa Seruya walikuwepo pale: Yoabu, Abishai na Asaheli.
And there were three sonnes of Zeruiah there, Ioab, and Abishai, and Asahel. And Asahel was as light on foote as a wilde roe.
19 Asaheli alikuwa mwepesi miguuni kama paa. Akamfuatilia Abneri kwa karibu bila kugeuka upande wowote.
And Asahel followed after Abner, and in going he turned neither to the right hand nor to the left from Abner.
20 Abneri akaangalia nyuma yake na kusema, “Ni wewe Asaheli?” Akajibu, “ni mimi.”
Then Abner looked behind him, and said, Art thou Asahel? And he answered, Yea.
21 Abneri akamwambia, “Geuka upande wako wa kuria au kushoto umshike mmojawapo wa vijana na kuchukua silaha yake.” Lakini Asaheli hakugeuka.
Then Abner said, Turne thee either to the right hande, or to the left, and take one of the yong men, and take thee his weapons: and Asahel would not depart from him.
22 Ndipo Abneri alipomwambia tena Asaheli, “Simama usinifuate. Kwa nini nikupige hata chini? Nitautazamaje uso wa Yoabu ndugu yako?”
And Abner saide to Asahel, Depart from me: wherefore shoulde I smite thee to the grounde? howe then shoulde I be able to holde vp my face to Ioab thy brother?
23 Lakini Asaheli hakukubari kugeuka. na hivyo Abneri akamchoma kwa nchi ya mkuki wake, hata ukatokea upande wa pili. Asaheli akaanguka chini akafa. Hata ikawa kila mmoja aliyefika mahali pale Asaheli alipoanguka na kufa, alisimama hapo hapo.
And when he woulde not depart, Abner with the hinder ende of the speare smote him vnder the fift ryb, that the speare came out behind him: and he fell downe there, and dyed in his place. And as many as came to the place where Asahel fell downe and dyed, stoode still.
24 Lakini Yoabu na Abishai wakamfuatilia Abneri. Wakati jua linazama walikuwa wamefika mlima wa Amma, uliopo karibu na Gia katika njia ielekeayo nyika ya Gibeoni.
Ioab also and Abishai pursued after Abner: and the sunne went downe, when they were come to the hill Ammah, that lieth before Giah, by the way of the wildernesse of Gibeon.
25 Wabenjamini wakajikusanya nyuma ya Abneri na kusimama juu ya kilima.
And the children of Beniamin gathered them selues together after Abner, and were on an heape and stoode on the top of an hill.
26 Kisha Abneri akamwita Yoabu na kusema, “Je ni lazima upanga uendelee kurarua daima? Je haujui kwamba mwisho wake utakuwa mchungu? Hata line ndipo uwaambie watu wako waache kuwafuatia ndugu zao?”
Then Abner called to Ioab, and said, Shall the sworde deuoure for euer? knowest thou not, that it will be bitternesse in the latter ende? howe long then shall it be, or thou bid the people returne from following their brethren?
27 Yoabu akajibu, “Kama Mungu aishivyo, usingesema hivyo, askari wangu wangewafuatia ndugu zao hata asubuhi!”
And Ioab sayde, As God liueth, if thou haddest not spoken, surely euen in the morning the people had departed euery one backe from his brother.
28 Ndipo Yoabu akapiga tarumbeta, na watu wake wote wakasimama na hawakuendelea kuwafuata Israeli tena wala hawakupigana tena.
So Ioab blew a trumpet, and all the people stoode still, and pursued after Israel no more, neither fought they any more.
29 Abneri na watu wake wakasafiri usiku wote kupitia Araba. Wakavuka Yordani, wakatembea asubuhi yote iliyofuata, na hata wakafika Mahanaimu.
And Abner and his men walked all that night through the plaine, and went ouer Iorden, and past through all Bithron till they came to Mahanaim.
30 Yoabu akarudi kutoka katika kumfuatia Abneri. Akawakusanya watu wake wote, ambopo Asahali na askari wengine kumi na tisa wa Daudi walipungua.
Ioab also returned backe from Abner: and when he had gathered all the people together, there lacked of Dauids seruants nineteene men and Asahel.
31 Lakini watu wa Daudi walikuwa wameua watu 360 wa Benjamini na Abneri.
But the seruants of Dauid had smitten of Beniamin, and of Abners men, so that three hundreth and threescore men dyed.
32 Kisha wakamchukua Asahali na kumzika katika kaburi la baba yake, lililokuwapo Bethlehemu. Yoabu na watu wake wakasafiri usiku wote, kukacha wakati wanafika Hebroni.
And they tooke vp Asahel, and buried him in the sepulchre of his father, which was in Bethlehem: and Ioab and his men went all night, and when they came to Hebron, the day arose.

< 2 Samweli 2 >