< 2 Samweli 18 >

1 Daudi akawahesabu askari waliokuwa pamoja naye na akaweka akida wa elfu na akida wa mia juu yao.
Hina bagade Da: ibidi da ea dunu huluane gegedole, afafane, dunu gilisisu idi afae afae amo da 1,000 amola gilisisu eno ilia idi afae afae da 100 agoane ilegele gagai. Amo gilisisu ouligima: ne, e da ouligisu dunu ilegele gagai.
2 Kisha Daudi akalipeleka jeshi, thelusi moja chini ya Yoabu, thelusi nyingine chini ya Abishai mwana wa Seruya, ndugu wa Yoabu, na thelusi nyingine tena chini ya Itai Mgiti. Mfalme akaliambia jeshi, “kwa hakika mimi mwenyewe pia nitakwenda pamoja nanyi.
Amalalu, e da gilisisu udiana hamone, ili gadili asunasi. Gilisisu udiana ilia ouligisu dunu da Youa: be amola ea eya Abisia: i amola Ga: de dunu Idai. Amola Da: ibidi da amane sia: i, “Na amola nini masunu.”
3 Lakini watu wakasema, “Wewe usiende vitani, kwani ikiwa tutakimbia hawatatujari sisi, ama nusu yetu wakifa hawatajari. Lakini wewe ni zaidi ya elfu kumi yetu sisi! Kwa hiyo ni afadhari zaidi ukitusaidia ukiwa mjini.”
Be ilia da bu adole i, “Di da nini hame masunu. Ninisu da beba: le hobeasea, o ninia dogoa mogili fane legei ba: sea, ninia ha lai da hame dawa: mu. Be di da nini dunu 10,000 agoanega fawane defele ba: sa. Di da guiguda: moilaiga esalu, ninima fidisu asunasima: ne, ouesalumu da defea.”
4 Hivyo mfalme akawajibu, “Nitafanya lolote lionekanalo jema machoni penu.” Mfalme akasimama kati ya lango la mji wakati jeshi lilipoondoka katika mamia na katika maelfu.
Da: ibidi da amane sia: i, “Dilia da amo hou da baligili noga: i dawa: beba: le, na da hamomu.” Amalalu, e da logo holei bega: leloba, ea dunu gilisisu mogili da 1,000 idi amola mogili da 100 idi, amo da gadili mogodigili asi.
5 Mfalme akawaagiza Yoabu, Abishai, na Itai kusema, “Mmtendee huyo kijana, Absalomu, kwa upole kwa ajili yangu.” Watu wote wakasikia jinsi mfalme alivyowaagiza maakida kuhusu Absalomu.
E da Youa: be amola Abisia: i amola Idai ilima amane sia: i, “Dilia nama asigiba: le, ayeligi A: basalome ema se mae ima.” Dadi gagui dunu huluane da sia: amo Da: ibidi da ea ouligisu dunuma sia: i, amo nabi.
6 Hivyo jeshi likaenda nyikani dhidi ya Israeli; vita ikaenea katika msitu wa Efraimu.
Da: ibidi ea dadi gagui wa: i da sogega asili, Ifala: ime iwilaga Isala: ili dunuma gegei.
7 Jeshi la Israeli likashindwa mbele ya askari wa Daudi; kulikuwa na machinjo makuu kwa watu elfu ishirini siku hiyo.
Da: ibidi ea dunu da Isala: ili dunu hasali. Ilia gasa bagadewane Isala: ili dunuma hasalasi. Amo esoha, dunu 20,000 agoane da fane lelegei dagoi ba: i.
8 Vita ikaenea katika eneo lote na watu wengi wakaangamizwa na msitu kuliko upanga.
Gegesu da soge huluane amo ganodini asi. Dunu amo da iwila ganodini bogoi ilia idi da dunu gegesu ganodini bogoi ilia idi baligi dagoi.
9 Ikatukia kwamba Absalomu akakutana na askari wa Daudi. Absalomu alikuwa amepanda juu ya nyumbu wake na nyumbu akapita chini ya matawi manene ya mti wa mwaloni, na kichwa chake kikanaswa katika matawi ya mti. Akaachwa akining'inia kati ya nchi na anga wakati nyumbu alipoendelea mbele.
A: basalome da `miule’ amoga fila heda: le ahoanoba, hedolowane Da: ibidi ea dunu mogili ema manebe ba: i. Ea `miule’ da hehenane, `ouge’ ifaha golili asili, A:basalome ea dialuma da ifa amodaga gaguiagai. Miule da bu hehenai, be A: basalome da ea dialuma ifa amodaga fodosili hamefufua hegoa: i dialebe ba: i.
10 Mtu mmoja akaona lililotukia na akamwambia Yoabu, “Tazama, nilimwona Absalomu akining'inia katika mwaloni!”
Da: ibidi ea dunu afae da amo ba: lu, Youa: bema amane adola asi, “Hina! Na da A: basalome `ouge’ ifaga fodosili hegoa: i dialebe ba: i!”
11 Yoabu akamwambia aliyemwambia kuhusu Absalomu, “Tazama! Ulimwona! Kwa nini haukumpiga hata chini. Ningekupa shekeli kumi za fedha na mkanda.”
Youa: be da bu adole i, “Dia ba: beba: le, abuliga amogaiwane e hame fane legebela: ? Na nisu da dima silifa fage nabuane amola bulu ia: noba!”
12 Yule mtu akamjibu Yoabu, “Hata kama ningepewa shekeli elfu za fedha hata hivyo nisingeinua mkono wangu juu ya mwana wa mfalme, kwa maana sisi sote tulimsikia mfalme akiwaagiza wewe, Abishai na Itai kusema, mtu asimguse huyo kijana Absalomu.'
Be amo dunu da bu adole i, “Di da silifa fage 1,000 agoane nama i ganiaba, na da hina bagade egefema hame wadela: lesila: loba. Ninia huluane da hina bagade di amola Abisia: i amola Idai dilima amane sia: be nabi, `Dilia nama asigiba: le, ayeligi A: basalomema se mae ima!’
13 Ikiwa ningehatarisha maisha yangu kwa uongo(na hakuna jambo linalofichika kwa mfalme), ungejitenga nami.”
Be na da hina bagade ea sia: i mae nabawane A: basalome fane legesa ganiaba, hina bagade da amo naba: loba (e da liligi hamobe huluane naba) amaiba: le dia da na hame gaga: la: loba ba: mu.”
14 Ndipo Yoabu aliposema, “sitakusubiri.” Kisha akachukua mishale mitatu mkononi mwake na akairusha katika moyo wa Absalomu wakati yu ngali hai na amening'inia katika mwaloni.
Youa: be da amane sia: i, “Na da di amo hamoma: ne bu hame aligimu!” A: basalome da `ouge’ ifaga hegoa: nesi dialebe ba: le, amola Youa: be da goge agei udiana lale amoga ea bida: igia soi.
15 Kisha vijana kumi waliochukua slaha za Yoabu wakamzunguka Absalomu, wakampiga na kumwua.
Amalalu, Youa: be ea dadi gagui dunu nabuane gala da gadenene misini, A:basalome bogoma: ne dabuasilisi.
16 Kisha Yoabu akapiga tarumbeta na jeshi likarudi kutoka kuwafuatia Israeli, hivyo Yoabu akalirudisha jeshi.
Youa: be da sia: beba: le, ilia dalabede amo gegesu dagolesima: ne fulaboi. Amola Youa: be ea dadi gagui dunu da Isala: ili dunuma se bobogelalu yolesili buhagi.
17 Wakamchukua Absalomu na kumtupa katika shimo kubwa msituni; wakaufukia mwili wake chini ya rundo kubwa la mawe, wakati Israeli wote walipokimbia kila mtu nyumbani kwake.
Ilia da A: basalome ea da: i hodo lale, oso dogone uli dogoi ganodini sanasili, igi gegedole legei bagade, amoga dedebosi. Isala: ili dunu huluane da hobeale, afagogole, hi diasuga buhagi.
18 Wakati Absalomu alipokuwa yu ngali hai alijijengea nguzo kubwa ya jiwe katika Bonde la Mfalme, kwani alisema, “Sina mwana wa kuchukua kumbukumbu ya jina langu.” Akaiita nguzo kwa jina lake, hivyo inaitwa Mnara wa Absalomu hata leo.
A: basalome da mae bogole esalebe galu, e da ea hamoi dawa: loma: ne, hina bagade Fagoga igiga wanonesi. Bai e da dunu mano hame amola egefe ea dio osobo bagade sia: numu hame galu. Amaiba: le, e da amo dawa: loma: ne igi wanoi amoma hina: dio asunasi. Amola amogainini wali, amoga ilia da `A: basalome ea dawa: digima: ne igi Wanoi’ amo dio sia: sa.
19 Kisha Ahimaasi mwana wa Sadoki akasema, “Niruhusu niende kwa mfalme na habari njema, jinsi Yahwe alivyomwokoa kutoka mkono wa adui zake.”
Amalalu, Ahima: ia: se (Sa: idoge egefe) da Youa: bema amane sia: i, “Na da hina bagadema hehenane, sia: ida: iwane amo da Hina Gode da ea ha lai ema mae hasalima: ne e gaga: i, na da amo sia: adola masa: ne sia: ma”
20 Yoabu akamjibu, “Wewe hautakuwa mchukua habari leo; utafanya hivyo siku nyingine. Leo hautachukua habari yoyote kwa maana mwana wa mfalme ameuawa.”
Youa: be da bu adole i, “Hame mabu! Di da wali eso sia: ida: iwane adomusa: hame masunu. Eso enoga da defea be wali eso hame. Bai hina bagade egefe da bogoi dagoi.”
21 Ndipo Yoabu akamwambia Mkushi, “Nenda umwambia mfalme ulichokiona.” Mkushi akamwinamia Yoabu, na kisha akakimbia.
Amalalu, e da ea udigili hawa: hamosu dunu (Suda: ne soge dunu) ema amane sia: i, “Di hina bagade ema asili, dia ba: i liligi amo ema olelema.” Udigili hawa: hamosu dunu da begudili, hehenane asi.
22 Kisha tena, Ahimaasi mwana wa Sadoki akamwambia Yoabu, “Pamoja na yote yanayoweza kutokea, tafadhari niruhusu nami pia niende nimfuate Mkushi.” Yoabu akajibu, “Mwanangu kwa nini unataka kwenda, hautapata thawabu yoyote kwa ajili ya habari hii?”
Be Ahima: ia: se da ea edegei mae fisili, bu sia: i, “Na da fa: no mabe hou hame dawa: sa. Be na amola da amo sia: adomusa: masa: ne sia: ma.” Youa: be da adole ba: i, “Nagofe! Dia abuliba: le amo hou hamomusa: hanabela: ? Di da amoga bidi hame lamu.”
23 “Vyovyote itakavyokuwa niache niende,” Ahimaasi alijibu. Hivyo Yoabu akamjibu, “Nenda.” Ndipo Ahimaasi akakimbia kwa njia ya tambarare na akampita Mkushi.
Ahima: ia: se da amane sia: i, “Na da fa: no mabe hou mae dawa: le masunu hanai galebe!” “Defea! Masa!” Youa: be da sia: i. Amaiba: le, Ahima: ia: se da Yoda: ne Fago gudu hehenaia sa: ili, hedolowane udigili hawa: hamosu dunu ea ahoabe baligi.
24 Basi Daudi alikuwa amekaa kati ya lango la ndani na lango la nje. Na mlinzi alikuwa juu ya lango ukutani naye akainua macho yake. Alipokuwa akiangalia, akamwona mtu anakaribia huku akikimbia peke yake.
Da: ibidi da sogebi amo da gano golili ganosu amola ga golili ganosu dogoa gala, amogawi fi esalebe ba: i. Sosodo aligisu dunu da moilai dobea da: iya gado heda: le, logo holei dabua fafai amo da: iya lelu. E da gadili ba: le galoba, dunu afae hehenanebe ba: i.
25 Mlinzi akaita kwa sauti na kumwambia mfalme. Ndipo mfalme akasema, “Ikiwa yupo peke yake ana habari katika kinywa chake.” Mkimbiaji akasogea na kuukaribia mji.
E da hina bagadema gudu wele sia: ne guduli, hina bagade da ema amane sia: i, “E da hisu mabeba: le, sia: noga: i adomusa: maha.” Hehenasu dunu da gebewane gagadenena manebe ba: i.
26 Kisha mlinzi akaona mtu mwingine aliyekuwa anakimbia, naye akamwambia bawabu; kusema, “Tazama, kuna mtu mwingine anakimbia peke yake.” Mfalme akasema, “Yeye pia analeta habari.”
Amalalu, sosodo aligisu dunu da eno dunu hisu hehenanebe ba: i. E da logo holei ouligisu dunuma gudu wele sia: ne gudui, “Ba: ma! Dunu eno da hehenaiya manebe goea!” Hina bagade da bu adole i, “E amolawane da sia: ida: iwane adola maha.”
27 Ndipo mlinzi akasema, Nadhani kukimbia kwake mtu aliye mbele ni kama kukimbia kwake Ahimaasi mwana wa Sadoki.” Mfalme akasema, “Yeye ni mtu mwema naye anakuja na habari njema.”
Sosodo aligisu dunu da amane sia: i, “Na ba: loba bisili mabe dunu da Ahima: ia: se e agoai hehenanebe.” Hina bagade da amane sia: i, “E da dunu noga: i. Amola e da sia: ida: iwane adola maha.”
28 Ndipo Ahimaasi akaita na kumwambia mfalme, “Yote ni mema.” Kisha akainama yeye mwenyewe uso wake chini mbele ya mfalme na kusema, Atukuzwe Yahwe Mungu wako, aliyewatoa watu walioinua mkono wao kinyume cha bwana wangu mfalme.”
Ahima: ia: se da hina bagadema asigi sia: yosia: nu, hi gobele hina bagade midadi osoba gala: la sa: ili, amane sia: , “Dia Hina Godema nodoma! Bai E da di, hina noga: i, dia ha lai odoga: be dunu amo hasalima: ne hamoi dagoi.”
29 Hivyo mfalme akauliza, “Je huyo kijana Absalomu hajambo?” Ahimaasi akajibu, “Wakati Yoabu ananituma kwako mfalme, mimi mtumishi wa mfalme, niliona fujo kubwa sana lakini sikutambua ilihusu nini.”
Hina bagade da adole ba: i, “Ayeligi A: basalome da hahawane gaga: bela: ?” Ahima: ia: se da bu adole i, “Hina! Dia ouligisu dunu Youa: be da na asunasi mana ba: loba, na da dunu bagohame bulisa lafia: lebe ba: i, be amo ea bai na da hame dawa: i.”
30 Mfalme akamwambia, “Geuka usimame kando.” Hivyo Ahimaasi akageuka na kusimama.
Hina bagade da amane sia: i, “Gagoe aligila masa!” Amola e da amogawi asili, lelu.
31 Mara Mkushi akafika na kusema, “Kuna habari njema kwa bwana wangu mfalme kwa kuwa leo Yahwe amekulipia kisasi kwa wale wote walioinuka kinyume chako.”
Amalalu, Suda: ne udigili hawa: hamosu dunu da doaga: le, hina bagadema amane sia: i, “Hina noga: idafa! Na da dima sia: ida: iwane adola misi. Wali eso, Hina Gode da dima, dia ha lai lelesu dunu hasalima: ne hamoi dagoi.”
32 Ndipo mfalme akamwuliza, “Je huyo kijana Absalomu ni mzima?” Mkushi akajibu, “Adui wa bwana wangu mfalme na wote wainukao kukudhuru na wawe kama huyo kijana.”
Hina bagade da amane adole ba: i, “Ayeligi A: basalome da gaga: bala:”? Udigili hawa: hamosu dunu da bu adole i, “Hina! Ema hamoi hou defele, dia ha lai amola dima odoga: su dunu huluane, ilima amane hamoi dagoi ba: mu da defea!”
33 Ndipo mfalme alipohuzunishwa sana naye akaenda chumbani juu ya lango na kulia. Kadili alivyokwenda aliomboleza, mwanangu Absalomu, mwanangu, mwanangu Absalomu! afadhari ningekufa badala yako, Absalomu, mwanangu, mwanangu!”
Ea mano da bogoi nababeba: le, Da: ibidi da baligiliwane da: i dione, sesei amo da logo holeiga gadodili gala, amoga asili, dinanu. E da ahoa ha: giwane disa amane wele sia: i, “Nagofe! A: basalome! Nagofe! Nagofe! Di mae bogole, na fawane bogomu da defea galu! Nagofe! A: basalome, nagofe!”

< 2 Samweli 18 >