< 2 Samweli 17 >

1 Kisha Ahithofeli akamwambia Absalomu, “Niruhusu sasa nichague watu elfu kumi na mbili nami nitaondoka na kumfuatia Daudi usiku huu.
اخیتوفل به ابشالوم گفت: «دوازده هزار سرباز به من بده تا همین امشب داوود را تعقیب کنم.
2 Nitampata kwa ghafla wakati amechoka na dhaifu nami nitamstukiza kwa hofu. Watu waliopamoja naye watakimbia nami nitamshambulia mfalme peke yake.
حال که او خسته و درمانده است به او حمله می‌کنم تا افرادش پراکنده شوند. آنگاه فقط پادشاه را می‌کشم
3 Nitawarejesha watu wote kwako kama bibi harusi ajavyo kwa bwana wake, na watu wote watakuwa katika amani chini yako.”
و تمام افرادش را به نزد تو باز می‌گردانم. با کشته شدن پادشاه بدون شک همهٔ همراهانش بدون اینکه آسیبی ببینند نزد تو برخواهند گشت.»
4 Alichokisema Ahithofeli kikampendeza mfalme na wazee wote wa Israeli.
ابشالوم و همهٔ بزرگان اسرائیل این نقشه را پسندیدند.
5 Kisha Absalomu akasema, “Sasa mwiteni pia Hushai Mwarki ili tusikie yeye pia anasemavyo.”
ولی ابشالوم گفت: «نظر حوشای ارکی را نیز در این باره بپرسید.»
6 Hushai alipofika kwa Absalomu, Absalomu akamweleza kile ambacho Ahithofeli alikuwa amesema na kisha akamwuliza Hushai, “Je tufanye alivyosema Ahithofeli? Ikiwa hapana, tueleze kile unachoshauri.”
وقتی حوشای آمد، ابشالوم نقشهٔ اخیتوفل را برای او تعریف کرد و از او پرسید: «نظر تو چیست؟ آیا با نقشهٔ او موافقی یا طرح دیگری داری؟»
7 Hivyo Hushai akamwambia Absalomu, “Ushauri aliotoa Ahithofeli siyo mzuri kwa wakati huu.”
حوشای جواب داد: «فکر می‌کنم پیشنهادی که این بار اخیتوفل داده خوب نیست.
8 Hushai akaongeza, “Unamjua baba yako na kwamba watu wake ni mashujaa na kwa sasa wanauchungu, ni kama dubu aliyenyang'anywa watoto wake mwituni. Baba yako ni mtu wa vita; hatalala na jeshi usiku huu.
پدرت و افراد او را خوب می‌شناسی. آنها جنگجویان شجاعی هستند. حال، مانند خرس ماده‌ای که بچه‌هایش را دزدیده باشند خشمگین هستند. پدرت سرباز کهنه‌کار و با تجربه‌ای است و شب در میان سربازان خود نمی‌ماند.
9 Tazama, kwa wakati huu pengine amejificha katika shimo fulani au mahali pengine. Itakuwa kwamba baadhi ya watu wako watakapokuwa wameuawa mwanzoni mwa shambulio hata kila mtu atakayesikia atasema, mauaji yamefanyika kwa askari wanaomfuata Absalomu.'
احتمالاً در غاری یا جای دیگری مخفی شده است. کافی است بیرون بیاید و حمله کند و چند نفر از افراد تو را بکشد، آنگاه همه جا شایع می‌شود که پیروان تو سرکوب شده‌اند.
10 Kisha hata askari jasiri zaidi ambao moyo wao ni kama moyo wa simba, wataogopa kwa kuwa Israeli yote inajua kwamba baba yako ni mtu mwenye nguvu na kwamba watu alionao ni wenye nguvu sana.
آنگاه شجاعترین افرادت، حتی اگر دل شیر هم داشته باشند، از ترس روحیهٔ خود را خواهند باخت. چون تمام اسرائیلی‌ها می‌دانند که پدرت چه مرد جنگاوری است و سربازانش چقدر شجاع هستند.
11 Hivyo ninashauri kwamba Israeli wote wakutanike kwako pamoja kutoka Dani hadi Beersheba, wengi kama mchanga ufuoni mwa bahari na kwamba wewe mwenyewe uende vitani.
پس پیشنهاد من این است که تمام سربازان اسرائیل را از سراسر کشور، یعنی از دان تا بئرشبع، جمع کنی تا نیروی بزرگی داشته باشی، و خودت هم شخصاً فرماندهی آنها را به عهده بگیری.
12 Kisha tutampata popote atakapokuwa nasi tutamfunika kama umande uangukavyo juu ya nchi. Hatutamwachia hata mmoja aliye hai kati ya watu wake wala yeye mwenyewe.
داوود و افرادش را هر جا باشند، پیدا می‌کنیم و آنها را غافلگیر کرده، همه را از بین می‌بریم تا یک نفرشان هم زنده نماند.
13 Ikiwa ataingia ndani ya mji kisha Israeli wote tutaleta kamba juu ya mji huo na kuukokotea mtoni, hata kusionekane hata jiwe moja dogo lililosalia.”
اگر داوود به شهری فرار کند، تمام سپاه اسرائیل که در اختیار تو است دیوارهای شهر را با کمند به نزدیکترین دره سرنگون می‌کنند تا با خاک یکسان شود و سنگی در آن نماند.»
14 Kisha Absalomu na watu wa Israeli wakasema, “Shauri la Hushai Mwarki ni jema kuliko lile la Ahithofeli. Yahwe aliwafanya wakatae shauri jema la Ahithofeli ili kumwangamiza Absalomu.
پس ابشالوم و تمام مردان اسرائیل گفتند: «پیشنهاد حوشای بهتر از پیشنهاد اخیتوفل است.» خداوند ترتیبی داده بود که پیشنهاد خوب اخیتوفل پذیرفته نشود تا به این وسیله ابشالوم را گرفتار مصیبت سازد.
15 Kisha Hushai akawambia Sadoki na Abiathari makuhani, “Ahithofeli alimshauri Absalomu na wazee wa Israeli hivi na hivi, lakini mimi nimeshauri vinginevyo.
بعد حوشای نظر اخیتوفل و پیشنهادی را که خودش به جای آن کرده بود، به صادوق و اَبیّاتار کاهن گزارش داد.
16 Sasa basi, nendeni haraka na mmtaarifu Daudi kusema, 'Usipige kambi usiku huu katika vivuko vya Araba, lakini kwa namna yoyote vukeni, tofauti na hapo mfalme atamezwa pamoja na watu wote walio pamoja naye.”
حوشای به آنها گفت: «زود باشید! داوود را پیدا کنید و به او بگویید که امشب در کنار رود اردن نماند، بلکه هر چه زودتر از رود عبور کند و گرنه او و تمام همراهانش کشته خواهند شد.»
17 Yonathani na Ahimaasi walikuwako katika chemichemi za En Rogeli. Hivyo kijakazi mmoja alikuwa akienda na kuwapasha habari waliyopaswa kuifahamu, ili kwamba wasihatarishe maisha yao kwa kuonwa wakiingia mjini. Ujumbe ulipofika ndipo huenda na kumtaarifu mfalme Daudi.
یوناتان و اخیمعص، برای اینکه دیده نشوند کنار چشمه عین روجل پنهان شده بودند و کنیزی برای ایشان خبر می‌آورد تا آنها نیز خبر را به داوود پادشاه برسانند.
18 Lakini kijana mmoja akawaoni mara akamwambia Absalomu. Hivyo Yonathani na Ahimaasi wakaenda kwa haraka na wakaingia katika nyumba ya mtu mmoja huko Bahurimu, aliyekuwa na kisima katika ua wake wakaingia humo.
اما وقتی می‌خواستند از عین روجل پیش داوود بروند، پسری آنها را دید و به ابشالوم خبر داد. پس یوناتان و اخیمعص به بحوریم گریختند و شخصی آنها را در چاهی که در حیات خانه‌اش بود پنهان کرد.
19 Mke wa mtu huyo akachukua kifuniko na kukikufunika kwenye mlango wa kisima kisha akaanika nafaka juu yake, hivyo hakuna aliyejua kwamba Yonathani na Ahimaasi walikuwa kisimani.
زن او سرپوشی روی چاه گذاشت و مقداری حبوبات روی آن ریخت تا کسی از موضوع باخبر نشود.
20 Watu wa Absalomu wakaja kwa mwanamke na kumwuliza, “Ahimaasi na Yonathani wako wapi?” Mwanamke akawaambia, “Wamevuka mto.” Hivyo baada ya kuwatafuta bila kuwaona kurejea Yerusalemu.
وقتی افراد ابشالوم آمدند و سراغ اخیمعص و یوناتان را از آن زن گرفتند او گفت: «از رودخانه عبور کردند.» آنها پس از جستجوی زیاد، دست خالی به اورشلیم برگشتند.
21 Ikawa baada yao kuondoka Yonathani na Ahimaasi wakatoka ndani ya kisima. Wakaenda kumtaarifu mfalme Daudi; wakamwambia, “Inuka na uvuke maji haraka kwa maana Ahithofeli ametoa mashauri haya na haya juu yako.”
بعد از رفتن افراد ابشالوم، اخیمعص و یوناتان از چاه بیرون آمدند و بدون معطلی پیش پادشاه رفتند و گفتند: «زود باشید امشب از رود عبور کنید!» سپس برایش تعریف کردند که چگونه اخیتوفل نقشهٔ کشتن او را کشیده است.
22 Kisha Daudi akainuka pamoja na watu wote walikuwa pamoja naye, nao wakauvuka Yordani. Hata ilipofika alfajiri hakuna hata mmoja aliyesalia kwa kutouvuka Yordani.
پس داوود و همراهانش شبانه از رود اردن عبور کردند و قبل از سپیدهٔ صبح، همه به آن طرف رسیدند.
23 Ikawa Ahithofeli alipoona kwamba ushauri wake haukufuatwa, akapanda punda wake na kuondoka. Akaenda nyumbani katika mji wake mwenyewe, akaweka mambo yake katika utaratibu na kisha akajinyonga. Kwa hiyo akafa na kuzikwa katika kaburi la baba yake.
وقتی اخیتوفل دید ابشالوم پیشنهاد او را رد کرده است، الاغ خود را پالان کرد و به شهر خود رفت. او به کارهایش سروسامان بخشید و رفت خود را به دار آویخت. مردم جنازهٔ او را در کنار قبر پدرش به خاک سپردند.
24 Ndipo Daudi akaja Mahanaimu. Lakini Absalomu yeye akavuka Yordani yeye pamoja na watu wote wa Israeli waliokuwa pamoja naye.
طولی نکشید که داوود به محنایم رسید. ابشالوم هم تمام سپاه اسرائیل را بسیج کرد و به آن طرف رود اردن برد.
25 Absalomu alikuwa amemweka Amasa juu ya jeshi badala ya Yoabu. Naye huyo Amasa alikuwa mwana wa Yetheri Mwishmaeli, aliyekuwa amelala na Abigaili, aliyekuwa binti Nahashi na dada wa Seruya, mamaye Yoabu.
ابشالوم، عماسا را به جای یوآب به فرماندهی سپاه تعیین کرد. (عماسا پسر خالهٔ یوآب بود. پدرش یترای اسماعیلی و مادرش ابیجایل، دختر ناحاش و خواهر صرویه مادر یوآب بود.)
26 Kisha Israeli na Absalomu wakapiga kambi katika nchi ya Gileadi.
ابشالوم و سپاه اسرائیل در سرزمین جلعاد اردو زدند.
27 Ikawa wakati Daudi alipokuwa amekuja Mahanaimu, huyo Shobi mwana wa Nahashi kutoka Raba ya Waamoni na Makiri mwana wa Amieli wa kutoka Lo Debari, na Berzilai Mgileadi wa Rogelimu,
وقتی داوود به محنایم رسید، شوبی (پسر ناحاش که از اهالی شهر ربهٔ عمون بود) و ماخیر (پسر عمی‌ئیل از لودبار) و برزلائی جلعادی (از روجلیم) به استقبال او آمدند.
28 wakaleta magodoro na mabulangeti, mabakuri na vyungu, na ngano, unga wa shayiri, nafaka zilizokaangwa, maharage, dengu,
آنها برای داوود و همراهانش وسایل خواب و خوراک آوردند، از جمله دیگهای خوراک‌پزی، کاسه‌ها، گندم و آرد جو، غلهٔ برشته، باقلا، عدس، نخود، عسل، کره، پنیر و چند گوسفند. آنها می‌دانستند بعد از این راهپیمایی طولانی در بیابان، بدون شک خسته و گرسنه و تشنه هستند.
29 asali, siagi, kondoo na samli, ili kwamba Daudi na watu waliokuwa pamoja naye waweze kula. Kwani walisema, “Watu wana njaa, wamechoka na wana kiu huko nyikani.”

< 2 Samweli 17 >