< 2 Samweli 17 >

1 Kisha Ahithofeli akamwambia Absalomu, “Niruhusu sasa nichague watu elfu kumi na mbili nami nitaondoka na kumfuatia Daudi usiku huu.
Hagi henka Ahitofeli'a Absalomuna asamino, natrege'na 12tauseni'a sondia vahe zamavare'na meni kenagera vu'na Devitinku ome hakena hara huntaneno.
2 Nitampata kwa ghafla wakati amechoka na dhaifu nami nitamstukiza kwa hofu. Watu waliopamoja naye watakimbia nami nitamshambulia mfalme peke yake.
Hagi agra menina kasaro kasara huno ana'ana huno nevanige'na ome azerigahue. Hagi nagra antri hanazaza hu'na va'nena, mika vahe'mo'za atre'za fresage'na kini ne'ke ahegahue.
3 Nitawarejesha watu wote kwako kama bibi harusi ajavyo kwa bwana wake, na watu wote watakuwa katika amani chini yako.”
Hagi menina nagra maka vahera zamavarena kagrite egahue. Hagi zamagra zahufa a'mo neve atreno frenereti ete eankna hu'na, ana miko vahera ozamahe zamavare'na kagrite egahue. Hagi Devitinke ahesankeno frinigenka kagra krimpa fru hunka manigahane.
4 Alichokisema Ahithofeli kikampendeza mfalme na wazee wote wa Israeli.
Hige'za Absalomu'ene mika Israeli kva vahe'mo'zama ana nanekema antahi'zana knare hu'ne.
5 Kisha Absalomu akasema, “Sasa mwiteni pia Hushai Mwarki ili tusikie yeye pia anasemavyo.”
Hagi Absalomu'a huno, Akai nagapinti ne' Husaina kehinkeno agranena antahi'zama'a eme huama hina antahimaneno.
6 Hushai alipofika kwa Absalomu, Absalomu akamweleza kile ambacho Ahithofeli alikuwa amesema na kisha akamwuliza Hushai, “Je tufanye alivyosema Ahithofeli? Ikiwa hapana, tueleze kile unachoshauri.”
Hagi Husai'a Absalomunte egeno Absalomu'a asamino, Ahitofeli'a ama naneke tasami'neanki agrama tasamia naneke amagera antegahumpi? Hagi i'oma hanunka antahintahi ka'a kagra hu ama huo.
7 Hivyo Hushai akamwambia Absalomu, “Ushauri aliotoa Ahithofeli siyo mzuri kwa wakati huu.”
Hagi Husai'a kenona huno, Menima Ahitofeli'ma tamia antahi'zamo'a knarera osie.
8 Hushai akaongeza, “Unamjua baba yako na kwamba watu wake ni mashujaa na kwa sasa wanauchungu, ni kama dubu aliyenyang'anywa watoto wake mwituni. Baba yako ni mtu wa vita; hatalala na jeshi usiku huu.
Hagi kagra antahi'nane, negafa'ene sondia vahe'amo'za hanavenentake vahe mani'nazageno zamarimpama ahe'zamo'a Beamofo anenta'ama vahe'mo'za nevrazageno arimpa aheankna vahe mani'naze. Hagi negafa'a harafa vahekino, kenagera sondia vahe'anena omasegahie.
9 Tazama, kwa wakati huu pengine amejificha katika shimo fulani au mahali pengine. Itakuwa kwamba baadhi ya watu wako watakapokuwa wameuawa mwanzoni mwa shambulio hata kila mtu atakayesikia atasema, mauaji yamefanyika kwa askari wanaomfuata Absalomu.'
Hagi agra ko mago'a kumatego, have kampino frakino mani'ne. Hagi agrama kagri sondia vahe'ma ese'zana ha'ma huzmantesniana rama'a vahe zamahe frigahiankino, vahe'mo'zama anankema antahisnu'za Absalomu nevaririza sondia vahera zamahe fri vagaraze hu'za hugahaze.
10 Kisha hata askari jasiri zaidi ambao moyo wao ni kama moyo wa simba, wataogopa kwa kuwa Israeli yote inajua kwamba baba yako ni mtu mwenye nguvu na kwamba watu alionao ni wenye nguvu sana.
Hagi mago'a laionigana hu'za koro osu sondia vahe'kamo'za anankema antahisnu'za koro hugahaze. Na'ankure mika Israeli vahe'mo'za antahi'naze, negafa'a tusi hihamu ne' mani'nege'za, agranema mani'naza sondia vahe'mo'za hanavenentake vahe mani'naze.
11 Hivyo ninashauri kwamba Israeli wote wakutanike kwako pamoja kutoka Dani hadi Beersheba, wengi kama mchanga ufuoni mwa bahari na kwamba wewe mwenyewe uende vitani.
E'ina hu'negu noti kaziga Dani kumateti vuno sauti kaziga Bersebama uhanati'nea vahe'ma mani'naza Israeli sondia vahera, kagra mika zamavarenka Devitima ha'ma huntenakura eritru hugeno hagerinkenafi kasepakna hanigenka, zamavarenka hara ome hunto.
12 Kisha tutampata popote atakapokuwa nasi tutamfunika kama umande uangukavyo juu ya nchi. Hatutamwachia hata mmoja aliye hai kati ya watu wake wala yeye mwenyewe.
Hagi inantego Devitima ome keta erifore'ma hanuta, ata komo eramino mikaza refiteaza huta, Devitine mika sondia vahe'anena zamahe fri vaga regahune.
13 Ikiwa ataingia ndani ya mji kisha Israeli wote tutaleta kamba juu ya mji huo na kuukokotea mtoni, hata kusionekane hata jiwe moja dogo lililosalia.”
Hagi agrama mago kumapima ufrenketa ana kumofo vihu keginare nofi renteta avazu huta agupofi ome atregahune. Ana nehanunkeno ana kuma'mo fanane huvagaregahie.
14 Kisha Absalomu na watu wa Israeli wakasema, “Shauri la Hushai Mwarki ni jema kuliko lile la Ahithofeli. Yahwe aliwafanya wakatae shauri jema la Ahithofeli ili kumwangamiza Absalomu.
Anante Absalomu'ene mika Israeli vahe'mo'za hu'za, Arkiti ne' Husaia tamia antahizamo'a knare huno Ahitofelima tamia antahi'zana agatere. Na'ankure ana hanigeno Ra Anumzamo'a Absalomuna azeri haviza hunaku ana antahi'zana zamige'za Ahitofeli antahi'zana eri atre'naze.
15 Kisha Hushai akawambia Sadoki na Abiathari makuhani, “Ahithofeli alimshauri Absalomu na wazee wa Israeli hivi na hivi, lakini mimi nimeshauri vinginevyo.
Hagi ana huteno Husai'a Zadokune pristi ne' Abiatakizania amanage huno zamasami'ne, Ahitofeli'a Absalomune Israeli kva vahe'tamina antahintahi zamige'na nagra amanahu antahi'za zami'noe.
16 Sasa basi, nendeni haraka na mmtaarifu Daudi kusema, 'Usipige kambi usiku huu katika vivuko vya Araba, lakini kwa namna yoyote vukeni, tofauti na hapo mfalme atamezwa pamoja na watu wote walio pamoja naye.”
Hagi menina ame hutna Devitina ke atrentekeno, tima takahe'za kantu kazigama nevarera uomaseno, ru agri'ene agranema maka vu'naza vahetamina eme zamahesagi ame hu'za freza hagege kokampi viho.
17 Yonathani na Ahimaasi walikuwako katika chemichemi za En Rogeli. Hivyo kijakazi mmoja alikuwa akienda na kuwapasha habari waliyopaswa kuifahamu, ili kwamba wasihatarishe maisha yao kwa kuonwa wakiingia mjini. Ujumbe ulipofika ndipo huenda na kumtaarifu mfalme Daudi.
Hagi Jonatani'ene Ahimasikea Jerusalemi vahe'mo'za zanage'zanku frakike Enrogeli mani'nakeno eri'za mofamo kea erino Devitima ome asaminogura ome zanasami'ne.
18 Lakini kijana mmoja akawaoni mara akamwambia Absalomu. Hivyo Yonathani na Ahimaasi wakaenda kwa haraka na wakaingia katika nyumba ya mtu mmoja huko Bahurimu, aliyekuwa na kisima katika ua wake wakaingia humo.
Hianagi mago nehaza ne'mo ana netrena zanageteno Absalomuna ome asami'ne. Ana higeno ana netremokea ame huke freke Bahurimi kumate mago ne'mofo kumapi me'nea ti kerigampi uramine ome fraki'na'e.
19 Mke wa mtu huyo akachukua kifuniko na kukikufunika kwenye mlango wa kisima kisha akaanika nafaka juu yake, hivyo hakuna aliyejua kwamba Yonathani na Ahimaasi walikuwa kisimani.
Hagi ana ne'mofo nenaro'a tavrave rutareno anama mani'na'a kerirera refi'neteno ana agofetu witi kanara huno zanazeri frakizanante'ne.
20 Watu wa Absalomu wakaja kwa mwanamke na kumwuliza, “Ahimaasi na Yonathani wako wapi?” Mwanamke akawaambia, “Wamevuka mto.” Hivyo baada ya kuwatafuta bila kuwaona kurejea Yerusalemu.
Hagi Absalomu eri'za vahe'mo'za ana a'ma kuma'afi mani'nege'za eme antahige'za, Ahimasi'ene Jonatanikea iga mani'na'e? Hazageno ana a'mo'a kenona huno, zanagra tina takahene hago vu'na'e. Hagi Absalomu eri'za vahe'mo'za ome hakazana ozamage'za ete atre'za Jerusalemi vu'naze.
21 Ikawa baada yao kuondoka Yonathani na Ahimaasi wakatoka ndani ya kisima. Wakaenda kumtaarifu mfalme Daudi; wakamwambia, “Inuka na uvuke maji haraka kwa maana Ahithofeli ametoa mashauri haya na haya juu yako.”
Hagi ana vahe'ma vutageke anama framaki'napinkati atiramine Deviti ome asaminaku vu'na'e. Hagi Devitina ome asamine, kagra menina amafintira atrenka tina takahenka ko vuo. Na'ankure kagri'ma eme kazerisania kea Ahitofeli'a Absalomuna retro huno asami'ne.
22 Kisha Daudi akainuka pamoja na watu wote walikuwa pamoja naye, nao wakauvuka Yordani. Hata ilipofika alfajiri hakuna hata mmoja aliyesalia kwa kutouvuka Yordani.
Hagi Deviti'ene agranema vu'naza vahe'mo'za maka ana kenageke Jodani tina takahe'za kantu kaziga vu'naze. Hagi ko'ma atiana mago vahera timofo kama kaziga omani'naze.
23 Ikawa Ahithofeli alipoona kwamba ushauri wake haukufuatwa, akapanda punda wake na kuondoka. Akaenda nyumbani katika mji wake mwenyewe, akaweka mambo yake katika utaratibu na kisha akajinyonga. Kwa hiyo akafa na kuzikwa katika kaburi la baba yake.
Hagi Ahitofeli'ma keno antahino'ma hiama Absalomu'ma ke'ama ontahigeno'a, donkiafi marerino kuma arega vuno, mika'zama omerintese nehuno, agra kana aheno frige'za naga'ama asenentaza matipi ome asente'naze.
24 Ndipo Daudi akaja Mahanaimu. Lakini Absalomu yeye akavuka Yordani yeye pamoja na watu wote wa Israeli waliokuwa pamoja naye.
Hagi Deviti'a Mahanaimi vigeno, Absalomu'a mika Israeli sondia vahera zamavareno Jodani tina eme takahe'ne.
25 Absalomu alikuwa amemweka Amasa juu ya jeshi badala ya Yoabu. Naye huyo Amasa alikuwa mwana wa Yetheri Mwishmaeli, aliyekuwa amelala na Abigaili, aliyekuwa binti Nahashi na dada wa Seruya, mamaye Yoabu.
Hagi Absalomu'a Joapu noma erino sondia vahe'ma kvama hania nera Amasa huhamprinte'ne. Hagi Amasa'a Jeta nemofokino Israeli nagapinti ne'mo Nahasi mofa Abigeli ara eri'ne. Hagi Abigelina nuna'amo Seru Joapu'na kasente'ne.
26 Kisha Israeli na Absalomu wakapiga kambi katika nchi ya Gileadi.
Hagi Giliati mopafi Israeli sondia vahe'ene Absalomu'enena seli nonku'ma eme ki'za mani'naze.
27 Ikawa wakati Daudi alipokuwa amekuja Mahanaimu, huyo Shobi mwana wa Nahashi kutoka Raba ya Waamoni na Makiri mwana wa Amieli wa kutoka Lo Debari, na Berzilai Mgileadi wa Rogelimu,
Hagi Deviti'ma Mahanaimima ehanatigeno'a, Nahasi nemofo Sobi'a Amoni kaziga Rabati kumateti ne'ki, Amieli nemofo Makiri Lodeba kumateti ne'ki, Giliati ne' Barsilaiki hu'za musenkea hufru hu'za avre'naze.
28 wakaleta magodoro na mabulangeti, mabakuri na vyungu, na ngano, unga wa shayiri, nafaka zilizokaangwa, maharage, dengu,
Hagi zamagra tafe'ma masiza mase zanki, ne'zama kreno atino huzanki, kave'ma ati'za nesaza zuomparamima, mago'a witigi baligi flaua'ene kre hagege hunte witi aragane, rentori koheki, koheki,
29 asali, siagi, kondoo na samli, ili kwamba Daudi na watu waliokuwa pamoja naye waweze kula. Kwani walisema, “Watu wana njaa, wamechoka na wana kiu huko nyikani.”
tume rima'agi, batagi, sipisipigi memegi sipisipimofo amiri eri kragefinteki hu'za Devitine naga'ane ne'zana eri'za e'naze. Na'ankure zamagra hu'za maka'mota za'za ka ka'ma kokampina azageno tamavesra nehigeno, tamagara netegeno, tinkura tamavenisigeno hu'ne hu'za hu'naze.

< 2 Samweli 17 >