< 2 Samweli 17 >
1 Kisha Ahithofeli akamwambia Absalomu, “Niruhusu sasa nichague watu elfu kumi na mbili nami nitaondoka na kumfuatia Daudi usiku huu.
and to say Ahithophel to(wards) Absalom to choose please two ten thousand man and to arise: rise and to pursue after David [the] night
2 Nitampata kwa ghafla wakati amechoka na dhaifu nami nitamstukiza kwa hofu. Watu waliopamoja naye watakimbia nami nitamshambulia mfalme peke yake.
and to come (in): come upon him and he/she/it weary and weak hand and to tremble [obj] him and to flee all [the] people which with him and to smite [obj] [the] king to/for alone him
3 Nitawarejesha watu wote kwako kama bibi harusi ajavyo kwa bwana wake, na watu wote watakuwa katika amani chini yako.”
and to return: return all [the] people to(wards) you like/as to return: return [the] all [the] man: husband which you(m. s.) to seek all [the] people to be peace
4 Alichokisema Ahithofeli kikampendeza mfalme na wazee wote wa Israeli.
and to smooth [the] word in/on/with eye: appearance Absalom and in/on/with eye: appearance all old: elder Israel
5 Kisha Absalomu akasema, “Sasa mwiteni pia Hushai Mwarki ili tusikie yeye pia anasemavyo.”
and to say Absalom to call: call to please also to/for Hushai [the] Archite and to hear: hear what? in/on/with lip: word his also he/she/it
6 Hushai alipofika kwa Absalomu, Absalomu akamweleza kile ambacho Ahithofeli alikuwa amesema na kisha akamwuliza Hushai, “Je tufanye alivyosema Ahithofeli? Ikiwa hapana, tueleze kile unachoshauri.”
and to come (in): come Hushai to(wards) Absalom and to say Absalom to(wards) him to/for to say like/as Chronicles [the] this to speak: speak Ahithophel to make: do [obj] word: speaking his if nothing you(m. s.) to speak: speak
7 Hivyo Hushai akamwambia Absalomu, “Ushauri aliotoa Ahithofeli siyo mzuri kwa wakati huu.”
and to say Hushai to(wards) Absalom not pleasant [the] counsel which to advise Ahithophel in/on/with beat [the] this
8 Hushai akaongeza, “Unamjua baba yako na kwamba watu wake ni mashujaa na kwa sasa wanauchungu, ni kama dubu aliyenyang'anywa watoto wake mwituni. Baba yako ni mtu wa vita; hatalala na jeshi usiku huu.
and to say Hushai you(m. s.) to know [obj] father your and [obj] human his for mighty man they(masc.) and bitter soul they(masc.) like/as bear childless in/on/with land: country and father your man battle and not to lodge with [the] people
9 Tazama, kwa wakati huu pengine amejificha katika shimo fulani au mahali pengine. Itakuwa kwamba baadhi ya watu wako watakapokuwa wameuawa mwanzoni mwa shambulio hata kila mtu atakayesikia atasema, mauaji yamefanyika kwa askari wanaomfuata Absalomu.'
behold now he/she/it to hide in/on/with one [the] pit or in/on/with one [the] place and to be like/as to fall: kill in/on/with them in/on/with beginning and to hear: hear [the] to hear: hear and to say to be plague in/on/with people which after Absalom
10 Kisha hata askari jasiri zaidi ambao moyo wao ni kama moyo wa simba, wataogopa kwa kuwa Israeli yote inajua kwamba baba yako ni mtu mwenye nguvu na kwamba watu alionao ni wenye nguvu sana.
and he/she/it also son: warrior strength which heart his like/as heart [the] lion to melt to melt for to know all Israel for mighty man father your and son: warrior strength which with him
11 Hivyo ninashauri kwamba Israeli wote wakutanike kwako pamoja kutoka Dani hadi Beersheba, wengi kama mchanga ufuoni mwa bahari na kwamba wewe mwenyewe uende vitani.
for to advise to gather to gather upon you all Israel from Dan and till Beersheba Beersheba like/as sand which upon [the] sea to/for abundance and face of your to go: went in/on/with battle
12 Kisha tutampata popote atakapokuwa nasi tutamfunika kama umande uangukavyo juu ya nchi. Hatutamwachia hata mmoja aliye hai kati ya watu wake wala yeye mwenyewe.
and to come (in): come to(wards) him (in/on/with one *Q(k)*) [the] place which to find there and to rest upon him like/as as which to fall: fall [the] dew upon [the] land: soil and not to remain in/on/with him and in/on/with all [the] human which with him also one
13 Ikiwa ataingia ndani ya mji kisha Israeli wote tutaleta kamba juu ya mji huo na kuukokotea mtoni, hata kusionekane hata jiwe moja dogo lililosalia.”
and if to(wards) city to gather and to lift: bear all Israel to(wards) [the] city [the] he/she/it cord and to drag [obj] him till [the] torrent: valley till which not to find there also pebble
14 Kisha Absalomu na watu wa Israeli wakasema, “Shauri la Hushai Mwarki ni jema kuliko lile la Ahithofeli. Yahwe aliwafanya wakatae shauri jema la Ahithofeli ili kumwangamiza Absalomu.
and to say Absalom and all man Israel pleasant counsel Hushai [the] Archite from counsel Ahithophel and LORD to command to/for to break [obj] counsel Ahithophel [the] pleasant to/for in/on/with for the sake of to come (in): bring LORD to(wards) Absalom [obj] [the] distress: harm
15 Kisha Hushai akawambia Sadoki na Abiathari makuhani, “Ahithofeli alimshauri Absalomu na wazee wa Israeli hivi na hivi, lakini mimi nimeshauri vinginevyo.
and to say Hushai to(wards) Zadok and to(wards) Abiathar [the] priest like/as this and like/as this to advise Ahithophel [obj] Absalom and [obj] old: elder Israel and like/as this and like/as this to advise I
16 Sasa basi, nendeni haraka na mmtaarifu Daudi kusema, 'Usipige kambi usiku huu katika vivuko vya Araba, lakini kwa namna yoyote vukeni, tofauti na hapo mfalme atamezwa pamoja na watu wote walio pamoja naye.”
and now to send: depart haste and to tell to/for David to/for to say not to lodge [the] night in/on/with plain [the] wilderness and also to pass to pass lest to swallow up to/for king and to/for all [the] people which with him
17 Yonathani na Ahimaasi walikuwako katika chemichemi za En Rogeli. Hivyo kijakazi mmoja alikuwa akienda na kuwapasha habari waliyopaswa kuifahamu, ili kwamba wasihatarishe maisha yao kwa kuonwa wakiingia mjini. Ujumbe ulipofika ndipo huenda na kumtaarifu mfalme Daudi.
and Jonathan and Ahimaaz to stand: stand in/on/with En-rogel En-rogel and to go: went [the] maidservant and to tell to/for them and they(masc.) to go: went and to tell to/for king David for not be able to/for to see: see to/for to come (in): come [the] city [to]
18 Lakini kijana mmoja akawaoni mara akamwambia Absalomu. Hivyo Yonathani na Ahimaasi wakaenda kwa haraka na wakaingia katika nyumba ya mtu mmoja huko Bahurimu, aliyekuwa na kisima katika ua wake wakaingia humo.
and to see: see [obj] them youth and to tell to/for Absalom and to go: went two their haste and to come (in): come to(wards) house: home man in/on/with Bahurim and to/for him well in/on/with court his and to go down there
19 Mke wa mtu huyo akachukua kifuniko na kukikufunika kwenye mlango wa kisima kisha akaanika nafaka juu yake, hivyo hakuna aliyejua kwamba Yonathani na Ahimaasi walikuwa kisimani.
and to take: take [the] woman and to spread [obj] [the] covering upon face: surface [the] well and to spread upon him [the] grain and not to know word: thing
20 Watu wa Absalomu wakaja kwa mwanamke na kumwuliza, “Ahimaasi na Yonathani wako wapi?” Mwanamke akawaambia, “Wamevuka mto.” Hivyo baada ya kuwatafuta bila kuwaona kurejea Yerusalemu.
and to come (in): come servant/slave Absalom to(wards) [the] woman [the] house: home [to] and to say where? Ahimaaz and Jonathan and to say to/for them [the] woman to pass brook [the] water and to seek and not to find and to return: return Jerusalem
21 Ikawa baada yao kuondoka Yonathani na Ahimaasi wakatoka ndani ya kisima. Wakaenda kumtaarifu mfalme Daudi; wakamwambia, “Inuka na uvuke maji haraka kwa maana Ahithofeli ametoa mashauri haya na haya juu yako.”
and to be after to go: went they and to ascend: rise from [the] well and to go: went and to tell to/for king David and to say to(wards) David to arise: rise and to pass haste [obj] [the] water for thus to advise upon you Ahithophel
22 Kisha Daudi akainuka pamoja na watu wote walikuwa pamoja naye, nao wakauvuka Yordani. Hata ilipofika alfajiri hakuna hata mmoja aliyesalia kwa kutouvuka Yordani.
and to arise: rise David and all [the] people which with him and to pass [obj] [the] Jordan till light [the] morning till one not to lack which not to pass [obj] [the] Jordan
23 Ikawa Ahithofeli alipoona kwamba ushauri wake haukufuatwa, akapanda punda wake na kuondoka. Akaenda nyumbani katika mji wake mwenyewe, akaweka mambo yake katika utaratibu na kisha akajinyonga. Kwa hiyo akafa na kuzikwa katika kaburi la baba yake.
and Ahithophel to see: see for not to make: do counsel his and to saddle/tie [obj] [the] donkey and to arise: rise and to go: went to(wards) house: home his to(wards) city his and to command to(wards) house: home his and to strangle and to die and to bury in/on/with grave father his
24 Ndipo Daudi akaja Mahanaimu. Lakini Absalomu yeye akavuka Yordani yeye pamoja na watu wote wa Israeli waliokuwa pamoja naye.
and David to come (in): come Mahanaim [to] and Absalom to pass [obj] [the] Jordan he/she/it and all man Israel with him
25 Absalomu alikuwa amemweka Amasa juu ya jeshi badala ya Yoabu. Naye huyo Amasa alikuwa mwana wa Yetheri Mwishmaeli, aliyekuwa amelala na Abigaili, aliyekuwa binti Nahashi na dada wa Seruya, mamaye Yoabu.
and [obj] Amasa to set: appoint Absalom underneath: instead Joab upon [the] army and Amasa son: child man and name his Ithra [the] Ishmaelite which to come (in): marry to(wards) Abigail daughter Nahash sister Zeruiah mother Joab
26 Kisha Israeli na Absalomu wakapiga kambi katika nchi ya Gileadi.
and to camp Israel and Absalom land: country/planet [the] Gilead
27 Ikawa wakati Daudi alipokuwa amekuja Mahanaimu, huyo Shobi mwana wa Nahashi kutoka Raba ya Waamoni na Makiri mwana wa Amieli wa kutoka Lo Debari, na Berzilai Mgileadi wa Rogelimu,
and to be like/as to come (in): come David Mahanaim [to] and Shobi son: child Nahash from Rabbah son: descendant/people Ammon and Machir son: child Ammiel from Lo-debar Lo-debar and Barzillai [the] Gileadite from Rogelim
28 wakaleta magodoro na mabulangeti, mabakuri na vyungu, na ngano, unga wa shayiri, nafaka zilizokaangwa, maharage, dengu,
bed and basin and article/utensil to form: potter and wheat and barley and flour and roasted and bean and lentil and roasted
29 asali, siagi, kondoo na samli, ili kwamba Daudi na watu waliokuwa pamoja naye waweze kula. Kwani walisema, “Watu wana njaa, wamechoka na wana kiu huko nyikani.”
and honey and curd and flock and cheese cattle to approach: bring to/for David and to/for people which with him to/for to eat for to say [the] people hungry and faint and thirsty in/on/with wilderness