< 2 Samweli 16 >
1 Daudi alipokuwa amekwenda kitambo juu ya kilele cha kilima, Siba mtumishi wa Mefiboshethi akaja kumlaki akiwa na punda wawili waliokuwa wamebeba vipande mia mbili vya mikate, vishada mia moja vya mizeituni, vishada mia moja vya tini na mfuko wa ngozi uliojaa mvinyo.
Hagi Deviti'a ananteti onasi'a vugamanu ategeno, Mefiboseti eri'za ne' Siba'a Devitina tutagiha hunte'naku eme avega antenegeno ome ke'ne. Hagi agra tare donkifi 200'a breti konagi, fiki raga 100'a konagi, ante hagage hu'nea waini raga'a 100'a konagi huno erineno meme afumofo akru'are tro hu'naza tintafempi waini tina erino emani'ne.
2 Mfalme akamuliza Siba, “Kwa nini umeleta hivi vitu?” Siba akajibu, “punda ni kwa ajili ya familia yako kupanda, mikate na matunda ni kwa ajili ya matumizi ya askari wako, na mvinyo ni kwa ajili kunywa watakaozimia nyikani.”
Hagi kini ne Deviti'a Sibana antahigeno, amazana na'a hu'zane? Higeno Siba'a kenona huno, ama donki afutrena naga kamo'za zanagumpi mani'za vugahaze. Hagi bretine zafa raganena venenemo'za negahaze. Hagi ama waini tina hagage kopima nevanageno tamavresrama hanigeta negahaze.
3 Mfalme akauliza, “Na mjukuu wa bwana wako yuko wapi?” Siba akamjibu mfalme, “Tazama, yeye amesalia Yerusalemu kwa maana alisema, 'Leo nyumba ya Israeli itanirudishia ufalme wa baba yangu.”
Hagi kini ne'mo ete antahigeno, inantega kva vahekamofo negeho Mefiboseti'a mani'ne? Higeno Siba'a huno, Agra agesama antahiana menina negeho kini trara namigahaze huno Jerusalemi mani'ne.
4 Kisha mfalme akamwambia Siba, “Tazama, yote yaliyomilikiwa na Mefiboshethi sasa yatakuwa yako.” Siba akajibu, “Nainama kwa unyenyekevu kwako bwana wangu mfalme. Na nipate kibari mbele zako.”
Hagi kini ne'mo'a Sibana asamino, E'i menina maka Mefiboseti zantamina ete'na kagri kamue. Higeno Siba'a kenona huno, kini ne' ranimoka kagri'ma kavesisia zana amne hugahue.
5 Mfalme Daudi alipokaribia Bahurimu, akaja mtu kutoka katika ukoo wa Sauli, jina lake Shimei mwana wa Gera. Kadiri alivyokuwa akitembea alikuwa akilaani.
Hagi anama hute'za kini ne'mo'a Bahurimi kumate'ma vigeno, mago ne'mo tutagiha hunte'ne. Ana nera Soli nagapinti ne' Gera nemofo Simeikino ne-eno Devitina kesuno e'ne.
6 Akamrushia Daudi mawe na maofisa wa mfalme, bila kujali jeshi na walinzi wa mfalme waliokuwa kulia na kushoto mwa mfalme.
Hagi Simei'a have knonu matevuno Devitina neheno, mika Deviti'enema vu'naza vahera nezamaheno, Devitima kegavama hunte'za kanti kamama vu'naza avate hanave sondia vahe'enena zamahe'ne.
7 Shimei akalaani, “Nenda zako, toka hapa, mwovu wewe, mtu wa damu!
Hagi Simei'a Devitima kema nesuno'a amanage hu'ne, Kagra vahe ahe fri vava hunka vahe kora eri taginka haviza hu'nana vahe mani'nananki, amafintira maniganenka vuo.
8 Yahwe amelipa yote kwa ajili ya damu ya familia ya Sauli, ambaye unatawala badala yake. Yahwe ameweka ufalme katika mkono wa Absalomu mwanao. Na sasa umeangamia kwa kuwa ni mtu wa damu.”
Hagi kagra Soli naga'ma zamahe frinka, Soli kini trama eri'nana zante menina Ra Anumzamo'a kagrira nona hunegante. Hagi menina negamofo Absalomu kini eri'zana hanare amigenka, frenka ne'ane. Na'ankure kagra vahe zamahe frinka vahe kora eritagi ne' mani'nanku, e'inahu hazenkea eri'ne.
9 Ndipo Abishai mwana wa Seruya, akamwambia mfalme, “Kwa nini mbwa mfu anamlaani bwana wangu mfalme? Tafadhari niache niende nikamwondolee kichwa chake.”
Anante Zeruia nemofo Abisai'a kini ne' asamino, nahigeno ami fri'nea kramo'a kini ne'moka e'inahu kea kasuno ne-e! Natrege'na ome ahena agenopa akafri'neno.
10 Lakini mfalme akasema, “Nifanye nini nanyi enyi wana wa Seruya? Pengine ananilaani kwa kuwa Yahwe amemwambia, 'Mlaani Daudi.' Nani sasa awezaye kumwambia, 'Kwa nini unamlaani mfalme.”
Hianagi kini ne'mo huno, Ra Anumzamo'ma huntenigeno huhavizama hunenante'na Zeruia nemofoga antahio, tagra magozana hugara osu'none.
11 Hivyo Daudi akamwambia Abishai na watumishi wake wote, “Tazameni, mwanangu aliyezaliwa kutoka katika mwili wangu anatafuta uhai wangu. “Si zaidi sana mbenjamini huyu akatamani anguko langu? Mwacheni alaani, kwa maana Yahwe amemwamru kufanya hivyo.
Anante Deviti'a Abisaine mika eri'za vahe'anena zamasamino, Nagra'ama kasente'noa mofavremo Absalomu'ma nahe'za nehanigeno'a, Benzameni naga'mo'za amane nahegahaze. Hagi Ra Anumzamo asamigeno nehianki, mago'zana osu atrenkeno huhavizana hunanteno.
12 Huenda Yahwe akaangalia maangaiko niliyofungiwa, na kunirudishia mema kwa jinsi nilivyolaaniwa leo.”
Hagi nagriku'ma haviza hunane huno'ma huhavizama hunanterera, Ra Anumzamo'a nenageno, Agra'a nona huno asomura hunante'nie.
13 Hivyo Daudi na watu wake wakaendelea njiani wakati Shimei kando yake ubavuni mwa mlima, aliendelea kulaani na kumrushia mavumbi na mawe huku akienda.
Hagi Deviti'ene naga'amo'za nevazageno Simei'a anagami kaziga nevuno, Devitina kea nesuno kugusopa kateno avufina netreno have kanona atreno aheno vu'ne.
14 Kisha mfalme na watu wake wote wakachoka, na akapumzika wakati wa usiku walipopumzika wote.
Hagi kini ne'ene agranema vu'naza vahe'mo'za zamavaresra hige'za Jodani tinte unehanati'za anante umanigasa hu'naze.
15 Absalomu na watu wote wa Israeli waliokuwa pamoja naye wakaja Yerusalemu na Ahithofeli alikuwa pamoja naye.
Hagi ana'ma nehazageno'a, Absalomu'ene maka eri'za vahe'anema Jerusalema ehanati'zageno'a Ahitofeli'a agrane e'ne.
16 Ikawa Hushai Mwarki, rafiki yake Daudi, akaja kwa Absalomu, naye akamwambia Absalomu, “Mfalme aishi daima! mfalme aishi daima.
Hagi Deviti rone'a Akati kumateti ne' Husai'a Absalomuna eme tutagiha hunteno anage hu'ne, Kini nera kagra zazate kinia manigahane!
17 Absalomu akamwambia Hushai, “Je huu ndiyo utiifu wako kwa rafiki yako? Kwa nini haukwenda pamoja naye?”
Hianagi Absalomu'a Husaina antahigeno, Deviti nefuga mani'nananki, kagra nahigenka agranena ovu mani'nane? E'i knare kavukvara negafuna huontane.
18 Hushai akamwambia Absalomu, “Hapana! badala yake, yule ambaye Yahwe, watu hawa na watu wote wa Israeli wamemchagua huyo ndiye nitakaye kuwa upande wake na ndiye nitakaye kaa naye.
Higeno Husai'a kenona huno, Ra Anumzamo'ene maka Israeli vahe'mo'za huhamprintesaza kini nemofo agoraga nagra manigahue.
19 Kwani ni nani ninayepaswa kumtumikia? Je sipaswi kutumika mbele za mwana? kama nilivyotumika mbele za baba yako ndivyo nitakavyofanya mbele zako”
Hagi nagra negafa antahintahima ami eri'za vahe mani'noankna hu'na kagri eri'za vahe manigahue.
20 Kisha Absalomu akamwambia Ahithofeli, “Tupe shauri lako kuhusu tunachopaswa kufanya.”
Hagi Absalomu'a Ahitofelina asamino, Na'a hugahumpi antahi'zana namio.
21 Ahithofeli akamwambia Absalomu, “Nenda ulale na masuria wa baba yako aliowaacha kutunza kasri, na waisraeli wote watasikia kwamba umekuwa kitu kinachonuka kwa baba yako. Kisha mikono ya wote walio pamoja nawe itatiwa nguvu.”
Higeno Ahitofeli'a Absalomuna hunteno, negafana henka a'nezaga'ane umaso. Na'ankure agra nonku'ma kegava hanazegu zamatreno vu'ne. E'inama hananke'za Israeli vahe'mo'za antahisu'za, tamage hunka negafana ha'renentane nehu'za, kagranema mani'naza vahe'mo'za hanaveti'za kagritega antegahaze.
22 Hivyo wakatanda hema kwa ajili ya Absalomu juu ya kasri na Absalomu akalala na masuria wa baba yake mbele za Israeli wote.
Higeno nomofo agofetu seli no Absalomuna kintageno, nefama zamatreno vu'nea a'nenea mika Israeli vahe zamavuga zamanteno mase'ne. (2 Samuel 12:11-12.)
23 Nyakati hizo ushauri aliokuwa akitoa Ahithofeli ulikuwa ni kama mtu anavyosikia kutoka katika kinywa cha Mungu mwenyewe. Hivyo ndivyo jinsi ushauri wa Ahithofeli ulivyoonekana kwa Daudi na Absalomu
Hagi ana knafina Ahitofeli'a Ra Anumzamofontegati'ma antahintahima erinoma hiankna ke nehigeno Absalomu'a kote'ma Deviti'ma hu'neankna huno amagera ante'ne.