< 2 Samweli 12 >
1 Kisha Yahwe akamtuma Nathani kwa Daudi. Akaja kwake na kusema, “Kulikuwa na watu wawili katika mji. Mmoja alikuwa tajiri na mwingine alikuwa masikini.
RAB Natan'ı Davut'a gönderdi. Natan Davut'un yanına gelince ona, “Bir kentte biri zengin, öbürü yoksul iki adam vardı” dedi,
2 Yule tajiri alikuwa na kundi la ng'ombe na kondoo wengi sana,
“Zengin adamın birçok koyunu, sığırı vardı.
3 lakini maskini hakuwa na chochote isipokuwa mwanakondoo, aliyekuwa amemnunua na kumlisha na kumlea. Akakua pamoja naye na pamoja na watoto wake. Yule mwanakondoo hata alikula naye na kunywa kutoka katika kikombe chake, naye akalala katika mikono yake na alikuwa kama binti kwake.
Ama yoksul adamın satın alıp beslediği küçük bir dişi kuzudan başka bir hayvanı yoktu. Kuzu adamın yanında, çocuklarıyla birlikte büyüdü. Adamın yemeğinden yer, tasından içer, koynunda uyurdu. Yoksulun kızı gibiydi.
4 Siku moja tajiri akapata mgeni, lakini yeye hakuwa tiyari kuchukua mnyama kutoka katika kundi lake la ng'ombe au kundi la kondoo ili kumwandalia chakula. Badala yake alichukua mwanakondoo wa masikini na akampika kwa ajili ya mgeni wake.
Derken, zengin adama bir yolcu uğradı. Adam gelen konuğa yemek hazırlamak için kendi koyunlarından, sığırlarından birini almaya kıyamadığından yoksulun kuzusunu alıp yolcuya yemek hazırladı.”
5 Hasira ya Daudi ikawaka dhidi ya tajiri yule, naye akamwambia Nathani kwa hasira, “Kama Yahwe aishivyo, mtu aliyelitenda jambo hili anastahili kufa.
Zengin adama çok öfkelenen Davut Natan'a, “Yaşayan RAB'bin adıyla derim ki, bunu yapan ölümü hak etmiştir!” dedi,
6 Ni lazima alipe mwanakondoo mara nne zaidi kwa ajili ya kile alichokifanya, na kwa sababu hakuwa na huruma kwa mtu maskini.
“Bunu yaptığı ve acımadığı için kuzuya karşılık dört katını ödemeli.”
7 Ndipo Nathani akamwambia Daudi, “Wewe ndiye yule mtu! Yahweh, Mungu wa Israeli, asema, 'Nilikutia mafuta uwe mfalme juu ya Israeli, na nilikuokoa kutoka katika mkono wa Sauli.
Bunun üzerine Natan Davut'a, “O adam sensin!” dedi, “İsrail'in Tanrısı RAB diyor ki, ‘Ben seni İsrail'e kral olarak meshettim ve Saul'un elinden kurtardım.
8 Nikakupa nyumba ya bwana wako, na wake zake mikononi mwako. Nilikupa pia nyumba ya Israeli na Yuda. Na ikiwa hayo yalikuwa kidogo zaidi kwako, ningeweza kukuongezea mengine zaidi.
Sana efendinin evini verdim, karılarını da koynuna verdim. İsrail ve Yahuda halkını da sana verdim. Bu az gelseydi, sana daha neler neler verirdim!
9 Hivyo basi kwa nini umedharau maagizo ya Yahwe, hata ukafanya yaliyo maovu mbele zake? Umeua Uria Mhiti kwa upanga na umechukua mkewe kuwa mke wako. Uliua kwa upanga wa jeshi la Amoni.
Öyleyse neden RAB'bin gözünde kötü olanı yaparak, O'nun sözünü küçümsedin? Hititli Uriya'yı kılıçla öldürdün, Ammonlular'ın kılıcıyla canına kıydın. Karısını da kendine eş olarak aldın.
10 Hivyo basi upanga hautaondoka nyumbani mwako, kwa kuwa umenidharau na umemchukua mke wa Uria mhiti kuwa mke wako.'
Bundan böyle, kılıç senin soyundan sonsuza dek eksik olmayacak. Çünkü beni küçümsedin ve Hititli Uriya'nın karısını kendine eş olarak aldın.’
11 Yahwe asema, 'Tazama, nitaleta maafa dhidi yako kutoka katika nyumba yako mwenyewe. Nitachukua wake zako, mbele ya macho yako na kumpa jirani yako, naye atalala na wake zako wakati wa mchana.
“RAB şöyle diyor: ‘Sana kendi soyundan kötülük getireceğim. Senin gözünün önünde karılarını alıp bir yakınına vereceğim; güpegündüz karılarının koynuna girecek.
12 Kwa maana wewe ulitenda dhambi hii sirini, lakini mimi nitatenda jambo hili wakati wa mchana mbele za Israeli wote.
Evet, sen o işi gizlice yaptın, ama ben bunu bütün İsrail halkının gözü önünde güpegündüz yapacağım!’”
13 Ndipo Daudi alipomwambia Nathani, “Nimemtenda dhambi Yahwe.” Nathani akamjibu Daudi, “Yahwe naye ameiachilia dhambi yako. Hautakufa.
Davut, “RAB'be karşı günah işledim” dedi. Natan, “RAB günahını bağışladı, ölmeyeceksin” diye karşılık verdi,
14 Lakini, kwa kuwa kwa tendo hili umemdharau Yahwe, mtoto aliyezaliwa kwako hakika atakufa.”
“Ama sen bunu yapmakla, RAB'bin düşmanlarının O'nu küçümsemesine neden oldun. Bu yüzden doğan çocuğun kesinlikle ölecek.”
15 Kisha Nathani akaondoka na kwenda kwake. Yahwe akampiga mtoto ambaye mke wa Uria alimzaa kwa Daudi, naye akaugua sana.
Bundan sonra Natan evine döndü. RAB Uriya'nın karısının Davut'tan doğan çocuğunun hastalanmasına neden oldu.
16 Kisha Daudi akamwomba Mungu kwa ajili ya kijana. Daudi akafunga naye akaingia ndani na kulala usiku wote juu ya sakafu.
Davut çocuk için Tanrı'ya yalvarıp oruç tuttu; evine gidip gecelerini yerde yatarak geçirdi.
17 Wazee wa nyumba yake wakainuka na kusimama kando yake, ili wamwinue kutoka sakafuni. Lakini hakuinuka, na hakula pamoja nao.
Sarayın ileri gelenleri onu yerden kaldırmaya geldiler. Ama Davut kalkmak istemedi, onlarla yemek de yemedi.
18 Ikawa siku ya saba mtoto akafa. Watumishi wa Daudi wakaogopa kumwambia kwamba mtoto amekufa, kwa maana walisema, “Tazama, wakati mtoto alipokuwa hai tuliongea naye, lakini hakuisikiliza sauti yetu. Atakuwaje ikiwa tutamwambia kwamba kijana amekufa?!”
Yedinci gün çocuk öldü. Davut'un görevlileri çocuğun öldüğünü Davut'a bildirmekten çekindiler. Çünkü, “Çocuk daha yaşarken onunla konuştuk ama bizi dinlemedi” diyorlardı, “Şimdi çocuğun öldüğünü ona nasıl söyleriz? Kendisine zarar verebilir!”
19 Daudi alipoona kwamba watumishi wake walikuwa wakinong'onezana, Akatambua kwamba mtoto amekufa. Akawauliza, “Je mtoto amekufa?” Wakajibu, “Amekufa.”
Davut görevlilerinin fısıldaştığını görünce, çocuğun öldüğünü anladı. Onlara, “Çocuk öldü mü?” diye sordu. “Evet, öldü” dediler.
20 Kisha Daudi akainuka kutoka sakafuni naye akaoga, akajipaka mafuta, na kubadili mavazi yake. Akaenda katika hema la kukutania na akaabudu pale, kisha akarudu katika kasri lake. Akataka chakula kiletwe, wakamwandalia, naye akala.
Bunun üzerine Davut yerden kalktı. Yıkandı, güzel kokular sürünüp giysilerini değiştirdi. RAB'bin Tapınağı'na gidip tapındı. Sonra evine döndü ve yemek istedi. Önüne konan yemeği yedi.
21 Ndipo watumishi wake walipomwambia, “Kwa nini umefanya jambo hili? Ulifunga na kulia kwa ajili ya mtoto wakati alipokuwa hai, lakini mtoto alipokufa, ukainuka na kula.”
Hizmetkârları, “Neden böyle davranıyorsun?” diye sordular, “Çocuk yaşarken oruç tuttun, ağladın; ama ölünce kalkıp yemek yemeye başladın.”
22 Daudi akajibu, “Wakati mtoto alipokuwa hai nilifunga na kulia. Nilisema, Ni nani ajuaye kwamba Yahwe angeweza kunihurumia mtoto akaishi au sivyo?
Davut şöyle yanıtladı: “Çocuk yaşarken oruç tutup ağladım. Çünkü, ‘Kim bilir, RAB bana lütfeder de çocuk yaşar’ diye düşünüyordum.
23 Lakini sasa amekufa, hivyo nifungie nini? Je naweza kumrudisha tena? Nitakwenda kwake, lakini yeye hawezi kunirudia.”
Ama çocuk öldü. Artık neden oruç tutayım? Onu geri getirebilir miyim ki? Ben onun yanına gideceğim, ama o bana geri dönmeyecek.”
24 Daudi akamfariji Bethsheba mkewe, akaingia kwake, na akalala naye. Baadaye akazaa mtoto wa kiume, naye akaitwa Selemani. Yahwe akampenda
Davut karısı Bat-Şeva'yı avuttu. Yanına girip onunla yattı. Bat-Şeva bir oğul doğurdu. Çocuğun adını Süleyman koydu. Çocuğu seven RAB Peygamber Natan aracılığıyla haber gönderdi ve hatırı için çocuğun adını Yedidyah koydu.
25 naye akatuma neno kupitia nabii Nathani kumwita Yedidia, kwa sababu Yahwe alimpenda.
26 Basi Yoabu akapigana na Raba, mji wa kifalme wa watu wa Amoni, naye akaiteka ngome yake.
Bu sırada Ammonlular'ın Rabba Kenti'ne karşı savaşı sürdüren Yoav, saray semtini ele geçirdi.
27 Hivyo Yoabu akatuma wajumbe kwa Daudi na kusema, “Nimepigana na Raba, nami nimeshikilia sehemu inayosambaza maji ya mji.
Sonra Davut'a ulaklar göndererek, “Rabba Kenti'ne karşı savaşıp su kaynaklarını ele geçirdim” dedi,
28 Kwa hiyo sasa likusanye jeshi lililosalia uhuzingire mji na kuuteka, kwa maana ikiwa nitauteka, utaitwa kwa jina langu.”
“Şimdi sen ordunun geri kalanlarını topla, kenti kuşatıp ele geçir; öyle ki, kenti ben ele geçirmeyeyim ve kent adımla anılmasın.”
29 Hivyo Daudi akalikusanya jeshi lote na kwenda Raba; akapigana nao na kuuteka.
Davut bütün askerlerini toplayıp Rabba Kenti'ne gitti, kente karşı savaşıp ele geçirdi.
30 Daudi akachukua taji ya dhahabu kutoka katika kichwa cha mfalme wao iliyokuwa na uzito wa talanta, na ilikuwa na jiwe la thamani ndani yake. Taji ikawekwa juu ya kichwa cha Daudi. Kisha akachukua nyara za mji kwa wingi.
Ammon Kralı'nın başındaki tacı aldı. Değerli taşlarla süslü, ağırlığı bir talant altını bulan tacı Davut'un başına koydular. Davut kentten çok miktarda mal yağmalayıp götürdü.
31 Akawatoa watu waliokuwa mjini naye akawalazimisha kufanya kazi kwa misumeno, sululu na shoka; lakini pia akawalazimisha kutengeneza matofali. Daudi akailazimisha miji yote ya watu wa Amoni kufanya kazi hiyo. Kisha Daudi na jeshi lote wakarudi Yerusalemu
Orada yaşayan halkı dışarı çıkarıp testereyle, demir kazma ve baltayla yapılan işlerde, tuğla yapımında çalıştırdı. Davut bunu bütün Ammon kentlerinde uyguladı. Sonra bütün ordusuyla birlikte Yeruşalim'e döndü.