< 2 Samweli 10 >

1 Ikawa baadaye mfalme wa watu wa Amoni akafa, na Hanuni mwanaye akawa mfalme mahali pake.
Sabara gahıle Ammonbışda paççah qek'a. Mang'une cigee paççah mang'una dix Xanun eyxhe.
2 Daudi akasema, “Nitaonesha fadhiri Hanuni mwana wa Nahashi, kwa kuwa baba yake alinifadhiri.” Hivyo Daudi akatuma watumishi wake kumfariji Hanuni kwa habari ya baba yake. Watumishi wake wakaingia katika nchi ya watu wa Amoni.
Davudee eyhen: – Dekkee zas badal dyooxhena yugvalla hav'uva, zınab mang'une dixes Xanunus yugvalla haa'as. Davudee cun insanar Naxaşne duxayne Xanunne k'anyaqa, dekkıs baş-sağlığıyvalla hevles g'uxoole. Davudun insanar Ammonne ölkeeqa qabı hipxhırmee,
3 Lakini viongozi wa watu wa Amoni wakamwambia Hanuni bwana wao, “Je unathani kwa hakika Daudi anamweshimu baba yako hata ametuma watu kukutia moyo? Daudi hajawatuma watumishi wake kwako ili kuuangalia mji, kuupeleleza, ili kuupindua?
Ammonbışde ç'ak'ınbışe cone xərıng'uk'le Xanunuk'le eyhen: – Vak'le həməxüdmede ats'a, Davudee baş-sağlığıyvalla hevles insanar yiğne dekkıs hı'rmatnemeene g'uxoole? Davudee yiğne k'anyaqa insanar şahar uleke alğaahas, mana vaats'a vuxha, qiyğab hı'ğəəkar haa'as g'axuvu!
4 Hivyo Hanuni akawachukuwa watumishi wa Daudi, akawanyoa nusu ya ndevu zao, akachana mavazi yao hadi kwenye matako, naye akawaacha waende zao.
Xanunee Davudun insanar avqu, manbışin saqqalbı suralqamee, tanalqa ali'iyn karbıd avğançe giviy'arne cigeeqamee gyatxas ilekka. Qiyğab mang'vee manbı cone xaybışeeqa yəqqı'l haa'a.
5 Daudi alipoelezwa kuhusu hili, akatuma watu kwenda kuwalaki, kwa kuwa walikuwa wamefedheheshwa sana. Mfalme akawambia, “Kaeni Yeriko mpaka ndevu zenu zitakapoota, ndipo mrudi.”
Man kar Davudus yuşan hı'ımee, manbı naşvalin habat'ava, Davudee manbışde ögilqa insanar g'uxoole. Paççahee eyhen: – Saqqalbı aleelesmee Yerixoyee aaxve, qiyğa savk'le.
6 Watu wa Amoni walipoona kwamba wamenuka kwa Daudi, wakatuma wajumbe na kuwaajiri Washami wa Bethi Rehobu na Soba, askari elfu ishirini waendao kwa mguu, na mfalme wa Maaka pamoja na watu elfu, na watu wa Tobu elfu kumi na mbili.
Ammonbışik'le co Davudne ulele gyapk'ı g'ooce. Manke manbışe Bet-Rexoveeneyiy Tsova eyhene cigeene Arambışike cos g'ad aazır hoyharna esker pılıke kumagıs qot'alecenva insanar g'uxoole. Manbışe Maaka eyhene cigayna paççah aazırne insanıka, sayir Tov eyhene cigeençe yits'ıq'vəd aazır insan qoyt'al.
7 Daudi aliposikia, akamtuma Yoabu na jeshi lote la askari.
Davuduk'le man ats'axhxhamee, Yoavıka gırgın yugba sıç'ookan cehilyarnana g'oşun mang'ul ooqa g'uxoole.
8 Waamoni wakatoka na wakafanya mistari ya vita katika maingilio ya lango la mji wao, wakati Washami wa Soba na wale wa Rehobu, na watu wa Tobu na Maaka, wakasimama peke yao uwandani.
Ammonbı qığeepç'ı, şaharne akkabışde ögil saç'uvkasınbı xhinne giviyk'an. Tsovayniy Rexovın Arambı, Tov eyhene cigayneyiy Maaka eyhene cigayne insanaaşika qığeepç'ı, g'ab curayba ulyoozar.
9 Yoabu alipoona mistari ya vita ikimkabili pote mbele na nyuma, alichagua baadhi ya waisraeli wajuao kupigana vizuri na akawapanga dhidi ya Washami.
Yoavık'le cune g'oşunne ögiyleyiy yı'q'əle duşmanar gipk'ın g'avcumee, mang'vee İzrailyne gırgıne g'oşunuke yugun gəvxüyn cehilyar curav'u, Arambışde ögilqa giviyk'an.
10 Na sehemu iliyosalia ya jeshi, akawaweka chini ya Abishai nduguye, naye akawaweka katika mistari ya vita dhidi ya jeshi la Amoni.
Avxuyne insanaaşilqar cuna çoc Avişay xərna gixhxhı, manbı Ammonbışde ögiyl giviyk'an.
11 Yoabu akasema, “ikiwa Washami watakuwa na nguvu zaidi juu yangu, kisha wewe, Abishai, lazima uniokoe. Lakini ikiwa jeshi la Amoni litakuwa na nguvu zaidi juu yako, nitakuja kukuokoa.
Yoavee Avişayık'le eyhen: – Arambı zale gucuka vuxheene, ğu zas kumagıs ayre. De'eş, Ammonbı vale gucuka vuxheene, zı vas kumagıs ayres.
12 Iweni na nguvu, nasi tujioneshe kuwa wenye nguvu kwa ajili ya watu wetu na miji ya Mungu wetu, kwa maana Yahwe atatenda yapendezayo kwa ajili ya kusudi lake.
Yik'eka ixhe. Qora, yişde milletnemee, yişde Allahne şaharbışdemee, yişda adamiyvalla haagvas. Hasre Rəbbeyid Cusqa neniy yugda qöö, man he'ecen.
13 Hivyo Yoabu na askari wa jeshi lake wakasonga mbele katika vita dhidi ya Washami, waliolazimika kukimbia mbele ya jeshi la Israeli.
Yoaviy mang'una g'oşun Arambışika sıç'ookka gibğılmee, Arambı Yoavne ögiyle heebaxanbı.
14 Jeshi la Amoni lilipoona kwamba Washami wamekimbia, nao pia wakakimbia kutoka kwa Abishai wakarudi ndani ya mji. Ndipo Yoabu akarudi kutoka kwa watu wa Amoni na akarejea Yerusalemu.
Ammonbışik'le Arambı heebaxa g'avcumee, coyub Avişayne ögiyle heepxı, şahareeqa ikkeebaç'e. Ammonbışikan saç'ivkuy ç'əvxhamee, Yoav İyerusalimqa siyk'al.
15 Washami walipoona kwamba wameshindwa na Israeli, walijikusanya pamoja tena.
Arambışik'le co İzrailybışile avub aaxva g'avcumee, manbı sacigeeqa savayle.
16 Kisha Hadareza akatuma kuleta vikosi vya Washami ng'ambo ya Mto Frati. Wakaja Helamu pamoja na Shobaki, mkuu wa jeshi la Hadareza juu yao.
Manbışde paççahee, Hadadezeree, insan g'axuvu, Fərat eyhene damayne şene aq'valin Arambı dəv'eeqa qığaa'a. Manbıb Hadadezerne g'oşunne xərıng'uka, Şovakıka, sacigee Xelam eyhene şahareeqa abayle.
17 Daudi alipoambiwa, aliwakusanya Israeli wote pamoja, akavuka Yordani, na akafika Helamu. Washami wakajipanga katika mistari ya vita dhidi ya Daudi na wakapigana naye.
Mançina xabar Davudus abımee, mang'vee gırgın İzrailybı sav'u, İordanne damayle ılğeç'u, Xelameeqa arayle. Arambı Davudne ögil saç'uvkasva giviyk'an.
18 Washami wakakimbia mbele ya Israeli. Daudi akaua askari mia saba wa magari na askari wa farasi elfu arobaini. Shobaki mkuu wa jeshi lao alijeruhiwa na akafa huko.
Arambı İzrailybışde ögiyle heebaxanbı. Davudee Arambışda yighıd vəş dəv'əyn daşk'a he'ekkana, yoq'ts'al aazırır balkanıl alixı arına esker gek'a. Manbışda g'oşunna xərna Şovakır, Davudee ı'xı' maacar gek'ana.
19 Wafalme wote waliokuwa watumishi wa Hadareza walipoona kuwa wameshindwa na Israeli, walifanya amani na Israeli na wakawa watumishi wao. Hivyo washami wakaogopa kuwasaidia watu wa Amoni tena.
Hadadezerne xılek avubne paççahaaşik'le con gırgınbı İzrailybışis avub avxu g'avcumee, manbışe İzrailybışikana dəv'ə ç'əv hav'u, manbışis nukarar vooxhe. Mançile qiyğa Arambı qəvəyq'ənanbı Ammonbışis kumagbı ha'as.

< 2 Samweli 10 >